Braza unatoa knowledge lakin in a negative way yani unafanya issue inakua ngumu sana kuingia marekan wakati ni jambo la kawaida bro toa vielelezo mtu awe na kiti gani na kitu gani aweze kupata visa
kwa jina Adrian NTIBONEKA asante sana umekuwa ukitupa mchango wa mawazo mazuri na kuwwza kufahamu vitu vinavyo hitajika je kwa mimi ambaye nahitaji mawasiliono yako kuweza kuzungumza kiundani zaidi juu ya kufahamu kiundani hasa na kujianda katika safari naweza kupata namba yako
1-ushawishi 2-fedha ya kukusapoti 3-sehemu ya kuishi au nani anakusponsa kwa muda wako wote wa maombi au masomo. Ushahidi wa hati na viwango vyake pamoja na maelezo ya benki-statements
Chuo Cha SUA inacoordinate internship kwa wanafunzi wake kwenda marekana km further studies kwa mwaka mmja lkn kwenye visa tnalimwa Sana Yan Kaka tusaidie
Kaka mimi kwa sasa niko omania lakin January nitakuwa Tanzania na niliomba visa ya kuja huku kwa hali kama hiyo ya kuja kutembelea omani lakin nikaja kufanya kazi za ndani sasa hakina shida kwenye passport yang kuwa iko nilikuja omani kama housegirl?
Visa ni documents tu ndugu yangu la upate mtu wakuoa au kuolewa huko unakotaka kwenda au kama wewe ni artist unaweza ku apply art residency au international exhibition bila hivyo mziki wake mkubwa kupata visa ni ngumu sana , Ukiwa artist safari ni lahisi sana na zipo nyingi
Kila mtu atakakwenda Usa kumtazama Rhianna 🤣 nashukuru mimi sijawahi kunyimwa viza ya nchi yeyote , Kama hauna mipango ya maana ningumu kuingia nchi za ulaya America na Asia
Je? Kama ni kijan ambaye hana chochote ila Ana pesa kumfikisha us anaweza kufanyeje kwa msada zaidi. Maana naona plosesi zote unazo toa ni zawatu natajili Sasa kwa watu wa hali za chini wafanyajee??
Hahahaha na enjoy unavyo ongea kwa msisitizo, ukija kibongo bongo mie ni jirani yako nipo hapa geita. Nimeona baadhi ya taarifa hususani za taifa la Canada hua wanahitaji wakaazi katika majimbo tofauti ili tu uoneshe kua utakua ni chachu ya kukuza uchumi wa Canada, pia kama unataka ukaazi wa kudumu kuna vigezo vya kufuata. Hi bwana mkubwa imekaaje kwa watu wanao taka kujichanganya huko.?
Braza unatoa knowledge lakin in a negative way yani unafanya issue inakua ngumu sana kuingia marekan wakati ni jambo la kawaida bro toa vielelezo mtu awe na kiti gani na kitu gani aweze kupata visa
kwa jina Adrian NTIBONEKA asante sana umekuwa ukitupa mchango wa mawazo mazuri na kuwwza kufahamu vitu vinavyo hitajika je kwa mimi ambaye nahitaji mawasiliono yako kuweza kuzungumza kiundani zaidi juu ya kufahamu kiundani hasa na kujianda katika safari naweza kupata namba yako
Asante sana Ernest. Nimechelewa kukugundua.
Mimi sijui lungha ya kizungu
Inakuajee kufanikisha yote hayoo
Kiswahili ni lugha kubwa sana onyesha kuwa wewe unamfahamu kiswahili.
