Mashaallah kachara uko juu mungu amzidishye hekma na elmu busara shekhe wetu inshalla wapumbavu km hao wapo wengi sana shukran kwa kuliona hilo kachara usimtoe
Kachara asema hamuachi ng'oooo' na pesa harejesh maana hemtuma ampe ati 😀😀 ondoka icmtizame kwa jicho la huruma na ana haki ya kumfukuza kachara ww noooooma hampati mke mzur km huyu tn ukome ukome kabisa
kuna watu nyumbani hufanyiwa vitendo vibaya , mwanamke atapigwa na kutukanwa na ukoo wake anadai talaka hatoi jamaa ni talaka ya 3 , kupelekana kwa kadhi na kurejesha mahari . ikisha anapata rizki Alhamdulillah katulia kwake yule na bwana anaoa, ikisha yule anakuja kumtia ushawishi achwa nikuoe turejeane tulee wenetu na mwanamke anakubali . ama hapa mimi ni mwanamke lakini huwa naona wanawake tunajidhalilisha wenyewe.
kachara ukimuacha kwa lengo lakurudi kwa mumewe nawe una jukumu . hakuna ndoa hiyo yakutoa muhalili . ndoa nyingi siku hizi zinatumika njia hii , wanaume munapooa muwe makini kuoa wanawake waloachika wengi wao leo nikurudi kwa waume zao.
Hana akili huyu bwana kumuacha mke talaka 3 kwa sababu hakushika cm ni upumbavu kabisa sasa ngoja na umuombe huyu mzee amuache kwa hiari yake ndipo wewe umuoe
Mashaallah vzr
I proud to be Muslim and I love Zanzibar's
Mashaallah kachara uko juu mungu amzidishye hekma na elmu busara shekhe wetu inshalla wapumbavu km hao wapo wengi sana shukran kwa kuliona hilo kachara usimtoe
Wanakuita pemba mm nakuita home
Mashallah kwa mafundisho. Ila Shekh unamwambia aombe Amuache au afe!!! Si kila maombi yanaombwa kwa Allah. Hapo umekosea
Dua ya huyu haivuuki hata mdomo wa juu dah kachara bhana noma sana mungu akupe umri mref na baraka teleeee inshaallah🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mashaallah mafunzo mazuri
Shukran Alfatah
Mashaallah kachara allah akuzidishie sanaa baba
Duh kwangu mm kachara ndo superstar kwa znz hii yaani duh amenifurahisha mnoo
Dah nimependa hii na nimejifunza kitu
Ahsante kachara Allah akulipe kheri kw a kutuzindua kupitia njia hii
Ucnikazie macho mie sina nsaada wakukusaidia katika hili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 macharahani🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Kachara nampenda sana anaweza sana
Haiivuukia hata mdomo wa juu ahsante kachara muko vzr
Kweli
Hongereni sana ujumbe mzuri kweli
MashaAllah...elmu nzuri
Maashaallah allah awafanyie wepesi katika kutuelimisha mambo ya dini.
Kaka kachara ukojuu mungu akubarki iliutuongoze ishallah
mashallah ujumbe mzuri sana baarik alaykum
Kachara umenenepa Sana Pemba nzuri
Pemba nimzuri lakini ccm waifisidi
mashaallha saf sana imekaa vyema
Mashallah ila mzee kachara wanifurahishaa
Allah awabariki al fatah
Asante kW kujisahaulisha mjomba
Kachara asema hamuachi ng'oooo' na pesa harejesh maana hemtuma ampe ati 😀😀 ondoka icmtizame kwa jicho la huruma na ana haki ya kumfukuza kachara ww noooooma hampati mke mzur km huyu tn ukome ukome kabisa
Mashaallah
Jiko zuri naliona shangazi likaja lilee
Wanamwita Time shavuwai hahahah
Swallallahu alayhi wasallam
Good job
Maaashallah, nimeipenda
Vipp
Haaaaa haaaaa awali ni awal mashaallah
MashaalaaaAllah
Kachara nakukubali kweli unamaneno sijui wayatoa wapi
Nntalaka ya tatu na hunkewangu tena hahaha ..hadi raha miss sana . pemba jaman
kuna watu nyumbani hufanyiwa vitendo vibaya , mwanamke atapigwa na kutukanwa na ukoo wake anadai talaka hatoi jamaa ni talaka ya 3 , kupelekana kwa kadhi na kurejesha mahari . ikisha anapata rizki Alhamdulillah katulia kwake yule na bwana anaoa, ikisha yule anakuja kumtia ushawishi achwa nikuoe turejeane tulee wenetu na mwanamke anakubali . ama hapa mimi ni mwanamke lakini huwa naona wanawake tunajidhalilisha wenyewe.
