MPAKA HOME KWA MZEE MAGARI MAREKANI UTASHANGAA ANAMILIK MJUMBA NA MKE MRUND

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 чер 2024
  • HAPA NDIPO AQNAPOISHI MZEE ,MAGARI MAREKANI KAZIANAYOFANYA ALIENDA VIPI MAREKANI
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 256

  • @shikuhata
    @shikuhata 2 дні тому +2

    Haya siku moja niliwaambia Mzee magari anaishi marekani mkasema hoo Mzee magari ka..... Tanzania jmn

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 16 днів тому +7

    Huyu mzee ni mwigizaji mzuri sana ana kipaji.Namkubali sana.Mungu azidi kumlinda na kumpa maisha marefu.

  • @aishaathuman6445
    @aishaathuman6445 21 день тому +21

    Ila maisha usikate tamaa mzee magari alikuwa jiran yetu kigogo dampo😂😂😂 pale.maisha yakawaida leo yupp nje.maisha Safi utakiwi kukata tamaaa❤

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому +1

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

    • @ireneomerion
      @ireneomerion 8 днів тому +1

      Kabsa 😂😂 na kituo Chao pale bar tz F

    • @hanschoppa7659
      @hanschoppa7659 8 днів тому

      ile nyumba bado ipo au iliondolewa coz ilikua sehemu hatari sana pale

    • @maryamalhajri722
      @maryamalhajri722 8 днів тому

      maisha ni kutafuta 😢nilikuwa nampenda sana uyu mbaba❤

    • @user-ti4lr5zq5y
      @user-ti4lr5zq5y 6 днів тому

      Hata Mimi najuwa pia nilikuwa mdogo kipend yupo kigogo dampo kweli tusikate tamaa kabisa❤❤🙏​@@hanschoppa7659

  • @PerfectGirl-dj7zq
    @PerfectGirl-dj7zq 19 днів тому +12

    Yaan marekani unafanya kazi kiwandan na unaweza endesha gari nakuishi nyumba nzuri
    Bongo hata kodi tuu inatushinda kweli hii inchi ngumu sana

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 18 днів тому +1

      Inawezekana mgumu ukawa ni wewe na siyo nchi

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 10 днів тому

      Daah

    • @STUMAIKALELE
      @STUMAIKALELE 4 дні тому

      Jewel kabisa kule pesa kibao

    • @user-kd7mw6be5q
      @user-kd7mw6be5q 10 годин тому

      Huko nako fainali uzee msione vyaelea huko mikopo ya nyumba gari unapata huko nyumba ni yako lakin utailipia kodi had wafa hakuna ubwelele bila kufanya Kaz na ukishindwa unabaki homeless unaishi mtaani

  • @eddygad2858
    @eddygad2858 21 день тому +6

    Mzee Magari nilikuwa na mis sana sauti yake na muonekano wake nafurahi kusikia aliowa murundi wa kwetu hongerra sana mzee ❤❤❤❤❤❤❤😂

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @Jonaslukwesabenjamin-em5or
    @Jonaslukwesabenjamin-em5or День тому

    Baba nakukubali sana baba Mimi ni mwanafunzi chipukizi WA saana happy kambini mantapala refugees settlement

  • @gidesbalunguza7152
    @gidesbalunguza7152 22 дні тому +9

    Umemuhoji vzr sanaaa, hongera junior talent,, nilichogundua mzee magar ile character yke ya ukali bado anayo yaan ndo maisha yake😅

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 20 днів тому +3

    Nakupenda sana baba mzee mqgari jaman mungu azidi kukinda baba yangu magari nakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @maryamalhajri722
    @maryamalhajri722 8 днів тому +2

    nampenda sana uyu mzee magari❤❤❤❤❤❤nakumbuka sana move zake

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog 22 дні тому +10

    Kazi nzuri junior, Interview nzuri tumeenjoy😊

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 22 дні тому +5

    Mzee magari hongera umejibu vizuri sana

  • @tatusalehe8775
    @tatusalehe8775 10 днів тому +4

    Mluguru mwenzetu katoboa marekani mungu azidi kukulinda

  • @user-cr3zy4rg7p
    @user-cr3zy4rg7p 22 дні тому +10

    Tangu nianze kumuona Mzee magari sijawahi kumuona akicheka!

