MPINA AMKAANGA VIBAYA SANA SPIKA TULIA, "Kwanini Alikaa Kimya Wakati wa Mkataba wa Bandari,.?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 113

  • @kilimanjarotv255
    @kilimanjarotv255 3 місяці тому +11

    kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 3 місяці тому

      tutaongoza kwa uchumi africa

    • @LinusAmanimbeye
      @LinusAmanimbeye 2 місяці тому

      Wataongoza Kwa uchumi upi wakati Kila sehemu yenye pesa tumewapa wa gen

    • @charlessheks7166
      @charlessheks7166 2 місяці тому

      Hahaha nikiberit na petrol...

  • @AloisMosha-uv2fu
    @AloisMosha-uv2fu 2 місяці тому

    Tuna mahakimu wengi mkubwa ni tulia

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 3 місяці тому

    Mpn umekwisha feli kipind cha ngosha mwenzio kilikuwa chaukabila sana kavue samaki za makombora

  • @vicentlusana4550
    @vicentlusana4550 3 місяці тому +8

    Uko vizuri sana mhe tuko pamoja tunakuombea sana na mungu tunaamini atakurinda

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 3 місяці тому +6

    Mpina"serikal hii ukijaribu tu kutetea wananchi ww ni adau waoo!

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 3 місяці тому +10

    Muheshimiwa mpina sisi tunakuelewa Sasa tena sana

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 3 місяці тому +5

    Mheshimiwa mpina Mwenyezi Mungu atakuzidishia nguvu endelea kupambana kwani huo ndio utawala bora hapa duniani mpaka akhera !

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 місяці тому +1

    Kaka mpina hapa nchini Tanzania ukisema ukweli ni mwiko Kwa ccm utatengenenzewa uadui wa Hali ya juu hata msukuma ni mbaya sana hapendi wabunge wanaosema ukweli hapo ndani

  • @SamwelShigemelo-e1y
    @SamwelShigemelo-e1y 3 місяці тому +4

    Kaka nakukubali sana njoo kisesa 2025 mitano tena yako. By shigemelo shigemelo

  • @DodomaTanzania-r5z
    @DodomaTanzania-r5z 3 місяці тому +8

    Mpina na makonda chukueni form za uraisi huyu mama samia na spika wake wazinguaji tu,,, nchi kubwa kama Tanzania badala ya kusambaza sukari eti tunasambaziwa sukari na nchi ndogo kabisa,
    Madini yetu yanasombwa tu sijaona yyte akikamatwa inamaana kwamba hakuna wizi kweli ebu tutafakari kwa kina
    Raisi samia anapwaya sana

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 3 місяці тому +6

    Spika wa mchongo huyooo"tuna kuelewa saaaaana mpinaaa

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 2 місяці тому +1

      SPIKA WA MCHONGO NI YULE ALIEKATAA KUMTIBU TUNNDU LISSU ALIPOPIGWA RISASI KWA MAONEVU BUNGENI NJE NA WAKAMFUKUZA UBUNGE NA HAWAKUMLIPA STAHIKI ZAKE ZAKE AKINA MPINA NA NDUGAI WALIBARIKI HUO USHENZI.HUYO NDIE ALIEKUWA SPIKA WA MCHONGO .

  • @Daniellekauro
    @Daniellekauro 2 місяці тому +1

    Nani kama luaga mpina huyu mbuge ni siries kututetea karibu kututembelea mkoa wa manyara Niko na ngombe Yako Kwa ajili ya maendeleo unayotakia Tanzania

  • @elinasilukumay3221
    @elinasilukumay3221 2 місяці тому +1

    Anzeni kukinywea kile kikombe alicho kinywea Hayati Edward Lowasa kwenye bunge hili hili

  • @mtakamatv
    @mtakamatv 3 місяці тому +3

    Hao siku zote wanakuwaga na mipango Yao, ya kutetea ufuisadi wao ndio maana siku zote bunge letu haliwapendi watu wakweli,na siku zote hupambana na watu wakweli kama mpina

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 2 місяці тому +2

    Spika kageuza hii nchi ni ya mamaake

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 3 місяці тому +3

    Tafuta mwanasheria waumene na Speaker wa bunge ,haki yako itajulikanatu

  • @madreks253
    @madreks253 2 місяці тому

    Katiba lazima ibadilishwe na serikali livunjwe...Viongozi wengi na Raisi mafisadi wakubwa...ukiwa mchapa kazi wanakushitaki...hamna utendaji wa haki nchi hii...

