Namshukuru Mungu Kushinda DV LOTTERY. Ni zamu yako kuomba, usikate tamaa hadi upate
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Mshindi mwingine wa GREEN CARD LOTTERY toka TANZANIA, Placidia anaondoka usiku huu kuingia Marekani baada ya kupewa Immigrant Visa (Green Card).
Placidia aliomba Green Card Lottery tokea Tanzania mwaka 2021 na matokeo yakatoka 2022. Hii ilikuwa Mara ya kwanza kuomba na kushinda kwa mara yake ya kwanza tu.
FULL INTERVIEW IPO UA-cam / ebmswahili
Kwa mlioomba mwaka jana, Matokeo yanatoka Jumamosi, May 6, 2023.
Nafurahi kuona wanaoshinda ku-share ushindi wao na kuwa encourage wengine nao waombe na wafanikiwe. Tokomeza roho mbaya. Share information za opportunities kwa wengine, ili nao wanufaike.
Placidia hivi karibuni atafungua youtube channel yake yenye kuelezea kiundani safari ya maisha yake, na maisha mapya ya Marekani kama mshindi wa DV LOTTERY.
Please FOLLOW Placidia kwenye intstagram account yake / madampula
#ebmswahili #ebmscholars #dvlottery
Yaani, dada mshindi ongera sana. EBM pia tunakushukuru sana, mimi ni me apply mwaka 2023 to 2024
Mungu atujalie nasi tushinde
Ushinde uende Wapi? Hapa ndo kwenu 😁😁😁
🙏
@@adkajisi4536 😀😀😀
@@adkajisi4536 😀😀
Wow, hongera sana dada. Tunafurahi kuona watanzania tunazidi kuongezeka huku. Kaka EBM uzidi kubarikiwa. Here your Tanzanian sister watching from Utah broh, full support, stay connected 😊.
Ebm tunashinda WENGI usihofu
👏🏿👏🏿👏🏿
.
🇹🇿
Congratulations ❤
Hongera
I connect
Hongera sana dad na pia EBM ubarikiwe sana
Hongera sana my dear
Congratulations 🎉
Congratulations 👏👏👏👏👏👏
Mungu akunyosheee ndotoo zakooo
Ebm.
Naitwa Yussuf na nimeomba green card 2024. Nipo nikisubiria majibu. Na je Kam sikufanikiwa na green card njia gani nyengine as a commis chef experience nawezaje kuja USA.
Mungu awabariki nyote
Hello Ernest, I'm looking for scholarship visa please help me
Bro am currently on the process of applying dv lottery 2025 ,need help
Ofisi iko wapi bro.nam nataka kuomba
Habali yako kiongoz ivi kwa mfano umeshinda green lottery alafu hukufika form 6 itakuwa kigezo cha wewe kuto enda USA
Kaka huwa unawahost watu,Mungu anisaidie jamani
tunakuja soon Ebm 😅