Asantee Sanaa kaka
Ahsante sana nakufatilia mwanzo mwisho
Ooh thanks for your explanation sir
Your Missouri like my sister I wish to come one day if God wish
Nashukuru Sana kwa elimu yako nzuri uliyoitoa mungu akubaliki sana
1-ushawishi 2-fedha ya kukusapoti 3-sehemu ya kuishi au nani anakusponsa kwa muda wako wote wa maombi au masomo. Ushahidi wa hati na viwango vyake pamoja na maelezo ya benki-statements
Chuo Cha SUA inacoordinate internship kwa wanafunzi wake kwenda marekana km further studies kwa mwaka mmja lkn kwenye visa tnalimwa Sana Yan Kaka tusaidie
Kabisa umeongea point kubwa sana Kaka
Mbona wakija kwetu awaulizwi vitu hiyvo wankuja kama watalii sio maigrent
Mwenyezimungu akulipe ndugu
🎉
Kumbe mkuu ulikua na uwalaza
I get you point
Asante Sana Mimi Ni ndugu yako Angelina William,hebu nielekeze document za mstaafu Kama nataka kuja huko
ahsante kwa ushauri
Ubarikiwe sana yaani.kwa elimu hii
bro asante sana nimekuelewa vzr
Asante kwa video hii mzuri
that means iyo 220$ lazma uwe nayo before uplying
Duh!... Ahsante sana kwa ushauri wako.....vipi kuhusu Au pair program?
Nashukuru sana brother kupita video zako nimepata visa
Mkuu nisaidie nami wee umefanyaje
kaka mungu akupe umri mrefu tupate kufaidika Ammyn🤲🤲
Swali rangu brother uyo anaekuuliza maswali anakuuliza kwakiswahili au kwa kingereza pls nakuomba unijibu
Fact
Habari. Nisaidie kuusu viza ya uturuki
Naitaji namba Yako bloo naipataje
Sasa bem kunawengin hatuma elim inamaa hatufiki ulaya?
Africa mama yangu....hapa nimekita mizizi sibanduki 😅😁😁
Nimekuelewa Sana mkuu
Habari za uzima Kaka Mimi naitwa malisawa nipo daresalama ombi langu kwako naomba uniandikiee baruaa ya mwaliko please nisaidiee kw.
Busara sana
Ok
Bro iliniweze kwenda canada niwe na shingap
Tunaomba namba yko tukuulize zaidi
Mawasiliano yako mkuu
Siku pingi kaka
Bba naomba uwogelelee wale awajamalixa form 4 na wanataka kwenda marekani na wakona uzoefu wa kazi fulani
Madini haya
Naomba mawasiliano makulilo
Brother hivi waganda wanafanyaje. naona kuna watu wengi wanakuja huko kwa mialiko ya ndugu na wanabaki huko, wanawezaje kuingia kwenye mifumo ya huko
Kwa jina naitwa Ansgar Chunda naomba unisaidie ili niweze kupata F1 visa ya kwenda kusoma marekani
Asante kwa maelezo na ushauri huo,lakini nimesikia umeongelea Sana kwa Taifa la Marekani,je kwa Canada ni vipi?
Visa ya USA, Canada, Ulaya masharti ni hayo hayo...kuonesha kuwa hutozamia...kuonesha vipato, assets nk
Kwann wao wanakuja kwetu kirahisi?
Nimekuelewa sasa
Kaka ahsante mimi nikiombeawa ya mgonjwa naenda kumuuguza niandae nini?
Kwahiyo hata wao pia wanaonesha hati za viwanja au nyumba kabla hawajaja kutembea Tz.?
hadi raha,, kk ww ni hatari
🤝🤝🤝🤝
Nimejaribu mengi
Yan kaka kila unacho zungumza nakuelewa mapaka natamani kulia kwa furaha kaka
Ukiwa mfanya biashara je ? Waweza kusanya documents ipi
sasa broo nimekuelewa unasema moja wapo mwanjia rahisi niya scholarship. sasa kwa sisi ambao atukufika ata secondary inakuaje Vp twaeza kupata Visa
nimecheka kwa sauti,,,
Gharama ziko vip
Tueleze kiundani zaidi
aseeee nimecheka sana umuu 😂😂😂😂
Je naomba unionyese jinsi ya kucheza green card
duuh! nitafika marekani nimechoka xna
Nenda znz ukapata mzungu njia rahisi ya kwenda
Visa ya kazi inakuaje Kaka unaweza kuipata Kwa vigezo vipi?
Kaka hamburg mimi national hawa
12:28
Burundi tunakufata boss
Jinsi gani unaweza kupata scholarship?
Nonmigration visa America una weza ipata aje?
