LIVE: MTOTO Amtafuta mama mzazi | Mjomba amueleza ukweli juu ya kifo cha mama yake..!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • #LEOTENA
    LIVE Kijana Anakutana na MAMA yake Mzazi | KITAMBO kirefu Rasmi Apatikana | LEO TENA
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 140

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 3 роки тому +8

    Mimi nimelelewa na wazazi wote ila hili nimetoa macho Dr pole Sana kijana mwenzangu cloud #Mungu awe nanyi katika kazi yenu

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 3 роки тому +19

    Cloud mimi ndio maana nawapenda sana mnafanya kazi kubwa sana ya kusaidia jamii.

  • @jaycee9067
    @jaycee9067 3 роки тому +10

    Leo Tena best radio program in Tanzania. 🙌🏿

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 3 роки тому +8

    CLOUDS Jumba la wabunifu,mnanikosha sana, NA HONGERENI SANA

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 2 роки тому +6

    Mungu akuwekee wajomba zako wakupende uwapende

  • @godfreyjames8582
    @godfreyjames8582 3 роки тому +14

    NYIE CLOUDS Fm Mungu anawaona atawalipa tu,, atawaongezea mlipotoa kwa ajili ya watu Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie nami nimpate baba yangu mzazi natamani ajue kuwa nampenda hata kama hatujaonana miaka 29 mpaka leo

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 роки тому +8

    Yani imeniuma kweli pole sana mdogo wangu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Рік тому +1

    pole sana kija mungu akutetee mjomba ni mama hivyo hongera sana mjomba kwa kumtafuta mtoto

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 роки тому +4

    Hongereni Clouds Media kwa kazi mnayoifanya ya kukutanisha familia zilizopteana,

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому +4

    Yani ihii radio mungu awabariki sana tena sana maana mnasaidia sana sio kama radio nyingine kazi umbea tu utasikia za ndani apo anatetwa mtu

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Рік тому +1

    Mjomba is very smart man,
    na kina temba wako Barabara mungu waongoze na mtoto wenu anatia huruma sana..kukosa mapenzi ya mama yake.pole kwa sote hata mie

  • @mariamthomas3902
    @mariamthomas3902 Рік тому +6

    Yaan alipoanza kujitambulisha mjomba me uso wote umejawa machozi hata sijielewi barikiwa mjomba 😭😭😭😭

  • @yassintaibrahim24
    @yassintaibrahim24 2 роки тому

    Pole Saana Mwanangu M/MUNGU Awajalie Mshikamano Upendo Na Amani Wewe Na Wajomba Zako Na Ndugu Na Jamaa Zako Wote

  • @gracewambura8539
    @gracewambura8539 3 роки тому +3

    Clouds mwenyezi Mungu hazidi kuwabariki sanaaa ktk kipindi icho Cha kuwatafuta waliopoteana 🙏

  • @muddysasma3037
    @muddysasma3037 3 роки тому +4

    Dah clouds hongereni SANA. Mjomba ni mama

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 3 роки тому +4

    Dahuu love you Yan unaongea na masikitiko mpka nimetoa machoz dr

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому +6

    Hongera mjomba kwani duniya ilipo fikiya ni wachache wenye roho kama yakwako hongera da. Geya na timu mzima

  • @agyjackkalwela6377
    @agyjackkalwela6377 2 роки тому +2

    Pole kwa kupokea taarifa ya kifo cha mama yako najua imekuumiza

  • @MariamAbuubakar-e5o
    @MariamAbuubakar-e5o Рік тому +1

    Mungu awabariki sana kwa kazi nzur san❤

  • @mwanamwantumazizi1869
    @mwanamwantumazizi1869 2 роки тому +1

    Jamani munafanya kazi nzuri sana naombeni nMimi minisaidie nimepoteana na familia yangu tunazaliwa tumbo moja tumepoteana kwa muda mrefusana

