HECHE BUNGENI: "Waziri Huoni Aibu, Unafki Tu, Mungu Anajua"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • HECHE BUNGENI: "Waziri Huoni Aibu, Unafki Tu, Mungu Anajua"
    Mbunge wa Tarime vijijini, John Heche, amehoji Bungeni sababu ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli kuharakisha mchakato wa kuwahamishia watumishi wa umma Dodoma bila kuwapatia stahiki zao huku ikijua inafanya makosa.
    Heche amesema hayo wakati akichangia mapendekezo yake katika muswada wa sheria ya kulifanya jiji la Dodoma kuwa makao makuu.
    Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1
    / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

КОМЕНТАРІ • 71

  • @mercybyashara9711
    @mercybyashara9711 6 років тому +2

    Asante Heche

  • @gabrielkitia6767
    @gabrielkitia6767 6 років тому +3

    Nakuelewa Sana mh

  • @vijaypatrick7134
    @vijaypatrick7134 6 років тому +1

    Asante heche

  • @ngomagipaul7011
    @ngomagipaul7011 5 років тому

    Mh heche atambue kuwa watanzania tunajua kazi nzuri inayofanywa na serkali ya mh magufuri :pia tunawajua wabunge walio na nia ya dhati kwa wananchi 'kwa kutoa ushauri kwa serkali yao ..pamoja na usemi wa serkali yenu maneno anayotumia mh heche ,jambo hili nalifananisha na mtoto akishiba kutupa vyombo'na kuviita vichafu ...mh..mpango in miongoni kwa mawaziri wa kasi ya mh ..magufuri hivyo na kasi hii itapelekea baadhi ya wabunge kubaki wakishangaa!na kulalanika;wakifikiri kwenye budget ndipo pa kupigia campaign in mwaka mmoja umebaki wataingia kwenye uchaguzi, 'wabunge'madiwani'tutawaomba mtuambie ulichofanya in pamoja na mh heche ..hataki kabisa hata kusifia hata posho anayopata sh 300000.00 kwa siku wakati kuna wanoitumikia kwa mwezi ..na wengine wakulima waliowachagua hata kuipata in bahati kwa mwaka 'sijasema mshahara kwa mwaka na mwezi * nani, atakuwa maskini je kwa miaka 5 ni fedha kiasi gani na hii ni sheria iliyotugwa na wabunge na hayo (maposho)basi wekeni sheria ya kujitolea tuona kasi yenu .mhe..mpango /ndalichako/nditiye/zitto/Daniel/Obama/chiza/vuma/serukamba/sisi wananchi wa kigoma tunajua bahati tuliyopewa na serkali ya awamu ya 5 ya ccm hatuhitaji na hatupenda kukosa fursa 'na kulalanika ..tu kwani uwepo wenu in mtaji kwa wananchi wa kigoma' na kiongozi bora halalamiki hutoa ushauri kwani yaliopangwa anayajua,wananchi ndio wanaopaswa kulalanika kwani,huenda mipango ya serkali baadhi in vigumu kuijua,pia nawapa ujumbe kuwepo kwa (refugees) ktk mkoa ilikuwa fusa sasa tuona shida kubwa ..kutoka kasulu,kibondo kwenda nchi jirani sio,mbali tunawahitaji mje kama timu mzungumze na wananchi ...jambo hili sasa linatishia maisha ya wananchi was kigoma,na kuna vitu vya msingi ,umeme ,barabara,ujenzi wa kituo cha afya busunzu KB...zahanati iliyopo hutoa huduma kwa kata yenye wakazi zaidi ya 15000 ..jingine in swala LA usalama..tunajua jitihada za polisi na viongozi wote mungu awatia nguvu..kusimamia kwa dhati ,na kwa haki,nasi wananchi tunaunga mkono..hata kutoa chombo cha usafiri kwa ajili ya kituo kidogo cha polisi busunzu..jambo hili sio dogo...ombi kwa mh ..ndugai na mh ..tulia tujulisheni kwa njia zote maalam na haraka budget ya serkali .na hata kupia njia ambazo in rahisi kwa wananchi walioko vijijini kigoma, mtwara na ngara..kujua kwa haraka shughuri za serkali..mwisho na save ujumbe na nia in njema niliowataja watanisamehe lakini,tumsaidie mh ..magufuri.. kwa kuona hakika maendeleo ya nchi yetu ..

