Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MAFUTA MAZURI KWA NGOZI ZENYE MAFUTA MENGI/Tibu chunusi haraka/the best moisturizer for oily skin
Вставка
- Опубліковано 27 чер 2021
- Habari wapendwa karibu tena.kwenye hii video utaenda kuona ni mafuta gani mazuri kwa ngozi za mafuta.ili kutibu chunusi inabidi ufahamu ni aina gani ya ngozi uliyonayo na ufahamu ni mafuta gani mazuri ya kutibu chunusi.nimekuelezea kwanzia mwanzo ni mafuta gani mazuri yatakayo kusaidia.enjoy the video
#oilyskin#tibuchunusi#moisturizerforoilyskin
Disclaimer
Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
• JINSI YA KULAINISHA MI...
ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
• FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
#chunusi #dawayachunusi #madoa#acneskin#oilyskin#mafutayachunusi#ngoziyamafuta
#ondoamadoa #urembo #ngozi #ngozilaini #eggmask #chunusinamadoa #makeup #acne #nyweleasili #maskasilia#mafutayanywele#katunikiswahili#katuni #tanzaniayoutuber#wasafi#diamondplatnamz#wemasepetu#dawayakupunguzatumbo #punguzaunene#tumbo #kitambi#afya#asili#ireneuwoya#bongofleva#tanzaniayoutuber #nywelezadawa #nywelekavu #utunzaji #conditioneryanywele #kusuka #style
Naomba jina la hiyo jelly moisturizer
Usowangu unamafuta na chunusi pia utanisaidiaje ila na tumia lotion ya Topclare plus
Aisee wewe ni mwalimu by birth.. that's your inborn talent.
Naomba namba yako kama upo dar nije ninasumbuliwa na chunusi
Naomba picha ya iyo mousterizer plss ❤
Naomb unitajie hyo cream ya kuondoa chunus Amby ipo Kam gel plz
Naomba picha ya iyo mousterizer plss na asante kwa kushare nasi
Dada upo wp nasumbuka sana na chunus nisaidie
Na naomb unisaidie mafuta mazur Kwa ajir y ngozi yng inamafut San
Kwa mwenye tafuta kwenye paji la uso na pua kwingine pako kawaida anaweza kutumia hiyo rotion?
USO wangu unamafuta na chunus napak Nivea lakni bado
Manno mengi
mim Nina chunusi na mabaka nitumie kitu gan niweze kua sawa
Mamy napaka bronze stone lotion je inafaa maana cna mda nayo
Je hizo lotion kama zip?
Jamni nahitaji kujuwa izo stepi za kufuata kwenye uso
Hyo moisturizer yaotwaje?
Shida ni kwamba huwa hamjibu maswali
American dream ye Cocoa better lemon ni nzur kwa uso wa mafuta
Yapoje hayo mafuta dada
Dear my neighbor I miss you
Inaitwaje sasa
Hyo ya jelly inaitwaje
Inauzwa bei gan
Inaitwaje
Mie uso wangu mchanganyiko nipakae nini
Yanii sisii tuna dumisha kiswahili alafu ww unatuambia Gris hujui kwa kiswahili inaitwaj tutafika kwel😭😭
Ni bei gani rafiki
uzuri
mbonahuioneshi
Zinapatikana wap farmac au maduka ya vipodoz
Neem
sorry naeza pata namba zako sis 🙏
Tunapataje
Lotion nayo ni mbaya mbona yenyewe ni kama maji maji
Ni ya gel
Inaitwaje hiyo moisturlizer yako
IUNIK CALMING GEL CREAM
@@Dayanar_skincaretips l
Nahitaji nipo arusha
Maomba jina la hiyo moisturlizer
Tuma namba ako
Hiyo mostruize wanauza wp
Kwenye maduka ya vipodozi
Habar naomba namba yako
Shingapi
Ukipaka baadae unapaka losheni au upaki chochote.