  • @IbrahimMsovu
    @IbrahimMsovu 19 днів тому +6

    Mr Magari nahitaji Kuja Marekani

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 20 днів тому +4

    Uyo bba yangu ni mruguru mwenzangu na amefanana na bba yangu na nampenda sana nirimiss kinoma nirijua amefariki kmya kingi aisee mungu hampe maisha marefu zaid

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @user-ho1fl1eg8n
    @user-ho1fl1eg8n 22 дні тому +6

    Mzee magari ile sauti yako ya kwenye movie😂😂😂😂

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 22 дні тому +6

    Mzee Magari kapendeza , kawa kijana .

  • @brotherdaugy1073
    @brotherdaugy1073 22 дні тому +6

    Mzee magali nimeipenda movie zake na kanumba

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 20 днів тому +3

    Safi san myak ming simuon huy mze❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @hawasaid7151
    @hawasaid7151 21 день тому +4

    Sauti yake tu huyu baba mashallah ❤️❤️

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @godfreybahitwa4798
    @godfreybahitwa4798 22 дні тому +6

    Hongera sana kaka. Una improve kila siku🎉 Hongera sana kaka.

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 22 дні тому +8

    Mainda my doter daa tuliambiwa kafariki huyu mzee kumbe ni uongo daaa

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf 10 годин тому

    Nimefurahi sana kukuona mzee magari

  • @asukulubashilwango1907
    @asukulubashilwango1907 22 дні тому +5

    Pichen Uko state gani mwanangu mimi Niko Mzee magari sehemu moja

  • @isunga1964
    @isunga1964 20 днів тому +4

    Mzee magari kafanana na mzee Abdul baba yake na Diamond

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo 😂

  • @PitchenAlAthumanmaasoud
    @PitchenAlAthumanmaasoud 22 дні тому +6

    Hii imeenda balaa
    @actor bongo movie tz @

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 20 днів тому +2

    😂😂 Nimekubali sana mzee endelea kukaza tz aio poa aisee

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn 21 день тому +4

    Ww noma mzee mungu akupe umri mrefu

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 22 дні тому +3

    LEGEND, MWANANGU MAINDA👏👏👏

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 22 дні тому +8

    hii ni interview au ni movie 😂😂

  • @ezekielshija9251
    @ezekielshija9251 21 день тому +6

    Da bro nimenunua sana vifaa vya umeme pale mnadani kariakoo, nikiwa nafanya kazi polisi Salender bridge. Kumbe vipaji hujificha mahala pengine, ni mpaka viibuliwe ndo vionekane.hongera kaka

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Sijakuelewa

    • @ezekielshija9251
      @ezekielshija9251 19 днів тому

      @@vipajitv1799 ni msg ya Mr Magari.nilidhani Ana access ya kujibu hapa!

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 22 дні тому +7

    Kumbe uzee ni kujitakia daa yani bado yupo kijana kabisaa anauwezo kuoa mwari wa miaka 18

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @user-kg2tm2eq7q
    @user-kg2tm2eq7q 19 днів тому +3