  • @andrewmagwila8649
    @andrewmagwila8649 6 років тому +2

    big point

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 6 років тому

    Daaa hecheee hata waliokupigia kula wanajisikia lahaaaa,Mungu akujalie hakika uko vizuri.

  • @josephmatonyi1802
    @josephmatonyi1802 5 років тому

    Henche asante tata asante saaannaaa

  • @williamkishiva9446
    @williamkishiva9446 5 років тому +1

    Hii machine aisee

  • @ramahhouzzer2342
    @ramahhouzzer2342 5 років тому +1

    Heche point zako ni nizito sana kwa mtu aliesoma na muelewa

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 6 років тому +2

    amina na iwe ivy kweli

  • @kibachak7850
    @kibachak7850 5 років тому

    Nakuelewa sana

  • @zubedaramadhani5777
    @zubedaramadhani5777 5 років тому

    Asante ukwel WA mungu utabakia siku zote

  • @anthonymgogo2651
    @anthonymgogo2651 6 років тому +4

    Umeongea points zote baba

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 6 років тому

      Anthony Mgogo si. Uongo

  • @zumamarande2969
    @zumamarande2969 6 років тому +1

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @abduliurassadaudi5051
    @abduliurassadaudi5051 6 років тому

    huwezi kuona point

  • @wiza2309
    @wiza2309 6 років тому +4

    Ni kweli tupu, tatizo haiwezekani kutengua tena. Ila kwenye utaratibu wa Kindoa kuna tatizo, watu wanaishi mbali na familia, umuhimu wa familia uzingatiwe maana ndio kiwanda cha raia waliopo na wajao

    • @evodmagidanga7730
      @evodmagidanga7730 6 років тому

      Wiza Mushi Unapoingia kwenye majukumu ya kiuongozi hujui kuwa unafamilia? Kama ni familia baki nyumbani basi ulee familia.

    • @wiza2309
      @wiza2309 6 років тому

      @@evodmagidanga7730 ndiyo maana tunasema iwepo mipango, kilabjambo linafanyika kwa mipango hapo hakuna swala la uongozi, wewe hujapatwa na kadhia, watoto shule n.k. ulipate kwa mwenzako utaona simple

  • @mgimaabdul1064
    @mgimaabdul1064 4 роки тому +2

    Heche natumaini unazijua shidazetu sio kama waropokaji

  • @emmanuelayall5029
    @emmanuelayall5029 6 років тому +3

    Kuna tofauti kubwa katika uzito wa hoja inapotolewa na mbunge wa chadema kuliko wa CCM japo mi siyo mwanasiasa na sina chama ila huwa wanaongea ukweli mwingi kuliko uongo.

  • @PetroMwita-yc2uy
    @PetroMwita-yc2uy Місяць тому

    😂😂😂😂😂lnauma sana na inaliza sana heche

  • @emmanuelalphaxard9276
    @emmanuelalphaxard9276 4 роки тому

    Kamanda heche

  • @marwanguma1137
    @marwanguma1137 5 років тому

    nabii,hafiiiii kamwe..

  • @scholarmawalla6735
    @scholarmawalla6735 6 років тому +3

    Wanazengo mbona mko kimya hapa hamjasikia ama mnafanya makusudi? mpita njia

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 6 років тому +8

    Akisimama mbunge wa cdm lazima uwe makini hoja mzito na zenye mashiko

    • @mohammedsalim6398
      @mohammedsalim6398 6 років тому

      Fredreck Mwakalinga hapana ni kama wanapoteza hamu yA kuchangia na wamekata tamaa na wamezidisha CHuki na jazba? Hawawezi tena kuisaidia serikali ni ma lawama jazba na matusi?ni kelele tuuu wote Nadhani wangepumzika wakawaacha ccm wakafanya kazi zao ,Mbona serikali inafanya kazi vizuri tu? Jana tumeona miradi yA Maji mikubwa tu inazinduliwa? Tena majimbo yanayoongozwa na chadema? Leo inafuatiliwa tena bunda kwA bulaya? Siasa za CHuki hazitatunufaisha

  • @kibachak7850
    @kibachak7850 5 років тому +2

    Ndomana huwa nasikiliza hoja za upinzani tu cyo fisiem

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 6 років тому

    Sioni point.

