Daaaah 😢😢😢 jamani moyo unauma sanaaaa ila sisemi shida nini ila nitongea na mwenyezi mungu kimoyo moyo naamini duwa atasikia na ajibu tu pengine duwaa hizi siombi peke yangu tupo wengi sanaaa ila one day yes 😢😢😢
Nchi yangu Tanzania, viongozi wanajali maslahi Yao binafsi kuliko maslahi ya Watanzania, Ee Mungu usiwaache salama hao viongozi madikteta, wezi, majambazi, mafisadi, In Jesus might name Amen
@@nakalikyumile3234 Mwimbaji wa mziki Kalikawa. Wimbo kaza moyo ndugu. Aliimba kuwa. Mwl Nyerere, Nelson Mandela, Kwame nkuruma, Peter tosh na Haile Selas Mzimu Wao Ulitokea wapi?. Akiwa na maana kua hawa ni uzao wetu. Wanaweza tu, kama Imbraim. Pindi wakitambua kuwa heshima ya kiongozi sio kapanda gari ya bei gani, ila anawatumikia watu wake kiasi gani. Na Raia tuwaelezea viongozi wetu maisha halisi. Sio nyimbo na sifa za unafiki.
@@FahadAbubakari Hi sifa ya elimu ya kutuandaa kutumikia mataifa ni mtu aliyepata elimu kutojitambua hasa nini kinamstahili kama yeye. Mfano JPM hakwenda sana nje tukasema hajui Kingereza. Sasa mfuasi wake JPM anakwenda huko kufungua nchi sasa shida tena. Kwa sababu Elimu yetu ni ya kutawaliwa mpaka leo hatujitambui kwamba sisi TUMEJIFUNGA WENYEWE. Viongozi wetu hawa ni zao la kijamii hii yetu. Tusitegemee miujiza. Labda tupate tena viongozi wa kuelekeza na kufundisha kuondoa Tatizo la kufikiri Kinyume nyume. Askofu Bagonza yeye anasema miafaka ila ni ngumu kuwa na mtu anayewaza na kutenda kinyume.
Huwa sikubali kwamba Tanzania kuna amani,afazali inchi yako hijulikane mna vita lakini raia wao wawe na uhuru wakusema,siyo TZ ukiwa muhongeaji sana unatekwa,amani gani hiyo
Kijana mzalendo Asante kwa hoja nzuri Pia hapo kwenye Ramli chonganishi umesema kweli Serikali isimamie hilo swala Watu baadhi ambao wanajiita watumishi wanachonganisha jamii kabisa. Utasikia I profesai naona umerogwa, Ndungu wa mke au mme wako . waongo wakubwa hakuna chochote ni matapeli tu , mimi ni Mkristo lakini Yesu Kristo mwenyewe hakuna sehem alifanya hayo mambo au manabii na mitume wote Watu tusome Biblia takatifu vizuri tuielewe , Neno la Mungu ndiyo uhai wetu
Ukweli nikwamba,majaaliwa wa magufuli siyo majaaliwa wa samia,yule wa magufuli alikuwa wa Moto Kama magufuli mwenyewe,yaani ukishika huku kwa Moto ukigusa kule kwa Moto Mara 2,sijui imekuaje
Ayubu kuhusu kodi hakuna nchi duniani inayo izidi marekani kwa kodi kubwa wananchi waishio hapa america wanaelewa ninachosema ukiwa huko nyumbani huwezi kuyaona haya ila tatizo watanzania hasa vijana ueajibikaji ni mdogo sana hasa masaa ya kuwa kazini wengi wanahitaji kupata pesa kwa kubeti ndio wafanikiwe hakuna maisha ya hivyo
Hii nchi shida ni kwamba wanaingia mikataba ya nchi kama vile wanaingia mikataba ya biashara zao binafsi na wanajali matumbo yao alafu mtu et anapigiwa makofi kaleta maji kama vile katoa hela mfukoni kwake ndugai aliongea ukwel akafukuzwa kama mmachinga kisa kasema kweli
Duh inatuumiza na hata tukibahatika kuwakataa viongozi kwenye sanduku la kura haiwezekani tuache tu ila kuna kipindi tutafanikiwa kufanya uchaguzi sisi kama sisi bila kuwekewa viongozi na mabeberu
Naomba nambayako ya sm ninayo yafaraga chonde chonde kwaheshima nauchungu sana samahan hunijui nyie najua utayasemea nchi imejaa wizi pokea maombi yangu ninasili nzito sana
Ingefaa treule angewaonyesha namna yakupanga mali atustaili kupewa misahada atakidogo tanzania ndonchi ile mungu aliseama niya asli na maziwa ila atuna usimamizi unaojali watanzania wanyonge wanajilimbikizia mali utazani siku yamwisho wataondoka nazo tujijali wate watanzania niwazalendo kweli kweli
Sizani kama viongozi wengi wa African wana wanazamira njema na raiya wao! Nilichoona Mimi 1 wanaongoza Kwa kuwatii marecani ama warungu! 2 wanajuwa wazi kuwa wanauwezo wa kufanya mengi yasiyo faa na hakuna wa kuwaazibu wakiwa wanalinda na Hawa jamaa!
