Both houses are nice, ya msechu 1, mwijaku 2, aristote last. Am an architect and engineer but aristote has over used materials. one secret about house, white and black colour is the best
Daaah he is a family man, unaona kabisa moyo wake upo kwa familia yake. Kwanini usitoboe!! Hongera sana sana. I connect to such grace. Iwe hivyo na kwangu pia 🙌🙌🙌
Mungu akubariki wewe na family yako,mke wako umempa nafasi tunayo ithamini wanawake wengi ana bahati kupata mume kama wewe,ndoto zanu zimetimia kwa kishindo na kutuacha mdomo wazi big congrats bro
Ninavyopenda mambo ya nyumba na makazi Mungu mwenyewe anajua... Niwape hongera Mr & Mrs kwa kufikia malengo mliojiwekea hii ndio maana ya ushirikiano wa wanandoa.
Nimekuwa inspired sana na hii kitu kwa uwezo WA mungu siku moja nitakuja kuishi sehemu yangu mzur hataka kama isifikie hii ila angalau namm nitakuwa nimetimiza ndoto yangu..hongera sana peter msechu
Msechu binafsi mmeniinspire sana wewe pamoja na mkewe.Kupitia hii nyumba nami naweka malengo ya ujenzi.2030 nitawaita millardayo kwenye nyumba yangu.😊😊
Hongera sana kaka. Nimependa sana ujumbe wako unatia moyo kwa watu wengine tunaojitafta unatutia moyo na wengine kutokukata tamaa kwenye maisha big up bro🎉
Hongereni sana Mr $ Mrs Msechu,hakika huu ndo umoja na mshikamano unaotakiwa kwenye ndoa. Haijalishi mnapitia changamoto zipi lkn mme akimpenda,kumthamini,kuwa muwazi na kumheshimu mke,kwa vyoyote vile mke atamtii mume wake na maisha yataenda vizuri
Namuelewa sana Msechu namna anavoelezea kwa hisia, namuelewa vzr sana. Mungu nakuomba uniinue kiuchumi na unipe hekima pia niweze kufika hatua hii. Kwa jina la Yesu.
Safi sana Mr msechu Mungu akikubariki lazima ushukuru na kufrahi Hongera sana nanimejifunza kitu kutoka kwako na mm nitaanza kumbe inawezekana kumiliki nyumba ninayo itaka natakiwa kuwa na nidhamu ya pesa
Hongera sana Peter! Watakao kubeza hawana akili! Funzo kubwa heshimuni sana wake zenu na muwashirikishe kwenye maendeleo! Mungu azidi kukuinua Peter na mkeo kipenzi mama lolo
Hongera kakaangu mungu ampe maisha marefu ufanye mengi zaidu ya hayo .usitulie useme umemaliza manaume nikupambana hongera kwa mkewo mshauri wa familia❤
Wanawake wa saivi anataka akija akute ushajenga mjumba, una magari yeye aje na jibegi lake la nguo tu aingie ndani😅 hawatutaki tukiwa tuna hussle ili tupambane pamoja, hadi tufanikiwe ndo wanajileta
Mume kapata mke na Mke kapata mume" ongeleni saana, Ehee Mwenyezi Mungu wajalie hawa wajawako maelewano na upendo endelevu sikuzote za maisha yao, uwaepushe na kila lililokinyume nao, furaha ya huyu ikawe kwa huyu na furaha ya huyu ikawe kwa huyu pia na familia yao" Amen.
Mungu akunariki sana Peter. Kila anajenga but damn, beauty ya nyumba yako niyakipekee. Clip imeonesha nje tu inakufanya mtu utake kujua ndani kutakuaje. InshaAllah nami soon im following your steps🙏🏾🙏🏾
Hongereni sana .Hii ni mala ya kwanza kutoa comm.Nakumbuka mlivyojitoa kwa KUMWIMBIA Mungu Kkkt enzi hizo usharika wa kigoma mjini , kuanzia Baba,mama na Watoto.Haya ASANTE MUNGU ANAJIBU.WEWE UKUMBUKI MBEGU ULIYOIPANDA KWA MUNGU.SALUT
Hii nyumba ya Peter Msechu na ya Aristoste ipi nzuri zaidi na iliyo Classic zaidi, nje tumeona labda siku Peter akituonyesha ndani ndiyo tutaweza kuthaminisha, kwa sababu Aristote ametuonyesha kuanzia nje hadi ndani, hongera sana Peter
Kila binadamu ana ndoto ya kuishi kwenye nyumba kama hii na zaidi!! Hongereni sana kwa kweli!! Nimependa sana hiyo sentenso ya Mimi na mke wangu!!
