Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
MUNGU akubariki mtumishi , hakika kuna jambo roho wa MUNGU ameliweka ndani yako, kwa ajili ya ulimwengu wote na kizazi cha baadae . pokea neema ya kuzidi kuinuliwa zaidi kwa jina la YESU KIRISTO amina.
Asante mtumishi kwa mafundisho haya Hasa mimi binafsi nachukua note 4 , Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua, Mungu nisaidie
1/. Omba kwa Baba Moja kwa Moja . 2/Acha Neno la Mungu limiliki Maombi yako. 3/ Omba kwa Imani , Amini unachokiomba utakipokea. 4/ Chukua Hatua za Kuzaa matunda katika Kuomba kwako. 5/ Ongozwa . Ruhusu Bwana Akuelekeze . Tupate Neema ya kujifunza , points za ibada ! Asante Mtumishi .
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
Asante kwa mafundisho mazuri hakika ufahamu wangu unafunguka mno, ubarikiwe baba,Mungu akutunze kwaajili ya wengi❤❤❤
Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
Ee bwana yesu naomba umtoe mkwe wangu kwenye mateso makubwa ya maradhi anayoyapitia amina.
Maombi nitoe kwa madeni katika jina la Yesu
MUNGU akubariki mtumishi , hakika kuna jambo roho wa MUNGU ameliweka ndani yako, kwa ajili ya ulimwengu wote na kizazi cha baadae . pokea neema ya kuzidi kuinuliwa zaidi kwa jina la YESU KIRISTO amina.
Napenda mafundisho mchungaji. Napenda mafundisho ya kufungua macho jinsi ya kukaa ndani ya Mungu na kuenenda uweponi mwake. Asante sana!
Napenda mafundisho yake ,je unavitabu ulivyo andika?
Mafundisho yako yanajitosheleza
Amen amen and amen 🙏🙏🙏🧎🧎
Ameen
Asante mtumishi kwa mafundisho haya
Hasa mimi binafsi nachukua note 4 ,
Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua,
Mungu nisaidie
1/. Omba kwa Baba Moja kwa Moja . 2/Acha Neno la Mungu limiliki Maombi yako. 3/ Omba kwa Imani , Amini unachokiomba utakipokea. 4/ Chukua Hatua za Kuzaa matunda katika Kuomba kwako. 5/ Ongozwa . Ruhusu Bwana Akuelekeze . Tupate Neema ya kujifunza , points za ibada ! Asante Mtumishi .
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
Ahsante pastor, mungu azid kukutunza ili uendelee kuwa kiongoz Bora. Nakupenda sana sana. Nataman ningekuwa hapo jiran.
Mungu azidi kukutumia Baba Mchungaji. Nimepokea na nitachukua hatua ktk kuomba. Amen
Nakama unaomba na huwedi kanisa bado uko na uridhi kwa mungu pastor
I just give glory to God for the powerful teaching in spiritual life, more blessings in Jesus mighty name pastor 🙏🙏🙏
This is a very powerful teaching, may God continue to bless you and keep you sir Pastor George Mukabwa.
God's word will never expire,I thank God for His word it has touched me.