    Mainda my daughter 😂😂 hatari sanaaa

  • @Sarah-tq2vc
    @Sarah-tq2vc 22 дні тому +5

    Nmekumiss mzee wangu

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 22 дні тому +6

    Abdalla wacha kutulia mzee wetu mimi ni mkenya Rakini nilikua na mfuatilia

  • @MwaminiKashindi
    @MwaminiKashindi 21 день тому +3

    Hongera,sana,kaka,uto,mzee,kumbe,yupo

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog 22 дні тому +14

    Magari tumemmiss na sauti yake ya thahabu🙌🏾

  • @lollipophans
    @lollipophans 22 дні тому +8

    Hatimaye mzee magari kapatikana

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  22 дні тому +1

      Shukrsn sana share subscribe plz

    • @ezm
      @ezm 22 дні тому +2

      Kitambo Sana Kumbe Yupo 🇺🇸

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  21 день тому +1

      Ahsante subscribe please

  • @johnbwirabukiza1878
    @johnbwirabukiza1878 21 день тому +3

    Mwanaume m kweli kabisa hajapindusha hatakidogo

  • @Heiskmb
    @Heiskmb 22 дні тому +6

    Unyama sana 🔥🏆

  • @josephnyanda1512
    @josephnyanda1512 21 день тому +4

    Big up bro

  • @user-dd3ek5fh5g
    @user-dd3ek5fh5g 20 днів тому +2

    Kazi nzuri mwamba

  • @LuciMollel
    @LuciMollel 8 днів тому

    Mzee magar unatisha sana uko vizur kamanda

  • @marrysamwel596
    @marrysamwel596 20 днів тому +2

    Nimefurahi sana kumuona huyu mzee

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 7 днів тому

    Mzee magali wewe ni lulu ya tanzania na michango ya mashabiki wako ume kufikisha hapo na kumbuka siku ume kuja ilinga ilifikia city lodge ipogolo mwenyeji wako alikuwa Bathoromeo Kuzugra tume kumisi sana Hongera kwa kufika huko japo hutujui magum unayo pitia na changamoto unazo pitia ila usisahau nyumbni kumenoga

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 дні тому

    MDA mrefu San sijamuona uyu mzee jamani kumbe yupo mashaallh

  • @KASKOCHAWAPROMAX
    @KASKOCHAWAPROMAX 17 днів тому +3

    Pichen hongera sana

  • @WinnieKasambala
    @WinnieKasambala 9 днів тому +1

    😂😂😂😂 God bless you Papa... live longer 🎉

  • @marietaamiri889
    @marietaamiri889 День тому

    Yaani adi raha ❤❤❤❤

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 22 дні тому +4

    Hongera sana Mzee Magari

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  22 дні тому +3

      Shukrsn sana share subscribe plz😊

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  22 дні тому +2

      Shukrsn sana share subscribe plz😅

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  22 дні тому +1

      Shukrsn sana share subscribe plz❤

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 22 дні тому +3

    Toa kibao kimoja safi magari

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  22 дні тому +1

      Shukrsn sana share subscribe plz😅

  • @hassansouzha915
    @hassansouzha915 12 днів тому +3

    Dollar 20 KWA lisaa kwa siku masaa 12 inakua laki 6😂 bora nije huko

  • @Formula_tz
    @Formula_tz 22 дні тому +16

    Ety pumbavu zao hawa kumbe wapo kama sisi😄😄😁😁 mzee magari bhan

    • @TrinaRoman345
      @TrinaRoman345 22 дні тому +4

      😂😂😂😂🙌

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  21 день тому +1

      Subscribe plz

    • @TrinaRoman345
      @TrinaRoman345 21 день тому

      @@vipajitv1799 Poa my

    • @Formula_tz
      @Formula_tz 21 день тому

      @@vipajitv1799 zamani sana kaka🤝🏾

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 20 днів тому

      Comments zimejaa ila nakuagiza waambie sns wa bongo wajifunze kufanya mahojiano kama ya Junior kwa kuwa hana muda ila anapangilia content.hatakam hukutaka kumsikilizA ikatokea umekosea ukaview kazi yake lazima uitazame yote. Kuna clip nimeiona esco anamuhoji jambazi lkn ile kazi kaifnya kama ni muda wake wa ziada lkn amepoteza muda,ktk muda wake wa kupumzika ila kama angechukulia serious ile kazi imetokea kama Zali aipe thamani ingelipa zaidi. Yaani ww umesikia mtu anamzungumzia Mondi kwa kina unapaswa ku react faster na kutengeneza pesa lkn Esco alirelux akawa anapigiwa story na kushoot bila kutafuta contours za kuthamanisha ile kazi amezingua. Fanya kazi kama zali pale unapoona kuna jambo zuri,yule jambazi angempa maswali kama haya angepiga viewers balaaa zaidi ya vile

