Kaka mpina hapa nchini Tanzania ukisema ukweli ni mwiko Kwa ccm utatengenenzewa uadui wa Hali ya juu hata msukuma ni mbaya sana hapendi wabunge wanaosema ukweli hapo ndani
Mpina na makonda chukueni form za uraisi huyu mama samia na spika wake wazinguaji tu,,, nchi kubwa kama Tanzania badala ya kusambaza sukari eti tunasambaziwa sukari na nchi ndogo kabisa, Madini yetu yanasombwa tu sijaona yyte akikamatwa inamaana kwamba hakuna wizi kweli ebu tutafakari kwa kina Raisi samia anapwaya sana
SPIKA WA MCHONGO NI YULE ALIEKATAA KUMTIBU TUNNDU LISSU ALIPOPIGWA RISASI KWA MAONEVU BUNGENI NJE NA WAKAMFUKUZA UBUNGE NA HAWAKUMLIPA STAHIKI ZAKE ZAKE AKINA MPINA NA NDUGAI WALIBARIKI HUO USHENZI.HUYO NDIE ALIEKUWA SPIKA WA MCHONGO .
Nani kama luaga mpina huyu mbuge ni siries kututetea karibu kututembelea mkoa wa manyara Niko na ngombe Yako Kwa ajili ya maendeleo unayotakia Tanzania
Hao siku zote wanakuwaga na mipango Yao, ya kutetea ufuisadi wao ndio maana siku zote bunge letu haliwapendi watu wakweli,na siku zote hupambana na watu wakweli kama mpina
Katiba lazima ibadilishwe na serikali livunjwe...Viongozi wengi na Raisi mafisadi wakubwa...ukiwa mchapa kazi wanakushitaki...hamna utendaji wa haki nchi hii...
ila hata wewe ulipokuwa waziri uliumiza watu sana, yaani mii na utu uzima huu sikuwahi kuona waziri aliyeumiza watu kama huyu mpini enzi zake jamani, haswa kufungia viwanda na kupiga faini kubwa zisizolipika yaani basi tuu, pambana tuu na hali yako maana hata wee ulikuwa zaidi ya dikteta na kujiona mungu mtu aisee
😮Acheni kuchanganya chuki na mpina kusimamishwa bungeni. Mpina kosa lake kubwa nikwenda kwenye vyombo vya habari na ushaidi ambao tayari amepeleka kwa spika .mpina usicheze na sheria .kusema sema hakutakusaidia mpina
Mpina wewe Tanzania imekuamini.kwann ushindane kama uko sawa wakusemee wengine ila saizi upendo.haupo nyie.shetani kishaivamia.dunia.yaan wabunge hawapendani.da
MPINA AMIA CHADEMA WATANZANIA WOTE TUMEKUELEWA NA CCM TUNAIELEWA KUA NI CHAMA CHA UKOOO SIO CHAMA CHA KUTETEA WANANCHI SISI TUMESHAKUELEWA NA CCM TUNAIJUA VZR NA MALENGO YAKE CCM AINA NIA NJEMA YA KUWANUFAISHA WANANCHI CCM HIPO KWA MASIRAI YAKE BINAFSI TUNAJUA NA CCM NDIO JANGA LA TAIFA. HILI TUNAJUA
JEE AWAMU YA TANO ILIYOKUWA UKIWA MZALENDO NA MSEMA KWELI UNAULIWA,UNATEKWA,AU UMEKOSEKANA UNAPIGWA RISASI KARIBU YA KUFA TENA BUNGENI NJE HUKU CAMERA ZIKIWA ZIMEZIMWA NA WENYE MAMLAKA LISU HAKUTIBIWA WALA HAKULIPWA STAHIKI ZAKE.LAKINI KWAKO WEWE AWAMU YA 5 NDIO YA KISHENZI ZAIDI EEEE.UNA LAKO KAMA HUYO MPINA.MAANA USHENZI HUO WAKIFANYIWA WATU MPINA ALIKUWA WAZIRI WALA HAKUWAHI KUKEMEA UDICTATOR HUO.
