Sababu za msingi za KUNYIMWA au KUKOSA VIZA za Ulaya, USA, Canada nk

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 106

  • @freewallace7155
    @freewallace7155 2 роки тому +6

    Braza unatoa knowledge lakin in a negative way yani unafanya issue inakua ngumu sana kuingia marekan wakati ni jambo la kawaida bro toa vielelezo mtu awe na kiti gani na kitu gani aweze kupata visa

  • @adriangerson8433
    @adriangerson8433 2 роки тому +4

    kwa jina Adrian NTIBONEKA asante sana umekuwa ukitupa mchango wa mawazo mazuri na kuwwza kufahamu vitu vinavyo hitajika je kwa mimi ambaye nahitaji mawasiliono yako kuweza kuzungumza kiundani zaidi juu ya kufahamu kiundani hasa na kujianda katika safari naweza kupata namba yako

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 роки тому +2

    Asante sana Ernest. Nimechelewa kukugundua.

  • @user-qc7zq5mm8k
    @user-qc7zq5mm8k 11 місяців тому +1

    Mimi sijui lungha ya kizungu
    Inakuajee kufanikisha yote hayoo

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 7 місяців тому

      Kiswahili ni lugha kubwa sana onyesha kuwa wewe unamfahamu kiswahili.

  • @user-pw2cm8ep1z
    @user-pw2cm8ep1z 5 місяців тому

    Asantee Sanaa kaka

  • @graceramadan5396
    @graceramadan5396 3 роки тому +1

    Ahsante sana nakufatilia mwanzo mwisho

  • @gideonisanja9976
    @gideonisanja9976 2 роки тому

    Ooh thanks for your explanation sir
    Your Missouri like my sister I wish to come one day if God wish

  • @isackmajura4435
    @isackmajura4435 2 роки тому

    Nashukuru Sana kwa elimu yako nzuri uliyoitoa mungu akubaliki sana

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 роки тому +2

    1-ushawishi 2-fedha ya kukusapoti 3-sehemu ya kuishi au nani anakusponsa kwa muda wako wote wa maombi au masomo. Ushahidi wa hati na viwango vyake pamoja na maelezo ya benki-statements

  • @melinaatanas5801
    @melinaatanas5801 2 роки тому +2

    Chuo Cha SUA inacoordinate internship kwa wanafunzi wake kwenda marekana km further studies kwa mwaka mmja lkn kwenye visa tnalimwa Sana Yan Kaka tusaidie

  • @tonnymusic9396
    @tonnymusic9396 3 роки тому +1

    Kabisa umeongea point kubwa sana Kaka

  • @user-jt2ts4ey3m
    @user-jt2ts4ey3m 6 місяців тому

    Mbona wakija kwetu awaulizwi vitu hiyvo wankuja kama watalii sio maigrent

  • @Muslim-in5cy
    @Muslim-in5cy Рік тому

    Mwenyezimungu akulipe ndugu

  • @user-zx8kk4sw1u
    @user-zx8kk4sw1u 8 місяців тому

    🎉

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA Рік тому +1

    Kumbe mkuu ulikua na uwalaza

  • @oblangatamakhakas9593
    @oblangatamakhakas9593 Рік тому

    I get you point

  • @angelinamayombo5511
    @angelinamayombo5511 2 роки тому

    Asante Sana Mimi Ni ndugu yako Angelina William,hebu nielekeze document za mstaafu Kama nataka kuja huko

  • @maribasimon6993
    @maribasimon6993 2 роки тому

    ahsante kwa ushauri

  • @harunsarafu508
    @harunsarafu508 2 роки тому

    Ubarikiwe sana yaani.kwa elimu hii

  • @eliezerthomas785
    @eliezerthomas785 2 роки тому

    bro asante sana nimekuelewa vzr

  • @barwaqoboru8609
    @barwaqoboru8609 2 роки тому

    Asante kwa video hii mzuri

  • @audaxbenedictor2567
    @audaxbenedictor2567 2 роки тому +1

    that means iyo 220$ lazma uwe nayo before uplying

  • @Nyalwanda
    @Nyalwanda 2 роки тому +1

    Duh!... Ahsante sana kwa ushauri wako.....vipi kuhusu Au pair program?

