Mahojiano na Mshindi wa Green Card Lottery toka TANZANIA aingia USA wiki hii (PART 1)
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Mwashy aliomba Green Card Lottery tokea Tanzania. Mara ya kwanza hakupata, mara ya pili akashinda. Hii ni safari yake ya kuomba, interview na kuingia Marekani
#ebmswahili #ebmscholars #dvlottery
Mashauz mengiii mshamba uyo ... usihoji watu wapuuz wenye manyodo
Kikubwaa Content personality yake tupa kule hayo ndo maisha
Sana mbka anaboa nyodo sana
Asante @ebm EBM, hakika ninakufuatilia Kwa ukaribu mnoo nazidi kujifunza. Lakini hapo Kwa middle name tunaomba maelezo Kwa kina kidogo. Pia interview ni nzuri. Lakini ningeshauri ungekuwa unawauliza vitu kama Gharama walizotumia, kufanya medical, wamefanya wapi, maswali waliyoulizwa kwenye viza interview, case namba walizo pata, pesa ya visa na je alilipia hapo hapo n.k Mimi ningependa kujua vitu kama hivyo binafisi. Lakini yote Kwa yote Mungu aibariki KAZI Yako na muda wako unajitoa Sana Kwa ajili yetu🙏🏽
Imekaa poa sana
@@flaziaisack4038 Kweli kabisa kashindwa kuuliza maswali ya msingii zaidi amekua akitoa somo, Alipaswa andae kipindi maalumu aeleze maisha na changamoto ya wanaopata Green Card..Maana hapo hakuna mahojiano muda mwingi amekuwa akiongea yeye tu..!Muhojiwa anaitikia tu..Hayo si mahojiano kwa maana ya mahojiano..!
Mara ya kwanza ulipocheza na kukosa haikua tu bahati yako ila Middle name haikuwa sababu maana haijalishi ukieweka au usipoweka haina effect yoyote kwenye kuchaguliwa
Kwakweli, maana mi mwenyewe nikaanza kuweka viulizo, Passport yangu ina majina ma 3, na Darasani nimesomea ma 2. Nikaanza kujiuliza apo.
@@Thyme938 usiwe na wasi wasi jina haliwezi kukufanya usichaguliwe, vitu ambavyo vinakufanya usishinde ukikosea ni Picha na kufanya application zaidi ya mara moja
Asante kwa interview zuri ya mshinda wa Green Card, samaani kaka EBM, mimi ni Mrundi, tunaomba kama Mrundi, ufanye interview na Mrundi ambaye ameshinda Green Card.
Huyu mdada mhh! anajiona ameshamaliza maisha
Thank you my dady mungu akubariki san
Wadau samahanini sio kamati ya roho mbaya ila huyu dada anaonekana ana nyodo kanaonekana kajuaji😂😂😂😂 afu kanatudanganya eti Tanzania hatuna middle name na mbona passport zina majina matatu,nida pia majina matatu 😂😂😂 ila Asante kaka ebm umeweza tunakushuku Sana kwa interviews kama hizi
tanzania middle name ipo isipokua tofauti na marekani middle name ni ya mtu mwenyewe sio ya baba, tanzania middle name ni ya baba yako marekani, Uk ni jina lako mwenyewe. yani unakua na majina yako mawili alafu la ukoo wako. sio jina lako la baba yako alafu la ukoo.
Lidada linajishauwa balaa
@@sleeprelaxation8431 Sasa ndio atuambieje hatuna middle name? 😂😂 As for me and my country hata Watu wa immigration wanajua mtanzania jina lake la kwanza ni lake la pili la baba yake( ambalo ndio linatumika kama middle name) na la tatu ni la babu yake Leo hii wanapataje ujasili wakumnyima au kumkatalia mtu visa kisa middle name 😂😥😥 doesn't add up labda walimnyima tu kwa vitu baadhi ambavyo havikukamilika ila sio middle name au lah yeye alikua anatumia majina mawili either la baba akadrop la babu au la babu akadrop la baba hapo ndio nitamuelewa Mmarekani kwa kumnyima ila otherwise Hilo la kunyimwa doesn't make sense 😏😏
@@odinakalinga389 😂😂
Hapana ndio anvyoongea ila haringi ni mtu wa watu
May mighty God bless you abundantly in His mighty name of Jesus Christ
Thanks Ernest Boniface Makulilo
Tunashukuru Bwana EBM kwa kutuelimisha
Hongela sana, karibu Marekani
Nakuangalia kutoka Nigeria safi sana.u inspired me with this idea of lottery i will try it.kila la lakheri katika maisha yake US
Huyo Dada anarembua sana,,mara hataki mahajiano si apite hv
Tunashukuru sana bro chanel yako inatuilimisha sana kabisa Mungu abariki kazi yako
Hongera ndungu
Mmmh yaani maringo mpaka! Sasa akifika huko USA itakuwaje!!
