Kutana na TUMAINI, MSHINDI WA GREEN CARD LOTTERY wa mwaka huu toka TANZANIA
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Tumaini aliomba Green Card Lottery mwaka jana kupitia kituo cha EBM SCHOLARS. Sasahivi anasubiria kufanya interview yake na kuja Marekani kuanza maisha mapya kama mkazi wa kudumu, PERMANENT RESIDENT (GREEN CARD HOLDER)
Wow dada nimekupenda
Mashaallah! Karibu sana ndugu. Mwenyezi Mungu akusimamie wewe na Familia yako nzima. ❤❤❤
Ebm tunashikuru sana kw kutuelimisha na mm ni mmoja wapo nimeomba shukran sana kutuhamasisha
safi sana dada umeuliza maswali mazuri sana mungu akutangulie.see it in america for the first time
Dada Tumaini pokea salama zangu,nimpenda maswali mpaka nimelewe kabisa,nikifika America wewe ndiyo utakuwa host wangu niko 🇰🇪🙏
Ur welcome
All the best wajina
Hongera sana Tumaini
❤ am so happy of you dogo.. Yaani words cant express how much am exhited for u.. nangoja yangu pia.. tutakutana Marekani dear❤😂
Thank you Angie 🎉
Unaweza ukawa mshindi ila ukaja kudundishwa kwenye interview ya Visa
My dear KABIDHI KWA MUNGU MAANA WABONGO HEEEEEEE ,IFUNIKE KWA DAMU YA YESU
Asandi dada swami lako limenisaidia sana❤❤❤ kweli hauna kujibenda mungu akutangulie mpele akulinde uwe na kipali Siku zote za maisha yako
Ameen
Proud ebm tz🎉🎉
Daaah jameni raha Huku kwa EBM
this is very good, tunao apply mwaka huu please tumtangulize MUNGU
Hongera sana
Hii kali kamati roho sijawahi kusikia inapatikana wapi sjui msije huko huko mashetani kamati roho mbaya
Je inahitajika elimu gani
Je inahitajika elimu gani?
Kaka mm naitaji kuomba sana ni bei gani kwako nina watoto wawili na mke nafanyeje jibu hata sms messages
Mkuuu zidi kutuelimisha uyu mwaka nime apply tena nategemea kupata majibu mzuri kutoka kwa green card
Fomu zinapatikana wapi jamani maana wengine hatuko Dar es salam
Mtandaoni
❤❤❤
Njamani siuelewi huu mchezo nifundisheni
Mcheck EBM mtu poa sana yaani simple atakueleza na kujitosheleza
Nisaidie na mm nicheze naona siku zinaenda mbio ebm,nafula na wengine uko nisaidie kujaza wakuu
Bidada ashasahau km yuko na mume masihara nn lazima umkatae
Daah nimeioenda hiyo On Behalf of the People of UNITED STATES OF AMERICA 😂😂😂👏👏👏
Lip stick jmn
Bro EBM, vipi kuhusu passport,ni lazima uwe nayo kwa usajili wa kwanza?
Hapana! Ku apply ni free, bla passport, ila ukishashinda itabidi utafute.
Kuomba ni free
Kaka naomba kujua dar unakuja lini na utakuwa hoteli gani natamani sana na mimi kujaribu kucheza hiyo green card ila sijui nianzie wapi?
Mbona ashakuja na ofisi yake IPO wazi!
Kimberly wewe ni Muha !!!! Ndio maana uko hivyo😅😅
Ijumaaa hii ndio naenda kwa EBM nishafanya mazungumzo nae
Nyie mnao apply mjipange kifedha ikitokea mmeshinda
He he he ,mkuu embu tudokeze makadilio kama kiasi gani hvi?
@@shila9887visa dollar 330
Medical kama dollar 400 ila in depend
Nauli
Dada ananza kuiyona marekani
Ebm shida yenu hamjibu comments.
Mbona siwaelewi kweni uyu kacheza tarehe iyo 24/10/2023 leo ni tarehe ngapi jamani
Aliomba mwaka Jana! Ila mwaka wa USA huanza October, so Green card ya mwaka Jana iliitwa ya mwaka 2023, means japo aliomba mwaka Jana lkn majibu ni 2023, na Interview yake ni 2023!! So wanaoomba mwaka huu, wanaomba Green card ya msimu wa 2024, japo wameomba 2023!
Clear?
I mean mwaka wa USA wa kiserikali huanza OCTOBER.
@@Thyme938 thanks ww umecheza nisaidie na mm nicheze naona niko New York
@@DizzoclassicSoundstz sio Tatizo, wasiliana na EBM atakusaidia.
@@Thyme938 ajibu sms messages wala asomi EBM nimemtafuta sana
Je nikiwa sina ndugu yoyote huko USA wa kunipokea inakuaje hapo
Shinda kwanza, kupata host sio tatizo, ata ukimuona Ibrahim, atakusaidia.
@@Thyme938 nipe namba yake huyo
@@Thyme938 nipe na namba yako pia
@@Thyme938Ibrahim ndio nani? Host wapo lakini sio rahisi kupata bro wengi wanakosa zile form za affidavit of support from the host so their process does not go well
Leo ni tarehe 20/10/2023 yy tayari kashinda sijaelewa nisaidieni jamani
Alishinda dv iliyopita mkuu
NAKAMA INAWEZEKANA KUFANYIA INTERVIEW KWENE INCHI YOTE ILE KUNAITAJI NINI ILI WAKUBALI UFANYI INCHI NYINGINE
EBM tunaomba uzungumzie pia mfumo wa matibabu kama wewe ni mshindi inakuaje? Kuhusu elimu kwa watoto ulituambia ni Bure, je kuhusu matibabu?
JE KAKA EBM MTU AKIFANYIKIWA KUSHINDA GREEN CARD ANAWEZA FANYIA INTERVIEW YAKE KWENE UBALOZI WOTE ULE DUNIANI
Ndio
MTU AMBAYE AMEJAZA GREEN CARD ILA UNAKUJA GUNDUWA KUWA UMEFANYA KOSA LA KUTIA JINA LA PILI KWENE JINA LA TATU JE AKISHINDA KWENE D260 ANAWEZA KUBADIRI NA KUWEKA VIZURI
yes jina halina impact kama umeyapishanisha, kwenye ds260 utarekebisha.
@@jessemwakyusa8913 Asante Sana ndugu je piya nilitaka kujuwa mtu AKISHINDA anaweza fanya interview na embassy ya inchi yoyote Ile afrika tafautu na inchi yake
Jina sio tatizo na baadae akishinda atajaza kiusahihi