Hana lolote huyo kaka, alikuwa waziri na hakuna alichokifanya zaidi ya kupima samaki kwa rula, haya yote ni kwa sababu alikosa uwaziri ndugu yangu amini usiamini
Mwandidhi wa habari uliyeva shati la drafti rangi nyeupe na nyeusi umenifurahisha sana jinsi unavyomshangaa L. Mpina anavyoua kimyakimya. Ngosha siku zote huwa hawana chengachenga.
Hapa kuna harufu ya ufisadi. Mh Mpina yuko sahihi kabisa. Utaratibu hakufuatwa na makampuni hayakuwa na sifa ya kuagiza sukari. Mh Bashe na Mwigulu tunahitaji majibu.
UKIMSIKILIZA MPINA ANAONGEA WITH VIVID EXAMPLES, SIDHANI KUWA ANADANGANYA! MHE. RAIS CHUNGUZA HILI AU TULIA TEUA TUME ICHUNGUZE HAYA MAMBO SIO YA KITOTO KINA MADUDU HUMO
Ila hii inchi viongozi wanapiga sana pesa vibaya mnooo😢😢😢😢😢 hii inasikitsha sana kuona watu wanakuamin the end of time kumbe ni jambaz mkubwa sana 😢😢😢😢😢 mm kuna mawazir huwa nawaangalia uson najua hawa ni wapgaji wa hali ya juu,,,NB:hapo ndo tunataka teuzi na panguzi zifanyike mlimpa mtihan wa kulifuatilia jambo mhe: mpina kawaonesha kuwa anaweza na mambo yote kayamwaga . Mmeona ni namna gani watu wanakula pesa ovyo ovyo.
wewe mpina rudi nyuma magufuri alipoingia madarakani hao unaowatetea walimdanganya magufuri kuwa wao wanauwezo wa kununua lakini walishindwa na sukari ilipanda bei kwa ufupiviwanda vyetu havina ubavu wa kuhifadhi sukari kwa ajili ya walaji kila inapofika mwezi november viwanda vyetu havizalishi kutokana na masika tangu awamu ya kwanza ndiyo walianzisha sudeco ili kupunguza adha hiyo
Mh. na wewe si ulikua Waziri? Sasa unasema hiyo kampuni haina uwezo wa kuleta sukari na wakati huohuo unasema sukari tani 220 kati ya 410 zimeshaingia. Sasa vipi sukari hiyo imefika Kama kampuni haina uwezo? Ninamashaka na uadilifu na nia yako dhidi ya mh. Bashe.
Mh. Mpina ukimalizana na Mh. Bashe njoo kwa Mh. Nape kuhusu ile compuni ya internet aliyoizuia kuleta huduma TZ. Tulipo fikia saivi internet sio for leisure tena bali ni basic need na hawa mitandao ya simu naona lao moja kutukandamiza wananchi
Kwani huyu mtu anataka kitu gani jamani,?ebu muheshimiwa rais mteue tena apate uwaziri tumechoka na kelele za kuandama watu, anatetea hao watu ambao hapo nyuma tu wamefanya inchi kuhangaika na sukari? Hii nchi mtu anapewa pesa kwa kivuli cha kujifanya anatetea wananchi kwenye hilo wala sijamuelewa hata kidogo
Hakuna unachokijua wewe ungenyamaza Mhe Mpina kipindi awamu ya pili ya serikali ya awamu ya tano inaanza Alikuwa matibabuni hivyo isingekuwa vyema kwa Rais kumteua mbunge aliyeko nje ya nchi kwa matibabu..
Nipeni like zangu nimekua wa kwanza kuna comment
Wenye akili zao wanatafakari mambo ya msingi wewe unashindania like! Kama furaha yako ni kuwa wa kwanza Rudi darasani!
Hiki kichwa ni zaidi ya Magufuli nawaambia jamaa anauwezo wa kubaini na anauwezo wa kufuatili, na anuwezo wa kuchukua hatua za kimfumo bila athali.
Hana lolote huyo kaka, alikuwa waziri na hakuna alichokifanya zaidi ya kupima samaki kwa rula, haya yote ni kwa sababu alikosa uwaziri ndugu yangu amini usiamini
@@hamzarumela1784 we unaona uongo ukweli
Hiiii ndio Tanzania,,wanajinufaisha binafs nawanalindwa na wakubwa
Mungu akulinde na mabaya yote
Mungu akulinde na mabaya yote
Nimeanza kukupenda ndogo wangu nakutegemea sana shule uliopata utaitendea haki tz
Kweliiiiiiii
Mwandidhi wa habari uliyeva shati la drafti rangi nyeupe na nyeusi umenifurahisha sana jinsi unavyomshangaa L. Mpina anavyoua kimyakimya. Ngosha siku zote huwa hawana chengachenga.
