Nimeshinda Green Card Lottery kwa MARA YA KWANZA kuomba DV LOTTERY
Вставка
- Опубліковано 20 лют 2023
- Mshindi mwingine wa GREEN CARD LOTTERY toka TANZANIA, Placidia anaondoka usiku huu kuingia Marekani baada ya kupewa Immigrant Visa (Green Card).
Placidia aliomba Green Card Lottery tokea Tanzania mwaka 2021 na matokeo yakatoka 2022. Hii ilikuwa Mara ya kwanza kuomba na kushinda kwa mara yake ya kwanza tu.
FULL INTERVIEW IPO UA-cam / ebmswahili
Kwa mlioomba mwaka jana, Matokeo yanatoka Jumamosi, May 6, 2023.
Nafurahi kuona wanaoshinda ku-share ushindi wao na kuwa encourage wengine nao waombe na wafanikiwe. Tokomeza roho mbaya. Share information za opportunities kwa wengine, ili nao wanufaike.
Placidia hivi karibuni atafungua youtube channel yake yenye kuelezea kiundani safari ya maisha yake, na maisha mapya ya Marekani kama mshindi wa DV LOTTERY.
Please FOLLOW Placidia kwenye intstagram account yake / madampula
#ebmswahili #ebmscholars #dvlottery
Kazi nzuri sana EBM unafungua macho watu wengi👏🏿👏🏿👏🏿
.
🇹🇿
Mungu ni mwema San wajina wangu
Hongera Ernest kwa kazi nzuri. Unatuelimisha vilivyo. Nasubiria matokeo ya greencard 2024. Uliniongoza kuomba kupitia video zako. Ubarikiwe sana mkuu
So much happy , one day yes to me r
Hongera sana Placidia I feel your happiness thanks God!
Wooow....!!! Hongera sanaa... Sister Amefurahiii Kweri kweriii....!!! 🤗
EBM tusaidie ulete pia wana Uganda tafadhali, asante kwa video hii
Hongera sana ccta, hata mm nasubiria majibu niliomba kupiyia EBM
I love EBM 💚👍
duuuhh......jamani emb naomba la izo video, zipo nying mnoo. naomba link please
Hongera ebm na dada
Nafurahi saaan EBM nawapenda saaan
Karibu Tulane kazi bila kupumzika
Jamn mbona washindi wengi ni ma single inamaana ma single parent and family is difficult kuwin
EBM ni mtu mzima na ukweli
Asalam Alaykum kaka nilikua naomba kujua jinsi ya kua apply Green card 🙏
kwan matokeo yameshatoka?mm niliomba 2022 miezi ya mwishoni
KAKA EBM NAOMBA KUFANYA MAHOJIANO NA WEWE NINA MASWALI MENGI YA KUKUULIZA BAADA YA KUPITA VIDEO ZAKO 700
Tangulia tunakuja
Aliomba lini?
Ebm uliwajazia watu gree card wameshinda wangapi?
🇹🇿🇹🇿
Mimi nliomba mwaka jana,mwezi wa kumi,majibu lini?
Majibu ni tarehe sita mwezi wa tano ,itakuwa jumamosi
Tunatoboa hii
Mimi nataka kufahamu kama elimu yako ni ya A level kwa Tanzania nina uwezo wa kuomba green card lottery
Yah unawez maana wanatak High school na kuendelea na kama hauna high school uwe na working experience ya miak 2. Sasa high school ndio A level kwa Tz🤗
Pamoja na Isack kukujibu nakushauri usiwe mvivu wa kutafuta taarifa. Swali lako linayo majibu kabisa kupitia video clips za EBM. Ameeleza mengi mengi sana kuhusu na DV Lottery.
Hongera sana binti.Namuombea mwanangu pia apate In sha Allah 🤲
Hakuna kigezo cha elimu kwenye kuomba green card lottery, kila mmoja ana haki ya kuomba na hakuna maulizo ya elimu yako wakati unafanya maombi, hivyo basi anaweza kupata mtu yeyote yule kulingana na bahati nasibu kwa upande yako (lottery).
Interview hajafanya anasema anajiandaa kwenda US daah mungu awe nae hiyo alhamic
Ameshasepa
hahahaahaa ila weweeeeee😆🤣🙌