BINTI MMACHAME ANAYEUZA CHAKULA DUBAI, ANAMILIKI MIGAHAWA, BAA "SIKUJA DUBAI KUTEMBEA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 257

  • @IREENNTIJE
    @IREENNTIJE 20 днів тому +2

    Hongera sana pambana uko vizuri mchaga mwenzetu uko vizur wachanganye pika mpk mtory supu iliyotulia ubarikiwe tu

  • @user-fp5fj1sp8x
    @user-fp5fj1sp8x 24 дні тому +9

    Am Ugandan but their chakula very sweet kabisa

  • @zakayomosha13
    @zakayomosha13 25 днів тому +8

    Hongera mwanamke WA nguvu na unaonyesha njia Kwa waTanzania wote kuwa Tupige kazi tuache maneno

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 6 днів тому +2

    hongera mamka wng watanzania muache kuwazarau wachaga wachaga tumetumwa pesa mekuu

  • @winfridarwechungura1387
    @winfridarwechungura1387 25 днів тому +11

    Nimekula hapo Sato na ugali bamia upo juu may 2024

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 25 днів тому +20

    Dada mzuri Mashaallah ❤' sura amefanana na malkia kareen

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 24 дні тому

      Hao ni malaika watoa roho

    • @SalamaNauthar
      @SalamaNauthar 23 дні тому

      @@Kabwela776 kivipi tena?

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 23 дні тому +1

      @@SalamaNautharfanya home work yako lishangazi ulizia tabia za wamachame wanawake wa kimachame kwa Nini wanaitwa wapalestina

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 23 дні тому


      HAWEZ JIBU
      PLEASE TUDOKEZE

    • @NeemaMethod
      @NeemaMethod 18 днів тому

  • @ImmaculateMweteni
    @ImmaculateMweteni 23 дні тому +5

    Watz mnaongea sana. Nyie mnajua kupika nendeni na nyie kufungua mgahawa. Ushindani sio mbaya.
    Hongera sana mdada.

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 25 днів тому +3

    Vizuri sana umefanya ni kazi nzuri sio kama zile tunazo sikia za kufanya kazi za manyumbani na watu wanateswa sana. Umefikiria kazi ya maana sana unajitegemea mwenyewe bila kusukumwa na hao watu wanavyowafanyia watu wa kazi. Kama ulivyosema utakaa uko mpaka mwisho ni sawa kabisa ujakosea tumeona walio rudi wengi wamearibikiwa .

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 20 днів тому +1

    Hongera sana dd ,🇹🇿 mungu akubariki sana ❤❤

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 24 дні тому +1

    Keep it up Zuu , mwanamke mpambanaji❤❤❤

  • @juddyanthony7951
    @juddyanthony7951 23 дні тому +2

    Hongera sanaaaaa dada Zuu

  • @mashaallahabuu1167
    @mashaallahabuu1167 25 днів тому +1

    Ma Sha Allah mahija mwanangu,

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 24 дні тому +6

    mchle ananunua wa dubai au tz me ni suppulier wa mchele

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 24 дні тому +2

    Uko vizuri mdada.Usitoe mambo yako hadhari

  • @user-wz9no5wx3g
    @user-wz9no5wx3g 25 днів тому +4

    Naomba kazi Niko vizuri ktk kupika dada

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 25 днів тому +6

    Bakini na imani zenu potofu , siku zote, wezenu wana jituma

  • @thabitdeco1575
    @thabitdeco1575 25 днів тому +5

    Waulize hao madada wpo sehem gani watupe location tukanunuwe

  • @isaacmunisi5559
    @isaacmunisi5559 6 днів тому

    Hongera sana dada wengi tunaogopa kijaribu.