Mpina apewe uraisi ndo tunamtaka maana Hawa wengine ni wapigaji tu tumewachoka labda waibe Kura lkn hatutowapa Kura.
Ila huyu mwamba anajua maana kuanzia kwenye Trab na Trat wizara ya fedha ni wazi kuwa anajua anchokifanya na anatoa detail kabisa na ni fact😂
Kweli ukweli unapigwa mawe nyumbani hapa ni hatali sana.
Mdawakoo unautumia kwaajiri ya wanachii afuu mbungee wakupe uwaziri!! Keshoo uwe rais!!! Mpina oyeeeer!!!
Mungu Akulinde Mpina
Hapa kuna harufu ya ufisadi. Mh Mpina yuko sahihi kabisa. Utaratibu hakufuatwa na makampuni hayakuwa na sifa ya kuagiza sukari. Mh Bashe na Mwigulu tunahitaji majibu.
Huyu ni mpina kweri leta mambo tunakuombea wakikufukunza nenda upinzani uwe mbunge
Hata kwenye mbaaz anatuga sana wakulima anasema tukauze galani tena Kwa nguvu
Baba wewe ni Musa wa kwenye biblia,pambania wananchi Mungu atakusimamia ubarikiwe sanasana
UKIMSIKILIZA MPINA ANAONGEA WITH VIVID EXAMPLES, SIDHANI KUWA ANADANGANYA! MHE. RAIS CHUNGUZA HILI AU TULIA TEUA TUME ICHUNGUZE HAYA MAMBO SIO YA KITOTO KINA MADUDU HUMO
Ila hii inchi viongozi wanapiga sana pesa vibaya mnooo😢😢😢😢😢 hii inasikitsha sana kuona watu wanakuamin the end of time kumbe ni jambaz mkubwa sana 😢😢😢😢😢 mm kuna mawazir huwa nawaangalia uson najua hawa ni wapgaji wa hali ya juu,,,NB:hapo ndo tunataka teuzi na panguzi zifanyike mlimpa mtihan wa kulifuatilia jambo mhe: mpina kawaonesha kuwa anaweza na mambo yote kayamwaga . Mmeona ni namna gani watu wanakula pesa ovyo ovyo.
Mwamba alipiga sana alipokuwa waziri. Mwanasiasa ni mwanasiasa tu, especially wa nchi hizi zinazoendelea. Muamini MUNGU, wanadamu waelewe tu.
ushahidi?
@@alexlugembe4816 Fanya utafiti kidogo, utaupata kaka.
Wapigaji ni wengi nchi ipo ovyoo ovyoo Tu hao wawekezaji kwao wamenyooka kwetu wanakuwa wapigaji rishwa sababu ni viongozi.
Hii nchi bhana...
Hatar sana
wewe mpina rudi nyuma magufuri alipoingia madarakani hao unaowatetea walimdanganya magufuri kuwa wao wanauwezo wa kununua lakini walishindwa na sukari ilipanda bei kwa ufupiviwanda vyetu havina ubavu wa kuhifadhi sukari kwa ajili ya walaji kila inapofika mwezi november viwanda vyetu havizalishi kutokana na masika tangu awamu ya kwanza ndiyo walianzisha sudeco ili kupunguza adha hiyo
Mh. na wewe si ulikua Waziri? Sasa unasema hiyo kampuni haina uwezo wa kuleta sukari na wakati huohuo unasema sukari tani 220 kati ya 410 zimeshaingia. Sasa vipi sukari hiyo imefika Kama kampuni haina uwezo? Ninamashaka na uadilifu na nia yako dhidi ya mh. Bashe.
