Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
LOTION 5 ZA KUNG’ARISHA NA KUONDOA MADOA KWA WATU WEUSI/best body lotion for dark skin tone
Вставка
- Опубліковано 5 січ 2023
- je unatamani kung'arisha na kulainisha ngozi yako bila kuichubua?
video hii itaenda kukuonesha lotion na mafuta mazuri ya kupaka ilikung'arisha ngozi yako bila kuichubua.hizi lotion ni nzuri kwa ajili ya watu weuPE haijalishi ni mwanaume au mwanamke.
#chunusi #bodylotion #howtotreatacne
Disclaimer
Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
• JINSI YA KULAINISHA MI...
Jinsi ya kutunza nywele kavu na zilizokatika
• JINSI YA KUTUNZA NYWEL...
Mafuta mazuri kwa ngozi zenye mafuta mengi
• MAFUTA MAZURI KWA NGOZ...
Jinsi ya kufanya face steaming
• UMUHIMU/JINSI YA KUFAN...
ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
• FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
#chunusi #dawayachunusi #beutyandlifestyle
#swahilination
#swahilianimation
swahilikatuni,katunizakiswahili2021,madoa,acneskin,oilyskin ,mafutayachunusi,ngoziyamafuta,jinsi ya kutibu chunusi sugu,Tanzania youtuber,
,ondoamadoa ,urembo ,ngozi ,ngozilaini ,carrymastory ,chunusinamadoa ,makeup ,acne ,nyweleasili ,afya ,mafutayanywele ,katunikiswahili ,katuni ,wasafi ,wemasepetu ,urembo ,punguza kitambi,afya,asili,ireneuwoya ,bongofleva,tanzaniayoutuber ,nyweleasili ,bongo1media ,millardayo ,tanzaniacomedy ,eatv ,style,diamondplatnamz,wasafi media,mashamsham ,bongofleva,madoa ,mapenzi ,tanzania travel,zanzibar tanzania,tanzaniamovies ,kiswahili ,bongomovies swahilicomedy,dizzimonline
Tutumie mafuta gani usoni maana umesema hizo lotion sio nzuri usoni Kama wewe unatumia nn usoni mbona uko soft sana
Somo ni zuri umesema hayafai kwa usoni tuambie basi wewe unapaka aina gani ya mafuta usoni mbona uko vizuri? Pia naomba namba yako ya simu
Uso wangu Ni oily na Una chunusi which is the best creamed yenye haibleach
Muone kwanza subiri ayo ma lotion chemikali zikuharibu uso ndo utakapo elewa acha ujinga
Dada unatakiwa unapofundisha uwe nazo hapo utuoneshe km wanavyofanya wenzio.
Nimeitafuta sana madukani kariakoo limon body lotion ila sijaipata kwa ngozi nyeupe na ya mafuta nitaipata wapi?
Iyo olay nimeitafuta sana sijaipata naweza kuipata wapiii mimi nipo burundi
Nimekubali zipo vizur
Mi natumia pawpaw ila imenipa sugu nataka niiache ila nataman niwe na karangi kamoja chocolate iv ipi itanifaa mi mweusi wa kat
Kwa wewe unatumia nini uson, maana uko vizuri. Mimi uso wangu unamafuta
Wewe unapaka mafuta gani
Habari dada naomba kuliza me nimweupe na ngozi yangu nilain nilipaka mafuta mazito na ungua chini ya macho yaani kunakua kweus
Naomba elezea bc na loshen ya perfect Glow carrot
Nashukuru nimetumia Vaseline cocoa glow nangozi nzur saaaanaa inavutia
Kwan kuna vaseline pekeake na kuna vaseline cocoa glow
Mimi nilikua mwrusi nikapaka mafuta ya caretone kwa sasa ni mjamzito na nimetoka chunus nyingi, ngozi yangu inamafuta mengi, je nifanyaje kutibu chunus na mabaka.
Tumia dry skin serum ya vitamin c au vitamin e
Je mafuta Yako yanapatikana maduka yyte ya vipodoz
Kwani hayo mafuta ni kwa wanawake tuu?
We ni mrembo dada
Nitumie namba yako dada unipe ushauri samshani
Naomba namba ya sm dada
Umesema tusitumie usoni wewe unapaka Nini usoni maana na mm huwa nasumbuliwa na chunusi
Mimi nimeharibika mwili michirizi,madoa meupe mwilini nitumie lotion ipi?
Unaweza jaribu American dream Lotion
@@Dayanar_skincaretips mweupe hutakiwi kupaka hizi loshen
Dada naomba kujua bei ya hayo mafuta yote ulutaja
Zipo wapi comment
Hio corx shingp
Somo Zur dada
Mim ni mweuc na ngozi ya ya mafta kdg..natumia Nivea je shea butter na cocoa butter ipi ni nzr kwng
Nivea inasaidia au mana na mm hvohvo
Hello unapatikana wapi nahitaji lotion nipe namba yako
Wewe unapaka mafuta gani
Usoni unatumia nini
Naomba namba yako
Nisadie namba yako
Dada naitaj je naipataje
Vipi kuhusu lotion ya rube kwa watu weus
Nauliza lotion ya rube ni nzuri je inang'arisha ngozi
Naomba jibu
Hata hajibu
Mamy jibu bac jmn mie Nina hitaj jmn
Kwenye maduka ya vipodozi mamy
Jamn ww hauna Mamy
@@Dayanar_skincaretipswap mnapatikan