Kaka Serikali ya Tanzania waoga waliobaki Yan Magufuli angekuwepo wa kaungana na Traore Africa Ingekubali Hawa ndio viongozi wenye uchungu na BARA LA AFRICA TRAORE LOVE YOU SO MUCH ❤❤
Kwa samia sahauni uyo bibi ni kukiona Tanzania mbaya sana hana hata imani nyie msikilizeni ana kejeli mbaya huyu akiwa raisi 25 inshalah nahama tz nabadilisha uraia naenda Kenya
@@FrankMwakatundu-cu6bdupo sahihi kabisa mama hatufai kabisa akalee wajukuu zake nyumban hii nchi inataka kiongoz mwanaume jasil sio m,bibi huyu 25 akipewa tena tumekwisha habar yetu
Viingozi wa nchi zetu za Africa wanapaswa kuiga mfano wa kijana huyu mzalendo wa kweli wa bukinabe 👊 for Ibrahim triore the president of united state of Africa
Hamna jinsi wanasiasa huwa wanaendana na upepo ogopa sana misoto tutakayoipitia mpaka kumpaka kiongozi ambaye hatakuwa remote ya wazungu inaumiza sana maisha yetu😢😢😢😢😢😢
Nikiona maendeleo ya traole nalia kweli kweli namkumbuka mkusukuma mwezagu ambaye nchi ya Tanzania saiz tugekuwa mia kwa mia ,toa maoni yako hapa nione tunafanyeje ili tuwe kama nchi ya bukinafo kwa traole
Ee MUNGU tunaomba kiogozi kutoka kwako mwenye hekima anayejali masilahi ya watanzania kama ni Hawa hawa wasioelewa na wanyanyasaji watatuangamiza jmn 😢😢😢😢
Sikujui, ndiyo mara ya kwanza nakusikiliza. Nimefurahishwa na msimamo wako. Ni sawa na ule wa Lee Kuan Yew wa Singapore, Mahathir Mohamad wa Malaysia na Park Chung-hee wa Korea Kusini. Hapa nyumbani, ni msimamo wa Mwl Nyerere na Mkemia Magufuli. Nakuombea kw Mungu upate uongozi (wa ngazi yoyote) ktk nchi hii ili Tz isonge mbele. Ameen, Ameen!