Huyu jamaa akikaa katika viza department hakuna mtanzania atakayeenda USA kanichekesha sana hahahahahaha eti university of daresalaam
Basi bwana nitakaa zangu gongolamboto
😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Wanajionaje hao jamaa dah
Wajina wangu mim bani nielekeze nawexaje ku aplay visa kutok apa south Africa nielekeze bn kka
Kaka mimi kwa sasa niko omania lakin January nitakuwa Tanzania na niliomba visa ya kuja huku kwa hali kama hiyo ya kuja kutembelea omani lakin nikaja kufanya kazi za ndani sasa hakina shida kwenye passport yang kuwa iko nilikuja omani kama housegirl?
@@ireniren8750 dah ngoj tumsikilxie brw atasema je
Visa ni documents tu ndugu yangu la upate mtu wakuoa au kuolewa huko unakotaka kwenda au kama wewe ni artist unaweza ku apply art residency au international exhibition bila hivyo mziki wake mkubwa kupata visa ni ngumu sana , Ukiwa artist safari ni lahisi sana na zipo nyingi
Hbr bwana Henry, mie nina jamaa au rafiki hàpo maeneo ya califonia nataka kumtembelea so nikitaka kuja lazima niwe na viza?
Viza lazma hata kama baba yako awe rais wa marekan naww uko nje ya marekan ndo unatak kwend lazma viza kwhy huwez kuiepuka
Kaka
Kaka Mimi niko Oman,NATAKA KWENDA Ufaransa, naweza pata mwongozo,Naenda kikazi
Kila mtu atakakwenda Usa kumtazama Rhianna 🤣 nashukuru mimi sijawahi kunyimwa viza ya nchi yeyote , Kama hauna mipango ya maana ningumu kuingia nchi za ulaya America na Asia
Unapataje Io visa permanent??
Na una MTU hatakae kaa naye us kutakua vp
Je? Kama ni kijan ambaye hana chochote ila Ana pesa kumfikisha us anaweza kufanyeje kwa msada zaidi. Maana naona plosesi zote unazo toa ni zawatu natajili Sasa kwa watu wa hali za chini wafanyajee??
Kaka nina shida na ww naomba tuwasiliane whatsaap
Naomba namba yako kaka
Kama ulicomment vibaya ukifuta je wanaiona bado wakitrace.?
😄😄😄😄 eti unacomment mabeberu alafu unaenda kuomba visa
Mwanamissouri mwenzetu wewe kumbe ?
Nakufatilia San Kak mim nataman San nije
Hi dear mtu arapataje scholarship
Angalia link ya wizara ya elimu Huwa wanatoa
Mi naonga tu ikiwezekana nadandia ndege nikifika uko nipewe kabisa uraia wa marekani 🇺🇸 sitaki Tena kuishi Tanzania maisha Ni magumu 😭😭
Kaka jinsi ya kupata visa ya kazi kama mm saivi nipo abudhabi na nafanya kazi hapa saivi kama miaka 7 sasa
Mzee baba samahani kuna vitu nahitaji unielekeza kuhusu abudhabi naombaawasiliano yako kama hutojali
Kwan wewe ulikua unamiliki nini
Brow nilikuw na swali vp sasa katika iyo interview ya afisa mtoaji visa wana kuoji kwa kiswahil au english??
Kingereza
Kama unaenda kusoma razima uongee kingereza kama unaenda kutembea ukikutana na mzungu unamwambia nahitaji kuongea kiswahili unaletewa mswahili
Em twambie kwanza na wewe uliendaje
Asante kwa alimu yako busala zako
Hahahaha na enjoy unavyo ongea kwa msisitizo, ukija kibongo bongo mie ni jirani yako nipo hapa geita.
Nimeona baadhi ya taarifa hususani za taifa la Canada hua wanahitaji wakaazi katika majimbo tofauti ili tu uoneshe kua utakua ni chachu ya kukuza uchumi wa Canada, pia kama unataka ukaazi wa kudumu kuna vigezo vya kufuata. Hi bwana mkubwa imekaaje kwa watu wanao taka kujichanganya huko.?
Asantee Sanaa kaka