WASHIRIKI WA DODOMA WALIVYOVUNJA MBAVU ZA MAJAJI KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH DODOMA 2
Вставка
- Опубліковано 10 лют 2025
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Coy mzungu nimekupenda bure una moyo mzuri Sana unayajua maisha Safi sana brother
Tuwape heshima Sana Akina Joti, Mpoki Mc Mboneke Nk...kuchekesha kazi ngumu sana
Coy is very smart person
No 1 wap like za B.levo
😂😂😂😂😂milembe imejengwa pale Dodoma ni makutaniko ya wehu
Tuliokuja baada ya leornado kushinda weka like
😂😂😂😂 bwanaee
Huyo alokua anacheza kama mwanga 🙌🙌🙌
Comedy ni kazi na ni talents inayotumia hisia ya sita very tough kama mwili Wako haukuruhusu kufanya hicho kitu
😂😂😂ila babalevo eti hospital ya milembe imejengwa Dodoma kwasababu,nimakutano ya wehu😂nimecheka kifala,!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wamemsikia
uyu mwehu ni 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
COY Mzungu bro if you guys truly mean to discover talents. The Rasta man with the old age...aliekata viuno anakila kitu cha kumfanya awe comedian.
Kama nimewasikia vema;
1. Mnatafuta mtu mwenye kipaji halisi.
2. Awe na content
3. Awe mwenye kuandika set yake ya jokes kuleta mpangilio kwenye presentetion yake.
4. New face
Huyo jamaa mmemkataa tu sawa ninyi ndio judges ila kama mnataka kwenda international you need people with logical and smart jokes kama za jamaa.
Kazi yenu ni nzuri ila two judges hapo hawa qualify hata kushindanishwa na huyo bwana Rastafarian. He is real...so real.
Sijamtaja Bebelu Zembwela of the two un qualified judges to compete him.
Big five.
0985 good for this it make me laugh with my family from USA
Hawakukosea kujenga hosptali ya milembe Dom... Knachohtajika na knachofanywa tofauti
Wangemuweka na rubeni hakika bhna ni Moto Sanaa yulee🤣🤣🤣
Mshindi tuu ataroka Arusha kabsaaaa 🇧🇮🇧🇮 kwani mnasemaje uuuh
Etiii wallah huu ugonjwa utoboi ... Mshiriki wangu bora🤣
Iyi kazi ngumu san
Bado sijaona kam Arusha
Arusha ni noumaa
😂😂😂😂jamani kuna wengie wana nifany nione aibu mim uku iyo miuno vipi 😂😂
Nakubar
Coy ur gd in judgement
Yule jamaa mweus na Bonge wafikirie sana coy.....
Huyo sister mwenye miwan hamna kitu umembeba tu nazan unamtaman tu
Aza boii
Blood❤
Mikutaniko ya baazi ya wehu🤣🤣🤣🤣😂😂
So nice
Representing kenya
No. 0985 anajua sana uyo fidodido😂😂😂
Haaaa umekwisha
Dodoma hakuna wachekeshashi wengi ni wehu Kama alivyosema baba levo ndio maana milembe ikajengwa hapo 😂
Nlipenda comedy ya Arusha
Hao kina dada kunakipi kinaendelea 😅😅 maana mmeacha macomedian, mkachukua wadada
0985 ni chaguo langu bora sana
Dah....kama niivi naweza
Alokata mauno mauno kanichekesha 😂😂
Namba 0890 Ana fanana na Wema Sepeto
Nani amerudi hapa baada ya final?
