Leonard kaza mwaya ata ao wengine walianza km ww yan mi nimecheka sana upigi mikelele mifujo kutembea mimwendo flan mara kuruka mara kukaa kifup hutumii nguvu tucheke km uyo....kila la kher na Mungu akupiganie sana
Hakuna sehem mnayo boa kamakwenye sauti ya jingo ya cheka tu kubwa lakini sauti ya mic mnazotumia hovyo kabisa sauti mnasikika kwa mbali kelele tupu mnaboa bwana kampuni kubwa ila mnazingua sana
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 💥🇹🇿🇰🇪💥*
Tatizo storylines za standup comedians wetu huwa sio consistent. Mambo mengi wakati mmoja, vitu kibao wakati mmoja bila muunganiko. Kuchekesha kunawezekana kwenye story moja tu yenye vituko vingi ndani yake...
Anafel kuish na attention za watu, a real comedian , every step every move is a laughter pia ni unpredictable wapi utacheka, but ana fail ku maintain interval iko very regular audience washamsoma wapi watacheka wapi hawatocheka, kimsingi anaenda kuboa, ajifunze kwa Mpoki au Basket Mouth..All in all ako na something extra.. akizingatia ni mtu hatari sana coz comedy yake imekomaa sio ya kitoto
Mm leonardo nishabik wko wakwanza yaan km siww nisingepoteza mda kuwaangalia awo wengne nakukubali sana yaan sichoshwi na vitu vyako dah Allah azid kukusimamia kaza but uzid zaid nakukubal sn
@@einsteinmandilindi7396 ni kwa mtazamo wangu tu, alianza vizur katikati akapoa kisha naona akamaliza pia vizur... Ila kwenye mashindano jamaa alikuwa anakiwasha mwanzo mwisho ni vibe tu, na ukitaka kuamini kuwa alipoa angalia tu watazamaji kama nao walikuwa wametulia ila yote kwa yote mwamba ni mkali, na he deserve hongera zote
Hongera sana Kaka ila ningekushauri kutokuwa unaliza ulimi kwenye Microphone kisha kumaliza kusema jambo kwakuwa iko inasikilikana vibaya kwenye sikio.asante.
😢HAKUNA MUNGU WA DUNIAN ACHA KUPOTOSHA WATU WAZIMA. SOMA DINI KIJANA. MUNGU NI MMOJA TUUUUU HANA MSHIRIKA ,HAJAZAA NA WALA HAJAZALIWA NA HAFANANI NA KITU WALA KIUMBE CHOCHOTE.
Leonardo your the best comedian ni Tz am Joe Mose from Kenya Nakuru
Leonard is the price of comedy Kwan anatumiy akili kuliko kawaida
Leonardo is a genius❤️
Tuweke na said said. Nawengineo pia shukran sn coy mana tulisubir sn hizi
Am your namba one fan you make my day always
AINA YA STAND UP COMEDIAN AMBAYE MIMI NAWEZA KUMSIKILIZA.
💥💥💥
😅
Comedy yako ni nzuri, akili nyingi.lakni jitahidi kupanga content zako.Big up sana leonardo
😂unazingua
This guy is talented 🙌🙌🙌🙌😁😁😁😁
Comedy ya akili wala hatatariki kucekesha kibusara kabisa saluti sana Leonardo
Huyu mwamba kumuelewa unahitaji uwe na akili kubwa.....ila mwamba anacomed flan ya kinyamwezi na yakiakili saaana
Kwl man
Comedy zake kama za idris ili ucheke inadi utumie akili,
Bila D mbili hutoboi🤣🤣
Kabisa🎉🎉🎉
Yan mm Sijawah kuwaelewa kabisa mnachomaanisha akili akili akili Kwan wengine wanatumia ? 😅
Leonard unajua unatumia akili sana usikate tamaa sikuzote mti wenye matunda upigwa mawe pambana
Leonard kaza mwaya ata ao wengine walianza km ww yan mi nimecheka sana upigi mikelele mifujo kutembea mimwendo flan mara kuruka mara kukaa kifup hutumii nguvu tucheke km uyo....kila la kher na Mungu akupiganie sana
daaah eliza umeongea point ila apo kwenye yanga sasa mwe hahahahahahah!!!!!!.
Kila mtu ana upekee wake....