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 20 днів тому +3

    Nimeipenda sisitim ya marekani hakuna kunyanyasa mtu sio kwetu mke anapgwa na anafukuzwa ndan ya nyumba

  • @FREDCHILUMBA-hf5dm
    @FREDCHILUMBA-hf5dm 21 день тому +8

    Iyo ya mke kumfosi tendo sio marekani tu adi bongo nivile tu wake zenu wamejawa na pepo la ngono ata wakifosiwa awajari

    • @BilalMuhammad-jt6sq
      @BilalMuhammad-jt6sq 21 день тому +2

      Mamaa ako mzazi pia kajawa na pepo la ngono mana alifosiwa na baba ako na akutoa taarifa

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Dah

    • @iddymjeshi7763
      @iddymjeshi7763 16 днів тому

      Nkubaya

    • @user-zj2gc2zj2c
      @user-zj2gc2zj2c 10 днів тому

      Uliona wapi mwanamke mwenye pepo la ngono akafosiwa badala ya yeye kufosi?

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 9 годин тому

    Presenter
    ukijua kutofautisha R na L
    Kidoqo utakuwa umepiqa hatua

  • @user-ei3xu5pf2l
    @user-ei3xu5pf2l 20 днів тому +2

    HAHAHA fella king jeuri

  • @fatihiyadossa375
    @fatihiyadossa375 22 дні тому +4

    Jmn mzee magari kawa kijana et 😂

  • @Maymuna-wc8lz
    @Maymuna-wc8lz 22 дні тому +4

    Chacha Mke gani huyu Ametuvalia Nguo Kama Majani ya Mgomba😂😂😂

  • @lizaeli6732
    @lizaeli6732 21 день тому +1

    Uko ndo step father hao ni watoto wa Vyagusa wa mu Iowa baba

  • @HadijaSalum-kf6gy
    @HadijaSalum-kf6gy 21 день тому +2

    Wategemee wamama zao😅

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 20 днів тому

    Yaani nampensa. Huyo Baba ,

  • @barretobacca9754
    @barretobacca9754 22 дні тому +5

    Noma sana mzee...🇲🇿

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 22 дні тому +3

    Nakumbuka kuna move ulikuwa na 20%

  • @ramadhanimohamedisheshe7073
    @ramadhanimohamedisheshe7073 19 днів тому +1

    Mtangazaji hamna kitu...Angehojiwa na mtangazaji mzr tungefurahia sana...lakini Mtangazaji bado sana.

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Wali pie visa watangazaji wako wake sasa

  • @MasokaJiko
    @MasokaJiko 22 дні тому +4

    Sauti ya zaabu ❤❤

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 21 день тому +2

    Iv mbona naona kama ndo kua kijana heeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @zacherelius6972
      @zacherelius6972 8 днів тому

      Africa tunaanza kua wazee kwanza tukitoboa tuna rud kwny ujana sasa

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 22 дні тому +2

    HAVE LONG LIFE

  • @asyakhatib7942
    @asyakhatib7942 21 день тому +3

    @lamata msanii huyu apa mpe kazi

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  19 днів тому

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @Dr.manyaunyau
    @Dr.manyaunyau 22 дні тому +2

    Magari na kutafuta namba yako imepotea

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o 21 день тому +2

    Magari kaolewa mke wake nimeishinae kambini mtanibila kasulu

  • @TVT4888
    @TVT4888 22 дні тому +3

    ❤❤❤❤❤❤

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 9 днів тому

    Sofa zang pentwaaa👌🥰

  • @DesireHenk-pr8qp
    @DesireHenk-pr8qp 18 днів тому +1

    Mzee magari tunakubali na mujua kwa filamu yake na kanumba na wema sepeto akimwambia je wewe uko na mtoto akamwambia bado

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 17 днів тому

    Jaman jaman siwalesema Manali kafa Mungu anawaona

  • @user-tp2xg7qu4y
    @user-tp2xg7qu4y 17 днів тому

    Asante saana lakinizee hajataja anaeshi mkowa ngani?