Safi sana Mwashi, Karibu sana US
ila EBM hii ni professional yako, mimi interview ingeisha the first 3 minutes,, mlio elewa mmeelewa.
Ha ha ha.bora kamuweka katuonyesha ni jinsi gani kuna watu wa mambo ya ovyo.Eti tanzania hatuna middle name.mmh
Safi sana....
Siuongee vizuri maana unanyodoo
HOST UNAONGEA SANA KULIKO MHUSIKA. MUACHE MHUSIKA AONGEE ZAIDI
Sina uzoefu sana ila kwa kidogo nilivyoyembea maisha ya nje ya nchi sio ya raha sana kama tunavyodhani. Simkatishi mtu tamaa ila mtu ujiandae kuwa hawako free na friendly kama nyumbani. Nilikaa nchi moja kwa wiki mbili ila ilikuwa kama mwaka. Fursa nyumbani zipo pia, ni kuwaza na kuwa na nia. Home ( Tanzania) is the best place to be.
Tutaenda tu nje tukipata nafasi
EBM naomba list ya document zinazohitajika I need green lottery card
Do 🤣ila huyo dada kiboko ashakua kemikali ☣️ kabla hata ya kuingia marekani,akiingia Sasa si atakua acid kabisa huyo , mpaka namuogopa🤣☣️☣️☣️🤷
Mbona kawaida tu! Sisi tunaona tupo miaka 15 huku tofauti ni kwamba huku tunalipwa kwa saa sio kwa mwenzi na hela ipo juu. pia huku huduma ya afya ya ukiumwa wanaipa kipaumbele unatibiwa kwanza hela badaye yani human rights kwanza. Lakini pia karibu kila kitu wanakata tax ukifanya sana kazi unalipa zaidi serikalini hawachezi na tax lazima ulipe ndo mana huku kunamaendeleo sana mana hakuna janjajanja kwenye hela ya serikali
@@ednaJF1028 appreciate
@@ednaJF1028 husemi kama watumika sana pia ili ukidhi mahitaji yako?stress za bongo kukosa ajira ni afadhali kuliko stress za kulipia kila hatua yako unayo ipita huku ukiwa under control,inakubidi ufanye kazi kupita Robert ili ulipie
😂😂😂😂 eti acid
Vipi fursa za biashara za mazao huko? I mean kutoa bongo kuleta Marekani? Na kuchukua pembejeo za kilimo huko kuzileta bongo?
i applied my green card lottery last year is my hope to win may 6 ,
Mee too
Dada ebu punguza speed, upo 120km/h wakati speed limit ni 60km/h. Nadhani umenielewa
Anajishaua htr
Angejua tupo Marekani kabla yake
Ha haha ha ha haaaa! Utafikiri alishaishi miaka.
🤣🤣🤣 watu mko na maneno
Safi sana
Pamoja sana Mimi ni Balozi wako wa Kujitorea hapa Tz
EBM Mambo mazur Aki natamani sana
Bro tunahitaj kujua challenges watu wanazokutana nazo wakati wa uombaji wa hiyo green card jaribu kurelate na hiyo green card ili watu tupate ideas katika hilo, still haitusaidii kutupa lifestyle ya watu wa huko na the way people lives over there, bado haitusaidii bro
Hapo hajafika marekani yupo hvyo
huyu bint ni mrembo na anarembua vizuri sana
Bro EBM mbona dada ameongelea kuwa Tz hatuna middle name.. Kwa hyo ile middle name tuliojaza kwenye application itatucost? May you please elaborate hii case
Namim najiuliza apa kanichanganya
kajichanganya yan kuna na middle name au kutokuwa na middle name iyo ni optional yani kushindwa kwake mara ya kwanza haimaanishi kwamba alijaza vibaya ama vizuri coz green card lottery ina chagua randomly wapo walio cheza miaka na miaka lakn hawapati sio kwamba wanajaza vibaya tena wanakuaga makini sana ili wasiteleze tena kushinda ni bahati tu ndyo maana inaitwa bahati nasibu
There is no such a thing, Green card ni lottery kama lottery zingine maana yake ni Sandakarawe, Kuwa na middle name au kutokuwa na middle name si kigezo cha kushinda au kutoshinda, unaweza jaza everything perfect ukakosa hata ten years na mwingine anaeza jaza majina tofauti na anawin. So it's just a lottery na bahati tu uliyo nayo. Tanzania tuko na middle name na ndio maana hata kwenye kujaza form kuna box ya middle name kama uko nayo unajaza kama hauna una untick hiyo box so kwenye majina yako yatatokea mawili
Kajichanganya na mishap yake marekani ndio hawatumii middle name lakini unajaza kama kawaida ila wanakuwa kwenye ID zako wanaweka majina 2 tu
Congratulations Mwashy
Nice san ....nahitaji kujuaa aliapply mwez gani??
hao n wa mwaka jna
Mji gani marekani auna snow yani uko nijoto tuu natka kujua jaman?