  • @kwayugeneral2192
    @kwayugeneral2192 3 місяці тому +2

    ila hata wewe ulipokuwa waziri uliumiza watu sana, yaani mii na utu uzima huu sikuwahi kuona waziri aliyeumiza watu kama huyu mpini enzi zake jamani, haswa kufungia viwanda na kupiga faini kubwa zisizolipika yaani basi tuu, pambana tuu na hali yako maana hata wee ulikuwa zaidi ya dikteta na kujiona mungu mtu aisee

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes 3 місяці тому +3

    Hii nchi kazi sana. Kama mbunge anapigwa hivi. Mimi nifanyweje. 😢😢😢😢😢😢 Dah.

  • @w.j6088
    @w.j6088 3 місяці тому +2

    Hata mimi mwananchi wa kawaida kabisa tena la saba D niligunduwa waziwazi kuwa umeonewa, sipika ni kama vile imepwaya eti!

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 місяці тому

    😮Acheni kuchanganya chuki na mpina kusimamishwa bungeni. Mpina kosa lake kubwa nikwenda kwenye vyombo vya habari na ushaidi ambao tayari amepeleka kwa spika .mpina usicheze na sheria .kusema sema hakutakusaidia mpina

  • @InnocentPetermasonyi
    @InnocentPetermasonyi 2 місяці тому

    C.c.m ni majizi hawajitambui spika wa mchongo

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 місяці тому

    Mpina wewe Tanzania imekuamini.kwann ushindane kama uko sawa wakusemee wengine ila saizi upendo.haupo nyie.shetani kishaivamia.dunia.yaan wabunge hawapendani.da

  • @charleswakupyera2954
    @charleswakupyera2954 2 місяці тому

    Nauona uzalendo ndani yako hao wengine wapiga madiri samia akupe uwaziri tu

  • @AmosChege-n7u
    @AmosChege-n7u 2 місяці тому

    Mpina wewe ni mzalendo tuko pamoja na usikate Tamaa gombeeni na makonda urais tutawapa kura
    ni

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 місяці тому +1

    Tz ni kama hatuna rais na kama upo hana uchungu wowote nanchi watu wake ndo maana kumeja ufizadi wa hali ya juu

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 Місяць тому

    Hako ka supika sijui walikazolea wapi tu????😢

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 3 місяці тому +3

    Hamia chadema baba"wew sio wa hukoo

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 місяці тому +1

    Ni bunge la viongoziwenye akili kulikowananchi wanao zidi milioni60.

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 2 місяці тому

    MPINA AMIA CHADEMA WATANZANIA WOTE TUMEKUELEWA NA CCM TUNAIELEWA KUA NI CHAMA CHA UKOOO SIO CHAMA CHA KUTETEA WANANCHI SISI TUMESHAKUELEWA NA CCM TUNAIJUA VZR NA MALENGO YAKE CCM AINA NIA NJEMA YA KUWANUFAISHA WANANCHI CCM HIPO KWA MASIRAI YAKE BINAFSI TUNAJUA NA CCM NDIO JANGA LA TAIFA. HILI TUNAJUA

  • @charleswakupyera2954
    @charleswakupyera2954 2 місяці тому

    Kaka wewe msema ukweli mwachie mungu apigane nao

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 2 місяці тому

    Hawa wote wameiga kwa Nyerere hata yy alikua akiambiwa ukwel ni shida hiii ni laaaana itakula kizaz na kizaz CCM hawawez kila kitu

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 місяці тому +4

    Mpina umekaa bungeni miaka 20 imeisha hiyo tafuta nyingine sisi unaotushitakia hatuna nguvu yoyote pambana na hali yako

  • @Dealson-w5l
    @Dealson-w5l 2 місяці тому

    Alaf rais ankaa kimyaaaa kam hyaonii hii nchii bhana

  • @allyabdallah1183
    @allyabdallah1183 3 місяці тому +1

    Mpina nazi huwa aishi ndani na jiwe,we kaa kimya jitasimini. Kuongea KTK media husaidia pole.