  • @lucasmoshi9136
    @lucasmoshi9136 Рік тому +1

    Nashukuru sana brother kupita video zako nimepata visa

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 2 роки тому

    kaka mungu akupe umri mrefu tupate kufaidika Ammyn🤲🤲

  • @nickmsemwa3732
    @nickmsemwa3732 Рік тому

    Swali rangu brother uyo anaekuuliza maswali anakuuliza kwakiswahili au kwa kingereza pls nakuomba unijibu

  • @twikaleomary5801
    @twikaleomary5801 Рік тому

    Fact

  • @malhiramadhani2515
    @malhiramadhani2515 2 роки тому

    Habari. Nisaidie kuusu viza ya uturuki

  • @OmarVuru
    @OmarVuru 9 місяців тому

    Naitaji namba Yako bloo naipataje

  • @user-xv1fl5cl2r
    @user-xv1fl5cl2r Рік тому

    Sasa bem kunawengin hatuma elim inamaa hatufiki ulaya?

  • @japhethmasika4701
    @japhethmasika4701 2 роки тому

    Africa mama yangu....hapa nimekita mizizi sibanduki 😅😁😁

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7 3 роки тому

    Nimekuelewa Sana mkuu

  • @malisawakachunga8874
    @malisawakachunga8874 2 роки тому

    Habari za uzima Kaka Mimi naitwa malisawa nipo daresalama ombi langu kwako naomba uniandikiee baruaa ya mwaliko please nisaidiee kw.

  • @kewatii
    @kewatii 2 роки тому

    Busara sana

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 2 роки тому

    Ok

  • @KareemHussein-en3hr
    @KareemHussein-en3hr 2 місяці тому

    Bro iliniweze kwenda canada niwe na shingap

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 10 місяців тому

    Tunaomba namba yko tukuulize zaidi

  • @credonolasco4981
    @credonolasco4981 Рік тому

    Mawasiliano yako mkuu

  • @user-rj4pm2pr1l
    @user-rj4pm2pr1l 6 місяців тому

    Siku pingi kaka

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 Рік тому

    Bba naomba uwogelelee wale awajamalixa form 4 na wanataka kwenda marekani na wakona uzoefu wa kazi fulani

  • @pembastore252
    @pembastore252 Рік тому

    Madini haya

  • @hmattangosha3950
    @hmattangosha3950 Рік тому

    Naomba mawasiliano makulilo

  • @johnsonyokoyana5127
    @johnsonyokoyana5127 Рік тому

    Brother hivi waganda wanafanyaje. naona kuna watu wengi wanakuja huko kwa mialiko ya ndugu na wanabaki huko, wanawezaje kuingia kwenye mifumo ya huko

  • @WWE12361
    @WWE12361 Рік тому

    Kwa jina naitwa Ansgar Chunda naomba unisaidie ili niweze kupata F1 visa ya kwenda kusoma marekani

  • @naftalidani2962
    @naftalidani2962 3 роки тому +2

    Asante kwa maelezo na ushauri huo,lakini nimesikia umeongelea Sana kwa Taifa la Marekani,je kwa Canada ni vipi?

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 роки тому +5

      Visa ya USA, Canada, Ulaya masharti ni hayo hayo...kuonesha kuwa hutozamia...kuonesha vipato, assets nk

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Рік тому

    Kwann wao wanakuja kwetu kirahisi?

  • @brownmwaibole8414
    @brownmwaibole8414 Рік тому

    Nimekuelewa sasa

  • @user-xy6ou8xo1s
    @user-xy6ou8xo1s Рік тому

    Kaka ahsante mimi nikiombeawa ya mgonjwa naenda kumuuguza niandae nini?

  • @Selemanian
    @Selemanian 2 роки тому

    Kwahiyo hata wao pia wanaonesha hati za viwanja au nyumba kabla hawajaja kutembea Tz.?