Mimi naona awamu ya tano ndio imeongoza zaidi ufisadi cag Proffesor Assad aliweka wazi wizi aliofanya Maggu Ikulu wa trillioni moja na nussu na Magu huuo huyo akawa anakwepesha mahesabu ya daraja la Kijazi,sgr na mradi wa bwawa wa Rufiji kila Assad alipokuwa anahitaji nyaraka za hesabu na matumizi ya miradi hiyo mikubwa 3 bwana Magu akawa anazungusha,Jee unajujua nini kuhusu hela za prebagaining ni aibu jee unajua nini kuhusu yale madini yaliyokwenda kujengewa ukuta kule Arusha na walinzi kuwekwa wanajeshi ni kichefuchefu.Kaa kimya wewe mfuata mkondo na bendera maana Wadanganyika wengi mko hivyo.Ujinga ignorance.😊
wanainch wa mbeya kuwen makin 2025.luhaga mpina kaonewa hadharan.inaoyesha mheshimiwa bashe huo upigaji kwenye sukar hayupo peke ake.mungu tusaidie tanzania. munguulindeheshimiwa mpina mtetez wa wanyonge.
Wapiga kura Mbeya Mjini nadhani mnamwelewa Mh!Moina na kamati ya chama changu CCM nadhani mmemsikia Mpina sasa kama tunalitaka jimbo la Mbeya mjini basi tumsikie vyema Mpina
Kwa sasa rasmi Mpina,hutakiwi tn kujulikan km Mbunge,bali ww ni "Mwana harakati wa Taifa".Wanaodai ni Malipo ya Ulichokfny Wizara ya Uvuvi,nafkir bd Wapo usingizini,cku wakiamka watakuelewa
Ww unatatizo la kukosa uwaziri hulidhiki kuwa mbunge wa kawaida unataka uwaziri kwa nguvu kubwa nakushauri ujitulize kwani kulalamika kwako ktk medir haito kusaidia zaidi ya kuchukuliwa hatua na chama chako.
Kama ulivunja Sheria kwenye samaki wetu na manyavu yako haramu ulitaka uletewe mikate? Hao wenzio nao wameyakanyaga kwenye sukari kinyume Cha Sheria moto ule ule na hana time ya kutafuta huruma kwa wajinga
Tusiwe waropokaji pasipo kupima hoja ya mtu,kama huelewi kaa kimya,hata kama mpina anamadhaifu mengine ila kwa hoja hizi Yuko sahihi,na anawatetea wananchi,au wengine hamkununua sukari kilo elfu sita?
kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY
tutaongoza kwa uchumi africa
Wataongoza Kwa uchumi upi wakati Kila sehemu yenye pesa tumewapa wa gen
Hahaha nikiberit na petrol...
Tuna mahakimu wengi mkubwa ni tulia
Mpn umekwisha feli kipind cha ngosha mwenzio kilikuwa chaukabila sana kavue samaki za makombora
Uko vizuri sana mhe tuko pamoja tunakuombea sana na mungu tunaamini atakurinda
Mpina"serikal hii ukijaribu tu kutetea wananchi ww ni adau waoo!
Muheshimiwa mpina sisi tunakuelewa Sasa tena sana
Mheshimiwa mpina Mwenyezi Mungu atakuzidishia nguvu endelea kupambana kwani huo ndio utawala bora hapa duniani mpaka akhera !
Kaka mpina hapa nchini Tanzania ukisema ukweli ni mwiko Kwa ccm utatengenenzewa uadui wa Hali ya juu hata msukuma ni mbaya sana hapendi wabunge wanaosema ukweli hapo ndani
Kaka nakukubali sana njoo kisesa 2025 mitano tena yako. By shigemelo shigemelo
Mpina na makonda chukueni form za uraisi huyu mama samia na spika wake wazinguaji tu,,, nchi kubwa kama Tanzania badala ya kusambaza sukari eti tunasambaziwa sukari na nchi ndogo kabisa,
Madini yetu yanasombwa tu sijaona yyte akikamatwa inamaana kwamba hakuna wizi kweli ebu tutafakari kwa kina
Raisi samia anapwaya sana
Kura zangu nawapa na mimi
Spika wa mchongo huyooo"tuna kuelewa saaaaana mpinaaa
SPIKA WA MCHONGO NI YULE ALIEKATAA KUMTIBU TUNNDU LISSU ALIPOPIGWA RISASI KWA MAONEVU BUNGENI NJE NA WAKAMFUKUZA UBUNGE NA HAWAKUMLIPA STAHIKI ZAKE ZAKE AKINA MPINA NA NDUGAI WALIBARIKI HUO USHENZI.HUYO NDIE ALIEKUWA SPIKA WA MCHONGO .