  • @diyaosman6268
    @diyaosman6268 3 роки тому +2

    Hongera clouds fm mungu awabariki sanaaa

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 11 місяців тому +3

    Wa mma wengine awanaga uchingu wa m tto mm pia mma yangu alinicha nikiwa na umli mdogoo waka tengan na bba yangu nikalelewa na bbi. Tokaspo mma alikua anaishi mkoani. Lindi mm nikiwa dar tokaaapo mma akunitafuta. Ilammi ndonilimtafuta. Ata mmi sinadana upendo na mma. Bba ndo. Namuerewa saana. 😢

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 2 роки тому +2

    Hongera sana mjomba angu

  • @roseamos9930
    @roseamos9930 2 роки тому +2

    Mjomba yupo vizuri sana 😍

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Рік тому +2

    it's very sad jamani .
    Yani hamu yote yakuonana na mama ndo imeishia hapo my heart is so broken haki💔💔

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 3 роки тому +4

    Mungu ni mwaminifu jaman,kijana anaonekana amekomaa kwaakil hata hajalia ila huyo baba yake jaman mmh.
    Hongeren clouds.

    • @irenekilawe9476
      @irenekilawe9476 2 роки тому

      Mimi nimepotelewa na mjomba angu toka mwaka 1998 paka Sasa atujui aliko

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Рік тому +1

    😭😭Dah tushikane na familya zetu hkn km Mam. Mama ndio kiungo cha familya

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 2 роки тому +7

    Wakina mama tusiwaache watoto wetu tukubali hata kufa nao

  • @MADAMMACKTV
    @MADAMMACKTV 2 роки тому +1

    Duu inauma naimenigusa hatamm mwanangu yipo arusha baba yake atakinimuone nakudaii mm simpendii mwanangu inauma sana nanaumia sana polekijana baba zenu shida

  • @munirahassan5013
    @munirahassan5013 3 місяці тому

    Mjomba ukiona anakutafuta na mama hayupo. Jua ana upendo sana, wachaga oyeeeeee

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 2 роки тому +2

    Hii story imeniliza💔

  • @ShadrackJohn-p5z
    @ShadrackJohn-p5z 3 місяці тому

    Pole sana aise inauma

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 роки тому +1

    Mungu mwema kwakweli dah

  • @nurubrown3154
    @nurubrown3154 3 роки тому +3

    so pain😢

  • @UpendoLukas-s1u
    @UpendoLukas-s1u 2 місяці тому

    Jamani nisaidieni nimpate babangu.

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 3 роки тому +2

    Pole sana

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 3 роки тому +4

    😭😭😭 inauma mno

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 2 роки тому +2

    Jamani leo tena mpo juu saanaa! Ila watu ni wengi wanatafutana ila mngefanya kwa muda mrefu naona muda ni mfupi sana please 🙏

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 2 роки тому

    Mungu amlehem mjomba wangu

  • @khadijatonge3636
    @khadijatonge3636 3 роки тому +5

    😢

  • @farhatomar78
    @farhatomar78 2 роки тому +5

    Mjomba hongera kwa kumfatilia mwanao na wote mlolifatilia hili jambo

  • @teklalumalanja1752
    @teklalumalanja1752 2 роки тому

    Tunaomba namba zenu studio

  • @singleparent7483
    @singleparent7483 2 роки тому +1

    Dah jamani tusiwatenge wtt na mzee mmoja shida ndo kama hii

  • @devothakawogo3460
    @devothakawogo3460 Рік тому

    Jamani nisaidieni namba yenu tafadhari

  • @realramjen3270
    @realramjen3270 3 роки тому +3

    Mjomba ni mama

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 2 роки тому +4

    Najikuta nalia

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 3 роки тому +4

    😭😭😭😭😭sjui kwann nalia jmn

    • @زينبعىر
      @زينبعىر 2 роки тому

      Kiubinadam unaguswa na ttzo la mwenzio unajatibu kuvaa kiatu chake kinabana lzm chozi likutoke

    • @priscaalphonce1662
      @priscaalphonce1662 2 роки тому +1

      Dah Kama mimi nimelia Kama nimefiwa. sijui kwa kuwa mama yangu alifariki af nnavyotamani ningekua nae , continue rest in peace mama yangu. Upewe pumziko jema.