  • @eliezerthomas785
    @eliezerthomas785 2 роки тому

    hadi raha,, kk ww ni hatari

  • @saidurassa5041
    @saidurassa5041 Рік тому

    🤝🤝🤝🤝

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Рік тому

    Nimejaribu mengi

  • @AthumaniNgeleza
    @AthumaniNgeleza Рік тому

    Yan kaka kila unacho zungumza nakuelewa mapaka natamani kulia kwa furaha kaka

  • @jonele8592
    @jonele8592 Рік тому

    Ukiwa mfanya biashara je ? Waweza kusanya documents ipi

  • @zakariabwanakheri5904
    @zakariabwanakheri5904 2 роки тому +1

    sasa broo nimekuelewa unasema moja wapo mwanjia rahisi niya scholarship. sasa kwa sisi ambao atukufika ata secondary inakuaje Vp twaeza kupata Visa

  • @eliezerthomas785
    @eliezerthomas785 2 роки тому

    nimecheka kwa sauti,,,

  • @toylazaro7630
    @toylazaro7630 Рік тому

    Gharama ziko vip

  • @kennedyraymond8977
    @kennedyraymond8977 2 роки тому

    Tueleze kiundani zaidi

  • @arafathussein7910
    @arafathussein7910 Рік тому

    aseeee nimecheka sana umuu 😂😂😂😂

    • @annasamba8478
      @annasamba8478 Рік тому

      Je naomba unionyese jinsi ya kucheza green card

  • @saidmsur8278
    @saidmsur8278 2 роки тому

    duuh! nitafika marekani nimechoka xna

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 Рік тому

      Nenda znz ukapata mzungu njia rahisi ya kwenda

  • @khalfanallbusaid2035
    @khalfanallbusaid2035 2 роки тому +4

    Visa ya kazi inakuaje Kaka unaweza kuipata Kwa vigezo vipi?

  • @kubwayoinnocent1710
    @kubwayoinnocent1710 3 роки тому

    Burundi tunakufata boss

  • @maabadburhan9385
    @maabadburhan9385 Рік тому +1

    Jinsi gani unaweza kupata scholarship?

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 Рік тому

    Nonmigration visa America una weza ipata aje?

  • @goldenfoot1102
    @goldenfoot1102 2 роки тому

    Huyu jamaa akikaa katika viza department hakuna mtanzania atakayeenda USA kanichekesha sana hahahahahaha eti university of daresalaam

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 2 роки тому

    Basi bwana nitakaa zangu gongolamboto

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 2 роки тому

    😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 2 роки тому

    Wanajionaje hao jamaa dah

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 3 роки тому +2

    Wajina wangu mim bani nielekeze nawexaje ku aplay visa kutok apa south Africa nielekeze bn kka

    • @ireniren8750
      @ireniren8750 3 роки тому +2

      Kaka mimi kwa sasa niko omania lakin January nitakuwa Tanzania na niliomba visa ya kuja huku kwa hali kama hiyo ya kuja kutembelea omani lakin nikaja kufanya kazi za ndani sasa hakina shida kwenye passport yang kuwa iko nilikuja omani kama housegirl?

    • @enemtatuka5863
      @enemtatuka5863 3 роки тому

      @@ireniren8750 dah ngoj tumsikilxie brw atasema je

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому

      Visa ni documents tu ndugu yangu la upate mtu wakuoa au kuolewa huko unakotaka kwenda au kama wewe ni artist unaweza ku apply art residency au international exhibition bila hivyo mziki wake mkubwa kupata visa ni ngumu sana , Ukiwa artist safari ni lahisi sana na zipo nyingi

  • @zachariamachimu1068
    @zachariamachimu1068 Рік тому

    Hbr bwana Henry, mie nina jamaa au rafiki hàpo maeneo ya califonia nataka kumtembelea so nikitaka kuja lazima niwe na viza?