Heeeeeeee Mpina sema usiogope
Mh. Mpina ukimalizana na Mh. Bashe njoo kwa Mh. Nape kuhusu ile compuni ya internet aliyoizuia kuleta huduma TZ. Tulipo fikia saivi internet sio for leisure tena bali ni basic need na hawa mitandao ya simu naona lao moja kutukandamiza wananchi
Hawa wakamatwe tupewe wananchi tuwaadhibu
Mmmmmmmh! Huyu MPINA NI MBUNGE WA CHADEMA AU CCM? TUHUMA NZITO SANA, KAMA NU KWELI, WAZIRI ( BASHE) AJIUZULU HARRAKA IWEZEKABAVYO
Nilishawaambia Bashe ni fisadi anayewazodi eleimu watu, anajua kujitetea na kujijengea Kuta za maficho.
Bashe ni kapigaji tu kanaongea English kudanganya wabunge waliowengi wa darasa la sana😂😂😂
MPINA YUKO SAWA
Bashe ashaingia kwenye mfumo wa majizi Ila tusishangae hata shetani alikuwa malaika
Aanzishe chama Cha nini wewe unapewa nondo za uhakika unaseme mtu akaanzishe chama,hiyo ndio kazi yake pale bungeni
Kanda ya ziwa ndo kuna viongozi wanaojali watanzania Njoo mwl nyerere, magufuli, Mpina na Makonda uyu Jerry slaa sijui wa wapi Ila yupo vzuri.
Ww una akili Kali sana
Mpaka sasa waziri alipaswa mpaka sasa awe ashavuliwa uwaziri na kukamatwa na Mamlaka ya uchunguzi
Watakuelewa ngosha walifikiri wewe ulisoma chini ya mti wa mnyaa eti?
Mpina nakuunga mkono wewe Ni mofayabungeni
Yani dunia sasa inatengeneza mpaka sukari ya katani na mukonge
Watu hawa Dunian wachache sana
Watanzania tujidai kua viongozi kama mpina
Huyu jamaa alikuwa anapenda chai anywe pekeake?
Wambie ukweki wamezid kutumia vivuli
Kwa upelelezi huu Mpina ni zaidi ya FBI na CIA!
Furaha yetu ni sukari tunayo kwa bei nafuu
Viongozi niwakutupwa shimoni
Hawa watu hawana huruma na Watanzania. Raia.
Wewe unahangaika anzisha chama
Huyo kule kwao ndiyo Raisi hamna wa kumng'oa
Mpina yuko sawa
Bashe aje akatae hayo! Au akanushe
KAMPUNI HIYO NI YA BASHE
Yan sjui wanajeshi hawaoni
Mheshimiwa Rais anadanganywa sana
Mpina ulipewa uaziri lakini cjaona kazi yako zaidi ya ukamata wavuvi.bilahuruma
Nayo ni Kaz piaa
Bwege sana
Umetumwa na wanaoruhujumu ACHA waziri atafute jawabu la unafuu WA bei
Huna akili ndg acha kutumia kalio kufikiria
We huna akili kweli kwahy hapo hujaelewa kabisa 🚮
Noma sana
Rbsalum
Kwani huyu mtu alitaka tuendelee kuteseka kwa ukosefu wa sukari?
Kwa hiyo unataka kula sukari 😂😂😂
Kwani huyu mtu anataka kitu gani jamani,?ebu muheshimiwa rais mteue tena apate uwaziri tumechoka na kelele za kuandama watu, anatetea hao watu ambao hapo nyuma tu wamefanya inchi kuhangaika na sukari? Hii nchi mtu anapewa pesa kwa kivuli cha kujifanya anatetea wananchi kwenye hilo wala sijamuelewa hata kidogo
Nchi inahitaji watu tofauti tofauti na kama Mpina ni muhimu sana
Nchi hii wajinga mko wengi na mko poa tu hamuoni aibu
@@majaliwabwitonde6900 aibu unatakiwa uone wewe ambaye umesema hivyo
@@johnmalembo6464 mpina anataka uwaziri hana lolote anatumia njia ile ile ambayo alipita bashe kuwa waziru
Nchi hii ina laana kubwa sana kuwa na watu kama wewe!
Uncle alikuamini sana lakini ngwe yake ya pili kakukupa nafasi nadhani alikuona uroho wako wa madaraka😮
Hakuna unachokijua wewe ungenyamaza Mhe Mpina kipindi awamu ya pili ya serikali ya awamu ya tano inaanza Alikuwa matibabuni hivyo isingekuwa vyema kwa Rais kumteua mbunge aliyeko nje ya nchi kwa matibabu..
Mapacha 3 mwigulu,makamba nape kampuni yenu muratumala
Mama Abudulu hongera
Tanzania Oyeeeee