    • @a.msanga1621
      @a.msanga1621 6 років тому +3

      Kuelewa inahitaji utulivu na uwezo wa akili yako upoje

    • @evaristshonga9566
      @evaristshonga9566 6 років тому

      cjui ameongea nn hapo ndo ninapopata shida kuwatambua wapinzani

    • @bahatisadikiwambura8547
      @bahatisadikiwambura8547 6 років тому +3

      huwezi kuona Kama umpofu

    • @hechechacha4032
      @hechechacha4032 6 років тому +1

      Mtu ameanza na katiba hujaelewa
      Huoni pointi
      Ameongea kutojipanga kuhamia dodoma hujasikia
      Anasema kuhusu ndoa za watu hujaona kitu
      Yawezekana huoni kabisa

    • @georgesamwelchacha7680
      @georgesamwelchacha7680 6 років тому +1

      +Evarist Shonga
      Mpaka uwe na uelewa mkubwa ndipo utalielewa bunge

  • @evodmagidanga7730
    @evodmagidanga7730 6 років тому

    Kazungumza vizuri ingawa ni kwa jaziba. Ila ukweli ni kwamba hakuna nchi au mtu yoyote ambaye anaweza kutatua changamoto zote, pia kitu kingine mfano wa mgonjwa hauendani na kuhamia Dodoma.

  • @awadhially
    @awadhially Місяць тому

    Mwamba wa tarime

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 6 років тому +1

    Ukweli wanaupata,unazibua pamba zilizopo masikioni mwao.

  • @danielwu4924
    @danielwu4924 5 років тому +1

    bro jaribu kweka mitambo yako sawa coz saut yako mwishon mwa video ii iko juu mno so kulko ata mbunge fanyia kaz ilo

  • @fantsonmpango7742
    @fantsonmpango7742 6 років тому

    Ni kweli kila jambo razima liwe na mipango, hata nyumbani kwako ni mipango kwamba mwaka huu ntafanya hiki next hiki

    • @evodmagidanga7730
      @evodmagidanga7730 6 років тому

      Fantson Mpango Mipango ya kuhamia Dom ilianza Lini?

  • @rashidmaingu3639
    @rashidmaingu3639 6 років тому +1

    Nchi hii imebak kuw inaendeshwa kwa matamko,mkulu akisema asubuh k2 ata km hakiwezekan kwa ck hyo lazima watendaj wafanye atakama n kwa lasha lasha ilimladi kumlidhisha yy

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 6 років тому +1

    m4c

  • @humayduwe1762
    @humayduwe1762 6 років тому

    Hahaaaa tisha sana kichwa

  • @kajanjaahamadi7550
    @kajanjaahamadi7550 6 років тому +2

    heche ninoma yaan wewe pekeyako sawa na wabunge makofi 50 wa ccm aiseee wazee wakununua wabunge wanakuwinda kama lisu

  • @smarty1064
    @smarty1064 5 років тому

    Ha ha ha haa fact inauma mzee hatutaki kusikiaaa

  • @fatumarajabu810
    @fatumarajabu810 6 років тому

    Kwakweli ...miundo mbinu ddoma bdo sana.... Wangetengza kwanza

  • @ibraharuna3045
    @ibraharuna3045 5 років тому

    HECHE UKO VZR NA HEBU IFIKE WKT WABUNGE WOTE MUISAIDIE TAIFA HILI NA C KUPIGA MAKOFI KIHOLELA.

  • @sultannchacha666
    @sultannchacha666 6 років тому

    Jamani wabunge wa Ccm sio kwamba wao wanapenda ila inawabidi ili waonekane waadilifu kwa mtu mmoja na si kwa watz

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 6 років тому

    Wengine wana vyeti feki """""waanze kusoma """""badala ya kupiga simu na miayo chuoni!!!!!!!!!!!!

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 6 років тому +1

    Hata angeanza na wimbo wa taifa . Mi nimezoea kusikia kelele kutoka kwao.

