Huko bukoba kuna sehemu chafu kama hizo, kuna kijiji kimoj kiko ishozi katolelwa alitokea tendo la kinyama kama hilo lakn watu walilipuzia, naomb kupitia hili naomba selikali yangu ifatilie hilo swara.
Serikali yangu naiamini sana. Wafanye uchunguzi makini tu. Na baada ya kuupata ukweli tu , wahusika wanyongwe tu. Ukatili huu haukubaliki hata kidogo. Na kama baba mzazi kahusika ndo waanze naye kumnyonga. Mshenzi sana.
Mungu akubariki Sanaa Babangu kwakumfariji mdogo wetu
Watoto wasikuizi awana uluma sana yani baba wa mtoto mdogo mama wa mtoto mdogo
Asante.san.mama.samia.mungu.akupe.umri.mrefu
Umeongea vizuri sana kiongozi🙏
KAZI YENU NJEMA, MUNGU AWABARIKI.
Akuna anaeweza kuvaa kiatu cha uyu dada maumivu anayopitia Mungu mwenyewe ndo anajua
Pole sana kwa tukio hilo ila serikali inatakiwa ichukue hatua kaly mara moja wausika wote ukumu yao kunyongwa hadi kufa
Poleni sn ndugu zangu msiba unasikitisha sn kwa kweli
Polen wafiwa mungu hawape nguvu
Huko bukoba kuna sehemu chafu kama hizo, kuna kijiji kimoj kiko ishozi katolelwa alitokea tendo la kinyama kama hilo lakn watu walilipuzia, naomb kupitia hili naomba selikali yangu ifatilie hilo swara.
Tunaomba hao ndg zetu albino wapewe ulinzi matukio hayo yasijitokeze tena
Serikali yangu naiamini sana. Wafanye uchunguzi makini tu. Na baada ya kuupata ukweli tu , wahusika wanyongwe tu. Ukatili huu haukubaliki hata kidogo. Na kama baba mzazi kahusika ndo waanze naye kumnyonga. Mshenzi sana.
Familia imeweka ngumu na eneo lao familia za kiafrika ni mtihani mtupu nyumba ingejengwa ingeleta mgogoro
Mungu awafariji ndugu zangu watanzania wenzangu
Mungu ampe faraja ya moyo
Huyu anae semafara maana yake Nini mbona watu hamna shukura jaman mungu awahumie mungu akurinde mwekiti na akupe maisha marefu
Pole sana mama asimwe pole bibi asimwe kwakupoteza mtt
Weka ata sasahivi tupo tiali mimi Niko arusha
Bojo Mpola mno mnonga MUNGU awatie nguvu Sanaa ktk hiki kipndi kipindi kigumu!
Mungu awe nanyi tupo pamoja nanyi ktk kipindi hiki kigimu
MUNGU WA MBINGUNI AWATETEE
Asanten San kwa kumfarji
Hiyo account iko wapi jamani? Ebu weka hiyo account hapa, nahitaji kufanya malipo chapi
Tunamashaka na nyie ccm na uongozi wenu
Asanteni uvccm kwa umoja wenu na ushirikiano wa kumuenzi mama asimwe.mungu afanye wepesi kila lililo pangwa likamilike.
Asiimwe Apumzike kwa amani!😢😢
Mbarikiwe sana kwa kuugusa moyo wa Mungu ,,,,,kweli itamsaidia kutuliza akili kwa asilimia kubwa sana,,,,tuliofiwa na watoto,tunalielewa hili,,,,,
Hakika nimaumivi makali sana tuliyo kionja kikombehicho Tunajua
KAMA MAMA NI UMRI HUU BASI NA BABA NAE MTOTO. HUZUNI SANAA
Kbsaa
Ni mdogo niliona picha yake
Siku zote mlikuaa hamumuon uyo mam na mtoto jmn
Polen san tupo pamoja
Huyu jamaa apewe ukuu wa mkoa anakua kufafanua jambo vizuri sana
Sisi hatutowi metuulia mtu wetu
Vi ongozi.kazi.zuri
Tuache tabia za Ukatili badala yake tumrudie Muumba wetu
Poleni sanaa.
Kama mmewakamata wauweni msiwaweke
Poleni😭😭😭
MTU AKIPATA MSIBA MKUBWA KAMA HUU APUMZISHWE ATULIZE AKILI. KUSHONA NA KUFUMA KUNAWEZA KULINGANISHWA NA MTOTO???
Kipindi tukio lipo jipya ndo binaadamu huingia Imani yakukusaidia ikipita muda kidogo akuna Tena atakaewaza kunamtu alifiwa
Pole mama M mungu atakupa subra
Kweli kabisa@@mrsmumewangu4907
Ni kumfariji tu
KipindiChaMajonz.NdyoWatuWanaguswaKutoaMchango.pakipoaWatuhawatoi
Poleni sanaaa wapendwa,tupo 🤝
Asante.kiongozi
Safi kiongozi
Mpe pole 😂😂😂
Sa umefurahi Nini kwa mfano!!
JPM alivyouwawa wahaya walio wengi walifanya sherehe .
MAKU Wewe shetani mweusi komaaa🤫🤫🤫mfyuuuu ko umefurahi kuona mtoto anakufa kinyama ivo! fikiria angekuwa ni wako☹️☹️😕toa roho ya kutu hapa .
Poleni sana
Huyu.fala.bado.ni.mwenyekiti.wa.vijana.?Leo
.anasikitika.huyu.alimasema.tukiwapoteza.polisi.msiwatafute