Nani kama luaga mpina huyu mbuge ni siries kututetea karibu kututembelea mkoa wa manyara Niko na ngombe Yako Kwa ajili ya maendeleo unayotakia Tanzania
Anzeni kukinywea kile kikombe alicho kinywea Hayati Edward Lowasa kwenye bunge hili hili
Hao siku zote wanakuwaga na mipango Yao, ya kutetea ufuisadi wao ndio maana siku zote bunge letu haliwapendi watu wakweli,na siku zote hupambana na watu wakweli kama mpina
Spika kageuza hii nchi ni ya mamaake
Tafuta mwanasheria waumene na Speaker wa bunge ,haki yako itajulikanatu
Katiba lazima ibadilishwe na serikali livunjwe...Viongozi wengi na Raisi mafisadi wakubwa...ukiwa mchapa kazi wanakushitaki...hamna utendaji wa haki nchi hii...
ila hata wewe ulipokuwa waziri uliumiza watu sana, yaani mii na utu uzima huu sikuwahi kuona waziri aliyeumiza watu kama huyu mpini enzi zake jamani, haswa kufungia viwanda na kupiga faini kubwa zisizolipika yaani basi tuu, pambana tuu na hali yako maana hata wee ulikuwa zaidi ya dikteta na kujiona mungu mtu aisee
Hii nchi kazi sana. Kama mbunge anapigwa hivi. Mimi nifanyweje. 😢😢😢😢😢😢 Dah.
Hata mimi mwananchi wa kawaida kabisa tena la saba D niligunduwa waziwazi kuwa umeonewa, sipika ni kama vile imepwaya eti!
😮Acheni kuchanganya chuki na mpina kusimamishwa bungeni. Mpina kosa lake kubwa nikwenda kwenye vyombo vya habari na ushaidi ambao tayari amepeleka kwa spika .mpina usicheze na sheria .kusema sema hakutakusaidia mpina
C.c.m ni majizi hawajitambui spika wa mchongo
Mpina wewe Tanzania imekuamini.kwann ushindane kama uko sawa wakusemee wengine ila saizi upendo.haupo nyie.shetani kishaivamia.dunia.yaan wabunge hawapendani.da
Nauona uzalendo ndani yako hao wengine wapiga madiri samia akupe uwaziri tu
Mpina wewe ni mzalendo tuko pamoja na usikate Tamaa gombeeni na makonda urais tutawapa kura
ni
Tz ni kama hatuna rais na kama upo hana uchungu wowote nanchi watu wake ndo maana kumeja ufizadi wa hali ya juu
Hako ka supika sijui walikazolea wapi tu????😢
Hamia chadema baba"wew sio wa hukoo
Ni bunge la viongoziwenye akili kulikowananchi wanao zidi milioni60.
MPINA AMIA CHADEMA WATANZANIA WOTE TUMEKUELEWA NA CCM TUNAIELEWA KUA NI CHAMA CHA UKOOO SIO CHAMA CHA KUTETEA WANANCHI SISI TUMESHAKUELEWA NA CCM TUNAIJUA VZR NA MALENGO YAKE CCM AINA NIA NJEMA YA KUWANUFAISHA WANANCHI CCM HIPO KWA MASIRAI YAKE BINAFSI TUNAJUA NA CCM NDIO JANGA LA TAIFA. HILI TUNAJUA
Kaka wewe msema ukweli mwachie mungu apigane nao
Hawa wote wameiga kwa Nyerere hata yy alikua akiambiwa ukwel ni shida hiii ni laaaana itakula kizaz na kizaz CCM hawawez kila kitu
Mpina umekaa bungeni miaka 20 imeisha hiyo tafuta nyingine sisi unaotushitakia hatuna nguvu yoyote pambana na hali yako
Alaf rais ankaa kimyaaaa kam hyaonii hii nchii bhana
Mpina nazi huwa aishi ndani na jiwe,we kaa kimya jitasimini. Kuongea KTK media husaidia pole.
