Kama nilivyokuwa wa kwanza kucomment Neema ya ufungulivu ikawe juu yangu kitovu na ROHO ya magonjwa ya asili yafe na nitengwe na mizimu,hakika MUNGU wa madhabahu ya ukombozi amenipigania sana🙏
Naitwa Avelina focus niliwai kuamuka asubui nikakuta nimengatwa mikono yangu na panya baada ya kufatilia maombi mkono wangu wa kulia kila nikishika pesa mkono wangu unauma sana nilikuwa nikiota nakimbuzwa na ngombe ndoto nimeota nyingi mbaya baba naomba msaada wa maombi nami nifunguliwe
Nakukubali baba nambii kuhusu ndoto niliota msiba wamtoto mdogo,akiwa kwenye jeneza nilipo fika mm kuagalia maiti Kuna mdoli,haikupita wiki mwanangu akadubukia kwenye Maji akafaliki
Mchungaji naitwa shabani Hussein au fanueli kutoka moshi Kilimanjaro niliota ndoto Niko shule ya secondary na ma classment WANGU wote nilio maliza nao shule kidato cha 4
NAMBA ZA KUPATA MSAADA NDG TOM PATRICK ZIPO KWENYE SCREEN HAPO, UNAWEZA UKAPIGA NA UKASAIDIWA ENDELEA KUWASAMBAZIA UJUMBE HUU NA WATU WENGINE, MUNGU AKUBARIKI
Power of God nabalikiwa sana na somo la ndoto
Kama nilivyokuwa wa kwanza kucomment Neema ya ufungulivu ikawe juu yangu kitovu na ROHO ya magonjwa ya asili yafe na nitengwe na mizimu,hakika MUNGU wa madhabahu ya ukombozi amenipigania sana🙏
Najunganisha ktk madhabahu hii nafunguliwa kwa jina la yesu
Mungu tuepushe na ndoto hizo chafu kwa jina la Yesu
Naitwa Avelina focus niliwai kuamuka asubui nikakuta nimengatwa mikono yangu na panya baada ya kufatilia maombi mkono wangu wa kulia kila nikishika pesa mkono wangu unauma sana nilikuwa nikiota nakimbuzwa na ngombe ndoto nimeota nyingi mbaya baba naomba msaada wa maombi nami nifunguliwe
Asante sn kwa maarifa.Yesu Kristo niguse
Mung naomba niepushe na ndoto zote mbaya amen
Mungu anisaidie nisiendelee kuota hzi ndoto za ajab katk jna la yesu
Mungu Atuepushe mara moja 🙏
Connection yangu imeunganishwa tena kwa Jina la Yesu Ameen
Amen Dady hakika nakuelewa sana
Ndoto huwa zinanitikea sana za ajabu zishindwe katika jina la yesu naomba nifunguliwe kwanzia sasa
mungu akuzifishie uzima uendelee kutuhudumia
Nakukubali baba nambii kuhusu ndoto niliota msiba wamtoto mdogo,akiwa kwenye jeneza nilipo fika mm kuagalia maiti Kuna mdoli,haikupita wiki mwanangu akadubukia kwenye Maji akafaliki
Mungu anitetee
Eee Mwenyezi Mungu tuepushe na ndoto chafu.
Amina baba, Mtu wa Mungu. Ndoto zina mafumbo mengi.
Mungu niepushe na ndoto chafu in Jesus name amen 🙏🙏🙏
Ameen
Amen asante sana Nabii wa Mungu 🙏
Mimi naota nikiongea na watumishi wakubwa wa Mungu pia viongozi wa nchi,,, nini maana yake? Niko Saudi Arabia
Amina
Mungu niepushe na ndoto mbaya
Ameen ireceive
Kwelí kabisa baba
Nipo pamoja naww Baba.
Nabii unanifungua sana ubarikiwe sana
Amen
Nifunguliwe na mimi
Nifunguliwe namimi
Ameni
Mtumishi mm kila cku naota ndoto npo nyumban kijijin najenga nyumba iliyobomoka
Tuna shukuru sana
Mimi rahel zabron ni miaka nane sasa sijapata mtoto nabii naomba unikumbuke kwenye maombi haya ya sika 21 Niko meatu
Nitainuka tena kwa jina la Yesu
Mtushinimekwelewasana....nisaidie...ndotozangu..sizi..nizaajabu
Mchungaji naitwa shabani Hussein au fanueli kutoka moshi Kilimanjaro niliota ndoto Niko shule ya secondary na ma classment WANGU wote nilio maliza nao shule kidato cha 4
Nitainuka tena
TUTAFUTE MADHABAHU YENYE NGUVU NA MAFUNDISHO YANAYOTUTOA KWENYE MISINGI MIBOVU YA MAISHA YETU KARIBU KANISA LA UKOMBOZI AMBAKO KILA KITU KINAPATIKANA
Kweli kabisa mimi huwa naota sanaa niko shule
Baba niombee mm naota nipo shureeni
Mimi kabisa yani nikikalibia kufanikiwa apo Ndy shida inaanza
Muuhu kweli.mtumishi naoto ndoto mara kwa mara mbaya.nifanyaje mtumishi ili nijiepushe na roho
Niko kenya mm na nina sumbuliwa na hi ndoto ya kuwa kwa shule ya primary nafanya mtihani lakini sikumalizia uo mtihani jamani naomba maomba pastor
Nimeota ni kipaa juu ya nyumba,kwa kampuni kubwa kumwa.nikiona magari,duka kubwa kubwa
Mtumishi nahitaji maombi najiunganisha
Roho za madeni
Mie nasumbuliwa na Ndoto za Kuwa Sekondari kwa umri huu 55 ...!!!! Mii kila mradhi huvuna tu hasara/ nikimkopa mtu silipwi...Nairobi .!!!!
NAMBA ZA KUPATA MSAADA NDG TOM PATRICK ZIPO KWENYE SCREEN HAPO, UNAWEZA UKAPIGA NA UKASAIDIWA ENDELEA KUWASAMBAZIA UJUMBE HUU NA WATU WENGINE, MUNGU AKUBARIKI
Karibu ukombozi baba yetu wa kiroho atakupatia msahada
Mimi kila siku naota nipo shule yamsingi najana nimeota hivyo
Nitoke kwenye mizimu inayonitesa na roho ya umaskini na laana
Amen
Amina
Ameen
Amina mungu ni kumbuke na mm
Amina mm naota naogele
Amen
Amina
Amen