Mbaka leo kiongozi anasimama jukwani nasela nitaleta umeme nitaleta mji nitajenga balabala tumechoshwa naizo sela miaka stini bado tunasela hizo hizo 😂😂😂😂😂😂
Usimlaumu sana MajaliwA yeye na huyo mama wala hawaelewane ni basi tu anaomba musa wake uishe tu hakuna Waziri mzuri kama huyo Majaliwa alistahili awe Rais mama hamna kitu kabisa anarimotiwa
@@JeanMuzaliwa-bs6qhna yeye kashakuwa muumini, labda alionjeshwa sasa kanogewa, huko Ngorongoro ni yeye na hao waarabu, alianza Kikwete alivyokuja Magufuli akawabasa, sasa mama na Kikwete partners yaliyobakia yanafurahisha 😂😂😂😂😂😅
Mabeberu ndo wamemundoa magufuri ili watunyanyase,, na,majariwa wa magufuri sio wa sasa kaingia kwenye mfumo wa watu,, watu wanakufa mahospital hawana dawa huku wachezaji wanapewa pesa za bure ila hii nchi,, hapana aseeh,, yaani aliye nacho ndo anaongezewa,😢😢😢😢
tatizo ndugu zanguni tamaa ndo inayo wa ponza viongozi sasa tuna fika hadi sasa tuna jitharirisha kwa kitu kidogo moyo wenye upendo na watu na watu hulidhika kwa sababu ya utendaji wake kwa sababu utaya jua maisha ya raia kila kunako kucha na kuwatetea lakini kiongozi asipo kuwa na moyo wake' mnyofu sikuzote atakuwa tu akiangusha nchi kwa kuvuliga mipango ya raia wake
Huwezi kujifanya mzalendo kwenyenchi yawatu waoga we utapambana kwajiliyao ila likikukutawewe wao wapokimya so sioni uzalendo kidole kimoja hakivunji chawa
Karudi kwa Mungu, ametubia dhambi zake, enzi za mwendazake alikua naye mtiifu kwa boss wake juu ya dhambi walizokua wakisaidiana. Huo uchaguzi uliomuweka nafasi hiyo mgombea mwenziwe alipigwa na kuumizwa, kiongozi wa aina gani hiyo kwa Mungu awe mtakatifu.
Kuna tofauti ya siasa na uongozi sifa ya kiongozi kubwa ni uzalendo,haki na upendo na kubwa kuliko yote ni upendo ukiwapenda na unaowaongoza na nchi yako utakuwa mzalendo na utataka haki ndo itawale wasiumizwe waendelee wanaachi na nchi yako lkn siasa mmmmh hata sijui ndo hizi pooli 😂😂😂wanazocheza kutamani ushindi binafsi
hii inanishangaza SANA wanapokuja kuomba rizaa ya kiongozi nchi wanakua NA maneno mengi mipango mingi tukiwapa rizaa wanasaau YOTE Yale walioaidi kwetu
Asante sana vijana tunapaswa kuchukua hatua inch etu inachezewa mnoo nahawa wamavi mavi tusimame vijana mana hawana uruma na sisi wavyonge vitengo wanapeana ukoo kwa ukooo jamani tuamke
From BURUNDI: Kama Africa Nzima inadaiwa Hela.nyingi nawa Zungu Ma TRILION....... Wakulipa ni Raia . Kazi ya Siasa niya Wizi na uwongo ila inapana HESHIMA .
Huyu jamaa amesahau kwamba haturuhusiwi kuwa na maendeleo bali nchi omba omba, misaada na mikopo. Ninachojua ukianzisha harakati za Magufuli kuleta maendeleo utagusa wasioguswa maana wao ndio wenye hii nchi pia utakatazwa kwenda Marekani na utashitakiwa Kwa uvunjifu wa haki za binadamu. kilichopo achana na watanzania maana tayari walishahukumiwa na wakaridhika.
Ila hii inch 😢.. content za maana kabx zinapostiwa na midia changa, midia kubwa kama Millard ayo na wasafi kaz yao n kutupostia umbea,skendo na machawa(mwijak na baba levo)
Ibrahim Traore Ni Kiongozi Haswa.Point Sanaa Kaka,Ubarikiwe
Daaaah 😢😢😢 jamani moyo unauma sanaaaa ila sisemi shida nini ila nitongea na mwenyezi mungu kimoyo moyo naamini duwa atasikia na ajibu tu pengine duwaa hizi siombi peke yangu tupo wengi sanaaa ila one day yes 😢😢😢
Nchi yangu Tanzania, viongozi wanajali maslahi Yao binafsi kuliko maslahi ya Watanzania, Ee Mungu usiwaache salama hao viongozi madikteta, wezi, majambazi, mafisadi,
In Jesus might name
Amen
Upo sahihi kabisa ndugu yangu ndio shida ya nchi hii
Hawezi muziki wa IBRAHIM TRAORE,hawa wa kwenu ni VIBARAKA FULL VIBARAKA
Traore hawezi fanana na hao waoga kwanza walipoingia tu madarakani wakenda dhurula ulaya na marekani kwenda kuomba msahamaha na kujikosha
@@nakalikyumile3234 Mwimbaji wa mziki Kalikawa. Wimbo kaza moyo ndugu. Aliimba kuwa. Mwl Nyerere, Nelson Mandela, Kwame nkuruma, Peter tosh na Haile Selas Mzimu Wao Ulitokea wapi?. Akiwa na maana kua hawa ni uzao wetu. Wanaweza tu, kama Imbraim. Pindi wakitambua kuwa heshima ya kiongozi sio kapanda gari ya bei gani, ila anawatumikia watu wake kiasi gani. Na Raia tuwaelezea viongozi wetu maisha halisi. Sio nyimbo na sifa za unafiki.