Mko pekeenu lkin mmekuwa kama manyani
Shetani havai kanzu ira ukweri
Wabunge 19 wa chadema
6:45
Njoo chadema wewe ni m2 muhim
Hii awamu ya sita ni ufisadi tu, be blessed 🙏 mpina
JEE AWAMU YA TANO ILIYOKUWA UKIWA MZALENDO NA MSEMA KWELI UNAULIWA,UNATEKWA,AU UMEKOSEKANA UNAPIGWA RISASI KARIBU YA KUFA TENA BUNGENI NJE HUKU CAMERA ZIKIWA ZIMEZIMWA NA WENYE MAMLAKA LISU HAKUTIBIWA WALA HAKULIPWA STAHIKI ZAKE.LAKINI KWAKO WEWE AWAMU YA 5 NDIO YA KISHENZI ZAIDI EEEE.UNA LAKO KAMA HUYO MPINA.MAANA USHENZI HUO WAKIFANYIWA WATU MPINA ALIKUWA WAZIRI WALA HAKUWAHI KUKEMEA UDICTATOR HUO.
Mimi naona awamu ya tano ndio imeongoza zaidi ufisadi cag Proffesor Assad aliweka wazi wizi aliofanya Maggu Ikulu wa trillioni moja na nussu na Magu huuo huyo akawa anakwepesha mahesabu ya daraja la Kijazi,sgr na mradi wa bwawa wa Rufiji kila Assad alipokuwa anahitaji nyaraka za hesabu na matumizi ya miradi hiyo mikubwa 3 bwana Magu akawa anazungusha,Jee unajujua nini kuhusu hela za prebagaining ni aibu jee unajua nini kuhusu yale madini yaliyokwenda kujengewa ukuta kule Arusha na walinzi kuwekwa wanajeshi ni kichefuchefu.Kaa kimya wewe mfuata mkondo na bendera maana Wadanganyika wengi mko hivyo.Ujinga ignorance.😊
Mpena he lekanaga nabo ila umewakomesha bugota bulolo babongwaga bakwebaaa lekanaga nabo baba
MUNGU akusimamie Kaka, hakika wewe ni mtu wa maana sana Tanzania
Wamekwelewa makusudi tu
Ni mbunge wa wote
Nenda mahakamani kafiri wewe
Kumeanza kuchangamka
MWAMBA UNATIISHA...WEWE.MAKONDA.BASHE...NK...MNATISHA KAMA KIMBUNGA...PAMBANIENI WANYONGE PASINAKUCHOKA...HAWA VIONGOZI MADEMU....VICHOMIII
wanainch wa mbeya kuwen makin 2025.luhaga mpina kaonewa hadharan.inaoyesha mheshimiwa bashe huo upigaji kwenye sukar hayupo peke ake.mungu tusaidie tanzania. munguulindeheshimiwa mpina mtetez wa wanyonge.
Mpina hiki kichwa
Unaeleweka sana sana.
