Nashukuru san kwa elimu unayotupatia. Mim pia n mhanga wa chunusi zimenitesa sana nataman nipate dawa maan nimehangaik san lkn sijapona. Naweza kupat wapi hizo product dawa nataman sana nipone niwe n ngoz nzuri.
Pole mpenzi. Kwenye ngozi huwa hamna ghafla, ni kitu kimejitengeneza kwa muda ila kuonekana ndo imekua ghafla. Angalia kitu gani umebadilisha hivi karibuni. Kwanzia unavyovikula, muda unalala na vile unavyovipaka
Mimi chunusi zilinihanza wakati nilipo henda oman Wakati Niko nyumbani 🇹🇿 Nilikuwa sina chunisi sasa nina swali Moja kwa nini nili Pata chunisi ? Asante ❤❤❤
Mazingira mapya hubadilisha uzalishaji wa hormones. Hii ni moja. Pili products unazotumia kwenye hali ya hewa moja huwenda zisikufae kwenye hali ya hewa ingine kwasababu ya mabadiliko ya metabolism na vile mwili unajifanyia detox kwa njia ya ngozi. Sababu zipo nyingi tuuu mpenz
Me ninachunusi sugu zilinianza nilivyovunja tyu ungo uso wangu ni wa mafuta.saiv nimetumia sornaderm ndo zimetimka hatari cna hata raha nifanyeje na zinanifanya nashindwa kujiamin
Sorry dada angu mfano kama kunamafuta ulikua unatumia ukaja ukabadirixha afu ulobadilixha haya yamekuletea vipele vinghi xana nafanyaje hapo Ili vipere vitokhe
Hello my dear, pole kwa changamoto. Unaweza angalia video yangu ya “jinsi nilivyo ondoa madoa sugu ya chunusi usoni kwangu” utapata kujua cha kufanya mpenzi
Pole mpenzi. Matunzo ya ngozi sio sabuni tu au face cream tu darling wangu. Ni mlolongo wa vitu. Inabidi nijue zaidi ya hivi ulivyo vieleza mpenzi. Lifestyle pia huchangia kupata chunusi. Hivyo liangalie na hili pia
Nashukuru san kwa elimu unayotupatia. Mim pia n mhanga wa chunusi zimenitesa sana nataman nipate dawa maan nimehangaik san lkn sijapona. Naweza kupat wapi hizo product dawa nataman sana nipone niwe n ngoz nzuri.
Pole mpenzi. Ukipata tiba sahihi utapona ondoa shaka. Unaweza kuzipata kwa huyu dada +255 69 920 2422.
Mimi ndo huwa nanunua kwake
Nisaidie San jmn mm nimeangaik San dada❤
Mm ninaproduct nimetumia ya tiba nina mwez na wik lakn chunus ndio zimeongezeka shida inaweza kuwa nn
Kujua shida mpenzi lazima nijue hivyo unavyo vitumia ni nini
Mimi nimefanya chunusi ghafla tena kubwa sijui tatizo nini nimekaa kovu usoni yaani mpk najichukia ngozi ya uso
Pole mpenzi. Kwenye ngozi huwa hamna ghafla, ni kitu kimejitengeneza kwa muda ila kuonekana ndo imekua ghafla. Angalia kitu gani umebadilisha hivi karibuni. Kwanzia unavyovikula, muda unalala na vile unavyovipaka
Nakupataj dad
Mimi chunusi zilinihanza wakati nilipo henda oman
Wakati Niko nyumbani 🇹🇿
Nilikuwa sina chunisi sasa nina swali Moja kwa nini nili Pata chunisi ? Asante ❤❤❤
Mazingira mapya hubadilisha uzalishaji wa hormones. Hii ni moja. Pili products unazotumia kwenye hali ya hewa moja huwenda zisikufae kwenye hali ya hewa ingine kwasababu ya mabadiliko ya metabolism na vile mwili unajifanyia detox kwa njia ya ngozi. Sababu zipo nyingi tuuu mpenz
Hizo dawa zipo pharmacy au hospital tu?