@@FahadAbubakari Hi sifa ya elimu ya kutuandaa kutumikia mataifa ni mtu aliyepata elimu kutojitambua hasa nini kinamstahili kama yeye. Mfano JPM hakwenda sana nje tukasema hajui Kingereza. Sasa mfuasi wake JPM anakwenda huko kufungua nchi sasa shida tena. Kwa sababu Elimu yetu ni ya kutawaliwa mpaka leo hatujitambui kwamba sisi TUMEJIFUNGA WENYEWE. Viongozi wetu hawa ni zao la kijamii hii yetu. Tusitegemee miujiza. Labda tupate tena viongozi wa kuelekeza na kufundisha kuondoa Tatizo la kufikiri Kinyume nyume. Askofu Bagonza yeye anasema miafaka ila ni ngumu kuwa na mtu anayewaza na kutenda kinyume.
Hawa ni wezi, wanauza nchi sio vibalaka. WEZI WANAUZA NCHI
traole ni kwa najeshi sio kibalaka wa serikali sisi tuna vibalaka live kuanzia jeshi adi viongozi
Inaumiza sana kuona nchi yenye amani viongozi ndio wanao ongoza kuwanyanyasa wanachi,ni aibu kubwa sana
Huwa sikubali kwamba Tanzania kuna amani,afazali inchi yako hijulikane mna vita lakini raia wao wawe na uhuru wakusema,siyo TZ ukiwa muhongeaji sana unatekwa,amani gani hiyo
Jamaa amefanana na yule Askofu mwanamapinduzi sura kasoro sauti tu misimamo ile ile👏👏✌️
Ni kweli kabisa, au ni mdogo wake?
@claudmjama777 Aaaah hatujui mdau ila watu wawili wawili aisee😂😂😂😂
Nakukubali sana kaka ALLAH akujaarie maisha malefu
Kijana Mzalendo,you speak very fair sentiments.Thank you.
nimekuelewa mzee umeogea ukweli mtupu nimekuugamkono kwapwenti yakoñzuli safíkabisa mungu akubaliki
Uko vzr mhojiwa
Umenyooka mkuu,,ila Kwa hii nch ya Simba na yanga mmh,,hatuwez lolote!!😢😢
Nikweli kabisa majaliwa kabadilika sana toka afe magufuli 😢😢😢
Kuna wenye sauti mbele ya rais majaliwa tutamlaumu bure
Majaliwa tusimlaumu maana nye anahofia usalama wake
@@SelemaniMeena-oo3ossiyo mzalendo wa nchi yake akiogopa
Kijana mzalendo
Asante kwa hoja nzuri
Pia hapo kwenye Ramli chonganishi umesema kweli
Serikali isimamie hilo swala
Watu baadhi ambao wanajiita watumishi wanachonganisha jamii kabisa.
Utasikia I profesai naona umerogwa, Ndungu wa mke au mme wako . waongo wakubwa hakuna chochote ni matapeli tu , mimi ni Mkristo lakini Yesu Kristo mwenyewe hakuna sehem alifanya hayo mambo au manabii na mitume wote
Watu tusome Biblia takatifu vizuri tuielewe , Neno la Mungu ndiyo uhai wetu
Kama hauna la kizunguza ni bora ukanyamaza
Umevurugwa na Imani yako tafuta ulipojikwaa.