    • @Bin_Slyim
      @Bin_Slyim Рік тому

      Viza lazma hata kama baba yako awe rais wa marekan naww uko nje ya marekan ndo unatak kwend lazma viza kwhy huwez kuiepuka

    • @salomezakaria
      @salomezakaria Рік тому +1

      Kaka

    • @salomezakaria
      @salomezakaria Рік тому +1

      Kaka Mimi niko Oman,NATAKA KWENDA Ufaransa, naweza pata mwongozo,Naenda kikazi

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 роки тому

    Kila mtu atakakwenda Usa kumtazama Rhianna 🤣 nashukuru mimi sijawahi kunyimwa viza ya nchi yeyote , Kama hauna mipango ya maana ningumu kuingia nchi za ulaya America na Asia

  • @rosedavid2061
    @rosedavid2061 2 роки тому

    Na una MTU hatakae kaa naye us kutakua vp

  • @amanijumanne5543
    @amanijumanne5543 Рік тому

    Je? Kama ni kijan ambaye hana chochote ila Ana pesa kumfikisha us anaweza kufanyeje kwa msada zaidi. Maana naona plosesi zote unazo toa ni zawatu natajili Sasa kwa watu wa hali za chini wafanyajee??

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx Рік тому

    Kaka nina shida na ww naomba tuwasiliane whatsaap

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 2 роки тому

    Naomba namba yako kaka

  • @kassimsaid1820
    @kassimsaid1820 2 роки тому

    Kama ulicomment vibaya ukifuta je wanaiona bado wakitrace.?

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 роки тому

    😄😄😄😄 eti unacomment mabeberu alafu unaenda kuomba visa

  • @umiy1971
    @umiy1971 2 роки тому

    Mwanamissouri mwenzetu wewe kumbe ?

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 3 роки тому

    Nakufatilia San Kak mim nataman San nije

  • @betricemainoya4176
    @betricemainoya4176 Рік тому

    Hi dear mtu arapataje scholarship

    • @habibarnabas
      @habibarnabas Рік тому

      Angalia link ya wizara ya elimu Huwa wanatoa

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 2 роки тому

    Mi naonga tu ikiwezekana nadandia ndege nikifika uko nipewe kabisa uraia wa marekani 🇺🇸 sitaki Tena kuishi Tanzania maisha Ni magumu 😭😭

  • @khalfanallbusaid2035
    @khalfanallbusaid2035 2 роки тому +2

    Kaka jinsi ya kupata visa ya kazi kama mm saivi nipo abudhabi na nafanya kazi hapa saivi kama miaka 7 sasa

    • @hajijuma7760
      @hajijuma7760 Рік тому

      Mzee baba samahani kuna vitu nahitaji unielekeza kuhusu abudhabi naombaawasiliano yako kama hutojali

  • @kennedyraymond8977
    @kennedyraymond8977 2 роки тому

    Kwan wewe ulikua unamiliki nini

  • @amosiisack2351
    @amosiisack2351 3 роки тому +1

    Brow nilikuw na swali vp sasa katika iyo interview ya afisa mtoaji visa wana kuoji kwa kiswahil au english??

    • @ramadhanishabani2743
      @ramadhanishabani2743 2 роки тому

      Kingereza

    • @husseinkazigo6189
      @husseinkazigo6189 Рік тому

      Kama unaenda kusoma razima uongee kingereza kama unaenda kutembea ukikutana na mzungu unamwambia nahitaji kuongea kiswahili unaletewa mswahili

  • @kennedyraymond8977
    @kennedyraymond8977 2 роки тому

    Em twambie kwanza na wewe uliendaje

    • @ibraibra4887
      @ibraibra4887 2 роки тому

      Asante kwa alimu yako busala zako

  • @vamitv873
    @vamitv873 3 роки тому +1

    Hahahaha na enjoy unavyo ongea kwa msisitizo, ukija kibongo bongo mie ni jirani yako nipo hapa geita.
    Nimeona baadhi ya taarifa hususani za taifa la Canada hua wanahitaji wakaazi katika majimbo tofauti ili tu uoneshe kua utakua ni chachu ya kukuza uchumi wa Canada, pia kama unataka ukaazi wa kudumu kuna vigezo vya kufuata. Hi bwana mkubwa imekaaje kwa watu wanao taka kujichanganya huko.?

  • @user-pw2cm8ep1z
    @user-pw2cm8ep1z 5 місяців тому

    Asantee Sanaa kaka