Sana dear mimi huyu pastor nikimsikiliza na apostle joushua selman nabarikiwa sana, hasa huyu afu nikifatilia mafundisho yake na nikifanya km anavyofundisha lazima nipate matokeo lakini ndiyo mwili ni dhaifu sometimes naanguka lakini huyu pastor Mungu anamtumia kwa viwango vya juu
That's why uliitwa innocent Mungu akubariki sana kutenga muda wako na kutuletea somo la baraka kwetu sisi more grace mtumishi WA Mungu as you continue serving the Lord
Mungu naomba unione unipe nguvu yakusali usiku wa manane na maombi yangu yasikike katika mbingu zako naamin kila kitu kutakuwa kipya katika maisha yangu na familia yangu😢🙏🙏
Asante sana mtumishi wa Mungu ni kwa ajili ya mafundisho yako naomba Mungu anipe kibali kupitia kwa hii mafundisho God bless you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi nimepojea mwongozo wako wa kusali usiku wa manane. Naomba Roho wa Mungu aniongoze kwa zoezi hili bila kuchoka. Amen
Haki nimepata amani ya moyo naamka usiku kusali na kweli mungu anajibu nipe nguvu zaidi mungu Wangu bado nina safari
Barikiwa sana mtumishi, mimi nimezoea kuomba usiku lakini najikuta naomba kwa muda wa saa moja tu kumbe inatakiwa kwa muda mrefu
Ni maombi yangu Mungu azidi kukuinua maana watumishi wa aina hii ni wachache na adui anawapiga vita sana,
Ameen ameeen ameeen
Amen
Sana dear mimi huyu pastor nikimsikiliza na apostle joushua selman nabarikiwa sana, hasa huyu afu nikifatilia mafundisho yake na nikifanya km anavyofundisha lazima nipate matokeo lakini ndiyo mwili ni dhaifu sometimes naanguka lakini huyu pastor Mungu anamtumia kwa viwango vya juu
❤❤❤❤
🎉@@daniellamamiro8388
Amen..somo nzuri...🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nani anawatch na mimi sahii 01 : 32 from Saudia arebia
Ameen.
Ubarikiwe sana
Amen
Amen
Mimi
Mtumishi nimempokea Bwana Yesu leo ,naomba niongozwe na Roho mtakatifu katika maombi ya kuomba ucku
Mungu naomba kibali Cha kuamka usku wa manane niweze kuongea na wew
Barikiwa mtumishi wa Mungu nimejifunza kitu kikubwa sana
Mungu wangu mzuri naomba unite nguvu ya kuomba usiku wa manane
Ee Mungu naomba uniondolee usingizi wa kiroho,nipe kukesha kwa kulisoma neno lako na kuomba usiku wa manane,Ameen
Ameeeeen Roho Mtakatifu nisaidie kutembea katika somo hili
Amen amen barikiwa sana MTUMISHI WA MUNGU FOR THE POWERFUL TEACHING
Bwana yesu nipe neemahiyo kwajinalayesu
Mungu akubariki kwa neno nzuri
That's why uliitwa innocent Mungu akubariki sana kutenga muda wako na kutuletea somo la baraka kwetu sisi more grace mtumishi WA Mungu as you continue serving the Lord
Ameen ameeen ameeen. May God bless you too
Mungu akutie nguvu mtumiishi anisaidie na mimi niweze kuomba usikiu wa manane Rose kimaro Arusha
Nafurahi nikiona mtumishi wa mungu ananifundisha
Unakarama ya ualimu nimekuelewa sana ubarikiwe nimependa Mungu akuzidishie mafuta zaidi
Yesu mwana wa mungu nisaindie kuamka usiku niombe
Mungu naomba unione unipe nguvu yakusali usiku wa manane na maombi yangu yasikike katika mbingu zako naamin kila kitu kutakuwa kipya katika maisha yangu na familia yangu😢🙏🙏
Bwana yesu naomba unifanye niwe nafanya maombi ya usiku wa manane, ahsante yesu maana naamini utoniacha amina.
Nilikuw nikitamani sana kupata mtumish wa Mungu wa kunifundisha kuomba sasa nimekupata Mungu azidi kukupa pumzi baba
Ameen ameeen
Karibu sana sana
@holyspiritconnect una patikana wapa baba
Bwana yesu naomba kibali cha kuamka usiku wa manane
Asante sana Kwa somo zuri
Asante mtumishi wa mngu
MUNGU akubariki akuinue akupake mafuta zaidi!!!
Haya ni maombi yenye nguvu sana Mungu atutie uwezo ,asanti mwalimu!!
Ubarikiwe mtumishi Mungu nisaidie niweze kuamka usiku wa manane kuomba
Asante sana mtumishi wa Mungu, leo nimepata jibu langu, barikiwa sanaa mpaka ushangaeeeee pia uishi milele mtumishi wa Mungu
Nimebarikiwa sana na hizi siri za kuomba ucku wa manane, barikiwa sna mtumishi wa mungu🙏🙏🙏
Ee mungu unisaidie kuomba usiku wa manane
Nashukuru mtumishi kwa somo hili la kiroho 🙏🙏
Amen Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe unainua wengi ki imani asante sana mungu akuinie zaidi na zaidi
ameeeeen mungu awe nawe
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu nimejifunza sana Mungu nipe hekima ya kuomba usiku Amen🙏🏿
Barikiwa sana KBS 🥰👍🏾
asente ubarikiwe sana 🙏🙏
Asante sana mtumishi wa Mungu neno hili limeuguza moyo wangu Mungu nipee neema ya kuamka usiku na kuomba imarisha magoti yangu kwa maombi
Nmekua mzembe kuomba jameni, may God restore me
Nimebarikiwa na mafunzo yako mtumishi wa Mungu wacha Mungu hanizahidiye
Naomba Mungu atupe kibali tuweze kuzishinda nguov za giza nakushukuru san mtumixh
Asante kwa mafunzo mtumishi wa mungu
Asante mtumishi wa Mungu ❤
Barikiwa mtumishi wa Mungu nitaanza kuomba usiku wamanane huwa niko na uvivu wakuomba usiku
Ameen ameeen. Mungu atakupa nguvu wala usihofu kabisa
Mungu atusaidie tusiwe na usingizi wa kiroho,Ni kweli mtumishi wa Mungu,Yesu akuinuwe sana una kitu kikubwa ndani yako.
