Daaaaah!!!! kuhusu swala LA watoto Wa viongoz Wa serkali kutowapeleka watoto wao shule za serkali ni sahihi kabisa yaani wanahela wapawapeleka watoto wao huko wakafeli
Heche mie nakukubali sana maana unaongea ukweli Ila wengine nichama chama sisi huku tunakula hivyo vyama vyenu na makofi bungeni? Wambie wabunge wafanye kazi sio kusifiana tu humo bungen sisi huku tunaumia na michango mbalimbali tumechoka kudanganywa kila mwaka aisee sema ukweli heche ingawa msema kweli huchukiwa
Hivi heche mbona mnalaumu sana serikari eti hakuna anjira . Hivi nyie chadema mkichukua dora mtawapatia Wote waliomaliza vyuo kazi. ? Mbona mnapenda kudanganya watanzania. Hivi kweli mlivyonausogo wa madaraka mkichuchukua dora kweli mtakumbuka wasomi waliliomaliza vyuo vikuu kuwapatia kazi. Kama siyo kudanganya watanzania.
Yani huyu jamaaa ni mshamba sijapata kuona. Namshangaaa anavyoisema Serikali kutotoa fedha wakati anajua hali halisi ya Serikali za Nchi za Kimasikini Duniani zinavyojikongoja na matumizi ya fedha zake. Alitegemea kwa mpango huo basi Serikali iwe inatupa mahela yake huku na kule bila ya kuzingatia vipaumbele vyake na maendeleo mikakati
Fedha anazosema ni za bajeti.. Unadhani bajeti inatungwa na nani? Upinzani? Sasa bunge ikipitisha bajeti iliyotungwa na serikali kwa nini serikali isifanye kile ilichopanga kufanya kwa bajeti?
Afadhali hata ccm wanajitaidi kadiri wawezavyo . Nadhani siku zinavyoenda ajira zitapatikana. Tatizo la chadema mnapotosha watanzania . Nyie tulieni ajira zitapatikana . Tatizo lenu mnakihelehere cha kupotosha watanzania . Ila wengi wanaelewa mambo yanayofanywa na chama cha mapinduzi . Watu wachache kama heche ndo haelewi kinachoedelea. . Mwacheni rais wetu mpendwa ajira very soon zitashuka Jumula jumula Kwa watanzania wote.
serikali ingewasikilza hawa tukatoa uchama tungefka mbali sana
Well done hon Heche
Well spoken big up Sanaa muheshimiwa
Salut joh wachane vilaza waelewe
heche I love u sow sow much
"Hakuna mbunge hata mmoja ambaye anasomesha mtoto wake kwenye shule za msingi za serikali"
Wakiambiwaga ukwel utawasikia muda umeishaa 😀😀
Taarifa,taarifa,taarifa...ukiskia hivyo ujue ni mbunge wa ndiooo.ipo siku konki likwid atakua spika wa bunge😁
Hemed wow 😁😁😁😁😁😁
Wewe muwongo. Ukisikia. Taarifa.taarifa. wengi. Wenye. Msemohuo. Bungeni. Ni jamazako. Na ukimsikia. mbunge. Wa ccm. Anasema. Taarifa. Kunajambo. Linapotoshwa. Na hao jamazako. Waganga njaaa. Ebu. Nikuulize. Toka. Umewachagua. Wakaenda. kule. Mjengoni. Nihoja zipi. za serikali. Walizo. Unga. Mkono. Kwa.%(100) kwahaya. Yanayo fanywa. Na serikali. Yanayoonekana. Yamaendeleo. Ujuwe. Haya yote.yanayo. fanywa. Na serikali. Ni msamuzi. Ya bunge. Lakini. Yakitekelezwa. Jamazako. Huwa. Wanayakataa. Nikupe. Mfano. Mmoja. Ununuzi. Wa ndege. Zilipigwa. Kelele. Awamu. mbili. Na. Hao hao nduguzako. Unaowaona wanajua. Kuongea. Sasa serikali. Ya ccm. Awamu ya (5) imesikia. Kiliyo. Chao. Ndege. Zimenunuliwa. Sasa. Angalia. Walivyo. Chomoa. Ulimi. Kuupeleka. Kwenye. Matundu. Ya. Pua zao. Na