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh 2 місяці тому

    Mko pekeenu lkin mmekuwa kama manyani

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 місяці тому

    Shetani havai kanzu ira ukweri

  • @stellahizza
    @stellahizza 2 місяці тому

    Wabunge 19 wa chadema
    6:45

  • @nicodems7984
    @nicodems7984 2 місяці тому

    Njoo chadema wewe ni m2 muhim

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 місяці тому +8

    Hii awamu ya sita ni ufisadi tu, be blessed 🙏 mpina

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 2 місяці тому

      JEE AWAMU YA TANO ILIYOKUWA UKIWA MZALENDO NA MSEMA KWELI UNAULIWA,UNATEKWA,AU UMEKOSEKANA UNAPIGWA RISASI KARIBU YA KUFA TENA BUNGENI NJE HUKU CAMERA ZIKIWA ZIMEZIMWA NA WENYE MAMLAKA LISU HAKUTIBIWA WALA HAKULIPWA STAHIKI ZAKE.LAKINI KWAKO WEWE AWAMU YA 5 NDIO YA KISHENZI ZAIDI EEEE.UNA LAKO KAMA HUYO MPINA.MAANA USHENZI HUO WAKIFANYIWA WATU MPINA ALIKUWA WAZIRI WALA HAKUWAHI KUKEMEA UDICTATOR HUO.

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 2 місяці тому

      Mimi naona awamu ya tano ndio imeongoza zaidi ufisadi cag Proffesor Assad aliweka wazi wizi aliofanya Maggu Ikulu wa trillioni moja na nussu na Magu huuo huyo akawa anakwepesha mahesabu ya daraja la Kijazi,sgr na mradi wa bwawa wa Rufiji kila Assad alipokuwa anahitaji nyaraka za hesabu na matumizi ya miradi hiyo mikubwa 3 bwana Magu akawa anazungusha,Jee unajujua nini kuhusu hela za prebagaining ni aibu jee unajua nini kuhusu yale madini yaliyokwenda kujengewa ukuta kule Arusha na walinzi kuwekwa wanajeshi ni kichefuchefu.Kaa kimya wewe mfuata mkondo na bendera maana Wadanganyika wengi mko hivyo.Ujinga ignorance.😊

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 місяці тому

    Mpena he lekanaga nabo ila umewakomesha bugota bulolo babongwaga bakwebaaa lekanaga nabo baba

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 3 місяці тому +1

    MUNGU akusimamie Kaka, hakika wewe ni mtu wa maana sana Tanzania

  • @charleswakupyera2954
    @charleswakupyera2954 2 місяці тому

    Wamekwelewa makusudi tu

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 3 місяці тому +2

    Ni mbunge wa wote

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 3 місяці тому +1

    Nenda mahakamani kafiri wewe

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p 2 місяці тому

    Kumeanza kuchangamka

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 3 місяці тому

    MWAMBA UNATIISHA...WEWE.MAKONDA.BASHE...NK...MNATISHA KAMA KIMBUNGA...PAMBANIENI WANYONGE PASINAKUCHOKA...HAWA VIONGOZI MADEMU....VICHOMIII

  • @AmiriAmiri-x2z
    @AmiriAmiri-x2z 2 місяці тому

    wanainch wa mbeya kuwen makin 2025.luhaga mpina kaonewa hadharan.inaoyesha mheshimiwa bashe huo upigaji kwenye sukar hayupo peke ake.mungu tusaidie tanzania. munguulindeheshimiwa mpina mtetez wa wanyonge.