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 2 роки тому +2

    Hii story umeniuma sana mpaka nimelia,yaani unamtafuta mama unakuta ameshafariki jamaniii

    • @estherbakari9534
      @estherbakari9534 2 роки тому

      Pole Sana

    • @MaryJohn-hh2ku
      @MaryJohn-hh2ku Рік тому

      Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini

    • @MaryJohn-hh2ku
      @MaryJohn-hh2ku Рік тому

      Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini

  • @preciousprince9159
    @preciousprince9159 Рік тому

    Naombeni na mimi namba ya clouds

  • @juneydeatakujadaimondomar5549
    @juneydeatakujadaimondomar5549 2 роки тому

    Masha Alla mjomba

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 роки тому

    Kuzaa zaa ovyo ni shida jamanii hatari maskini na bara mikoa mikubwa tofauti na Zanzibar

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 роки тому +2

    Mjomba amekamilika kisawasawa,ndo maan nawapenda wajomba zang hatr .

  • @juneydeatakujadaimondomar5549
    @juneydeatakujadaimondomar5549 2 роки тому +2

    Mjomba mtu mzuri sana

    • @ukhtyrehemaabdy2830
      @ukhtyrehemaabdy2830 3 місяці тому

      Wachaga nawapenda sanaaaaa wanapendana mnoooo yaan atalelewa vizuri sanaaa

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 Рік тому

    Pole sn

  • @preciousprince9159
    @preciousprince9159 Рік тому

    Naomba namba za cloud maana nina uncle wangu hamjui baba yake

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 роки тому +2

    Ila. Wanawake jmn muda mwingine tuache ushetani ivi unamuacha mtt miaezi mitatu ili iweje hs alafu ktt km akujui na kusaidi utasema mbayq

    • @زينبعىر
      @زينبعىر 2 роки тому

      Muombe mungu sana kama uko kwenye ndoa au mahusiano na ukapitia wakati mgumu ukiwa na mtoto mdogo ,wale wenzangu na mie huwezi kushangaa hili kikubwa dua yasijirudie

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 роки тому

      @@زينبعىر aise akuna kipindi chochote ambacho uweze pt ujasir unaacha mtt wako kwann uko unapo kimbilia usiki mbie na mwanao

    • @estermahenge5972
      @estermahenge5972 Рік тому

      Inaumiza kweli jamani bora ukimbie nae tu maana kumuacha Mtoto na usingizi unakua upati kbs😭😭

    • @Goldenbutterfly-hk1hp
      @Goldenbutterfly-hk1hp 3 місяці тому

      Acha ujinga ww atakama umepata shida vp usiache mtoto wako​@@زينبعىر

  • @samissa1755
    @samissa1755 3 роки тому +3

    Hatari san

  • @adidjakhalfani2661
    @adidjakhalfani2661 3 роки тому +2

    😥😥

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 роки тому +1

    Dahaa miezi 3 hata kama nina shida kiasi gani siwezi muacha mwanangu

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 3 місяці тому

    Matangazo mengiiii du😢

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 роки тому +3

    wanaume na nyie mutumie uzazi wa mpango hivyo hivyo.