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 25 днів тому +6

    Nimekupenda Sana,madam naomba kazi ya kupika chapati najua Sana kupika

  • @ChikuKibari
    @ChikuKibari 24 дні тому +1

    Upo vizuri

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 20 днів тому

    Hongera sana binti mtanzania.. kwa kila mafanikio wenye chuki wapo.. wasikukatishe tamaa..songa mbele

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v 25 днів тому +3

    Hawez kubaguliwa huyu maana ana Visa ya kujitegemea mwenyew sio ya kuajiriwa Yan KAZI za ndani

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 21 день тому +2

    Congratulations sister god bless you 🇹🇿🇹🇿❣️❣️

  • @user-om8gt1cn2l
    @user-om8gt1cn2l 19 днів тому

    Hongera sana dear

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h 24 дні тому +3

    ❤❤❤

  • @KiswiririSwaliki
    @KiswiririSwaliki 5 днів тому

    Nice

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 20 днів тому +1

    Chakula chake saafi Mno nilipata mlo na Familia yangu ilifurahi sana kwa kweli Tumpeni sapoti huyo dada yetu jamani

  • @sharpaliofficial7455
    @sharpaliofficial7455 14 днів тому

    We are proud of you mama zuu mwanamke mpambanajiii

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 24 дні тому

    Aminiy Dada Zu

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 25 днів тому +2

    Hamuna masta bongo

  • @aubreykasoyaga1665
    @aubreykasoyaga1665 22 дні тому +3

    Pambana Dada yetu.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 21 день тому +1

    Saafi saana

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 25 днів тому +3

    Naomba kazi minajua kupika chakula cha kitanzania nipo Dar es salaam

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 25 днів тому +3

    Atujukuee watu wanyubani awajiri❤

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 25 днів тому +5

    Millard tuarifu mgahawa upo wapi tuende kumsapot dada yetu

    • @Swahili255TV
      @Swahili255TV 25 днів тому +1

      Baniyas, Al Qaid Hotel

    • @davidmalisa8043
      @davidmalisa8043 24 дні тому +1

      Bugurun ya Dubai unaijua yaan huko ndipo walipo vibega wote wa Africa makapurwa

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 24 дні тому

      @@davidmalisa8043 Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake kaka !

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 19 днів тому

    Mashaallah ❤

  • @zakayomosha13
    @zakayomosha13 25 днів тому +3

    Sisi majirani zako Wilaya ya Siha tunakupongeza Sana dada YETU
    Kazi iendeleeeeeee

  • @arthurkasiba751
    @arthurkasiba751 21 день тому +2

    Ode shiketeghewa kasi iruva akuwikye mbora

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 24 дні тому +1

    Wanawake wakimachame""wanapambana sana na maisha

  • @UpendoMassawe-dl5xc
    @UpendoMassawe-dl5xc 22 дні тому

    Mashallah ❤️

  • @tulizomusafiri310
    @tulizomusafiri310 23 дні тому

    jambo Dada mbona huna namba yasmu Dada?

  • @heriethsamwel7190
    @heriethsamwel7190 25 днів тому +3

    Jaman sheketerewaa Kasiii ma dada akwa ndedeee

  • @thabitdeco1575
    @thabitdeco1575 25 днів тому +1

    Wapo wapi hao

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 19 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @VanShayokviewshoursago
    @VanShayokviewshoursago 21 день тому +2

    Wachaga stand up moshi kama mbele

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 25 днів тому +2

    Dubai maisha magumu sana bas vile watu wanababaika na jina hswa swala la pango

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 25 днів тому +1

      Tatzo usichague kazi. Dubai mishe kibawo Saidi na pango unakaa kulingana na kipato chako

  • @user-jk7tq7xq2f
    @user-jk7tq7xq2f 25 днів тому +1

    Naomba Basi Na Mimi kazi najua kupika sana

  • @tianarest
    @tianarest 2 дні тому

    Kochaa ngoe Ruwa nakutarame

  • @yuslule9221
    @yuslule9221 16 днів тому

    why utambulisho wa "Mmachame"?

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 20 днів тому

    Anateseka au Anateswa Nani Anjitesa Mwenye Hataki Kujituma..Sisi Tupo Toke 1983..Mbona Hatujateseka Tokea Mwanzo Mpaka Leo...Wacheni Kupaka Matope Nchi Zawatu...NK....???????????

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 25 днів тому +4

    Acheni ushamba nyie, kwani ungesema binti Mtanzania unadhani ingeondoa ukaskazini wake?