We kuma nn unajielewa kweli ww msenge
@@jovinmancomedytz wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu, wapumbavu
Baba upo poa ,ili usisahau watekaji MUNGU awe nawe, unasema kweli.
Ukweli nikwamba,majaaliwa wa magufuli siyo majaaliwa wa samia,yule wa magufuli alikuwa wa Moto Kama magufuli mwenyewe,yaani ukishika huku kwa Moto ukigusa kule kwa Moto Mara 2,sijui imekuaje
Ayubu kuhusu kodi hakuna nchi duniani inayo izidi marekani kwa kodi kubwa wananchi waishio hapa america wanaelewa ninachosema ukiwa huko nyumbani huwezi kuyaona haya ila tatizo watanzania hasa vijana ueajibikaji ni mdogo sana hasa masaa ya kuwa kazini wengi wanahitaji kupata pesa kwa kubeti ndio wafanikiwe hakuna maisha ya hivyo
Wanalipa Kodi na maendeleo yanafanyika which is good.Hakuna anayekataa kulipa Kodi, lakini unalipa kodi hakuna inachofanya we unaona sawa
Hii nchi shida ni kwamba wanaingia mikataba ya nchi kama vile wanaingia mikataba ya biashara zao binafsi na wanajali matumbo yao alafu mtu et anapigiwa makofi kaleta maji kama vile katoa hela mfukoni kwake ndugai aliongea ukwel akafukuzwa kama mmachinga kisa kasema kweli
Hatuna viongozi sis maana wao wanajiangalia wenyew bila kujua watu wa chini wanateseka San tushachoka uongozi wao sisi
Kwani ndugai nae c ndio haohao
Rip Magufuli tanzania hakuna kitu yan 😂😂😂😂kazi tunayo dah!!!
Unasema ukweli kabisa. 👍🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Huyu mwanamke hafai kabisa hata kuwa mzazi
Duh inatuumiza na hata tukibahatika kuwakataa viongozi kwenye sanduku la kura haiwezekani tuache tu ila kuna kipindi tutafanikiwa kufanya uchaguzi sisi kama sisi bila kuwekewa viongozi na mabeberu
Naomba nambayako ya sm ninayo yafaraga chonde chonde kwaheshima nauchungu sana samahan hunijui nyie najua utayasemea nchi imejaa wizi pokea maombi yangu ninasili nzito sana
Ni wakati wa vijana kuaminiwa kwamba wanaweza kuongoza,Traore mwenye miaka 35 rais,Wasira miaka 86 makamu mwenyekiti wa chama,hiyo ndio bongo.
Una maono kama yangu 🎉🎉ubarikiwe baba, tanzania hatuna kiongoz!
Hongera sana ndugu, inchi yetu imeangamia tafadhali tusimame wote kwa pamoja
Safi sana huyo ndio rais africa
Bom dia 🇲🇿🇲🇿🇲🇿😂😂😂😂😂😂😂😂
Ingefaa treule angewaonyesha namna yakupanga mali atustaili kupewa misahada atakidogo tanzania ndonchi ile mungu aliseama niya asli na maziwa ila atuna usimamizi unaojali watanzania wanyonge wanajilimbikizia mali utazani siku yamwisho wataondoka nazo tujijali wate watanzania niwazalendo kweli kweli
Sizani kama viongozi wengi wa African wana wanazamira njema na raiya wao! Nilichoona Mimi 1 wanaongoza Kwa kuwatii marecani ama warungu!
2 wanajuwa wazi kuwa wanauwezo wa kufanya mengi yasiyo faa na hakuna wa kuwaazibu wakiwa wanalinda na Hawa jamaa!
Kaka Serikali ya Tanzania waoga waliobaki Yan Magufuli angekuwepo wa kaungana na Traore Africa Ingekubali Hawa ndio viongozi wenye uchungu na BARA LA AFRICA TRAORE LOVE YOU SO MUCH ❤❤
Muoga wewe sio sisi usituambukize woga wako
Traole ww ni mwamba kama magufuri
Majaliwa kwiiiiisha 😮😮😮😮 yupo kama hayupo yanii
Shiiiiii watakuteka Hawa hawana huruma😢😢😢😢
Kwa samia sahauni uyo bibi ni kukiona Tanzania mbaya sana hana hata imani nyie msikilizeni ana kejeli mbaya huyu akiwa raisi 25 inshalah nahama tz nabadilisha uraia naenda Kenya
Wewe unakili KUBWA SANA!!!
