Ni hakika baba lolote kwenye maisha linaweza kutokea ukijaliwa ufahamu hata wa kubeba zege basi shukuru sana kwa muumba sababu wapo wengi wamejikatia tamaa haya maisha ukiwa na akili ya kuwaza kesho yako tu basi umebarikiwa neema niishie kusema lolote kwenye maisha linaweza kutokea tutiane moyo na tukumbushane ukuu wa mungu Asante 🤚
Sasa Mchj, mama kakasirika, lkn kaagiza watu kawarubuni wakambake msichana anaingilia unyumba wake. Hapa sheria inasemaje ikiwa kweli askari huyo kafanya deal hiyo. Na angekufa nani ashitakiwe daa inauma kweli. Shetani kazini tu. Pooole!
Ni hakika baba lolote kwenye maisha linaweza kutokea ukijaliwa ufahamu hata wa kubeba zege basi shukuru sana kwa muumba sababu wapo wengi wamejikatia tamaa haya maisha ukiwa na akili ya kuwaza kesho yako tu basi umebarikiwa neema niishie kusema lolote kwenye maisha linaweza kutokea tutiane moyo na tukumbushane ukuu wa mungu Asante 🤚
Nakuelewa sana mtumishi Mungu akutunze najifunza mengi sana kupitia wewe ( umri wa ujinga wanajilea wenyewe) mungu atusaidie 🙏
Sauti ndogo sana, from Amsterdam nawapata vizuri.
Madini mengi kutoka kwa Mchungaji
Mzee ana busara sana nipo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Safi sana hananja umenifundisha sana god blees👋
Nakubali sns
Mchungaji unapenda ndumu Babu yangu
Ahsant mch hananja Kwa kutupatia madini safi
Leo sauti imekuwa chini sana
Sauti ndogo nawatizama kutoka 🇬🇧
Bagamoyo , msata ,kigoma ,singida ,songea na tunduru ,namtumbo , Kuna maeneo makubwa sana
Mchungaji mbona afya kama amepungua sana au anaumwa? Maana kisukari ni changamoto sana kwa watu wengi sana.
Mbona Sauti Ndogo Kama Ndio Mko Kwenye Uzinduzi Wa Chanel
Unakimbia
Sasa Mchj, mama kakasirika, lkn kaagiza watu kawarubuni wakambake msichana anaingilia unyumba wake. Hapa sheria inasemaje ikiwa kweli askari huyo kafanya deal hiyo. Na angekufa nani ashitakiwe daa inauma kweli. Shetani kazini tu. Pooole!
Huyu Ana madini nyie hamjajua
Kangalie move inaitwa Baba oliva ina mafunzo makubwa Sana kwenye jamii
Mzee wetu hazina la taifa hananja
SNS mbona kuna habari nyingi kua Hezbollah imeshambulia Israel kwenye media nyingi mbaka aljazeer hebu tukhabarisheni
Yaan aache kufuatilia vitu vinavyotea kwenye jamii yake akimbilie huko hezbollah unakotaka kusikiliza ili iweje sasa
@@WiselightOfficial kwanza wakike wakiume ili nijue nakujibu vip
We utakuwa ni masalia ya kiarabu ndo maana huna uchungu kabisa na dada yetu
Yani Unafunga Safar Kwenda Kumuoji Mtu Na Vifaa Vyako Feki Avina Sauti Kabisa
Duuh hiz hasira sio poa😅
😅😂 ndo ujue watu tunapenda kumsilikza baba hananja@@ShawnBeatz
Ww ni mgeni wa sns
Sim Yako mbovu. M naskia
Umeguswa nini😂
Saut mnafeli
Yaan watu wakikosea kidg tu wamekuwa wanafeli tena
Oya sio leo tu mm nilijua cm langu mda mwengn 😂
ajawai kuniangusha