  • @shalomluwamba2583
    @shalomluwamba2583 2 місяці тому

    Mpina hiki kichwa

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 3 місяці тому +1

    Unaeleweka sana sana.

  • @oliverwhite1676
    @oliverwhite1676 2 місяці тому

    Siyo bandari tu.! Wa masai loliondo huo wote upigaji lakini mungu yupo ahsante

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 2 місяці тому

    Wapiga kura Mbeya Mjini nadhani mnamwelewa Mh!Moina na kamati ya chama changu CCM nadhani mmemsikia Mpina sasa kama tunalitaka jimbo la Mbeya mjini basi tumsikie vyema Mpina

  • @JamesSichimata-w1u
    @JamesSichimata-w1u 3 місяці тому +1

    Bwana ulipewa mda wakuleta ushahidi wa kumtuhum Bashe

    • @GaspercomedyTv
      @GaspercomedyTv 2 місяці тому

      Acha ujunga sawa watu tuko seriously na haki za watanzania alafu unable comment ujinga

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi 3 місяці тому

    Duuu!! Yaan aliewekwa pale ktk bunge hakufaa kua pale kuongoza bunge ,aliwekwa tu ilimradi

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 2 місяці тому

    Hakuna spika hapo njaa tu anaitetea selekari sisi tumekuelewa sasa tunasubiri uchaguzi kama atarudi bungeni spika sijui

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 2 місяці тому

    Mpina Mungu awenawe daima upo ktk haki, bali Bunge limekaliwa na wapigaji tupu, Msukuma nae katoka ktk misimamo yake

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 3 місяці тому

    Kwa sasa rasmi Mpina,hutakiwi tn kujulikan km Mbunge,bali ww ni "Mwana harakati wa Taifa".Wanaodai ni Malipo ya Ulichokfny Wizara ya Uvuvi,nafkir bd Wapo usingizini,cku wakiamka watakuelewa

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 2 місяці тому

    WAJINGA NDO WANAENDESHA NCHI KWAIO WEREVU WAMEGEUKA KUA TISHIO KWAO

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 3 місяці тому

    Ww unatatizo la kukosa uwaziri hulidhiki kuwa mbunge wa kawaida unataka uwaziri kwa nguvu kubwa nakushauri ujitulize kwani kulalamika kwako ktk medir haito kusaidia zaidi ya kuchukuliwa hatua na chama chako.

  • @wilsonmarco-n9w
    @wilsonmarco-n9w 3 місяці тому

    Inchi itasimama,umakini unahitajika, Mpina ana sifa ya SHUJAA

  • @wilsonmarco-n9w
    @wilsonmarco-n9w 3 місяці тому

    Inchi itasimama,umakini unahitajika, Mpina ana sifa ya SHUJAA

  • @YusufuDunga
    @YusufuDunga 3 місяці тому

    Shida ya bunge kama kuna kitu ndani yakapeti,ukiwa mbele unatolewa kafara,mpina nimsema kwel,i mungu atakupigania

  • @BritonMahundi
    @BritonMahundi 2 місяці тому

    nchi yetu ina tolii sna ......sema poa.........twende tuishi....

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 3 місяці тому

    Mpina mungu akulinde sana. Hawa watu ni wabaya sana. Nchi inahitaji serikali mpya hawa walio madarakani hawafai tena

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 3 місяці тому

    Mpina piga spana washenz hao waovu wasiolipenda taifa kwanza haya ndio madhala ya kuwa na viongoz wanawake taifa linaangamia kila upande

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 3 місяці тому

    Unasema login kabisa Mh Mpina yaani uonevu mkubwa sana CCm

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 3 місяці тому

    Mh.Mpina 🤝👏💪🏽🙏🏼
    Piga kazi Mpina stand for the truth you mast stand alone 👍

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 3 місяці тому

    Mwabukusi msaidia kijana huyu mzarendo

  • @chazzkayoka9205
    @chazzkayoka9205 2 місяці тому

    Tulia ni ng'ombe na hastahili kuwa sp******

  • @kamandashupavu206
    @kamandashupavu206 2 місяці тому

    Ili uwe shujaa ni lazima ukutane na vizingiti🎉🎉

  • @ireneFelix-j3y
    @ireneFelix-j3y 3 місяці тому

    Kama una nia ya kuwasaidia wananchi nenda Chadema ndio watetezi wa wananchi

  • @ProsperSimba-n2l
    @ProsperSimba-n2l 3 місяці тому

    Tunakuelewa sana muheshimiwa hii nchi haiwataki wenye haki kabisa.