    • @Dismasmmassy
      @Dismasmmassy 25 днів тому +3

      Kwani akisemah mmachame kuna ubaya gani

    • @queenlinda255
      @queenlinda255 24 дні тому +1

      Kwani shida yako ni nini

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani 24 дні тому +1

      Milady ana kachembe la ukabila..ila ni vizuri umemkumbusha

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani 24 дні тому +1

      ​@@Dismasmmassy.Ni Ukabila pia unaweza mpunguzia wateja ambao woote ni watanzania

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 24 дні тому +1

      Kwani kuna ubaya Gani wangesema malaika mtoa roho mpalestina mmachame, Na wangemuuliza mume wake yuko wapi

  • @SallyMinja
    @SallyMinja 25 днів тому +8

    Mchagga Mchagga tu, watu walitumwa hela mijini😂

    • @DM.2200
      @DM.2200 25 днів тому

      Uhakika 😅😅😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому +1

      Mbele ya hela hao wachaga wanauwa mume mama ndugu hata mtoto hawafai wanajui kupika hawajui mapenzi wanachojua ni hela hawana utu ni wauwaji

    • @DM.2200
      @DM.2200 25 днів тому +1

      @@Kabwela776 iyo kuua ni roho ya mtu kwan wanaouwana Tz ni wachaga tu hapo ni uongo sema kwa vile trending ni yule mam aloua ndo maan umesema ivyo ila sio kwamba eti ni eauwaj ingekua hivyo kila siku ungesikia mauaj kilimanjaro ila utasikia arusha,iringa dar ndo common so kwa hilo japo mim sio mchaga ila nawatetea but wachaga ni watafutaji sanaaa

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому

      @@DM.2200 Mimi sasa nawajua vizuri wachaga najua nachoongea na wamachame nawaongelea nakuambia wanauwa Na muulize mchaga yeyote atakuambia au mwambie nimepata mchumba mmachame na usikie, uchagani wanaitwa wapalestina na utafutaji wao uko vyovyote kuuwa ujambazi

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому

      @@DM.2200 wachaga wanauwa wao cha muhimu kabisa ni pesa Na hayo ya roho nzuri ni unajua wewe Na kabila lako

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 20 днів тому

    Mbona anafanana Sana na Sinta wa Juma Nature

  • @mcback4384
    @mcback4384 24 дні тому +3

    Hivi huyu ni Thureiya wa Kijenge Arusha kwa Watengwa? Au namfananisha

  • @GoldenchipsChips
    @GoldenchipsChips 21 день тому

    Maswali ya mtangazaji bhana😂😂😂

  • @user-jn6ec7qv5p
    @user-jn6ec7qv5p 24 дні тому +1

    Mdada mthuri wa sura ,,mpaka akili

  • @MuzeyRashid
    @MuzeyRashid 20 днів тому

    sababu gani mgahawa ulifungwa mda mlefu na wafanyakazi wangapi walikumbia na wangapi over stay

  • @EDDY4D
    @EDDY4D 24 дні тому

    Huyu dada nindugu na master j

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 23 дні тому

    Dada mankaaa natafta Kaz 😢😢😢🙌mimi n mmachame kama wewe😭

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 23 дні тому

      NENO MMACHAME
      NI KABILA AU??????
      KISHA WHY MNAITWA
      WA PALESTINE????????

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 24 дні тому +2

    Basi huko kunamateso kwel ndo mana hatak kuelezea dada w watu

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 21 день тому

      Mateso gani, hivi wewe hujui watu wa dunia nzima wapo Dubai?
      Kama kuna mateso watu wangemiminika kwa wingi?

  • @nicasissa
    @nicasissa 19 днів тому

    Kwani kuna ulazima wa kuandika mmachame, mgeandika binti wa Kitanzania, mungekuwa wehu?

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d 19 днів тому

    Uhandishi was kipumbavu kabisa, binti mmachame damn it she’s Tanzania doing well huko aliko acheni ufala Millard ndo maana magufulia alitaka whandishi wote muwe na vyeti maana maandika ujinga, binti mmachame, 😂😂😂

    • @MandoliiMoshi
      @MandoliiMoshi 6 днів тому

      mbona mapovu yanakutoka hao ndo wachaga

  • @vaikaayagadiel520
    @vaikaayagadiel520 21 день тому +3

    Tuacheni wachagga tuliendelea siku nyingiii itawachukua muda sana kufika tulipo, na kwa wivu mlio nao sijui kama mtafika

  • @yusuphmohamedi7561
    @yusuphmohamedi7561 25 днів тому +2

    Deira baniasi kalibu na metro upande gani

  • @GoldenchipsChips
    @GoldenchipsChips 21 день тому

    Mtangazaji 😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 25 днів тому +2

    Kabisa tena mwaaa😘🇹🇿👏👏vyakula Arabic uwe na monyo🔥🔥

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor 25 днів тому

      Kwani warabu wanakula nini hata useme kula chakula chao uwe na moyo wacha kusema usicho kijua

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen4508 24 дні тому +1

    Kwani mngeseama tu Mtanzania usingeeleweka duh!