Ila mwamba ni super talented🤣🤣🤣🤣
Leo Leonardo hajajiandaa kabisa asijisahau anakae chini aweke content nzuri leo nampa 5/10
Leo hajafanya vzuri kwakweli
4 out of 10
Msapoti kwanza mnakuwa wakosoaji kwa kila kitu ebu tuonesheni nyie kha mnaniboa sana
Jol master’s generation 🙌🏿❤️
You are the best💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Anajua lakini navomsikiliza ni jolmaster mtupu big up kwake
Huyu ndo mwamb anaefanya ninunue bando kila mda....respect brother Leonardo.....
Good commedian napenda sanaaa
Show zako ni Ugenius kma babu yako Leonard Da'vinc wee jamaa unaeza piga izo standup NY + UK
Da vinci's demons moja hiyooo, naqbal pia kuna michael Scolfield
Kijana ana materials big up kwake
Cheka now mko juu sana mpka basi kwa huyu bro mmepata kifaa cha kutupa burudani
Hakuna sehem mnayo boa kamakwenye sauti ya jingo ya cheka tu kubwa lakini sauti ya mic mnazotumia hovyo kabisa sauti mnasikika kwa mbali kelele tupu mnaboa bwana kampuni kubwa ila mnazingua sana
Apo Amna wakulingalishwa lionado na eliud
Good work 👍👏🔥🔥
Umeua 🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Leonardo ur so funny crazy person never happen in this industry 🤓🤓🤓🤓🤓🤓 sharout sana
Shout out/ sharout😢😢
Wamempa ushndi tu yulelkn umemgaragaza yule cjaskia ata punch kali Kama hzi unajua mzee yule hata nusu hakufkii
Yupii
S Joel et kwenye battle kamshnda mwan
@@kleofacejerome9025 ah
LEONARDO KAZA SANA STAND UP COMEDY NI NGUMU SANA TO MAINTAIN
Sana ana content ila ajipange sana.
Saa hivi wa moto sana
Anajua sana 😂😹
So talented
Balaaaa zitoooo😂😂😂😂🤙
Nakubl hautumii nguvuu kwanz😂😂😂
Yeah
Katisha sana 💯
💥💥💖💖 GOOD WORK 💋
Leonardo 🔥
NAWAKUBALIII sanaaaa wote kutoka Kenya
Kwa akili ya kawaida leo ulitetemeka!!
Huyu jamaa@leonardo Mungu Baba ampe maisha marefu...anafanya ya wengi ya marefu
First view
First viewer sio view
Kumuelewa akil kubwa inahitajika🔥🔥🔥❣❣
Huyu ni fire watu wanacheka balaa sio yule jamaa joemaster mbwembwe nyiiiingi
Nampenda Sana Joel master
Jamaa anajua sana
Eliud mpango mzima
Eliud baba yao anawakarisha wote humu cheka 2
Eliud Fundi
Big up broo
Jamaa 😂😂umekuja moto
Bigapi sana 🤝
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 💥🇹🇿🇰🇪💥*
umejitahidi
Comedy + shule = Fireeeeee......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ur the best leo...said said whre a u brothr
Huyu jamaa anajua anahasira san na huu mchezo
Leo ame underperfom 50/100
Panda wewe kwa jukwaa watu wakuskize
Panda wewe kwa jukwaa watu wakuskize
Kabisaaaaaaa, Perfomance ya leo kawaida saanaaaaaaaaa
Absolutely..yule headmaster yuko form
Nikweli
Nitumie number yko Leonard kuna issue ntaka kukuulizia plz
Tatizo storylines za standup comedians wetu huwa sio consistent. Mambo mengi wakati mmoja, vitu kibao wakati mmoja bila muunganiko. Kuchekesha kunawezekana kwenye story moja tu yenye vituko vingi ndani yake...
Sure
🤝🤝🤝🤝
Si uchekeshe na wewe kwani lazima afanye yeyee
Nmekupat as a future stand up comedy I will deal with it bro
Mnajuwa Sanaaa 👊👊👊
Huyu jamaa anajua kutumia akili sana
See you at the top man
Wakuu tunaomba spot zenu katika kikundi chetu cha sirori simba movie talents 🙏🙏🙏🙏🙏
Leo umetokotesha,INAONEKANA Kweli umepanic na millioni kumi na kiwanja but, 50 enough for you.