Siyo bandari tu.! Wa masai loliondo huo wote upigaji lakini mungu yupo ahsante
Wapiga kura Mbeya Mjini nadhani mnamwelewa Mh!Moina na kamati ya chama changu CCM nadhani mmemsikia Mpina sasa kama tunalitaka jimbo la Mbeya mjini basi tumsikie vyema Mpina
Bwana ulipewa mda wakuleta ushahidi wa kumtuhum Bashe
Acha ujunga sawa watu tuko seriously na haki za watanzania alafu unable comment ujinga
Duuu!! Yaan aliewekwa pale ktk bunge hakufaa kua pale kuongoza bunge ,aliwekwa tu ilimradi
Hakuna spika hapo njaa tu anaitetea selekari sisi tumekuelewa sasa tunasubiri uchaguzi kama atarudi bungeni spika sijui
Mpina Mungu awenawe daima upo ktk haki, bali Bunge limekaliwa na wapigaji tupu, Msukuma nae katoka ktk misimamo yake
Kwa sasa rasmi Mpina,hutakiwi tn kujulikan km Mbunge,bali ww ni "Mwana harakati wa Taifa".Wanaodai ni Malipo ya Ulichokfny Wizara ya Uvuvi,nafkir bd Wapo usingizini,cku wakiamka watakuelewa
WAJINGA NDO WANAENDESHA NCHI KWAIO WEREVU WAMEGEUKA KUA TISHIO KWAO
Ww unatatizo la kukosa uwaziri hulidhiki kuwa mbunge wa kawaida unataka uwaziri kwa nguvu kubwa nakushauri ujitulize kwani kulalamika kwako ktk medir haito kusaidia zaidi ya kuchukuliwa hatua na chama chako.
Inchi itasimama,umakini unahitajika, Mpina ana sifa ya SHUJAA
Inchi itasimama,umakini unahitajika, Mpina ana sifa ya SHUJAA
Shida ya bunge kama kuna kitu ndani yakapeti,ukiwa mbele unatolewa kafara,mpina nimsema kwel,i mungu atakupigania
nchi yetu ina tolii sna ......sema poa.........twende tuishi....
Mpina mungu akulinde sana. Hawa watu ni wabaya sana. Nchi inahitaji serikali mpya hawa walio madarakani hawafai tena
Mpina piga spana washenz hao waovu wasiolipenda taifa kwanza haya ndio madhala ya kuwa na viongoz wanawake taifa linaangamia kila upande
Unasema login kabisa Mh Mpina yaani uonevu mkubwa sana CCm
Mh.Mpina 🤝👏💪🏽🙏🏼
Piga kazi Mpina stand for the truth you mast stand alone 👍
Mwabukusi msaidia kijana huyu mzarendo
Tulia ni ng'ombe na hastahili kuwa sp******
Ili uwe shujaa ni lazima ukutane na vizingiti🎉🎉
Kama una nia ya kuwasaidia wananchi nenda Chadema ndio watetezi wa wananchi
Tunakuelewa sana muheshimiwa hii nchi haiwataki wenye haki kabisa.
Wapenda haki wote niadui wawalarushwa
Mpina ni kiongozi Bora Sana huyu anatufaa kuwa mkuu wa nchi
Wizi umefichwa bashe jiuzulu
Mm sipo upande wwt ila Mpina mmmh?
Badilishana namsigwa
Simama
A strong person is that who stands alone.
uko vizuri mpina
Kisesa oyeeee.
Hana lolote anatafuta huruma wa wananchi. Kusahau alivyotia watu njaa akiwa waziri wa uvuvi na mifugo. Watu wamekuwa masikini mpaka leo.
Wewe ndo huna akili mpina anaakili
Kama ulivunja Sheria kwenye samaki wetu na manyavu yako haramu ulitaka uletewe mikate? Hao wenzio nao wameyakanyaga kwenye sukari kinyume Cha Sheria moto ule ule na hana time ya kutafuta huruma kwa wajinga
Hakika ,,,jamaaa anatafuta huruma
Spika alikuaga vzr mwanzon sihiz anapuyanga myaki mwenzangu daah ila bas tumwachie MUNGU anaejua kuhukumu kwa haki,
Tusiwe waropokaji pasipo kupima hoja ya mtu,kama huelewi kaa kimya,hata kama mpina anamadhaifu mengine ila kwa hoja hizi Yuko sahihi,na anawatetea wananchi,au wengine hamkununua sukari kilo elfu sita?
Kaka tunakupa mitano tena
Nimont ikowapi
Mwendo wa kuibia umma tu
Umeshakwisha mzee
Congratulations
Tatzo uwaziri
Mpina the giant
Unamfundisha boss kazi duuh
Wewe unakaujinga
Hayana nafasi kwa sasa ungeyasema kwenye kwenyekamati
Kwan hukumu imetolewa na spika au kamati ndo imeshauri hukumu yeye akaitangaza hukumu
Mbona vikao kumi kidogo sana