Ujinga mtupu mwanamke anamnyambua mumewe kama si mumewe kisha mwisho wa siku wanalala pamoja mke anasubutu kukkuita mshenzi hadharan Kisha mwaame anaigiza anasimamia misingi ya dini wapuuuzi wote wanapotezeana muda tu Wala hawaana funzo lolote wala burudani yyt kwa jamiii kichechefu tu. Labda iwe wanaigiza mwanamke mdomo mchaaafuuuu kiliko hao washezi
Wakwanza Leo naomben like hata mbili jmn
Happy muharam happy new year leooooooo🫂
Nakupenda sana Diva❤❤❤❤MUNGU akupe hitaji la moyo wako dear
Masha Allah umependeza leo
Nawewe Diva hajielewi maneno yakuambiwa yanvunja ndoa mingi sana na mmeo mwobote hamujielewi
kusema kweli huyo mwanaune alikuwa hakutaki kabisa pole sanaa
Diva ndugu yangu unajidhalilisha hivyo mpaka wafanyakazi wanakudharau wanakufungia mageti wakikuona😂😂😂
Geti limefungwa ili😂 vitu vya mke mwenzio vitolewe 😂😂😂😂😂😂
Ila nyie walimwengu wachomozi
Huyu diva kama chizzy fresh😂😂
Jaman kwan diva ana miaka mingap
Diva ni mkorofi duh,,,mbabe looh
Jamani diva ndo utembee peku bila viatu🙌😂 15:55
Amefunga ndoa😂😂😂😂 kwann unaficha, masha mmbeya
Na shoga ake hawana akili et wakampige huyo mwanamke😂😂😂
Jameni mlinzi si afuata maagizo😂😂
What kind of marriage is this?
Hii ndoa unadharauliwa hadi na walinzi mi hapana haki uwiiii
Kwani huyu hiyo ndoa ni lazima? Duuh hatari
jamani sipendi mtu anaenifokea naeza mnasa makofi
Hayo mawigi shoga hayakutii wahka 😅
Napenda hichi kipindi
😂😂😂anataka kununulia gari tulia ww
Apo mwenye makosa ni abduli si mwingine..ila anakana tu kwa aibu
Kwa kweli hii behind de gram ya diva nimeangalia mpka hii episode lkn redflag nimingi kwa kweli huyu dada akona subra Diva his ndoa uanilazimisha ww
Ongea kiswahiri wengine hatujui kizungu
Duh sio kwa Wigi ilo
Hahahahahah 😂😂😂😂 pwapwapwapwa
Mawigi ya katani
15:41 bila viatu? kweli Diva? what diva r u!!
Unapendeza ukiva nguo Akujistriri
Ila mawigi ya diva😂😂😂
😂 Ma wigs ya TheBawse😂
Ni kasheshe😂 mawigi ya mtumba
Diva katika kosa aliwahi kufanya duniani ni kuolewa na huyo kaka.. yaani hapo ndo heshima yake ilipopotea kabsa
Diva king'ang'a
Si Kwa udhalilishaji huu etii vitu vyangu. aibu ushatuambia vitu ni vyako office mzima hatauku pia hakuficha jamaniiiiii diva kiboko🤐
Ungejua kama unajidhalilisha tu ungeeachaga huo ujinga dada
We akili huna na uyo mwanaume hakupendi yani ujiongezi shoga na ilo wigi ndio umekua kichaa
Mumeo mshezi mshez duh siku kitakapo
Kutoka mikononi ndio utajuwa diva jifunze kujibu wacha kuropoka
Ndo utembee bila viatu
Ujinga mtupu mwanamke anamnyambua mumewe kama si mumewe kisha mwisho wa siku wanalala pamoja mke anasubutu kukkuita mshenzi hadharan
Kisha mwaame anaigiza anasimamia misingi ya dini wapuuuzi wote wanapotezeana muda tu
Wala hawaana funzo lolote wala burudani yyt kwa jamiii kichechefu tu. Labda iwe wanaigiza mwanamke mdomo mchaaafuuuu kiliko hao washezi
😂😂😂miwani kama j Martin
Nitakupasua 😂😂😂😂😂😂😂
@@AishaHaji-jn7sg 😆😆😆😆
Una laana za diva zote ujuwe 😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🤣🤣🤣
@@TrinaRoman345 😆😆😆🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Hahahahhah😂😂😂😂