Mahijiano mazuri👏🏿👏🏿👏🏿
.
🇹🇿
Middle NAME thing?
when she applied i think applications of this year not yet out.
Not yet yeaaaah
Hello! Kaka watanzania hatuna middle name
Hii ni hotuba ya EBM si interview maana mdada hata haongei
Huyo nimesoma nae kisutu....alikua mcharukooooo....hajaacha tu mashauzi😂😂😂😂😂 mmarekani
Mwashi hongera.... Ila unakapozi kauchokozi🙄🙄🙄
Mbona issue ya Middle name hujubu kaka???
Dada kasema Tanzania hatuna middle name????
Hahaha, waafrica wote wana middle name....
Mazee dem mwenye mdomo mzuri uyo keshachuliwa na uncle Samweli.
Alishinda ya mawaka gani jamani?
Kalibu utakua jilani kutokea canada vancouver
Mbona anajishaua
Habari mkuu mambo vipi naitwa Saad natokea Tanzania naishi DUBAI mwakajana nilicheza GREEN CARD LOTTERY ila ninachotaka kujua nikwamba majibu yake huwaga yanatokaga kwa muda gani mwezi huo huo ao baada ya muda flani naomba kujua please asante 🙏
Yanatoka mwezi wa tano tar 6
Alikua na usingizi au nd malembuzi😂😂😂🙌
Ngoje uje huku uanze ona maisha yalivyo utanyooka
Anamaanisha nn anavyo sema Tanzania hatuna middle name msaada plz
Hahaha
Vile unatamani kuenda marekani ila huna mtu yoyote uko wakukupa muongozo elimu ya form four😅 na garama mpaka unafika mtaji tosha ukikumba baridi wee ushauri kwa wenye jamaa nendeni na hii furaha kwa ajili yenu wale wenzangu na mie kwanza tupambane Tanzania kuna fursa nyingi tu tafuta
Huyo umemtoa wapi ajui kwanza kujibu maswsli anajifanya kuongea kizungu wakati ni mtanzania mbona makulilo Yuko vizuri
migration policy ya Canada ipoje
Ebm nimekua mdau mkubwa sana.
Tz hua unatumia namba gan ninashida ya ww juu ya program ya Full bright
God's time is the best
Unamaanisha middle name au maiden name?
Ni mwaka gan hyo alishinda?
Nimeelewa sana ila Mbona dada kama afunguki vizuli na kaka uwe unawauliza kuusu gharama za za medical na zingine
Huyu dada i think she is her personality
Nataman usome hii comment ""hivi umekuja kuangalia hii interview yako"?? Kama ndio na hujajifunza kitu basi wew ni nyumbu🥵
😂😂😂😂😂😂
Dada Domo bayaaaaa mashauz kibao,, kuwa mpole punguza ushamba mpyuuu
😂😂😂😂😂🙌
Shida moja ambayo siipendagi kuishi away from home ni, kwanza kuwa ratio profiled, kiwango cha ubaguzi mfano hapo america bado kipo sana tu. na hii inaumiza sana haswa inapokukuta na unajiona live kuwa unakuwa dehumanized hapo utaanza kusikia upweke. Cha pili making a home away from home is a process..inategemea umelenga nini. Ushauri wangu ishi popote unapoona panaweza kukalika lakini always invest nyumbani na nyumbani pabaki kuwa nyumbani tu. Ubaguzi utauelewa ikiwa tu utakutana na hiyo situation vinginevyo ni mbaya sana na isikukute.
Marekan hakuna ubaguz kiiivo sema watu wameukuza mnooooooo hasa ambao hawaish marekani
Naheshimu mtazamo wako,ila kwa kusoma ulichoandika. Kama hukuwahi kuishi Marekani au nchi nyingine ya ugenini ni kwamba tayari kwa sababu fulani ambazo sizijui una mtazamo hasi kuhusu kuishi nje. Ratio profiling ipo katika nchi yeyote unayoishi tofauti na yako mara tu unapozungumza au kujitambulisha majina yako. Kuhusu ubaguzi ni namna mtu unavyojibeba ndivyo unavyopokelewa sasa ni juu yako wewe. Hata hizi kelele za ubaguzi unazoziona kwenye media mostly ni agenda zinakua propergated lakini you choose to be what you want. Na hata ukibaguliwa you can still stand with no violence na wakakuheshimu tatizo ni namna tunavyojichukulia na jinsi tunavyorespond to situations ndio shida. You go to the country with presumption ideas,you are definitely going to fail kwasababu ya mentality uliyoibeba.