Pharmacy unapata pia
Naomba nambayako dada nimependa sanajamani
WhatsApp number yangu ni +255768945552
Dawa zaitwaje
Kabla ya dawa ni muhimu kujua sababu ya chunusi maana zinatibiwa tofauti. Zile dawa ambazo ni common ni salicylic acid, benzoyl peroxide, retinol
Mko wap dada
Ngoj nijarib
Jaribu dear
Me ninachunusi sugu zilinianza nilivyovunja tyu ungo uso wangu ni wa mafuta.saiv nimetumia sornaderm ndo zimetimka hatari cna hata raha nifanyeje na zinanifanya nashindwa kujiamin
Tuwasiliane whatsap ili nipate history ya ngozi yako vizuri kwanza darling wangu. Bila shaka tutapata suluhisho +255768945552
Tufundish tupat tujuw
nisaindie na mm
Karibu darling wangu
Namba za sm tunaomba
+255768945552 hizi hapa whatsApp number zangu darling wangu
Mimi sijui ni nini kina niletea chunusi ila najuchua tu kuwa ngozi ni ya mafuta. Nisaidie nianzie wapi kutibu ngozi yangu?
Uso mzima ni wa mafuta au kuna sehem na sehem?
Usomzima niwamafuta mimi
Ahsante sana Dada
Karibu mpenz wangu
Nipo pemba nimekutmia product buying ila nauchukia San uso
Pole mpenzi
Usowa ngu niwamafuta lakini ninaomba mbayako tuwasiliane pleas
Sorry dada angu mfano kama kunamafuta ulikua unatumia ukaja ukabadirixha afu ulobadilixha haya yamekuletea vipele vinghi xana nafanyaje hapo Ili vipere vitokhe
Dada naomba bas namba zako afu niambie aina ya dawa plzzz.
Number zangu ni whatsapp +255768945552
Jaman mm naomba niandikiwe mafuta yenye dawa au sabun
Mpenzi ili uandikiwe lazima nijue specific details za ngozi yako
Na mm naomba unitumie hizo aina za dawa ili nizitafute
Zote nimezieleza kwenye video mpenzi. Ila kumbuka, kabla hujanunua ni lazima kuijua ngozi yako ili kupata kilicho sahihi
Nina chunusi kidog na makovu ya mda mref please nisaidie
Hello my dear, pole kwa changamoto. Unaweza angalia video yangu ya “jinsi nilivyo ondoa madoa sugu ya chunusi usoni kwangu” utapata kujua cha kufanya mpenzi
Mimi uso wangu unamafuta woote naunachunusi nianzie wPi?
Anza kwa kuangalia vitu unavyotumia. Ni hydrating au ni drying? Unapata chunusi kwasababu ya mafuta au kuna sababu nyingine?
nitumie dawa gan ili niondokane na tatizo hili kwa uwezo wa allah
@@rjsbeautycare namb yko boss
Mim naomba hizo
Nisaidie mm maana dah nimechoka
Niandikie dawa za kutumia maana ni mdamrefu sana
Dada tunakupata wap wahanga wa chunuc
Whatsapp mpenzi +255768945552
Chunusi zangu ni za muda mrefu nifanyaje ili niziondoe
Fatahaya nimeeleza kwenye hii video darling wangu. Utafanikiwa
Mimi Nina chunusi na makovu nilikuwa nahitaji dawa 3:49
Zinapatikana mpenzi. Tuwasiliane kwa number +255768945552
Inatibu ndani ya siku ngap
Kwanzia baada ya week mbili mpaka mwezi utaona mabadiliko
Nakupataje dada
Whatsap number yangu ni +255868945552
Jamn naomba namba yako na maswali mengi
Tuwasiliane kwa whatsapp number +255768945552
Mm nasumbuliwa na vipele vidogo vya homoni
Nina ngozi ya mafuta sana na nina chunusi na madoa jee nitumie sabuni ipi nzuri na face cream ipi nzuri na jee au nitumie dawa ipi
Pole mpenzi. Matunzo ya ngozi sio sabuni tu au face cream tu darling wangu. Ni mlolongo wa vitu. Inabidi nijue zaidi ya hivi ulivyo vieleza mpenzi.
Lifestyle pia huchangia kupata chunusi. Hivyo liangalie na hili pia
Pemb hamn mataw ambapo munapatikan wataalam wa ngoz
Tuko na wakala zanzibar. Pemba huwa tunatuma kutokea zanzibar mpendwa. Na products tulizonazo ni za nywele kwa sasa
Mm uso wangu niwamafuta sn nnachunusi kubwakubwa nazinaniwasha sn nakiingia perio inanimate uso wote km majipu vile naomba nisaidie dada
Je Kam mwili unamafuta sana
Mwili mzima au uso tu?
Mm
Naomb number yko
Whatsap number +255768945552 dear.
Napata izo dawa