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Рік тому

    Pôle sana ndugu yangu hiki kipindi kidumumilele

  • @JacklinDavid
    @JacklinDavid 3 місяці тому

    Dah hii imeniuma 💔💔

  • @ShadrackJohn-p5z
    @ShadrackJohn-p5z 3 місяці тому

    I see

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 Рік тому

    Nitaishi na watoto wangu jamani sitaki ushauri Waje kunitafuta

  • @zulfashafeeq8437
    @zulfashafeeq8437 2 роки тому +1

    Tunaombeni namba zunu

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 Рік тому

    Daah

  • @alfredinafelix836
    @alfredinafelix836 Рік тому

    Basi tu ni utukutu wetu wanadamu kukiyuka tamaduni na mipango ya kuishi iliyowekwa na wazee wetu walio tutangulia kuishi…kila mipango yao waliipanga kwa maana flani na ilikuwa na maana…unapopata mpenzi au mchumba msiishi kinyemela hadi kuzaa pasipo kufaamiana ktk familia ndicho kilichomkuta huyu mtoto…wazazi wake walijifanya wanajua

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 роки тому

    Daa😭😭😭😭

  • @portinagodson3836
    @portinagodson3836 3 роки тому +5

    MASIKINI KIJANA HAAMINI MPKA AONE KABURI LA MAMA YAKE JAMANI WAMAMA TUSIACHE WATOTO HATA IWEJE NIMEUMIA SANA😭😭😭

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Рік тому

      Yani nimeumia sana haki dah!

  • @barakamelkzedecknkini4514
    @barakamelkzedecknkini4514 3 роки тому +5

    Mimi Kama mdau, nashauri Kama itawezekana jaribuni kufuatilia upatikanaji wa huduma ya DNA. kipengele Cha DNA test kwa case Kama hizi Ni muhimu. Inawezekana ni ghari Sana sijui inagharimu kiasi gani, au utaratibu wa kisheria unasemaje, Ila litazameni. Kama Maury Show.

    • @alicedavido1330
      @alicedavido1330 3 роки тому +1

      Kwamba huamini au

    • @enockm6101
      @enockm6101 3 роки тому +1

      @@alicedavido1330 Mimi nimemwelewa sana @Baraka Nkini, ni sahihi kabisa maana inawezekana habari zinafanana ila watu ni tofauti. Kijana akajikuta kaingia kwenye familia ambayo siyo yake. Maana hapo ni vithibitsho vya midomo vimetumika na hamna hata sheria iliyotumika. Hebu fikiria hivi:- ikaja familia nyingine yenye story kama hii; Au mama mmoja kaibuka na kusema mimi sijafa na ndiye mama yako mzazi? mtamwamini yupi? ILa kazi waliyofanya siyo ndogo, kijana kama alikuwa anapoteza mwelekeo na kukata tamaa kashapata baadhi ya majibu aliyokuwa akijiuliza. Heko clouds

    • @jaycee9067
      @jaycee9067 3 роки тому +1

      Umewaza mbali. Nafikiri ni vizuri ingefanyika hivyo.

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 роки тому +1

      Hiyo DNA anapimwa na mjomba km kitu CHAKO na mtu kajieleza vya kutosha. Mbona inatosha mtu anapata history na a Namjuwa ndugu yake

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 роки тому

      Huyo kijana wakat amefika moshi alihangaika na akapelekwa baadhi ya nyumba. Na ikadhindikana lakini alivyokuja clouds. Amejieleza vya kutosha na mpk mjomba aliposkia na mjomba ameambiambiwa tuu na amejiaminisha na kufunga safar usiku huo huo ndio ujue damu nzito kuliko maji. Sasa tulidi hy kupima DNA anapimwa na nanii kwa mfano baba anae mama kafa au mjomba? Tufahamisheni wajinga tupate elimu

  • @lucyigwathuigwathu8038
    @lucyigwathuigwathu8038 2 роки тому

    Mutoto. Ni. Mama.