  • @Samdala.
    @Samdala. 23 дні тому

    wakuu 72 subscribers 🤷🏾

  • @maryminja269
    @maryminja269 24 дні тому +1

    Acheni wivu uuuuDada pambana

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 25 днів тому +2

    Hakuna ubanguzi warabun

  • @worldherotv
    @worldherotv 20 днів тому +2

    Wachaga ni wachaga tu, anaeza kuwa na billioni na akasema nina visenti tu vya kutosha kulisha familia. Huwezi waona wanajikweza

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 24 дні тому +1

    wachaga oyee

  • @ReginaJamesJames
    @ReginaJamesJames 23 дні тому

    Nlikula hapo msosi nilijihisi nipo Tanzania jamani nawasiii nendeni mkale

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 20 днів тому

    MMACHAME NDO MTU GANI ACHENI UKABILA SEMA MTANZANIA

  • @nasralema749
    @nasralema749 24 дні тому +1

    Manka pambana mwaya

  • @janerachel1622
    @janerachel1622 24 дні тому

    NAOMBA KAZI MI NAPENDA KUPIKA NA KUDIZAIN SALAD AINA MBALIMBALI

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 24 дні тому +1

    Dah mbona macho meusi 😢😢😢😢😢

  • @thabitdeco1575
    @thabitdeco1575 25 днів тому +1

    Mm nipo dubai nataka kupajua walipo ili nikale

    • @Thureiyahahmed
      @Thureiyahahmed 25 днів тому +1

      Al qaid hotel baniyas m floor

    • @cadeauofficial7264
      @cadeauofficial7264 7 днів тому

      @@Thureiyahahmed hv anaitwa nani insta nimtafute maana soon nafika Dubai

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla 21 день тому +1

    anavyosema dollar 200 kwa huko ni ela yakawaida kwa sababu ya kimaisha huwez fananisha life style ya dubai na bongo tofauti. manake huko hakuna maskini

  • @MuzeyRashid
    @MuzeyRashid 20 днів тому

    mmmmm

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 25 днів тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @hallin9561
    @hallin9561 25 днів тому +4

    Aulizwe mumewe yuko wapi

    • @NancyPatrick-il8zj
      @NancyPatrick-il8zj 25 днів тому +1

      Unategemea mmachame-mpalestina kama huyu Mme wake awe bado hai

    • @DM.2200
      @DM.2200 25 днів тому +4

      @@NancyPatrick-il8zj acha makasiriko iyo ni mind set ulojiwekea sio kila mtu ana roho ya kuia sio kisa kauwa mmoja ndo mfanye ni wote wapo ivyo huu ni ulimwengu wa kidijital ya kale yashapita

    • @NancyPatrick-il8zj
      @NancyPatrick-il8zj 24 дні тому +1

      @@DM.2200 tunaongea kwa uzoefu na tunayoyaona sasa kama wewe unasoma kwenye mtandao sisi wengine ni wahanga.

    • @HaikaFredrick
      @HaikaFredrick 24 дні тому

      Unamaanisha nini

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 24 дні тому

      Unategemea mmachame mpalestina mume wake yuko hai hao mbona waume zao uwa wanakufa ghafla wakipata utajiri

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 24 дні тому

    Mama ntilie tu wakawaida achen kumpaisha hana lolote ni sawa na mama ntilie pale bugurun chama

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 25 днів тому +1

    Wachaga hawajui kupika

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 25 днів тому +1

    Mbele ya hela hao wachaga wanauwa mume mama ndugu hata mtoto hawafai wanajui kupika hawajui mapenzi kitandani yako kama magogo wanachojua ni hela hawana utu ni wauwaji yaani mchaga kwa hela anakumaliza dakika moja Na ni malaya sana