kulamba. Makamasi. Yao. Wenyewe. Wakabadirisha. Maneno. Ndege. Gani. Naninani. Aliye. Ruhusu. Zinunuliwe. Ndege. Bajeti. Imepitishwa. Nanani. Oo bajeti. Nyingi. Hupitishwa. Na wabunge. Wa ccm. Sasa. Watu. Wa pwani. Wana. Misemo. Yao. Wanasema hivi. Ukitembea. kutwa. Na uuza utuli. nawewe. Utanukia. Utuli. Chadema. wadangayeni. Hao. Mazuzuyenu. Wanao. Kuoneni. Mnakako. Jifunga. Plasta.mdomoni. mkanyamaza. Kuchangia. Miradi. Ya. Maendeleo. Kama. Vile. Miradi. Mikubwa. Ya ujenzi. Wa reli. Bwawa. La.umeme. ununuzi. Wa ndege. Upanuzi. Wa barabara. Njia. (8)Da . Chalinze. Barabara. Za juu. Elimu. Afya. Nakadhalika. Yote. Hayo. Hamhusiki. katika. Kupitisha. Bajeti zake. Sasa mnaendea nini. Kule. Mjengoni. Manaendea zile. Posho. Tuu. halafu. Mtu anasapoti. ujinga. Eti. Anasema. Ukisikia. Taarifa. Taarifa. mwenyekiti. Ni. Mbunge. Wa ccm. Ati. Anaona. Yanayo. Zungumzwa. Na mbunge. Wa chadema. Yana akili. Wewe. Angalia. Bunge. Bila ushabiki. Wa chama chako. Chadema. Utamuona. Mbunge. Wa ccm. Anaomba mwongozo. Au. Taarifa. Mwenyekiti. Anataka. Kuuzima. Upotoshaji. Wa hao jamazako. Uliye. Wachagua. Kwa kigezo.cha. ubishi. Siyo. Wakakuongelee. Matatizo. Ya jimboni. Kwako. Halafu. Unakomenti. Wanacho. Kifanya. Kizuri. Kwakuongea. Maneno. Ya mtaani. Kama vile. Poyoyo . Zwa zwa . Lugha. Gani. Ya kibunge. Ka sii. Lugha. Ya vijiweni. Sasa nilazima. Watu. Anaefanananae. wataona.mbunge. wetu. Anaiburuza. Serikali. Utawasikia. Mashabiki. Wake. Wachaa. Nasari. Anatisha. Wacha. Mdee. Anatisha. Wacha. Lema jembee. Wschaa. Mnyika. Kiboko. Wachaa. Msingwa. Kamanda. Wachaa. Lisu. Hashikiki. Alaa. Ukiwauliza. Wengine. Huko jimboni. Kwao. Huyo. Wanae. Msifia. Hata jimboni. Kwaoo. Hajakanyaga. Hata. maramoja. Na sasahivi. Wamejipatia. Mtaji. Wabunge. Wa upinzani. Magufuli. Kakataza. Mikutano. Na wanaichi. Wanawasapoti. Halafu. Hapo hapo. Wanalaumu. Mbona. Ccm wanafanya. Mikutano. Tatizo. La wapinzani. Hawaaminiki. Ukisikia. Tuna mukutano. Wa ndani. Hamji. Mmoja mmoja. Huingia. Kwa maandamano. Nisawa. Na mtu. Huku mjini. Unaingia.kwenye. choo. Cha kulipia. Una ambiwa. Bei. Za. Hudumazao. Kukojoa. Mkojo. Sh(300) kunya. Mavi. Sh.(400) na kuoga. Ni.sh(500) sasa . Unalipa. malipo. Ya kukojoa mkojo. Kumbe. Unakwenda kunya. Mavi. Huduma. Yenye. Malipo. Tofauti. Jee. Uposahihi. Mdiyo. Sawasawa. Na wapinzani. Wakiomba kibali. Kwa polisi. Tuna. Mkutano. Wetu wandani. Kafanyeni. Ohoo. Maandamano. Hayaooo. Sasa huwoni. Umevunja. Makubaliyano. Yenu. Na polisi. Sasa mkitawanywa. Ooserikali. Ya kidikiteta. Huwoni. Umemdanganya. Polisi. Nisawasawa. Na huduma. Unalipa. Sh. (300) kwahuduma. Ya. Kukojoa. Mkojo. Huwoni. Umevunja. Mkubaliano. Yunu?jee. Akikutoza. Pesa ya huduma. Uliyo itumia. Siyo rasmin. Kwa huduma. Uliyo. Ilipia. Umeonewa?. Lazima. Wapinzani. Muwe. Wakweli. Na kufuata. Taratibu. Tulizo. Jipangia. Hayo. Mapendekezo. Mengine. Hayana. Msingi. Nisawa. Na mfuga. Mbwa. Mbwa. Umnunulie. Kitanda. Godoro. Mitoo. Shuka. Kandambili. Akienda. Chooni. Avaee. Hayo. Ni mapendekezo. Yako. Yu. Ua msingi. Ni