TAZAMA VITUKO VYA WASHIRIKI WA MBEYA KWENYE MCHUJO WA CHEKA TU COMEDY SEARCH
Вставка
- Опубліковано 5 лют 2025
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Eliud anaroho nzuri sana, Mungu azd kukusimamia Eliud wetu❤❤
Ila coy mzungu ni mtu na anajua alipotoka namkubali sana coy he is a real man,father and Brother naingalia nikiwa iringa aje tu na huku
Mwamba elidy nakubali brooo we mkali mungu akubresss sana
Kama wewe umekuja kucheki hii video coz ya kucheka tu naomba like yako
Dhh uyo kaka mwenye ako na Da Neema nime penda alivyo sema❤️😍😍
Huyo msenge aloambiwa akalete chakula mimi kaniumiza mbavu kabisa ... The guy is naturally funny aisee😁😁😁😁🤦🏾♂️
Hahaaa
Safi sana mwanzo mzuri Coy Mzungu, Mungu awabariki mpate wachekeshaji wenye vipaji haswa
Ushawahi cheka kwasababu mtu hachekeshi??😂😂tujuane kwa likes
Mtu anakwambia naomba niondoke 😂🤣
hahahaha 2ko pamoja
Hasa achekeshi we umechakaje🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Yaani tupo😂😂😂
Asante sana Éric Mungu akubariki kwasababu ulifanya ile ambayo kristoyesu anayo itaka yani nilazima kujitowa kwaajili ya mwengine 🇺🇬🇨🇩🇨🇦
Kuna jamaa alipoteza kila kitu kwa stage😂😂😂
Wasafi n kiwanda cha sanaa Africa 🌍
Wazo ni zuri sana kwa utafutaji wa standup comedian. Ila kwa upande wa programme production haikuwa poa kwani ni copy and paste ya programme production nyingine. Hakuna ubunifu mpya kabisa!!
Uwezo kuchekesha unazaliwa na kipaji. hata ukiwa hana experience atakuchekesha. Mimi sijafurahi hata moja. Comedians ni kazi nguvu sana. Nice show
Baba Levo alivyo seriously utazan sio yeye Yule chzi 🤣🤣🤣🤣
Sina chakusema juu ya broo mungu ampe moyo huo huo maana kwenye dunia hii yupo peke yake
Yan hpo majaj wanacheka sio kwamba wanachekeshwa ila wanahuzunika to😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jaman eliud mungu azd kukuinua🙌
mchekeshaji anaenda kuchekesha afu anachekeshwa yeyeee😆😆
nimecheka sanaa sio kwa ubaya nimependa program iwe endelevuu
Eliud ni mwamba yupo tayari kujitoa kwa ajili ya mwingine big up bro
Hapo ndo ushamfikisha baba levo 🤣🤣🤣🤣
Mm binafsi nimependa uyo jaji na majaji wote pia kwakulipa wema wa uyo jamaa aliekua tayali kubaki yeye na kukubali mwanamke aende kiukweli kwangu mm imenitoa machozi kabisa ameonyesha kuwasapoti wanawake wanawake wanaweza mwanamke ni Tai mungu awabariki wasafi kanzi nzuli sana
Nembo ya mtaa mo town Sanya🔥🔥
Noma sana
Jmn huyo kaka ana upendo sana nimetokwa na machoz
😂😂😂😂😂baba levo nakupenda Sana
Nakubali sana Jose wa mama Jose safi sana wajina unakipaji sana man piga kazi
Hizi comedy nazo .😂😂😂Mbona una kipara🇰🇪🇰🇪
😅😅😅Denis kaomba aondoke mwenyew aisee... pesa hii daaa
Daaa kanichekesha San denis daa
Mo town bro uko juu huwa wanipinga sana from 254
Zembwela sijawai kumuona akicheka, kwaiyo ukitaka kumchekesha inaitaji kazi kubwa sana
😂😂😂 The host njo anachekesha
Mbona hawa watu awachekeshi
Haha haha 😂😂😂 huyu wa chakula 😂😂😂 aisee dah
Kipindi kizuri sana! Safi Sana Wasafi TV kwa kutupa burudani tosha!
nakubali sana koi mzungu , anatia falaja , wengine kqmq madam lita na kwq konde boy
Mama mchungaji ameziajiri mbavu zangu kwa muda🤣🤣🤣🤣🙌
We jamaa hautaiona mbingu😂😂😂😂
Daaah coy is really genius by that way he make decision good up bro
Hawachekeshi,,,yaan hadi m ninaeangalia naona aibu 😁🙈🙈 cjui kwann tuu mmmh
Daaah uyo jamaa alio poteza netwek hahahha
Habari zenu ? Mzuri...Mumekula ? ndio..