Hongera kwanao jua ujenzi nini tumekuelewa narudia tena hongera bro☝️👍
Msechu Nyumba yako ni nzuri sanaaa kuliko ya Mwijaku Msechu nakupa mauwa yakooo 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Both houses are nice, ya msechu 1, mwijaku 2, aristote last. Am an architect and engineer but aristote has over used materials. one secret about house, white and black colour is the best
Mungu nibariki nguvu na mm niweze miliki kama hii naamini inawezekna ilimradi napambana...Hongera sana Msechu
Aamin yaa Rabby.wewe na ss pia
Itakuwa hvyo
Daaah he is a family man, unaona kabisa moyo wake upo kwa familia yake. Kwanini usitoboe!! Hongera sana sana. I connect to such grace. Iwe hivyo na kwangu pia 🙌🙌🙌
This man is a role model to many 😍😍😍❤️❤️❤️
Hongera Mr*Mrs Peter Msechu endeleeni kumcha na kumpenda Mungu
Dah bro peter ameniinspire sana MUNGU ambariki tusiache kupambania ndoto zetu siku zote
Mungu akubariki wewe na family yako,mke wako umempa nafasi tunayo ithamini wanawake wengi ana bahati kupata mume kama wewe,ndoto zanu zimetimia kwa kishindo na kutuacha mdomo wazi big congrats bro
Mungu muumba wa mbingu na nchi amlinde Peter msechu na familia yake Amen.
Amen
Na wewe pia, akutimizie ndoto zako
Kila mtu anatamani kuishi kwenye nyumba nzuri tena aliyoijenga mwenyewe. Hongera sana Peter na Mkeo kweli mmeweza
Thats awesome. Hongera BIG Peter kwa kujenga nyumba nzuri. You have spoken important things to wasanii
Ninavyopenda mambo ya nyumba na makazi Mungu mwenyewe anajua... Niwape hongera Mr & Mrs kwa kufikia malengo mliojiwekea hii ndio maana ya ushirikiano wa wanandoa.
Yaan Msechu kanifanya niache kuwaza kujenga ghorofa very classic home❤
Honestly, I love every in this house. Nice achievement my brother.
Kwenye kila maendeleo ya mwanaume kuna mwanamke nyuma yake❤ umechagua fungu lililo bora
Hongera sana na Mfike mbali🎉
Hakika Hakika Hakika
Mme wangu Shitindi tutegemee nyumba kama hii miaka ijayo.. acha tumuombe Mungu uzima,,, hongera sana Mr and Mrs msechu🥰
Hahahahhha
Power!!
I'm inspired, congratulations brother 🙏
Bwana Yesu awasaidie mkae salama mpaka muishi miaka 99 mkiwa pamoja Bwana awalinde
Napenda msechu anavompa kipaumbele mke wake napenda sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ na mungu awabariki
VIP na ww nianze kukupa priority
Aisee hii ni ya kuigwa jilindeni ombeni sana hili lisiondoke kwenu na shetani asipate nafasi hongereni
ndio maana wanafanikiwa
Wanaume wengi waliowaamini wake zao na kuwashirikisha kwenye mambo ya maendeleo ndani ya familia Trust Me *WAMEFANIKIWA*
Mungu akubariki sana Peter Msechu kwa vile unavyomthamini mke wako.
Hongera sana Peter Msechu na Mkeo.., Mwenyenzi Mungu Awabariki sana na watoto wenu!!!
Aristote naye alisema ana nyumba eeeeh😂😂😂😂😂basi sawa
MashaAllah 🎉🎉pongezi kubwa kwa hii family,MashaAllah 🎉🎉🎉
Nimekuwa inspired sana na hii kitu kwa uwezo WA mungu siku moja nitakuja kuishi sehemu yangu mzur hataka kama isifikie hii ila angalau namm nitakuwa nimetimiza ndoto yangu..hongera sana peter msechu
Mashllh mashallh....nyumba nzurisanasana...hongerenisn...mungu awajaalie maisha ya furaha awaepushe na hasadi za viumbe vyake..
Msechu umenifanya nijifikirie mara mbili mbili... 💪
Haaaaahaaaaa
Msechu binafsi mmeniinspire sana wewe pamoja na mkewe.Kupitia hii nyumba nami naweka malengo ya ujenzi.2030 nitawaita millardayo kwenye nyumba yangu.😊😊
Hongera sana kaka. Nimependa sana ujumbe wako unatia moyo kwa watu wengine tunaojitafta unatutia moyo na wengine kutokukata tamaa kwenye maisha big up bro🎉
Hongera Sana mungu akuzidishie zaidi na zaidi
Hongereni sana Mr $ Mrs Msechu,hakika huu ndo umoja na mshikamano unaotakiwa kwenye ndoa.