@@FrankMwakatundu-cu6bdupo sahihi kabisa mama hatufai kabisa akalee wajukuu zake nyumban hii nchi inataka kiongoz mwanaume jasil sio m,bibi huyu 25 akipewa tena tumekwisha habar yetu
@@BoniphasLukas-c3cNa ndiye yeye yeye.
Mjiandae kuondoka tu maana CCM haijawahi kushinda wao wanalazimisha hata Kwa kuiba 😂
Nishida uyu mama afai kwanza hatukumchagua
Lupita siasa huwezi kupata kiongozi bora, utapata watawala, wana siasa mizengwe sana, Traore hakupatikana kupitia kwenye siasa
Brother big up waelimishe pia watanzania wajue kua wamasai pia ni watu na wastihili haki kama watanzania wengine
Point
Viingozi wa nchi zetu za Africa wanapaswa kuiga mfano wa kijana huyu mzalendo wa kweli wa bukinabe 👊 for Ibrahim triore the president of united state of Africa
Jamaa kichwa sana
Usimlaumu sanaaaa Majaliwa siyo yeye humo ndani kuna Makundi 3 Wajumbe ndiyo Ndumila kuwili ambao ndiyo wanafiki na wenye msimamo
Si ajiondoe kumaintain usafi wake?
Nayy anahusika huna vyakumtetea kabisa
Mmmhhh hii uzalendoo 😢
Hamna jinsi wanasiasa huwa wanaendana na upepo ogopa sana misoto tutakayoipitia mpaka kumpaka kiongozi ambaye hatakuwa remote ya wazungu inaumiza sana maisha yetu😢😢😢😢😢😢
Unaakilikubwa sna mtanzania mwenzangu pazasauti labda wakuu wetu wataelewa
Safi sana ngosha...ingawa unakandamija lkn tumekuelewa.
Hahahahaa
Hadhina ya Tanzania❤❤
Aaaah kijana mzalendo na kukubali sanaaah
Wanajali maisha yao wenyewe hao wengine wanakanyagwa kama nyoka wambie ukweli nawenyew siku ipo watakufa
Miziki watched kununua kila mwaka magari tena ya bei kubwa kwa gari la millioni kumi tano hayafai kuendea saiti
Tumuombee huyu kijana mungu amlinde zaidi asipatwe na chochote
Nikiona maendeleo ya traole nalia kweli kweli namkumbuka mkusukuma mwezagu ambaye nchi ya Tanzania saiz tugekuwa mia kwa mia ,toa maoni yako hapa nione tunafanyeje ili tuwe kama nchi ya bukinafo kwa traole
Mwamba uko sawa kabisa viongozi wengi wasariti mwamba alikua magufuli tu
Ee MUNGU tunaomba kiogozi kutoka kwako mwenye hekima anayejali masilahi ya watanzania kama ni Hawa hawa wasioelewa na wanyanyasaji watatuangamiza jmn 😢😢😢😢
Jamaa anastahiki pongezu. Viongozi wenye ufahamu tunaomba waskilize na wafanyie kazi maneno kama hayo.
Maneno ya kweli kabisa 💯
Bravo viva viva
Sikujui, ndiyo mara ya kwanza nakusikiliza. Nimefurahishwa na msimamo wako. Ni sawa na ule wa Lee Kuan Yew wa Singapore, Mahathir Mohamad wa Malaysia na Park Chung-hee wa Korea Kusini. Hapa nyumbani, ni msimamo wa Mwl Nyerere na Mkemia Magufuli.
Nakuombea kw Mungu upate uongozi (wa ngazi yoyote) ktk nchi hii ili Tz isonge mbele. Ameen, Ameen!