kutenda. Yale. Ya maelewano. Na sheria. Za polisi. Kwani. sheria. Zao. Zimo kwenye. Katiba. Sasa. Unadai. Maandamano. Ni haki yako. Lakini. Kuna sheria. Zake. Zimewekwa. Kikatiba. Sasa. Wakizitumia. Wale. Inao. Wahusu. Kipengele. Kile. Kwakuwa. Wanayo. Haki kukitumia. Kikatiba. Usifosi. Katiba inawalinda. Polisi. Kukataa. Au. Kukubali. Kisheria. Na kikatiba. Inawaruhusu. Nandiyo. Maana. Wakikataa. Hamuendi. Mahakamani. Mnajuwa. Wapo.sahihi. kikatiba. Mnabaki. Kuchanganisha. Raiya. Na polisi. Kutafuta. Kiki. Na huruma. Kwa wanainchi. Hakuna. Hiyo. Fuata. Katiba. Na sheria tulizo. Jiwekea.maoni yamgu. Haina haja. Ya kuni. Joki. Sieleweki. Sina hati. Mzuri. Ukisema. Hivyo. Najua. Umeusoma. Ujumbe. Wangu. Na umemielewa. Kamanda. Wangu. Wa chadema. Mapovu. Juu juu zaidi.
@@farajihassan5382 wewe haujielewi na ccm yenu msiojielewa mnajifanya miungu watu hukumu yenu inakuja
Hecheeee oweeeeeeeeeee
Kwenye ajiraaa na afyaa hapo umeongeaaa....
Malima hana ubora wa kuwa mkuu wa mkoa. Ukiona mtu anatembea na simu 4 za mononi halafu ukampa nafasi ya mkuu wa mkoa, mkoa huo ni balaa.
Safi sana Heche. Ukisikia Taarifa nzi anataka kuchafua
kichapo kiendelee ila tuanze na ngazi za juu hela za kutoa ajira mpya zimeelekezewa wapi na hela ongezeko la mushahara liko wapi tuandamane wasomi
Taifa lnaitaji vichwa kama hiki
Ndio hawawataki sasa na wajinga kama mimi tunawaita wachochezi wametumwa na mapepari
Hii speaking nzuri sana
I love wabunge wa #Chadema kama Heche, Wenge, na Sugu sababu wana akili safi
Uko sahihi Halmashauri zinapata shina kwenye Maendeleo
Aisee upinzani una umuhimu sanaa
Alfani Abassi bila upinzani mambo haya yasinge julikana,ndo maana hata ufafanunuzi hamna
YUPO SAHII,CCM WANAZINGUA.
MH HECHE M1 ni sawa na wahxhmiwa 150 wa FISIEM
Salute heche
Nice speech
Heche John Mura
Ninge kuwa na contact yako ninge kuagizia surprise kubwa ijapo nipo maskini...
salute
Kweli mbuge heche uko sahihi.
Hongera umetuwakilisha vyema
Umewambia ukweli uko vizuri lakini usije ukapewa milioni zako tukasikia eti umerudi ccm
Heche tunakupenda nchi nzima
Hatari
Daaaaah!!!! kuhusu swala LA watoto Wa viongoz Wa serkali kutowapeleka watoto wao shule za serkali ni sahihi kabisa yaani
wanahela wapawapeleka watoto wao huko wakafeli
Heche mie nakukubali sana maana unaongea ukweli Ila wengine nichama chama sisi huku tunakula hivyo vyama vyenu na makofi bungeni? Wambie wabunge wafanye kazi sio kusifiana tu humo bungen sisi huku tunaumia na michango mbalimbali tumechoka kudanganywa kila mwaka aisee sema ukweli heche ingawa msema kweli huchukiwa
Sipendi mpinzani ashike urais, lkn nitawachagua kwa kura yangu ktk ubunge na udiwani muwasukume hao viziwi
Unafaa kua raisii
Yaan heche huwa cjutii bando langu,, kwanza anajiamin sana pia yupo sirias na speech zake
Namuona sugu nyuma ya heche
Chadema inavichwa, siyo hayo mabogazi ts ccm, ndo maana wanatangazwa washindi kwa Kubebwa na wakurugenzi wa NEC na Polisi.
ungurumaaa Mze baba
Hawa vichaa ni kweli hakuna mtoto wa kiongozi anaesoma shule za kata!!!!!!!