  • @WillywiliamkihongossKihongoss
    @WillywiliamkihongossKihongoss 2 місяці тому

    Wapenda haki wote niadui wawalarushwa

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 3 місяці тому

    Mpina ni kiongozi Bora Sana huyu anatufaa kuwa mkuu wa nchi

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 3 місяці тому

    Wizi umefichwa bashe jiuzulu

  • @emmanuelkamoli8215
    @emmanuelkamoli8215 3 місяці тому

    Mm sipo upande wwt ila Mpina mmmh?

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 3 місяці тому

    Badilishana namsigwa

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 2 місяці тому

    Simama

  • @JoshuaBasil-gp5wz
    @JoshuaBasil-gp5wz 3 місяці тому

    A strong person is that who stands alone.

  • @NestoyChotta-wk8bl
    @NestoyChotta-wk8bl 2 місяці тому

    uko vizuri mpina

  • @IsackTumbo-uw3fe
    @IsackTumbo-uw3fe 3 місяці тому

    Kisesa oyeeee.

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 3 місяці тому +2

    Hana lolote anatafuta huruma wa wananchi. Kusahau alivyotia watu njaa akiwa waziri wa uvuvi na mifugo. Watu wamekuwa masikini mpaka leo.

    • @jonfredkewe3451
      @jonfredkewe3451 3 місяці тому +2

      Wewe ndo huna akili mpina anaakili

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 3 місяці тому +2

      Kama ulivunja Sheria kwenye samaki wetu na manyavu yako haramu ulitaka uletewe mikate? Hao wenzio nao wameyakanyaga kwenye sukari kinyume Cha Sheria moto ule ule na hana time ya kutafuta huruma kwa wajinga

    • @gabrielmoses6860
      @gabrielmoses6860 3 місяці тому

      Hakika ,,,jamaaa anatafuta huruma

    • @janejoel2465
      @janejoel2465 3 місяці тому

      Spika alikuaga vzr mwanzon sihiz anapuyanga myaki mwenzangu daah ila bas tumwachie MUNGU anaejua kuhukumu kwa haki,

    • @mtakamatv
      @mtakamatv 3 місяці тому

      Tusiwe waropokaji pasipo kupima hoja ya mtu,kama huelewi kaa kimya,hata kama mpina anamadhaifu mengine ila kwa hoja hizi Yuko sahihi,na anawatetea wananchi,au wengine hamkununua sukari kilo elfu sita?

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 3 місяці тому

    Kaka tunakupa mitano tena

  • @DominikiChristian
    @DominikiChristian 2 місяці тому

    Nimont ikowapi

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 3 місяці тому

    Mwendo wa kuibia umma tu

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 3 місяці тому

    Umeshakwisha mzee

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 2 місяці тому

    Congratulations

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi 3 місяці тому

    Tatzo uwaziri

  • @GaspaMwamlima
    @GaspaMwamlima 3 місяці тому

    Mpina the giant

  • @hellenmarandu1787
    @hellenmarandu1787 3 місяці тому

    Unamfundisha boss kazi duuh

  • @husseinmbaya4855
    @husseinmbaya4855 3 місяці тому +1

    Hayana nafasi kwa sasa ungeyasema kwenye kwenyekamati

  • @rashidabdallah5825
    @rashidabdallah5825 3 місяці тому

    Kwan hukumu imetolewa na spika au kamati ndo imeshauri hukumu yeye akaitangaza hukumu

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 місяці тому

    Mbona vikao kumi kidogo sana