  • @nomineetz255
    @nomineetz255 22 дні тому +2

    We kijana we n mmbwa kabisaaa marekani kuna kushobokea mtu namna hiyo 😡😡 we ni k***m***

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 22 дні тому +4

    Anafanya kazi gan

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  21 день тому +2

      Angalia hadi mwisho

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 9 днів тому

      😂😂😂huoni picha ya Mike 🎉 komaa na rangi utajua,wazee wa upinde hao.

  • @dinotelevision_tz
    @dinotelevision_tz 22 дні тому +2

    🎉🎉

  • @kibokibosho7476
    @kibokibosho7476 4 дні тому

    Ulichokosea mtangazaji ungetafuta vipande vya movies zake kabla ya interview ili uwe inavyoonesha ungetisha sana

  • @fatmayussuf7970
    @fatmayussuf7970 20 днів тому +1

    Kamata mainda wewee dah mzee magari tumekumiss hatari ,nliposema kamata mainda ulikua wapi weweeeee

  • @hamduntalib7689
    @hamduntalib7689 22 дні тому +3

    King Fella👊

  • @bagamoyoburudani2081
    @bagamoyoburudani2081 19 днів тому +1

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 22 дні тому +3

    Magari nakosa saudi yake

  • @user-xg1zg2co3c
    @user-xg1zg2co3c 17 днів тому +1

    Mambo😂😂❤

  • @kundaeldidas4146
    @kundaeldidas4146 5 днів тому

    life good is not easy

  • @user-tp2xg7qu4y
    @user-tp2xg7qu4y 17 днів тому +1

    Hatujajuwa anaishi mjii ngani?

  • @abdallahnassor2945
    @abdallahnassor2945 22 дні тому +5

    Nilisikiaga Eti Huyu Mzee Amekufa

  • @hamduntalib7689
    @hamduntalib7689 22 дні тому +3

    Sauti ya Simba👹

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  22 дні тому +1

      Shukrsn sana share subscribe plz😂

  • @gracegehazi638
    @gracegehazi638 21 день тому +2

    @Junior talent nataman nifike huko marekan,niwe hata nakusaidia kazi tu,nifanyie mpango jaman

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 10 днів тому

      Timiza ndoto zko kwa Mungu alishindikani jambo unaweza ukaanzia ata nchi nyingine badae ukafika unapotaka

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 22 дні тому +4

    King fella😂

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 5 днів тому

    Kawa mweupe

  • @violetsombe3687
    @violetsombe3687 21 день тому +4

    MAINDAAA BINTI YANGUUUU

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh 21 день тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 22 дні тому +1

    Situliambiwa kashafariki huyu mzee magari

  • @MaryDeus-w6k
    @MaryDeus-w6k 7 днів тому

    Umenikubusha mbali sana

  • @hamidhamad59
    @hamidhamad59 22 дні тому +2

    ❤❤❤❤

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 15 днів тому

    Kwa hiyo wewe muandishi unahoji au unaeleza,mbona mpo vilaza hivo,Kama huwezi ungempa mtu mwingine ahoji.huo wivu kwa hiyo Mzee Magari mumemiss baada ya kwenda Marekani

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 9 днів тому +1

    Kwel tusikatetamaa

  • @LibentWilson-ln4jq
    @LibentWilson-ln4jq 2 години тому

    Mwoga wa kutumika