Safi,kwa hapa nyumbani umemsahau lissu😂😂😂
Mbaka leo kiongozi anasimama jukwani nasela nitaleta umeme nitaleta mji nitajenga balabala tumechoshwa naizo sela miaka stini bado tunasela hizo hizo 😂😂😂😂😂😂
Brother namuelewa sana
Sawa kabisa mzalendo uko vzr sana..kinachoendelea kule ngolo ngolo sio uhungwana kwakwel
Kuongoza inch ni kaz sana kama upo siliaz sijui kama watu wangefika mda wa kustaafu maana mataifa ya magharib wanatupangia sana Jins ya kuish😭😭😭
Hongera kijana mzalendo Mungu akutunze
Usimlaumu sana MajaliwA yeye na huyo mama wala hawaelewane ni basi tu anaomba musa wake uishe tu hakuna Waziri mzuri kama huyo Majaliwa alistahili awe Rais mama hamna kitu kabisa anarimotiwa
Majaliwa ana hofu kidogo ya Mungu.Ila NYUMA ya pazia Kuna kitu.Kilio cha WENGI ni JIBU tosha. Unaweza .
Angejiuzulu tungekubaliana na maneno yako
u are very smart and intelligent,wanao murimoti samia kwanza ni kikwete mzee mbaya sana na watoto zake wauza unga!
Huyondo anatuharibia nchi
Wemuangalie kindan kazikubwa kuwaunga vijana madinyao yakishenz tu kwatamaa zanjaazao ilamungu nikilakitui@@JeanMuzaliwa-bs6qh
@@JeanMuzaliwa-bs6qhna yeye kashakuwa muumini, labda alionjeshwa sasa kanogewa, huko Ngorongoro ni yeye na hao waarabu, alianza Kikwete alivyokuja Magufuli akawabasa, sasa mama na Kikwete partners yaliyobakia yanafurahisha 😂😂😂😂😂😅
Mabeberu ndo wamemundoa magufuri ili watunyanyase,, na,majariwa wa magufuri sio wa sasa kaingia kwenye mfumo wa watu,, watu wanakufa mahospital hawana dawa huku wachezaji wanapewa pesa za bure ila hii nchi,, hapana aseeh,, yaani aliye nacho ndo anaongezewa,😢😢😢😢
Aisee vijana hawana ajira pesa zinapigwa na watu wachache hakuna hata ufuatiliaji wananufaika watu wa chache
Akili kubwa sana mwenye akili lazima atambue ila ukiwa zezeta huwezi jua anachomanisha
tatizo ndugu zanguni tamaa ndo inayo wa ponza viongozi sasa tuna fika hadi sasa tuna jitharirisha kwa kitu kidogo moyo wenye upendo na watu na watu hulidhika kwa sababu ya utendaji wake kwa sababu utaya jua maisha ya raia kila kunako kucha na kuwatetea lakini kiongozi asipo kuwa na moyo wake' mnyofu sikuzote atakuwa tu akiangusha nchi kwa kuvuliga mipango ya raia wake
Huwezi kujifanya mzalendo kwenyenchi yawatu waoga we utapambana kwajiliyao ila likikukutawewe wao wapokimya so sioni uzalendo kidole kimoja hakivunji chawa
Majaliwa kapoteza sana imani kwa watanzania.ahaminiki tena kwenye uhongozi
Karudi kwa Mungu, ametubia dhambi zake, enzi za mwendazake alikua naye mtiifu kwa boss wake juu ya dhambi walizokua wakisaidiana. Huo uchaguzi uliomuweka nafasi hiyo mgombea mwenziwe alipigwa na kuumizwa, kiongozi wa aina gani hiyo kwa Mungu awe mtakatifu.