Haijalishi mnapitia changamoto zipi lkn mme akimpenda,kumthamini,kuwa muwazi na kumheshimu mke,kwa vyoyote vile mke atamtii mume wake na maisha yataenda vizuri
Namuelewa sana Msechu namna anavoelezea kwa hisia, namuelewa vzr sana. Mungu nakuomba uniinue kiuchumi na unipe hekima pia niweze kufika hatua hii. Kwa jina la Yesu.
The house is real Nice...! Hongera sanaaa Peter na Mke wako. Amazing House🎉🎉🎉🎉
Nadhani huyu ndio msani alie heshimisha sana yake.
Ongera sana brother umenipa usongo na wivu wa maendeleo.
Big up brother
Heshima yako.
Safi sana Mr msechu Mungu akikubariki lazima ushukuru na kufrahi Hongera sana nanimejifunza kitu kutoka kwako na mm nitaanza kumbe inawezekana kumiliki nyumba ninayo itaka natakiwa kuwa na nidhamu ya pesa
Kwa kweli hata mimi nimejifunza kitu hapo. Hongereni sana Bw. & Bibi Msechu.
Be blessed my brother. Soo inspirational😊
Alhamdulilah. Mungu awajalie na familia yako
Hongera sana nyumba nzuri,na pia hongera kwa kumpenda mkeo na kumsigiya mimi nawatakiya maisha mema Mr and Mrs.
Hongera sana peter Msechu you deserve to be a role model
Mfano WA kuigwa Kwa Peter msechu from wasanii to watu WA kawaida.... Peter msechu ❤❤❤
Mfano wa ku igwa , felicitations Piter 🌷🍂🙏🏾🔥
Mashallah safi sana msechuu, with the help of Almighty God under the sun nothing impossible brother
Congrats father Msechu kwa kufanikiwa kumilik chako
Hongereni sana kwa kupambania ndoto zenu. Nyie ni watu na nusu na Mungu awajaalie ndoa yenu idumu, muwe na furaha na amani siku zenu zote.
Hongera sana Peter! Watakao kubeza hawana akili! Funzo kubwa heshimuni sana wake zenu na muwashirikishe kwenye maendeleo! Mungu azidi kukuinua Peter na mkeo kipenzi mama lolo
Sio kila mke au mwanamke ana akili kama za mama Lolo ujuee!!!
@@konshazikonsha6180Sahihi mzee
Hii ni zaid ya nyumba,mara nyingi huwa naona kwenye kideo hasa mijumba ya dubai❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Wapi baba levo😂😂😂😂😂😂😂😂Congrats🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Msechu
Hongera kakaangu mungu ampe maisha marefu ufanye mengi zaidu ya hayo .usitulie useme umemaliza manaume nikupambana hongera kwa mkewo mshauri wa familia❤
Wanawake wa saivi anataka akija akute ushajenga mjumba, una magari yeye aje na jibegi lake la nguo tu aingie ndani😅 hawatutaki tukiwa tuna hussle ili tupambane pamoja, hadi tufanikiwe ndo wanajileta
Watoto na mke part wanavyogombania remote ya a/c n.k 😢 I felt that father's joy
Hongera sana bro I appreciate you for this 👏👏👏
Blessed Brother you and your family..
Congratulations Mr. Peter...you truly are a role model
Mume kapata mke na Mke kapata mume" ongeleni saana, Ehee Mwenyezi Mungu wajalie hawa wajawako maelewano na upendo endelevu sikuzote za maisha yao, uwaepushe na kila lililokinyume nao, furaha ya huyu ikawe kwa huyu na furaha ya huyu ikawe kwa huyu pia na familia yao" Amen.
Congratulations to them ❤❤
Hongera sn Peter na Mkewo Mungu awatunze na kuwabariki zaidi.❤
ishi kwenye ndoto zako big up umeua congratulations
Amazing 👏
Nyumba ni nzuri sanaaaaa yaaani sanaaaaaa
Hongera Brother na family yako;nyumba nzuri.
Mungu akunariki sana Peter. Kila anajenga but damn, beauty ya nyumba yako niyakipekee. Clip imeonesha nje tu inakufanya mtu utake kujua ndani kutakuaje. InshaAllah nami soon im following your steps🙏🏾🙏🏾
You have inspired me alot brother,,may God bless you
Nyie ayo tv safi sn hizi ndo habari na hongera sn peter msechu umeonyesha mfano kwa vijana na wasani kwa ujumla....big up.
