RIYAMA ALLY atupa dongo KWA DIDA MASHAMSHAM wajipange CROWN tumekuja kufunika wote..
Вставка
- Опубліковано 30 чер 2024
- East African number one UA-cam channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande - Розваги
Tunakupenda Sana ryhama unastahili Sana hicho kiti
Hello da riama nakupenda Sana na ninaomba nafasi ya kufanya kazi na wewe natamani Sana kwani kila napoenda kila mtu anasema Mie ni mdogo wako tunafanana sana
Da riama naomba tufanye kz pmj mm ni pacha wk kuanzia sura mpk sauti
Ahaa Riyama kwa michambo na mipasho mmhh kaz ipooo crown mambo ni motoooo
Akuna wa kumpita dida❤❤❤😂😂
Sasa mbona unashika tumboo!!😮
❤❤❤ sana rihama
Hilo koti ungeweka kifungo kimoja naona unapata shida kulishikia
Jamani naombeni frequency ya shinyanga
Crown inapatikana kwenye redio tu au
safi sana dada🥰🥰🥰🥰
Odo kama odo❤🎉
Mnyenyekevu.huna.baya.sio
Mtu.wasifa.hongera
Nakupenda miaka 1000
Wapenda chokochoko apo imekulakwao, riama aly
🌹❤️🌹❤️
Riama bwaaana
🎉
Ujawai Kuniangusha riama
Jmn apooo kawezaaa kidg
King kiba hebu nipigie cm bc nije nifanye kz kwenye chombo chako uwezo ninao uthubutu ninao natamani kufanya kz na pacha wng dd ang riyama ally
akupigie ukiwa kama nani?sio wewe ndo upige simu kwa boss? watz bwana🚮
@@asmaaamiri8318 mamboo
Hiyonguo haikupi koftabo
Mh😊
Amepungua sana
Usimlaum simavaz yake.
Mbon kavaa vizur😂😂😂
Naona km wanachelewa kuanza kipindi
Yaaani me nataka waanze Xaizi😂😂😂😂😂😂😂
We vp kwani nguo yako mbona mnapenda kuingilia mambo yasio wahusu
Koti dada ehhh
UKISHINDANA NA ULIYEMZIDI UNAMPANDISHA HADHI.
DIDA USHAURI HUU CHUKUA
Mbona unashika nguo
Huwezi kumfikia dida wewe
Sasa anajishika shika nn km kaazima hiyo nguo hajiamini ama
Wacho chuki kwani ana shida ya nguo mpe maua yake 😂huogopi ww😅
@@nailaomar4810 Ww kipofu huoni anavyojishika au niache chuki kwa kipi hasa
@@Official83640Kwani akijishika wewe inakuadhiri nini.
Ama ngo ni yako?
Kumbe na wwe umeona mimi nikajua anajifunga kifungo
😅😅😅😢😢Kama ameazima😅😅