  • @isamony58
    @isamony58 Рік тому

    mnabowa matangazo marefuuu

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 роки тому

    😢😢🥰🥰🥰

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 2 роки тому

    Wachaga hawaachagi watoto

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia3877 2 роки тому

    Huyo baba alienda nae arusini Kwa kaka yake pengine alikua mchepuko ndiyo maana kijana hajamtambua

  • @badrahassan7513
    @badrahassan7513 2 роки тому +1

    Namtafuta baba yangu ni f.f.u alikua anafanya kaz pale kituo kimoja kabla ya kufika gereza la ukonga ukitokea mjini anaitwa Charles 😭😭😭😭

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 2 роки тому

    Masiki alafu anafanana namjomba yake

  • @majukigagaboy7931
    @majukigagaboy7931 3 роки тому +1

    Kwaupande Fulani mwamba anajitoa lakin Mama mjinga wa namna hyo siwezi kumtafta Mama wa mjinga alieniacha na miezi mitatu

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 роки тому +3

      nazi haishindani na jiwe .

    • @houseofbeatytv9682
      @houseofbeatytv9682 2 роки тому

      Usiseme ivo wew mshukuru tu mungu kama wazazi wako uponao

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 роки тому

      Anataka kumjuwa mama na ndugu zake wengine amefanya vizur

    • @lucymollel8212
      @lucymollel8212 2 роки тому

      Je kama huyo sio mjomba maana hii dunia ni tambala bovu wakapimwe DNA tu

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 роки тому

      @@lucymollel8212 wewe ndio unaona sio. Jomba subiria wewe yakikufika au kizaz CHAKO mtaenda kupima ujiridhishe maana nyie watu wa mtandaoni unapenda kuzungumza sasa watajuwa wenyewe sisi hayatuhusu km sio ama ndio

  • @rahelngulwa9632
    @rahelngulwa9632 2 роки тому

    L

  • @jenabmakobeh3694
    @jenabmakobeh3694 2 роки тому

    natamani kumtafuta babangu lkn naogopa cje akawa amekufa

    • @florakihwele9183
      @florakihwele9183 2 роки тому

      Mtafute tu ili ujue

    • @jenabmakobeh3694
      @jenabmakobeh3694 2 роки тому

      @@florakihwele9183 naogopa wachaga cjui naanzaje wacha nikae tu

    • @shamsamuhammad3677
      @shamsamuhammad3677 2 роки тому

      mutafute to usiogope labda yupo mm mwenyew nitamusak my dady wangu sijawaikumuon nikimuliza mama ananifokea siku nitatinga studio we acha

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 Рік тому

      ​@@shamsamuhammad3677 nikupatie mfano mdogo tu .mimi nilipewa mimba bwana akasema kaitowe sitaki mtoto wa haramu na nina family yng. Wakati mwanzo hakusema haya. Mimi nikarudi kijijini nikazaa mtoto na aliponiambia nitowe mimba no yk nilifuta na tulikutana America. Mimi nikiwa mgeni si mwenyeji wa kule na niliporudi mpaka leo hii mtoto ananiona mimi napambana kwa ajili yake. Mfano sasa uwe wewe uniulize babayo hapo nitqkujibu nini? Maaana huwa nikimtizama mtoto ambaye alisema nimtowe waraah huwa simtamani kumuona na mpaka leo hii sijui kama yuhai au laah .ninachokijua mimi ni kutafuta maisha ili hata nikifa huyu mtoto nimuache kwenye kiota asiwe wa kuzunguka kwa ndugu

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 4 місяці тому

      Mjomba ni mama😢

  • @rukiashunda9364
    @rukiashunda9364 3 роки тому +2

    😥😥😥

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 роки тому

    Pole sana

    • @queenchalamila322
      @queenchalamila322 2 роки тому

      Jamani mungu awabarikisana nyie watu hata mm napenda kumjuwa baba angu aliniacha nikiwa na nyonya naitwa Nora ruwanda na baba yangu anaitwa hebethi ruwanda nampenda japo simunyui mnitafuti jamani

    • @omaryshabani3389
      @omaryshabani3389 Рік тому

      mnabowa Sana tunamukumbuka mpaka marehemu ruge mtahaba

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Рік тому

      @@omaryshabani3389 wanaboa nn