😆😆😆😆☝
Baba levo mwenyewe niche wa Diamond
Maneno ya Majaji yanachekesha kuliko washiliki😂😂😂
Wao kua majaj imaanisha wanajua zaidi
Mpimbwe electronics enzi zake 😂
Jaji ndo mchekeshajiii ila washirikii amna kitu bora wachekeshaj wa gwassa 😁😂😁😁
30.1.🤩🤩🤩🤩
Hii kal😂😂🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
😂😂😂mazee huyo mbongee mweusi anatishia
Eti Dodoma ni makutaniko ya wehu 😂😂😂😂😂😂
Uyo mwenye dera anasoma sana vibonzo mpak anasahau
Ila wewe dada umejua kunifurahisha eti anasoma Sana vibonzo 😂😂😂😂
Dodoma wako vinzr sana 😂😂😂
Huyo wa kwanza anajua
Ahsante
Daah huyu kaka walasta kanichekesha jmn🤣🤣
😁😁😁😁
Wasaaaaafi
Dodoma wamezngua sana☹️☹️
Sana
Hapana kunawalio perform vizuri kama yule lasta man
Naomba ratiba ya kipindi cha Cheka tu kwenye Wasafitv
Mmhu ila bro Zembwela daah hapa wenye kukupa moyo wa kufaulu maisha ni baba levo na koy mzungu
Jaman hz hela zinamfanya mtu aonekane chizi 🤣🤣🤣
😂😂 interview ya cmba
Hao watatu ambao Coy ulilia wakat wa kuwatoa mbona ndo wanadeserve daah
Nakubaliana na wewe
Na mm nashangaaa kwann amewatoa maana wale ndo wakali zaidi nilihc ndo wana pata
Mmeniuz sana
🤣🤣🤣tuliokoma tujuane
hawa madada wanachukuliwa kwnn 😄😄
Huyu dada mwenye ushung umembeba bora ungemchukua Yule bonge au Yule mkaka alovaa kilemba aisee
Bonge mmemuacha bure tuu
Kweli
Maisha unayachaguwa na ya naweza kukuchaguwa wewe!
Nimeupenda sana huu msemwa.
Mshkaji anaekata mauno mumemuibia tu
Double standard
Nimemuona mwanangu eddo
Haki mm siwezi fanya hii kazi ya kuchaguwa mshindi naeza chaguwa woote na naeza lia saana maana nina moyo wa huruma mno daaah ni mtihani kwakweli.
Ng’ombe wa Mwanza wanachoma matofali 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
@@azaboicomedy 😂😂😂
Yule wa rasta wa kukuta Mauno anajua sana sema zembwela hafai Kuwa jaji
Kabisa zembwela hana lolote hapo yupo kwaajil ya kukatisha tamaa
Naomba namba yaeliudi
0957 Kikao cha Audio, One man pretending a group of a sutan conversation 👍
Beberu hacheki beberu na kucheka wapi kwa wapi
0985 anajua sana
Huyo bonge Mhindi yuko vizuri mno
Mjawi huyu 😂😂😂
Ila zibwela nikauzu😃😃😃
Nice
Mwenyekucheza yupo vinzur
Makutaniko ya baadhi ya wehu... Baba levo mjinga kabisa 😁😁😁😁
Huyo bonge nadhani alideserve pia kushinda
My bro Charles mkagwa chibonge
WOTE waliovunja MBAVU ZA ndugu ZETU huko Dodoma UMAANA polisi hawajasikia hilo? Kamataaa haoo wavunja mbavu..😄😃😆😆🤣🤣😀😁
Daah dodoma
Sasa kama mmewatoa hao na mwenye kiremba mnapeleka nn mjin🙄🙄🙄🙄
Yaan ndo nawaza kwamba wanaacha wazur wanachukua wabovu
nami taka kuingiya cheka tu lakini niko zambia
28:42 utawaambia TRA wamefungua bendi😂😂😂😂😂
Dullah alifunika wote hapo why mlimuacha?....ndio maana mpaka leo anaiweza comedy vizuri sana.
Round 1 ilikua moto
Tx
Yan naangalia huku naokenua ila sichekeshwi imagine 🤣😂🤣
Mwenye kuhitaji vichekesho nitafute in bobo
Tupe Talehe ya kuja songwe tunawahitaji
uyo wa kobe yuko vizuri
Daaah Leonardo umetoka mbl sn
#deopa Media
edoooooo nime kuonaa😃😃😃
Jaman rasi
Huyu wa jembe na mpini wake 😂😂
Majudge ndo wanachekesha hadi raha
yaan majudge ndio wanaotuchekesha \
Mm nimependa uyu wa kukamatwa unakojoa
Jaman ata me NINGEKUA jaji sijui tu yule mshiriki wa pili tu NINGEKUA na fimbo Wote wanaongea ujinga piga fimbo
The problem with Tanzanians hawafanyi research!!! Wako chini Sana!!!
True
0957 he talk like gabo zingabo
We baba levo huna hata kipaji
Arusha walitisha sana
🤠🤠🤠🤠