    • @user-cy4fk2je3f
      @user-cy4fk2je3f 25 днів тому +1

      Itakuwa wakwako ndo kwenye hizo tabia

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому

      @@user-cy4fk2je3f wote wako hivyo wanajulikana

    • @Thureiyahahmed
      @Thureiyahahmed 25 днів тому +1

      Acha ushamba kama wwe umekutana na shetani sio wote mxwwww

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 25 днів тому +2

      Mshipa umekutoka. Kama ni rahisi hivyo si na wee uue ili upate. Chacharjka utaishia kubwabwaja ujinga wenzio wanamake

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому

      @@fredyjunior6961 ni wauwaji wamachame hata wachaga wengine wanawaogopa hao wewe inaonekana ni mshamba huwajui nenda kaoe umachame pata hela na uone kama mke wa kimachame ajakutafutia tiketi ya kukupeleka kuzima wachaga hao hata wanaweza kuuwa mama zao au ndugu zao kwa pesa sio makabila mengine hayo hamna utu wao ni pesa mbele !

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 25 днів тому +1

    Mngemuhoji mtu mwingine sio mchaga mmachame wapalestina hao wana roho ngumu sana wako kama wanyama hatari wa msituni hao kukumaliza ni dakika moja kwa ajili ya fedha Na ukute ameshauwa watu kibao ili wapate utajiri hao wanaweza hata kuuwa ndugu au mama yake kwa ajili ya hela ni watu hatari sana hawafai kabisa 😢!

    • @RobertLyimo-vj3up
      @RobertLyimo-vj3up 25 днів тому

      Dah hujui usemalo

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 25 днів тому

      Chuki tu za kijinga stop that

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому

      @@RobertLyimo-vj3up wanajulikana hao wamachame wapalestina uuliza hata wachaga wengine wanawaogopa wanaoana wenyewe kwa wenyewe au mtu mshamba kama wewe ndio wanaweza kuwa Na wewe Na ukiwa tajiri wakuuwe wapate Mali zote muulizr mtu yeyote anayewajua wamachame atakuambia hawafai hao hata ukipewa bure huko kwao umachame wajane kibao wa kujitakia, kuna watu wameuliwa hao wamachame vifo vya kutatanisha halafu unaongea Ufala !

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому

      @@fredyjunior6961 chuki ya Nini wakati wanajulikana Tanzania nzima ni mashetani wauwaji wanauwa sana wapenzi wao Na waume wao ili wapate mali zao hata kuuwa kwa ajili ya pesa ni kawaida kwako ni majambazi hao wachaga !

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому

      @@fredyjunior6961 wanajulikana hao wamachame wapalestina uuliza hata wachaga wengine wanawaogopa wanaoana wenyewe kwa wenyewe au mtu mshamba kama wewe ndio wanaweza kuwa Na wewe Na ukiwa tajiri wakuuwe wapate Mali zote muulizr mtu yeyote anayewajua wamachame atakuambia hawafai hao hata ukipewa bure huko kwao umachame wajane kibao wa kujitakia, kuna watu wameuliwa hao wamachame vifo vya kutatanisha halafu unaongea Ufala !

  • @rodgerushindi85
    @rodgerushindi85 24 дні тому

    Kitu kingine anachojihusisha nacho ni Mapenzì na waarabu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 25 днів тому +8

    Naona mnamuhoji malaika mtoa roho mpalestina mmachame. Mngemuuliza huyo mpalestina mmachame kauwa watu wangapi tayari katika kutafuta pesa Na ana mpango wa kuuwa watu wangapi wengine ? Na muulizeni mume wake yuko wapi

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 25 днів тому +2

      ovyo kweli wewe

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому +1

      @@masalakulwa7601 Nani asiyewajua hao wachaga au ni mgeni wewe jichanganye wakutoe roho

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 25 днів тому

      Kabwelq. 😂😂😂

    • @Jesusbelongtome
      @Jesusbelongtome 25 днів тому +2

      Hujui unacho kisema wee kam vip kaa kmy

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 25 днів тому +1

      @@HanifaOman-oo4pl ni kweli kabisa ni wauwaji dada sitanii hao hata wachaga wenzao wanawaogopa mmachame ana roho ngumu sana tena anakusubiria mkichuma mali ukiwa Na Mali ndio unauwawa anaweza kukodishia watu wakumalize au anakumaliza mwenyewe

  • @RosemaryMkunte
    @RosemaryMkunte 19 днів тому

    Hongera sana dear