16 Kutoka Gerezani 1967
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- Februari 1967 Aman Thani na wafungwa wa siasa wameletwa kutoka Langoni kuletwa gereza la Kilimani. Karume na memba wa baraza la mapinduzi wamekuja jela kuwafungua baada ya kufungwa miaka mitatu.
mwenyez mungu ape wepesi uko alipo ishaallh
Ahsante sana mzee wetu kwa kutupa historic, Allah atupe kila la kheri.
Huyu mandera katesa watu wingi sana
Hayasemwi haya, yanafichwa kwenye historia zetu.
Nitoe Pole kwa wote waliopita kwenye Madhila hayo. Kwa histori za Mzee Thani Ni zaidi ya yaliofanywa na Adolf Hitler
😢 Mbona mimi ndo naiona hii Leo? Duh nimechelewea wapi hata sijuwi
kilozi aliletwa na Allah kwa rehma zake kutoka bara ndo maana udugu ckufanana bali ni kufaana
subhan Allah, nimeguzwa sana.
Nitoe Pole kwa wote waliopita kwenye Madhila hayo. Kwa histori za Mzee Thani Ni zaidi ya yaliofanywa na Adolf Hitler
Kusema Ukweli leo nimejua Mengi Sana Ambayo Yapo Sirini. Aisee Nimeumia Sana
Mzee umelegea kitu juu ya mstari
azam tv