Aya kalete chakula basi😂😂😂 Hii kali wadau😂😂😂😂
Nime poteza Kila kitu naomba ni ndoke tuu😂😂😂😂
Chiff dguje anaheshima sana I like that
Eliud ana roho nzuri sana jamanii
Dakika 32 huyo mzee katisha Sana hachekeshi lakini ndo amenichekesha kuliko wote🤣🤣🤣🤣
From Kenya I silute Eluid, his a really Gentleman
Kinyambi 😂😂😂
4 sure
Mwanza Lin au mmeisha toka by king killer
Baba levoo asitoe saana machooo anawatishaaa
😁😄😄😄hapo kwenye Gari hata mi ntapata lifti😁😁😁😁
Coy your judgement is promising you never demoralize anyone, God bless you, ( wanjala Toka Kenya )
Mi namkubali Zembwela tu✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️
Uyu mzee baada ya kuchekesha anatoa nasaha hahahahah
Zembwera saruti kwako nilijua tu lzm umukumbatie neema😁😁
Neema. Nimekupenda sana. Next time tufurahishe sisi wahanga wa hisia. Wakati Eliud alipoanguka chini....nilitamani ungemuinua na kum hug sana kwa sababu ya kile alichofanya yeye kwako. Hongera sana.
Anaechekesha mwengine aibu naona Mimi😂😂😂🤣🤣
😂😂😂😂
Hahaha criaz 😅😅
,😂😂hatar na nusuu
😂😂😂
Hahahahhaha hata mimi
Eliud this clip testimony ❤
Jo master hachekesh bana labda lkn uwezo mdogo sana
😂huyo bb revo kanivunja mbavu.
Kwamba kachiri on dis one nakukubali kinoma noma an
Big nimemwelewaaaa sana
Baharia hasaa tena wanchi kavu😂😂😂kaza baba mzaramo wa mbeya ulojitokeza 😂😂👻
Nice session like kama zote😁
Yaani nacheka kwakuwa sielewi kinachoendelea kweli kuchekesha kazi aise 😂😂😂😂😂😂😂 Et naona kama sukar ya zuchu yote kama amelala nayo yeye 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Huyu interviewer hapo nje mnafki sana😂😂😂💔💔💔💔
Jameni kinyambe iko na kipaji 🤣😂😂
Mwamba mtu imara nakukubali saana mzee baba
No.0991---😄😆😅sema blackout 🌚.....pole bro tha is always next time👊🏿
Daah najikuta naona aibu mimi aysee😂
Ma judge wiki ongea waki hoji ndio raha yake hahahhaha Safi Sana kutoka Dubai pamoja sana
Dah, mpaka naona aibu Mimi mtazamaji kwa haya mambo
Hili zoezi gumu mno😄
Mwaisa mtu mbadi yuko wapi jmn🤣🤣🤣❤️
Kwani wa wapi uyo jamaa? From Mozambique 🇲🇿 hapa
@@kingcicero1708 wa Mbeya - Isengo
Hekima ni kitu kikubwa Sana Elihudi Mungu azidi kukubariki
Ann nimejifunzaa kituu kikubwaa saana kutokaa kwa eliudi kama katika maishaa yako yotee lengo lako nikufanikiwaa tuu hutakujaa kufanikiwaa kamwee lazima tuwaze na hekima naa busara pia
Aisee Ninacheka kwasababu Hawachekeshi 😂😂
Mtu imala bhana hapo kwa kinyambe hahahah
Ila kuchekesha kazi sana
Coy mzungu has a free heart.. he is really trying to see good in them
Inaitwa Stand Up Comedy. Sio mchezo😃
Kwel kabis baba levo
Tanzania hatowezi Comedy tuwaachie wakenya Comedy za Kenya utacheka tu 😆🤣😄
Uyo jamaa mpishi nime cheka sana yani hahaha
Nimempenda huyo aliyecopy jolmaster 🤣🤣🤣
😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣zebwela nakuolewa
Jamani mimi kwa ushauli naomba muwape washiliki mda waku weza kufanya kile wana choweza hata waki weza kuigiza kama mtu mwingine
Hakuna Kazi Ngumu Kama Kuchekesha...Tena Unamchekesha Usiyemjua Nn Kinamchekeshaga Akiwa Kanuna 😅😅😅
Ila kuwa mwanaume kazi kinoma
Sema huyo dadaa ziro kabsa na kisuruari chake
😂😂😂
😂😂😂😂 zebwela kapendwa
Zembwelaaa...umezdi fhambi kwel😂😂😂
Sijamaliz Kuangalia, mtanipa feedback kama kuna aliyechekesha 😂😂😂
Kinyambe ameweza
Shikamoo standup comedy hahaha
Kumbe co rahisi
Huyo kinyambe jamani😂😂😂
Mbeya kwa wahuni wabishi watata nakubali sana
Oya wanangu zembwela ni kauzu zaidi ya dagaaa uyu jamaaa hanatakiwa kuwa usalama wa taifa.😎😎😎 kwakweli🤠🤠
Hey wasafi me cjawah kukoment hat cku moja ila huyo jamaa na uyo dem hapo wameniliza 4sure😭huo cyo msaada bali ni upendo
Duu,wee jamaa unayehoji unafiki sana😆😅
Cjawai comment naishiaga kulike tuu lakin uyu dada wa kwanza kabisa
Na historia yake apana mwee
Nyie mi nampendaga baba levo akiongea ata kawaida tu nacheka
Yaan apa utacheka sio sababu washiriki wanavichekesho hamna ila wanachochekesha kinachekesha🙄🙄😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂nacheka juu watu hawacheki 😂😂😂