Kake Kachara tupo pamoja na unanipa furaha.
ehee tena akome ami kachara ww noma
Sheikh Rashid salim uko wp nafasi yko hii umeiwacha
Duuh kambute bwana
🤣🤣🤣🤣🤣 "hyu ni mpumbavuu na kanauchukua upumbavu kanausokota kilembaa" 👍👍👍👍
ishaka ali
sale
Amii kachara cjui haya maneno cjui unayapanga maana uliyaangalia ni usanii wa juu
Hahaha kachara umetisha wallah hata kama ni mm nimuachi
Jamani naombeni jina la hii nashiid????
Majuto mjukuu
talaka tatu
Ndio wakome wanaume wenye tabia hio
Fatma said wawakomesha hee hatariii namie pia nipamoja ww
Good
Usimuulize huyo niuliza mie🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁kashara unavitukoo
Dah nimeipenda Mashallah Kachara umenena usimuache ng'o😅😅😅😅😅😂😂😂😂
In-gamhe
Hahahaha mdomo wa juuu
Hahahahaha hahahahaha hahahahaha hahahahaha hahahahaha hahahahaha hahahahaha
Code number....4 super Kacharaaaaa
Amikacharaaaa
Dua yake hiyo haivuki hata mdomo wa juu kachara mwehu sana hahahahahahahaha
Duh asant kachara ww kiboko
Kwa hiari yake hafi uyooo niwache nimmalizeee
Mkovinzuri...bgp zenu ..
Kusha ugua upumbav
Hat mm simuowi kwa siku tatu nika mwacha 😥😥😥
Wasema msaada utatoa ela hwebu pangiwa!
Daa inahuzunisha
🤣🤣🤣🤣🤣 kachara wapwagia tuwi la mwishooo?
😂😂😂😂😂
"muache anipige akafungwe" 🤣🤣🤣
@39%"4_4”"4"$*5',;9,
Usimuache ngo🤣🤣🤣
Bishara Omar jini
Antony josephat jini mwenyeo
kachara ukimuacha kwa lengo lakurudi kwa mumewe nawe una jukumu . hakuna ndoa hiyo yakutoa muhalili . ndoa nyingi siku hizi zinatumika njia hii , wanaume munapooa muwe makini kuoa wanawake waloachika wengi wao leo nikurudi kwa waume zao.
Hhhhhhhhh
Vp
Kachara
Sizirudishi ngo........kifuu tundu........kwa hiyarie hafii huyu
Juma fakh
😂🤣
Papuriiii
🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥
Kachara umetisha hebu lete namba yako nikuekee elfu 20 fasta
kachara mjinga jamani asema hajui kilicho haribu tembo
Unamuacha mkeo kisa kaacha simu ndani
😂😂😂
Nyumbani kumenoga
Hana akili huyu bwana kumuacha mke talaka 3 kwa sababu hakushika cm ni upumbavu kabisa sasa ngoja na umuombe huyu mzee amuache kwa hiari yake ndipo wewe umuoe
Mwambiye uyoo
Haina muendelezo
Ujanja mtupu pumbavu
Ujanja mtupu pumbavu
Uyo halima Kama na kwake pia anatabia hiii huyu ni mwanamke wakuoa
Pole kaoe anaishi Ole kianga maarufu tu ukifika onyesha picha yake
@@fatmaahamadabass8080 kweli ee mi nipo sireus namtaka kweli mm
Kaoe yupo hajaolew bado
@@fatmaahamadabass8080 nipatie mawasiliano yake ya wasap
Sina namba zake mm
Broo unapoongea jitahd usiew unaongea upes upes sana kwasabab unahrbu👊( muhusika mkuuu )
Ndo maumbile yake huyo hafanyikusudi
Dua ya huyu haivuuki hata mdomo wa juuuu
Ati mke Atanckia redioni
Mashaallah
Kachara nakukubali kweli unamaneno sijui wayatoa wapi
😂😂😂
Mashallah