Day2_"Nguvu ya sadaka" SEMINA ITILIMA SIMIYU NA MCH.AMIEL KATEKELA
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Asante mungu mekutma julisha watoto wake
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu Kwa mafundisho mazuri,
Kuhusiana na sadaka kumtolea Mungu ktk Agano jipya, kama ulivyofundisha tunapaswa kuongozwa na moyo wa kupenda (tuongozwe na dhamiri), si kwa kulazimishwa kwa namna yoyote ile. Aidha, tunafundishwa tutoapo tuwe na kiasi. Utoaji ktk Agano la kale ilikuwa kikwazo kilichoharibu uhusiano kati ya Mungu na wana wa Israel. Ili kuondoa kikwazo hiki Bwana Yesu Kristo alijitoa fidia ya milele. Kinachotakiwa ni binadamu kuokoka tu. Kuhusu baraka, mtu baada ya kuokoka anabarikiwa na baraka zote za rohoni ktk ulimwengu wa roho ktk Kristo Yesu. Changamoto ya umaskini ktk Kanisa la Mungu inaletwa na uvivu na ujinga.
Aidha, si vizuri aslani kulinganisha au kufananisha utoaji anaotolewa shetani-ibilisi na Bwana Yesu Kristo. Siyo hekima. Ni dhana inayosababisha watu watilie mashaka uwezo, wema, na, upendo wa Mungu, hivyo, wamchukie kwa namna moja au nyingine.
Asante kwa kwa somo yangu niko kingo butembo
Asante saaana kwa mahibiri🙏🙏🙏,I didn't know about this (Sadaka)
MUNGU akubaliki sana mch amieli uwepowako ktk hiidunia nineema kwa wengine
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu mungu azidi kukuhinuwa
Barikiwe sana promover team kwakutufikishia Siri za ufalme wa Giza kupitia mtumishi Amiel. Mungu wa mbinguni awawezeshe Kwa kila jambo. Coz rohoni ni vita ila ushindi ni ahadi ya Mungu Kwa waaminio.
Yes roho mtakatifu hakai mahali pachafu yaani dhambi na roho mtakatifu ni madui ila pia kuonywa hatutaki
Amen
Barikiweni sana watumishi wa Mungu kwa ujumbe nzuri juu ya maisha yetu Bwana akawafunike na damu yake takatifu
Mim naomba kwenye kila ibada muweke namba ya matoleo ya sadaka Ili tunaosikiliza mtandaoni tuweze kujiungamanisha na madhabau MUNGU awabariki sana
Mafundisho mazuri Sana...nafuatilia kutoka Kenya....nguvu ya sadaka...
Barikiwa sana mtumishi
Amen nimepokea ktk jina la yesu
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa hilo neno
MTUMISHI WA BWANA MUNGU AZIDI KUKUTUMIA SANA, NA NINATAMANI UJE ZANZIBAR KWENYE KANISA LA KLPZ KWAHANI ZANZIBAR
Mungu akubarki Mchungaji
Yaani basi tu.Mungu yupo
Shida watu husema tunapewa pastor sadaka hawaoni kama wana mtolea Mungu
Naomba namba ya mtumishi Amiel katekela
Ameni
baba mchungaji umenifungua kwa utowaji mungu anisaidie
Hilo andiko kwa muda nilikua nalitafakari nashindwa kulielewa coz nijiavyo moyo hauendi mbinguni asante kwa kunielimisha nanaomba uzidi kulifafanua
Moyo wa Biblia siyo huu wa nyama iliyo pampu ya kusukuma kusambaza damu mwilini; Hapana.
Moyo ni Nafsi ya mtu. Nafesh kwa kiebrania. Self kwa kiingereza. Moyo au Nafsi ya mtu ndiyo hubeba hisia, tafakari, maamuzi za mtu. Kiroho, mtu ni roho, nafsi/moyo, na, mwili; roho, na, nafsi/moyo viko ndani ya mwili.
Kwa tuliosoma biolojia na ni Wakristo tunajifunza Biblia, moyo unaosemwa ktk Biblia ni Ubongo wa mtu. Ubongo ndiyo complex organ kuzidi viungo vyote ktk mwili wa binadamu. Ndiyo power house inayoendesha viungo vyote vya mwili ukiwemo moyo huu wa nyama. Ni kiungo cha ajabu mno ukisoma operating mechanism yake. Very very complex and complicated. Hisia, tafakari, maamuzi vyote mtu hufanya kwa kutumia ubongo wake, brain. Hakika ubongo ndiyo moyo wenyewe unaokuwa referred kwenye Biblia.
@@pirminmatumizi5464 wewe nawe hata hujamuelewa mtumishi kabisa hebu musikize uelewe kwa taarifa yako moyo unabaki mavumbini sawa sawa na mwili
Jamani naomba namba ya mchungaji katekela
asante sana baba mchungaji
Mungu akusamehe isaya inaonekana wewe sio muombaji
Wakristo tuliookoka na kuzaliwa mara ya pili hatwendi kwa waganga wa jadi. Wanaofanya hivyo hawajaokoka na ni mawakala wa shetani hao. Hawatakiwi kuwemo Kanisani.
Zungumza kazi zote za sadaka hakuna Cha muda we vipi mtmshi,
WATUMISHI NAPENDEKEZA MTUWEKEE NAMBA YA SADAKA ILI TULIOMBALI NA TUNAFATILIA MTANDAONI TUWEZE KUSHILIKI, MUNGU AWABARIKI SANA.
M-Pesa Tanzania +255766294335
Sadaka inampatanisha mtu na Mungu??
Mm nataka kutuma sadaka naomba namba ya m.mpesa plz
+255766294335 M-Pesa Tanzania
Mtumishi ye yote anayehubiri sadaka na nyota, hayo ni mahubiri ya shetani, mihuri ya shetani ni uongo, kama huo hubiri habari njema ya ufalme wa mbinguni.sio mambo ya mwilini, jiufunze kwa mjumbe wa agano. Na hata hilo kanisa hulijui.wewe ni mtumishi wa shetani mia kwa mia.
Wewe ni ajenti wa kuzimu subiri utumbuliwe!
@@masingijasalum1864 Imeandikwa utafuteni kwanza ufalme wa mbinguni na haki yake, mengine mtazidishiwa,hiyo ni kanuni ya Mungu, kanuni ya shetani ni ukisujudia uongo kama wako utapewa na shetani.ufungwe kinywa chako kwa jina la BWANA YESU KRISTO.
We naye nebda zako wewe ndo mtumishi wa shetani tatizo hamtaki kuhubiliwa kuhusu sadaka mwache ahubiri watu wafungulie
@@rebeccamoses6869 laiti ungejua karama za Mungu usingejibu makapi ila kwa Sababu ni kipofu, utajua baadaye!
Umeguswa penyewe shetan wewe