Hongera mama Lolo mpende sana mumbo kama anavyokupenda daa !! Mungu awesome nanyi daima❤❤❤❤❤❤❤
Napenda mama Lolo anavotumia maneno "Tulifanya, tulikusanya, etc". UMOJA NI NGUVU.
Waooooo nakuelewa Sana broo
Congratulations brother...Mungu akubariki
MashaAllah! Hongera sana Brother Peter Msechu.
Bonge moja la nyumba congratulations msechu family ❤
Hongera sana Bro, Mashallah 🙏
Hongereni saana saana Mungu na azidi kuwabariki na kuwalindia furaha yenu mkiwa na watoto wenu
Safi Sana🔥🔥🔥tujifunzee ❤️❤️ Hongereni sanaaa na MUNGU awape mda mrefu wa kuishi kwa nyumba yenu🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Hongera sana Peter... wew ni mfano wa kuigwa... Mzidi kubarikiwa...
Thanks for inspiration
Amen..mmefanya vizuri..Mungu azidi kuwabariki
Sijakosea kuolewa na wapare maana ni wanajua kutafuta na kupenda hawana mambo mengi hongera sana kaka nyumba ni nzuri sanaaa.
Peter ni WA Kigoma sio mpare
Ma sha allah. Namuomba Mungu akujaalieni iwe nyumba ya furaha na amani. Na mzidi kuelewana.🇹🇿🇴🇲
AMAZING..... !!! MAASHAALLAH
Kuna watu hawaamini katika Mungu;Msechu waoneshe kuwa MUNGU anaishi ndani yetu.
Amina Mungu anatenda sana ukimuamini
Wewe lala usijitume uone kama Mungu atatenda au wasubili wagalatia watende😂
Congratulations brother.. everything is God 🙏
Hongereni sana sana kwakweli ni ndoto ya kila mtu kuwa na nyumba nzuri kama hiii
Hongereni sana Mr & Mrs.Msechu
Hongera Peter hongera sana nimekuelewa sana kwenye kasave ntafata mkondo
Hongereni sana mr and mrs kuna kitu nimejifunza kwenu♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Jishaue Peter na mkeo ...Enjoy baba...tamba tamba sana...kimfaacho mtu chake. Usisikie ya watu Peter..Una nyumba nzuri nzuri sana. Nzuri mno
Nimekukubali maneno yako safi sana nitafta mjenamimi nikifanikiwa mdizainie hongera sanaa mama lolo nitakutafta❤❤❤😂😂😂
Woooow hongera ake mungu atubariki na sisi wote wapambanaj tunaemtegemea yeye
Big up brother good house
I wish that life my God daah
Hongera sana Msechu nimekuwa naku admire toka enzi za Tusker Project Fame.Umekuwa mfano wa vijana wengi na hii ndo maana halisi ya kuwa kioo cha Jamii
Congratulations, The house aise ni kali sana
waoooo hongera sana msechu
Safi sana unaongea Kwa hekima hongera sana
Hadi raha yani❤
Hongereni sana .Hii ni mala ya kwanza kutoa comm.Nakumbuka mlivyojitoa kwa KUMWIMBIA Mungu Kkkt enzi hizo usharika wa kigoma mjini , kuanzia Baba,mama na Watoto.Haya ASANTE MUNGU ANAJIBU.WEWE UKUMBUKI MBEGU ULIYOIPANDA KWA MUNGU.SALUT
Wow that's awesome, big up kwake
Wow hongera Sana Mr &Mrs msechu umepambana Sana kaka yangu m/mungu azid kukulinda
Woow Peter Msechu. Big up aisee. Umenitamanisha sana bro. One day
Hongera sana sana Mr and Mrs Msechu.
Hii nyumba ya Peter Msechu na ya Aristoste ipi nzuri zaidi na iliyo Classic zaidi, nje tumeona labda siku Peter akituonyesha ndani ndiyo tutaweza kuthaminisha, kwa sababu Aristote ametuonyesha kuanzia nje hadi ndani, hongera sana Peter
Ya msechu ni classic saaaaaaana
Aristote hana nyumba,yule chawa ashindwe kuzungumzia nyumba yake kweli?? Labda
Sasa mbona uwashindanishe
yani wabongo bana kila kitu kufananisha fananisha we mwnyw umepanga cjui uko kwenu
Ya msechu ndio nzuri Sana... Ya Aristotle sema ana eneo kubwa tu ndio alichomzidi peter ila Kwa uzuri wa nyuma ni peter ndio nzuri
Umeongea vema sana kaka Mungu akulinde