Joel Masta auawezi uu moto jamaa atumii nguvu uyu utacheka tuu na usipocheka ukapimwe mbavu utakua na matatizo.
Leonardo 👏👏👏👏
Anafel kuish na attention za watu, a real comedian , every step every move is a laughter pia ni unpredictable wapi utacheka, but ana fail ku maintain interval iko very regular audience washamsoma wapi watacheka wapi hawatocheka, kimsingi anaenda kuboa, ajifunze kwa Mpoki au Basket Mouth..All in all ako na something extra.. akizingatia ni mtu hatari sana coz comedy yake imekomaa sio ya kitoto
Sure...
Yeah
King of young generation in stand up comedy 🎭
5 to m
Mm leonardo nishabik wko wakwanza yaan km siww nisingepoteza mda kuwaangalia awo wengne nakukubali sana yaan sichoshwi na vitu vyako dah Allah azid kukusimamia kaza but uzid zaid nakukubal sn
Bongo comedy tunajitahidi Ila vistory vyetu viko short short hakuna story muendelezo...mada kipisi,kipisi inaangukia kwengineko
Huyu jamaa anajua asee...comedy yake ina IQ kubwa mnaemponda sijui mnampondea nini kwangu mm ni 90/100
upo sahihi kabisa. Dogo yupo vizuri sana ana contents nyingi anajitahidi
😂😂Well Done 😂😂nakubali Sana Man
Kawaida sana leo
Nzuri bro
Somehow work hard broooo😓😓
Hongeraaaa Sana pull up
Comedian ya Leonardo ni ya kufikirika sana
🤨🤨🤨daaaa kucheka kipajii aiseee mm najaribu lakini waapiii
Uwiii🔥🔥🙌
Umetisha kaka
Morogoro stand up....!
Daahh umeuaaaaa
Smart sana
Hakika kaka yetu uko safiii
Amazing
mbna kam milion 10 zmekosewa kuenda kwke
Sure dzain kama kapoa hii show... Tofauti na kwenye mashindano
Apana ata haija kosewa kak
Kapoa nn sasa mshkaji wa motto hivyo
@@einsteinmandilindi7396 ni kwa mtazamo wangu tu, alianza vizur katikati akapoa kisha naona akamaliza pia vizur... Ila kwenye mashindano jamaa alikuwa anakiwasha mwanzo mwisho ni vibe tu, na ukitaka kuamini kuwa alipoa angalia tu watazamaji kama nao walikuwa wametulia ila yote kwa yote mwamba ni mkali, na he deserve hongera zote
Roho mbaya .......chuki ....wivu....uchawii Ndio vinakusumbua TU
Hongera sana Kaka ila ningekushauri kutokuwa unaliza ulimi kwenye Microphone kisha kumaliza kusema jambo kwakuwa iko inasikilikana vibaya kwenye sikio.asante.
Huyu mshikaji anajua mpeni sifa zake
🤣🤣🤣we ni noma
Jamn @leonardo n anajua sanaaaa
😢HAKUNA MUNGU WA DUNIAN ACHA KUPOTOSHA WATU WAZIMA. SOMA DINI KIJANA. MUNGU NI MMOJA TUUUUU HANA MSHIRIKA ,HAJAZAA NA WALA HAJAZALIWA NA HAFANANI NA KITU WALA KIUMBE CHOCHOTE.
wewe ndo usome vizuri bible
Noma xanaa kijan
Imekaa poa sana
🙌🙌👏
Jmm mbona hatuwekewi show nzima
Yan wameniudhi
Bado zinakuja zingine
Ifike mahali mtuwekee show yote jaman msitukatili kiasi iko
Elizabeth Joseph show zingine zinakuja na kwasasa hizo ni show vipande vipande vya kila mmoja.
@@chekatu sasa mulishidwa nn kutuwekea wasafi tv mpk munakera watu kiasi hiki😒😒😒😒🤔🤔🤔
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
Good work...
❤❤❤🇹🇿
Uyu jamaa ndio comedy bola tanzania
Leo km hauko poa shenziii😂😂😂
HJVI MSHINDI ALIIBUKA NANI JAMN???
Léonard
Talented
Leonardo kichwa sana 👏
Haaaaaaaaaaaaaa safi sana
Audio zenu mbovu bhana mara msikike vzr mda mwingne mfifie aahh htr tu
Mwamba noma mvkxo poa😂😂😂😂😂😂