Amina Mungu Baba Atuwezeshe kuwa waombaji na Roho wa Bwana Atuongoze maana bila Roho wa Bwana SS hatuwezi.Ubarikiwe na Bwana Mtumishi wa Mungu.
Nashukuru sana kwa mafudisho haya mtumishi mungu azidi kukuinua na uwe na afya njema siku zote
Amen mungu nisaidie kuamka usiku kuomba
Ee Mungu nisaidie niweze kuamka usiku wa manane kwa ajilo ya maombi
Amina mtumishi wa Mungu hakika umenibaliki mno namuomba roho mtakatifu anipe kibali cha kuamka usiku na kuomba kwa Mungu
Ameen ameeen
Bwana naomba neema ya kuamka na kuomba.
Mungu akuinue mtumishi wa Mungu Kwa Siri hii.umenianzishia maisha mapya Mungu akutunze.Amen
Mungu akuinue mtumish uendelee kutufundisha neno kwasabu tulioweng tu aomba kawaid sio kwamalifa yandan
Ubariwe sana mtumishi waMungu naomba amungu aniongezehe nguvu yamaombi ili nishinde shetani akika kupitia neno ili nitapokeya taji yauzima❤❤❤❤❤❤❤️❤️
Barikiwa na bwana
Amina mtumish naomba unifingue maisha mwaka huu 2025
God bless you Man of God 🙏 asante kwa somo zuri
Amen amen 🙏 ubarikiwe mtumishi nenolako lime nifariji sana mungu akulide katika uduma yako amena 🎉
God bless you pastor MUNGU ameongeza kitu nikibwa ndani yangu ubarikiwe
Amina barikiwa mtumishi wa mungu
Asante sana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Thank you Jesus for your power and God bless your pastor
Mtumishi nimpokea bwana yesu leo
Ubarikiwe mutumichi sana tena sana
Mungu akubariki sana, nimekuwa nikipambana Sanaa kuamka, Sasa nimepata shauri nitaamka Kwa jina la Yesu
Asante mtumishi umenisaidia
Ahsante mungu,niendelee kuamka usiku na kufanya maombi ya kweli na kupokewa usiniache mungu wangu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, somo hili ni la kwangu
mtumishi nimempokea Yesu leo
Asante sana mtumishi kwa semina Yako nzuri ,ninaimani sitakata tamaa kuomba usiku 🎉
Asante mtumishi kwa mafundisho yako
Balikiwa sana mtumishi mungu asante kwa kutufungua macho tupate kuomba usiku wa manane nashukuru sana mtumishi wa mungu
Amina mtumishi na asante sana kwa somo hili zuri
Ameen ameeen
Amen ubarikiwe Sana mtumishi MUNGU atusaidie kuwa na mid night prayers maana tukichoka tutapandiwa magugu na adui zetu
AMEEN Glory to God
Asante sana mtumishi kwa somo hili,mungu akubariki sana.
Ameen ameeen
Ubarikiwe pia kwa kusikiliza
mungu naomba unipe Kigali cha kupata kiu yamaombi ya usiku
Hasante Sana mtumishi wa Mungu kunitia moyo.
Amina barikiwa Sana mtumishi
Mungu nipee neemaa....I pray thee
Mungu akuinue kwa kua umenijenga mahali
Ameen ameeen
Amen. Ubarikiwe sana mtumishi kwa somo hili. Ngoja nisikilize
Ameen ameeen
Mungu akubariki sana kwa kusikiliza
Amina mtumishi
Amen mtumishi wa mungu.mungu akubariki kwa kutufamisha kuomba usiku wa manane.
Amen Mtumishi wa Mungu napokea Neema ya kuomba usiku wa manane🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen ameeen
Barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa somo,limenitia nguvu ya kusimama Tena.
Mungu nisaidie niwemuombezi adui asipate nafasi ya kupatanda maguguu nitie chemchem ya maombi rohoni mwangu amen
Amen amen amen mtumishi nasikiliza injili nikiwa saudia Arabia barikiwa man of God
Ameen ameeen. Mungu akubariki sana.
Ubarikiwe kwa masomo mazuri mungu nimwema
Amen barikiwa mtumishi wa mungu nmekua na kushindwa katika maombi ya usku na Asante sana kwa mafundisho Asante bwana kwa kunena NAMI🙏🙏🙏
Asante wacha niombe saa hii
Ameen somo zuri ubarkiwe na Bwana
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu umetutia moyo ktk kazi ya maombi
Asanteee mtumish wa munguu kw kunifunz umuhimu w maombii y usikuu
Ee MUNGU naomba unisaidie nguvu za kuomba osiku wa manane
Amen MUNGU akubariki sana mtumishi kwakweli nimepata kitu Amen
Ameen ameeen
Asante mtumishi wa wungu kwa ufahamu huu, mungu akuzidishie neema hiyo
Mungu naomba huu usiku unisaidie uniongoze katika familiya yangu
BWANA wetu YESU KRISTO azidi kukubariki mtumishi wa BWANA
Maombi nyangu mungu azidi kulinda usiku huu