Makonda nimekufwatilia sana tangu ikiwa mkuu wa mkoa wa daresalam na mpito uliopita nilikuwa sikuelewi ila kuanzia ulivokua muenez mpaka mkuuu wa mkoa wa arusha nimekuelewa sana piga kazi mkuuu
Huyu meneja wa maji mbona Anaonekana mlevi wa pombe mbovu kapata Meneja kwa Uchawi au ndugu yake mkubwa kamueka umeneja???😂😂Ajui kwa siku litter gapi Anakunjwa😮😮😮
Mradi wa maji momba tarafa ya msangano wenye pesa nyingi bilion 6.7 mpakaleo nikituko wamepewa watu kuchimba mifeleji ya kufukia mipila.Mda wa mradi unaelekea kuisha.mkuu wa mkoa songwe tunaomba baba jaribu kufanya mkutano na wanainchi wa kata ya msangano na ukaguea mradi wa maji pia kuna mradi wa ujenzi wa daraja bado nikama kunashida.
Mimi namushangaaa sana Makonda AKILI kuuu sana ndugu yangu Mungu akubariki sana ndugu yangu makonda
Hawa wakuu wa mikoa wengine sijui sio wanachama wa ccm
Ni kweli Wananchi wanaharibu Bomba ndo sababu Maji hukosekana sehemu nyingine asante
Be blessed 🙏🙏 makonda,tunaomba rais asikutumbue, watanganyika tunaibiwa sana na hawa watu wa serikalini,
Kwa kweli muheshimiwa Hawa idara ya Maji Mkoa wote wa Arusha lazima wasimamiwe vizuri sanaaaa.
Makonda nakujaaa, idara ya maji ni shida ninatumia ndoo 10 Kwa wiki moja lakini bili naletewa 30 au 25
Magufuli bado tunae
Makonda Mungu azidi kukutangulia...
Makonda hoyeee❤❤
Makonda nimekufwatilia sana tangu ikiwa mkuu wa mkoa wa daresalam na mpito uliopita nilikuwa sikuelewi ila kuanzia ulivokua muenez mpaka mkuuu wa mkoa wa arusha nimekuelewa sana piga kazi mkuuu
NIKWELI WANAIBA MAKONDA
The Guy is not compitent enough... Huyu injinia hayupo sawa
Maji ya kutosha Tanzania yapo
ila pesa za kuchimba visima na mabomba zinaliwa na wanasiasa pamoja wateule wa
wanasiasa hao kama kina Makonda.
Kuhudumia wamasai inahitaji Moyo
kukuudumia wewe insitaji Nini?
Acha dharau we mbwa
Wamasai tuna Nini,acha zarau wewe
😂😂😂Makonda Oyeeee
Magufuli katuachia mwana Mungu akupe maisha malefu
Huyu meneja wa maji mbona Anaonekana mlevi wa pombe mbovu kapata Meneja kwa Uchawi au ndugu yake mkubwa kamueka umeneja???😂😂Ajui kwa siku litter gapi Anakunjwa😮😮😮
Ukisikia akili ndogo kuongoza akili kubwa ndiyo hapaaa
😂😂
Bana baba Hawa wanatutesa kote tu?
Hahahaaaaa mtaalamu wa maji hajui binadamu anatakiwa anywe maji kiasi gani.. kiongozi huyo wa serikali vituko sana
Ipo siku utakuja kuwa rais wa jamhur yamuungano wa Tanzania utakuja kunikumbuka kwa huu utabiri wangu
Mradi wa maji momba tarafa ya msangano wenye pesa nyingi bilion 6.7 mpakaleo nikituko wamepewa watu kuchimba mifeleji ya kufukia mipila.Mda wa mradi unaelekea kuisha.mkuu wa mkoa songwe tunaomba baba jaribu kufanya mkutano na wanainchi wa kata ya msangano na ukaguea mradi wa maji pia kuna mradi wa ujenzi wa daraja bado nikama kunashida.
WASOMI VILAZA HAO WALIOWEKWA NA WAJOMBA ZAO KTK NAFASI ZAO😊