Chadema ina wabunge vichwa
Vichwa upinzani Ccm vilaza
Acha ukuma
Yeah
Frederika Mollel CCM WEZI sijui Leo wako wapi umu
Mueshimiwa tunaibiwa
WEWE NI MBUNGE MAKINI..
Hivi heche mbona mnalaumu sana serikari eti hakuna anjira . Hivi nyie chadema mkichukua dora mtawapatia Wote waliomaliza vyuo kazi. ? Mbona mnapenda kudanganya watanzania. Hivi kweli mlivyonausogo wa madaraka mkichuchukua dora kweli mtakumbuka wasomi waliliomaliza vyuo vikuu kuwapatia kazi. Kama siyo kudanganya watanzania.
Sikutegemea kuona mtu anafikiria hivi baada ya kumsikikiza maelezo ya huyo Mbunge.... 🤔🤔
Mhh mnyamwezi wa wapi ww nahisi ata kiswahili kwako shida
Mkufanikiwa kuuwa upinzan na maendeleo yatakuwa hoi
Kila kitu kinakwenda sawa tehe tehe😅😆😆😈😉😉😐😯
Nimekuelewa
Sibora wapewe walimu
viwanda kabra havijaaza vimesha kufa
Konki Liquid
Yani huyu jamaaa ni mshamba sijapata kuona. Namshangaaa anavyoisema Serikali kutotoa fedha wakati anajua hali halisi ya Serikali za Nchi za Kimasikini Duniani zinavyojikongoja na matumizi ya fedha zake. Alitegemea kwa mpango huo basi Serikali iwe inatupa mahela yake huku na kule bila ya kuzingatia vipaumbele vyake na maendeleo mikakati
Kwa hio kujenga reli au kupeleka dawa hospital ni kipi kipaumbele kwa upande wako
Fedha anazosema ni za bajeti.. Unadhani bajeti inatungwa na nani? Upinzani? Sasa bunge ikipitisha bajeti iliyotungwa na serikali kwa nini serikali isifanye kile ilichopanga kufanya kwa bajeti?
Nyumbani kwako unaweza kupanga kula nyama wakati huna hela
Kwani yeye kama mbunge anachangia nini katika jimbo lake pale anapoona kuna mapungufuu????? Mbona hao Wabunge wanalipwa Mamilioni ya fedha???
Sio jukumu lake,wewe kama ni mwalimu unaweza kutoa mshahara wako ukarabati shule acha ujinga
Sasa nyie wambunge mshaara milion 15 kwa mwezi mnafanya kazi gani
Afronline TV bora umeuliza mie hata sion wanacho Fanya kupewa pesa zote hizo
Ongea Heche
Nikwel
Mbowe mbona kafsnya ufisadi wa gari, nae kateuliwa na rais !!!!
Kwani pesa za serikali?
Try even onces to use ur cerebrum N talk about issues that are facing the nation at large don't be little life is too short
TEDI, sasa alizipata wapi,, ruzuku unampaga wewe!!
Afadhali hata ccm wanajitaidi kadiri wawezavyo . Nadhani siku zinavyoenda ajira zitapatikana. Tatizo la chadema mnapotosha watanzania . Nyie tulieni ajira zitapatikana . Tatizo lenu mnakihelehere cha kupotosha watanzania . Ila wengi wanaelewa mambo yanayofanywa na chama cha mapinduzi . Watu wachache kama heche ndo haelewi kinachoedelea. . Mwacheni rais wetu mpendwa ajira very soon zitashuka Jumula jumula Kwa watanzania wote.
@@mathiasluso3296 kweli iq sifuri
Sawa
Babaako Na Mamaako Walizaa Hasara Kubwa Sana Yakuangamiza Taifa
Tatizo ni kwamba hata vilaza kama wew wanaruhusiwa kumiliki cm