Kaka watu wengi ni bendela fata upepo unataka Majariwa awe wa Magufuri kiote nyasi😅
Ongea baba huyo ndo mzalendo wa kweli nasi tuombe Mungu tupate kiongozi wa kijeshi awafilisi hawa wahuni tupate maendeleo
Uko sahihi sana ira Mimi nashitaki kwa mungu kwa kuonekana watumwa katika nchiyetu mungu atatujibu maombiyetu
Yuko vizuri
Kweli we mzalendo
Huyo mama anajijali yeye na familia yake njoni mpaone kizimkazi alivyo pajenga ana Kijiji chake kina magorofa tupu Wana nchi tunalia njaaa😢😢😢😢
KIJANA MZURI WA FIKIRA
Upo sawa kaka
Wakujengee sanamu niwacha wakusema ukweri nchiya Amani reo muurize Masai muurize mkuu wa bandari mungu pekee
❤ my tanzania nnchi iliyobarikiwa na mungu
Mwenyezi munguu ufanye huu umaaaa uwe na amani na utuondoleee wanafiqi africa
MAPINDUZI YA KIFIKRA. WELL SAID MWANAMAPINDUZI
Kuna tofauti ya siasa na uongozi sifa ya kiongozi kubwa ni uzalendo,haki na upendo na kubwa kuliko yote ni upendo ukiwapenda na unaowaongoza na nchi yako utakuwa mzalendo na utataka haki ndo itawale wasiumizwe waendelee wanaachi na nchi yako lkn siasa mmmmh hata sijui ndo hizi pooli 😂😂😂wanazocheza kutamani ushindi binafsi
hii inanishangaza SANA wanapokuja kuomba rizaa ya kiongozi nchi wanakua NA maneno mengi mipango mingi tukiwapa rizaa wanasaau YOTE Yale walioaidi kwetu
Uko sahihi kweli
Iko siku Mungu atawanganiza viongozi wote wezi na mafisadi na wale wanaowasujudia watu maana wamelaaniwa
Njaa
Tátizo viongozi wetu wa África wanapenda sana misaada kuliko kufanya kazi
Kucheza puli....🤣🤣🤣...kaka umeongea...wanatufanya ma ndi ndi ndi ...!
Asante sana vijana tunapaswa kuchukua hatua inch etu inachezewa mnoo nahawa wamavi mavi tusimame vijana mana hawana uruma na sisi wavyonge vitengo wanapeana ukoo kwa ukooo jamani tuamke
Safi sana❤❤❤
Aminaaaaaaa
Nakuelewa sana kaka tanzani Bado sana nduguyangu viyongozi wako kwaajili ya family zao tu
Safi sana.pamoja
Daaah uko vzr kaka mkubwa
Asante mzalendo
Brother ubarikiwe unasema ukweli haswaa but iko siku mapinduzi ya ukweli yatafika
Safi kaka😮
From BURUNDI: Kama Africa Nzima inadaiwa Hela.nyingi nawa Zungu Ma TRILION....... Wakulipa ni Raia . Kazi ya Siasa niya Wizi na uwongo ila inapana HESHIMA .
Elimu yetu, imepindwa na walio tutawala. Hivyo tunafikiri kinyume. Viongozi hawaoni kwa sababu elimu yetu inazalisha kizazi kinachofikiria kinyume.
👊🏿👊🏿
Kijana Mzalendo😂😂😂😂.Anaongea mambo makubwa na mazuri ila ana imani na CCM😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa amesahau kwamba haturuhusiwi kuwa na maendeleo bali nchi omba omba, misaada na mikopo. Ninachojua ukianzisha harakati za Magufuli kuleta maendeleo utagusa wasioguswa maana wao ndio wenye hii nchi pia utakatazwa kwenda Marekani na utashitakiwa Kwa uvunjifu wa haki za binadamu. kilichopo achana na watanzania maana tayari walishahukumiwa na wakaridhika.
Na mwisho wakuue kama walivyofanya Kwa Magu
Tusiogpe Tz tutetee nchi yetu ht Magu km amekufa kwa ajili ya nvhi yake, ila damu yake imeamsha Watz wengi wanaopambania haki zao. Mungu ibariki TZ
Ila hii inch 😢.. content za maana kabx zinapostiwa na midia changa, midia kubwa kama Millard ayo na wasafi kaz yao n kutupostia umbea,skendo na machawa(mwijak na baba levo)
Machawa WA CCM hao na wanaogopa kufungiwa au kupewa figisu
Kweli kabisa
Asante sana kaka
Nimekuelewa sana
Tz MGENI anathamani kuliko mzawa mbona hiyo inajionesha sehemu nyingi 😢😢😢
Majaliwa asilaumiwe majaliwa nimtu nanusu Tena nimtu mwenye akili nyingi saana sisi wenye akili wenzie tumetulia tuliii
Kwani amemulaumu au amehoji
Amehoji tu sio lawama jamaa!
Sahihi.