  • @nkatakulimamkuwa4872
    @nkatakulimamkuwa4872 6 років тому +3

    Wabunge wa upinzani wanaakili kuliko mipumbavu ya ccm pumbavu

    • @dariuslimbu2325
      @dariuslimbu2325 6 років тому

      Ni kipi hapo kilichokufanya utukane

    • @jimykayaga2376
      @jimykayaga2376 6 років тому

      @@dariuslimbu2325 ujawai niangusha heche mungu akubarik sna mwalimu wng

    • @fantsonmpango7742
      @fantsonmpango7742 6 років тому

      Darius Limbu kupiga makofi kujipendekeza japo ukweli unajua

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 6 років тому

      Nkatakulima Mkuwa wao wanasubir 2020waje wapore na kitupiga dag

    • @mkamaboniphace7635
      @mkamaboniphace7635 5 років тому

      Duuu nikweli jembe

  • @omarmbwana4029
    @omarmbwana4029 6 років тому

    Sawa hamna mpango hayo yanayofanyika katika nchi hii ya ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali pesa zinatoka wapi nyinyi wapinzani acheni kuropoka ovyoovyo wananchi wenu hamuwajali halafu munapiga domo tuu wakimbia bajeti ww

  • @salumushabani5364
    @salumushabani5364 6 років тому +1

    Anae lalamika dodoma kuwa jiji ajiuzuru

  • @ngomagipaul7011
    @ngomagipaul7011 5 років тому

    Mh heche atambue kuwa watanzania tunajua kazi nzuri inayofanywa na serkali ya mh magufuri :pia tunawajua wabunge walio na nia ya dhati kwa wananchi 'kwa kutoa ushauri kwa serkali yao ..pamoja na usemi wa serkali yenu maneno anayotumia mh heche ,jambo hili nalifananisha na mtoto akishiba kutupa vyombo'na kuviita vichafu ...mh..mpango in miongoni kwa mawaziri wa kasi ya mh ..magufuri hivyo na kasi hii itapelekea baadhi ya wabunge kubaki wakishangaa!na kulalanika;wakifikiri kwenye budget ndipo pa kupigia campaign in mwaka mmoja umebaki wataingia kwenye uchaguzi, 'wabunge'madiwani'tutawaomba mtuambie ulichofanya in pamoja na mh heche ..hataki kabisa hata kusifia hata posho anayopata sh 300000.00 kwa siku wakati kuna wanoitumikia kwa mwezi ..na wengine wakulima waliowachagua hata kuipata in bahati kwa mwaka 'sijasema mshahara kwa mwaka na mwezi * nani, atakuwa maskini je kwa miaka 5 ni fedha kiasi gani na hii ni sheria iliyotugwa na wabunge na hayo (maposho)basi wekeni sheria ya kujitolea tuona kasi yenu .mhe..mpango /ndalichako/nditiye/zitto/Daniel/Obama/chiza/vuma/serukamba/sisi wananchi wa kigoma tunajua bahati tuliyopewa na serkali ya awamu ya 5 ya ccm hatuhitaji na hatupenda kukosa fursa 'na kulalanika ..tu kwani uwepo wenu in mtaji kwa wananchi wa kigoma' na kiongozi bora halalamiki hutoa ushauri kwani yaliopangwa anayajua,wananchi ndio wanaopaswa kulalanika kwani,huenda mipango ya serkali baadhi in vigumu kuijua,pia nawapa ujumbe kuwepo kwa (refugees) ktk mkoa ilikuwa fusa sasa tuona shida kubwa ..kutoka kasulu,kibondo kwenda nchi jirani sio,mbali tunawahitaji mje kama timu mzungumze na wananchi ...jambo hili sasa linatishia maisha ya wananchi was kigoma,na kuna vitu vya msingi ,umeme ,barabara,ujenzi wa kituo cha afya busunzu KB...zahanati iliyopo hutoa huduma kwa kata yenye wakazi zaidi ya 15000 ..jingine in swala LA usalama..tunajua jitihada za polisi na viongozi wote mungu awatia nguvu..kusimamia kwa dhati ,na kwa haki,nasi wananchi tunaunga mkono..hata kutoa chombo cha usafiri kwa ajili ya kituo kidogo cha polisi busunzu..jambo hili sio dogo...ombi kwa mh ..ndugai na mh ..tulia tujulisheni kwa njia zote maalam na haraka budget ya serkali .na hata kupia njia ambazo in rahisi kwa wananchi walioko vijijini kigoma, mtwara na ngara..kujua kwa haraka shughuri za serkali..mwisho na save ujumbe na nia in njema niliowataja watanisamehe lakini,tumsaidie mh ..magufuri.. kwa kuona hakika maendeleo ya nchi yetu ..