wewe upo usa
Uyu mtoto nkitimba maeneo namtafuta😂
kaka habari yako naona unakuwa unachukuwa muda kupost video youtube au kuna mambo kidogo yameingiliana
Kamati ya Roho Mbaya imeshakaa Kikao... hehehe
MWAMBIE AKIJA HUKU YUES KAMA ANA MAKARATASI WA NIGERIA WATAMPENDA NA KUMUOA ILI WAPATE MAKARATASI
Ukimaanisha Nini makaratasi
@@officialsharifa yaani US kuna illegal migrants ambao wanakaa kinyemela so kupata kazi inakua ngumu sanaaaa sabab hawana vibali kwaio kampuni za huku hazikuajir kama huna ivyo vibali ambavyo mwajiri akiingiza mtandaon anaona taarifa zako so wanaishia kufanya mishe zile kama za kilimo au kujenga jenga nk. So ukioa mtu mwenye vibal vya kukaa uku au raia unapata izo documents .. kwaio yeye ninFursa kwa wale wanaume waso na vibali hasa wanigeria na mtu aneza kukuoa bada ya mda anakuacha sabab tayar ashapata anachokitaka . Ayo makaratas usokuwa nayo huku utaimba haleluya
@@officialsharifaNjia rahisi ya kupata right ya kuishi USA, Green card Sio ndo umemaliza mchezo
Majibu ya dv lottery yametok au 😢
Hiv ebm, deadline ya FLTa ni Lin?
kwenye website yao hawakuandika ila mara kwa mara ni process ya kama miezi 2 hivi. Hivyo jipe deadline ya middle of April ili wao wakimaliza mwishoni mwa April wewe umesha submit
Kaka EBM nimekutumia ujumbe muhimu kwenye namba yako ya whatsapp marekani,Pls coz upo Tz kwasasa naomba pitia u respond ni muhimu sana
Kaka ebm huyu dada anamanisha nn kusema TZ hatuna middle name.
Kaka naomba unisaidie tafadhali nije huko ps
Middle name ana maanisha nini huyo?
Hahaha, jina ya kati ambayo ndio yako, sio ile ya kubatizwa ama ya ukoo....
Kaka EBM huyo dada amesema kwa Tanzania hatuna middle name is thqt true?? nakumbuka kwenye video zako hua unasema km kwenye passport au vyeti kuna middle name iandike
mi mwenyewe nina middle name kwenye vyeti vyangu vyote na nimeweka
Mi nachojua nikwamba. Mfano jina la
John Joshua mwambije, kwa Tanzania ukiulizwa jina lako unataja John Joshua, ukiulizwa Surname unasema mwambije.
Marekani
John=First name
Joshua=middle name
Mwambije=Last Name.
EBM atanirekebisha kama nimekosea
@@alexndabatinya7953
Lakini katika passport kama unayo( middle name huunganishwa kwe jina lako na kufanya kuwa kama jina moja means yote kuwa kama first name yako), majina yako yatasomeka;
Jina/Given name; John Joshua ( this is your first name).
Jina la ukoo/Surname; Mwambije ( this is your last name).
so hakuna middle name.
Nadhani hii haikuwa interview bali ni lecture😆
HUYU DADA ANAJISKIA ANAONEKANA NI MBINAFSI, MCHOYO HUYU MCHAGA
We unaukabila sana
@@mmasipeter4157 Sina ukabila lakin huyu Dada naona Kama anazngua ananata sana
Sio Mchaga huyooo, MSUKUMA huyooo
Aje kasuru afurahie kidongo
Hiyo ni interview ama lecture?? Maana Ilipaswa uwe na maswali mafupi umwache Mgeni haojiwe yeye azungumze yeye zaidi kutoa majibu na kwa ufafanuzi..Cha ajabu wewe ndio umekuwa lecturee yeye anaitikia tu MMh Okey okey.......Tumeshindwa elewa na muhojiwa hapo.
Inagalama gani
Kha!😒
Watu kama hawa ndio wanafanya nizidi kumpenda EBM, huyu dada anajibeba aiseee, na hapo hana hata mwaka Marekani, ndio maana Binafsi namkubali EBM!!
Umeona eeh yaani anajibeba sana... ila hizi issue ni personality ya mtu tu...
@@frank18112 Definitely, Yes.. Tabia za mtu tu, ila siku zoote kuna msemo unasema Pesa haibadilishi tabia za mtu ila ina onyesha tabia za mtu hasa akiwa nazo, kwasababu kama wewe ni mtoaji ukipata pesa utatoa zaidi, na kama wewe una tabia ya kujiskia, ukipata pesa utajiskia zaidi,, huwezi kuona EBM ana jiskia He is just a humble guy, despite kiasi alicho nacho kwa BANK
@@tinitojr4141 Fact mzee, watu kama hawa ndo wakifika huko they don’t like to share opportunities to others, wanawaona ambao hawako abroad kama ni lazy...