Wallah nimependa episodes zako Kachara MashaAllah yaani automatic vichekesho and I love the pemba accent inanikumbusha Lamu 🇰🇪 am from Mombasa such comedies zatufanya tutamani sana nyumbani 😆
Kachara eeeee Kwani garigubbe yuwapi mbona siku hizi simuoni halafu na nkubwa wa mipengo mpe nafasi nae na ile baskeli aliyokufichia kidundo ela kunaipata tena?
Jino butu....mfungeni kabisa siwez papatuwana na ntu...ana jina la kipemba hasa...12 npaka...mijino koya...habasi inlika...hahah you name them. Shkamoo Kachara
Wallah nimependa episodes zako Kachara MashaAllah yaani automatic vichekesho and I love the pemba accent inanikumbusha Lamu 🇰🇪 am from Mombasa such comedies zatufanya tutamani sana nyumbani 😆
Pemba culture Raha sana....eti zote zishachenshwa hizi
Haha Auuuiii mbavu zngu mie shingo haina baba ajab from Saudi Arabia
Kazi mzur sana
Hhhhh mbavu zangu hy sio mganga bali hatari mgonjwa kapona mwenyewee kachara oyeeeee
Dah! Yaani raha sanaaaaa
niling'olewa jino juzi ila mumeniwacha hoi👏👏👏👏👏👏
Duh kachar ww noma
MashaalaaaAllah nimecheka,uwiii
Nimependa mavazi kachara
Mzee mzima yuko na miaka kumi na mbili,haaaaaaaa jamani
Kachara anavichekesho mdomo wanuka
Mtihani wauwah
Nime subscribe na sitochoka kuangalia vichekesho chako MashaAllah 😆 keep up the good work kakangu hahahahahahahahaha
Jamani mbavu zangu mzee wa miaka kumi na mbili mzee mwinyi hatareeeeee
Sasa mbona waondoka njooo hahahaha in nomaa
Hahaha mdomo wanuka huu wasema njambo lengine, jambo lipi ilo? 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mungu wangu nimecheka mpaka mbavu zinaniumaa
Hahaha mijino koyaaa asante
Hahahahahahahaaa mbavu zng jamaniii naumiaaaaa duhh c kwakung'olewa jino ivo loo
Mijino koya
Mamaaaaa..ilo c jino njiniii😅😅😅
presha hizi zilizoshika,sukari hizi zilizomwagika hahahaha nakukubali sana dada piga kazi napendaga sana wewe.
Hahahhahaa ati ndomo wanuka utasema njambo jengn 😃😃😃😃😃
Jambo gani sijui....😊😊
Kam umesikia kumi na mbili mpkaaa!!!... 😆😆😆 gonga like yako tujijuweee
😁😁😁
Ahsante nakukubali sana
Haha mbavu zangu
Naona ataka jenga sasa😂
Kacharaa utauwaaa😅😅
Jaman lakn hatamzidisha maradhi kwa vita hivii
Bora niumwe jino maisha yng
Kachara utauwa abaa!! Koya ndawa iyo!!
Kacharaaa huwendi mbinguni 😂😂😂😂😂😂😂😂do ni mnyambi
😅😅😅😅😅😅jamaniii kashesheeeeeee! 😅😅😅😅😅😅
Jamni jino lauma nishalia mtu mbona aibu zogo hilo hata kwenda siwezi kila siku naomba mungu asijenijalia tena marazi yajino nilikoma aiseee
Faiza Said ,pole sana ndugu yangu hata na mm yaliwahi kunikuta lkn saivi Alhamdulillah!
Swaleh Ayoub asnte ila nammi saiz alhamduliah
😂😂😂😂mama waitwa nani aa aah si mama huyuu
Wewe sidaktari meno nifundi nyumba kachara
Hhhhhh huyu mganga au ng'ombe mkalii
Eeeee maaaaaamaaaah!
Haha simama uyuu
Yumaji
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha mbavu zangu mm
Hahahhaahaha anika mdomo hatareeeeee bas ni choo icho duhh
Nimecheka wallahi commedi hii.
Kama umeskia * shingo haina bawaba* gonga like hapa tujuane wasoma comments.
Hahaha wapemba hawa jamani c jifai mm
Kachara eeeee Kwani garigubbe yuwapi mbona siku hizi simuoni halafu na nkubwa wa mipengo mpe nafasi nae na ile baskeli aliyokufichia kidundo ela kunaipata tena?
Asante doctor kachara
Jino butu....mfungeni kabisa siwez papatuwana na ntu...ana jina la kipemba hasa...12 npaka...mijino koya...habasi inlika...hahah you name them. Shkamoo Kachara
Yani nimecheka kweli kweli
Hhhhhh doctor utauwaaa
Asalala 😂😂😂😂😂😂😂😂😂yaani hivyo vifaa vya daktari kwa hili Punjabi kachara umenimaliza
😂😂😂
Hhhhh mgonjwa kakimbia na ivo vifaa va kujenga nyumba co vakung'olea meno
Hatariiiii
duuui kachara noma unatibu jino kwa tep na pima maji 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁👊👊👊👊👊👊👊👊👊
Haha
hhhhh dah rah kwel duniyan kuna wt wan vitukoo utachek tu hatakam hupend kuchek
Asante kachara
Kachara nakushauri nenda finya umsirikishe na kijichwa aloo
Hhhhh jini
Ma
😁😁😁😁hatari Kachara maana Nimecheka mpk machozi yamenitoka
Eti amkamata mgonjwa amuuliza mama waitwa vp hhhhhh
Hhhhhhh hatr
Na hilo banda la kuku nasikia wanalia ndani
Dah! Doctor ashaexpiredate.
Si vichekesho havina kiwango pumbavu
Nimecheka mpaka nimetoka machozi
Hee miyaka kumi na mbili kwani mpaka
Kama baba ana miaka kumi na mbili huyo mwanawe ana mingapi
Miwili
Mbavu zangu 😁😁😁😁😁😁😁😁
kz za nymban
Eti nyani ana sura ya mtu usimwangalie😆😆😆😆😆😆😆😆
Aka jaman daktary anaishi kibanda cha mbuz
Yani Atari 😁😁😁😁
mbavu zangu duh!
Hhhhhhhhhhhh asante Kake kachara duh ww nomaaaaaaaaaa💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯 km zote yan
kachara wacha uchokozi ilo jambo jengine sasa 😆😆
Kumi na mbili nipaka
Kake miye ni ntejawo nkubwa ela hapa kuchenka
Huyu doctor kweli kaexpare
Hiii! Miaka 12 eti mpaka?
😂😂😂😂 mm hata siachami
Nipeni namba ya daktari wa meno niisabuskraibu,maana meno yananisumbuwa nikiisevu itajidelete cmu yangu ni ya mwaka huu.
🤣🤣🤣🤣🤣
meli mpya
Kachara wazeeka vibaya mbavu zangu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hahahaha
Hahahah
Kachara kajitoa jufe au
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂12 mpaka😂😂😂😂
Hahahhaaa jaman jaman Docta huyu
Mabichwa ayo ilo jina si litangoka
Kake Kachara shingo kaina bawaba!
Mnatutoa mikojo jamani
Umemuona doctor originally
mimi fundi ujezi vipimo havitumiki hivi
😂😂😂😂😂jamani
Ahahahhaha
haaaha
Kachara napenda ushirikishe na watu wa finya
Hahahhaa mijino koyaa
Shingo haina bawaba😅😅😅