Agizo la Yesu lilikuwa hili; Enendeni ulimwengu mwote mkaihubiri Injili . . .Lakini leo si agizo hilo bali ni kutetea watu tunaodhani sisi ni wema, wazuri, wenye haki, nk. Yesu hakututuma kwa hao, bali wenye dhambi watubu. Mbona tunaihalifu injili? Kama mwendo ndio huo wa kila siku ni kuongelea matukio mtahubiri lini Injili? Aisee! Ama kweli!!! Hivi siku ya mwisho ya hukumu za haki za Mungu, mtamwambia mlihubiri injili?
Nakuelewa sana, watu watakupenda na wengine watakuchukia, hilo nimepata jibu.
Nakukukubar mawazo yako❤
Makonda nimtu wawatu anahuruma anatimiza wajibuwake kwawananchiwake wasiompendawachache niwanasiasa wenzake waliojaawivu nachuki hawauzikinawala hawanauwezo wakutenda kamayeye ndiyo maanakateka nguvu yauma wakitakawakubalike Wafanyekazi nzurikuliko yeye kumukashifu bilasababu wanachochea hasira zawananchi kanakwamba wao wanamaono auakilinaujuzi kuliko wananchi walio wengi. naujuzi kulikowachache.
Agizo la Yesu lilikuwa hili; Enendeni ulimwengu mwote mkaihubiri Injili . . .Lakini leo si agizo hilo bali ni kutetea watu tunaodhani sisi ni wema, wazuri, wenye haki, nk. Yesu hakututuma kwa hao, bali wenye dhambi watubu. Mbona tunaihalifu injili? Kama mwendo ndio huo wa kila siku ni kuongelea matukio mtahubiri lini Injili? Aisee! Ama kweli!!! Hivi siku ya mwisho ya hukumu za haki za Mungu, mtamwambia mlihubiri injili?
huyo mchungaji mwe
kaongea point sana kulko mahubili yake kanisani kwenye mahojiano haya kaongea kweli kabsa