Nijifunza mambo muhimu Sana mtumushi mungu akubariki nitaendelea kujifunza kweli hakika mungu anakutumia sawa sawa na kusudi
N'a mchunganji roza kutoka burundi. Barikiwa sana mtumishi wa Bwana. Maubiri yameniuwa manyoka tumboni kabisa 😂
Aki nimeguzwa na mafundisho ya mungu,,waa nimeelewa jinsi ya kuomba
Napenda sana mtumishi mafundisho yk ningekuwa ukomwanza ningeshafika dalasani
Mchungaji mungu akuinuwe katika huduma yk nabarikiwa Sana Sana mungu wa mbinguni akuinuwe
Mungu akubariki mtumishi nimejifunza sana hakika neno limekuja kwa wakati
Amen amen
Thank you Lord we are blessed
Oh alelua nilikukua zijielewi kuhusu maombi yakufunga sasa nimepata njia
Am blessed with the message ,may the Lord give you strength and Grace to be used by God. May the Lord anable me to grow through this
Asante YESU KRISTO kwa huruma yako kunipa somo hili asante YESU
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
Hakika mungu ni mwema mafundisho mazuri sana
Yesu kristo nipe mtoto wa kiume atakuwa mtumishi wako,,, Appostle kwa utukufu wako
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. The message is so powerful
Amen
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
Glory to God 🙏🙏🙏
JESUS IS EVERYTHING AMEN😊
Jina la Bwana Yesu kiristo libarikiwe sana. Asante Mungu BABA
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mngu
Amen Asante mtumishi wa Mungu.Mungu azidishe neema juu yako
Pastor barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Asante sana kwa somo hili, nimebarikiwa sana ndani ya somo . Sababu maombi ni uriti wangu
Asante mtumishi wa Mungu Kuna kitu nimejifunza.Mungu Akubariki sana
amen
Pastor asante sana umeguza roho yangu sana barikiwa and may God's will be done on us in Jesus Name Amen Amen and
Ahsante Bwana yesu kristo kwa neno hii hakika nmepata faida kubwA
Aksante sana kwa mafundisha Baba ubarikiwe na Mungu,
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu unanifungua sana kwenye ufamu nazidi kumjua Mungu kupitia masomo yako
Mungu akubariki Sana Mtumishi mafundisho yako yamenifungua Sana saiz nikiomba napokea kwa Wakat sahihi na nakua na Amani Sana kwa Mungu
Sifa na jeshi a ma zimurudilie mungu tu Aliye kuumba Na ku kutuma kwa kazi. Yake ubarikiwe sana
Amina ubarikiwe sana Madurai sana
Amen amen amen amen
Virement homme de dieu mungu akubariki sana
Ubarikiwe saaaana Mtumishi wa Baba yetu wa kweli❤🙏.
Nakupenda mtumishi mafundisho yako yamenijenga sana katika maisha yangu MUNGU akubariki Sana azidi kukutunza.
Nkwel mafundisho yake yakipekee
Mungu akubariki sana apostole
Mungu akulinde Zaidi mtumishi hakika mafundisho Ni mazuri mno.
Amen...Thanks alot
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu na FURAHA kwa mafudisho. Na sema. Asante
Be blessed baba
Manake makanisa mengi ya mekuwa biashara hapa Kenya,,,Mimi huogopa sana kwenda ushirika Mimi pastor
Amina kubwa paster
Ameeen
👏👏👏👌👌👌👍👍👍 maelezo yako hunifanya nielewe kindani mchungaji,Mungu akubariki,uishi maisha marefu.
Asante baba kwa maubiri haya yamenifundisha sana
Asante sana kwa Somo Hili zuri mno.Mungu akubariki Sana sana.Asante sana Mchungaji
Haya mafundisho mazuri kweli barikiwa mtumishi ❤
Powerful message, God bless you servant of God.
Umewaanda Watu ktk Maombi Omba Mtu wa Mungu unawaondoa Watu kwenye Uwepo na hawatafiatilia mahubiri Yako yanakosa hitimisho
May the Lord Almighty lift you up man of God
Asante Yesu kwa mafundisho mazuri.
Ubarikiwe pastor kwa mafundisho ya msingi sana kwa waamini
Mafundisho yako yameni bariki Sana.
Amen nabarikiwa sn naomba tuwe tunaomba pamoj
Hakika mb zangu haziendi bule asante Yesu nime jifunza nimeelewa
Ameen Baba ubarikiwe sana kwa mafudisho yako mazuri
Amen Ameeeen nabarikiwa sana na mafundisho pastor.
Ameen🙏 Nabarikiwa Sana Na Mafundisho Yako Mtumishi
Nimebarikiwa,Mungu akuzidishiye maarifa, Amen 🙏🙏🙏🙏
Asante kunifundisha kurudisha roho ya maombi
Be blessed man of God, unanibariki sana na mafundisho yako.
Asante kwa
Mungu juu ya mtumishi wake endelea kumuinua awe baraka kwa sisi
Nimegushwa sana na neno lako pastor George mukabwa
Shalom shalom shalom from qatar doha 🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Shalom shalom 🎉
Ubarikiwe mtumishii kwa mafundisho yako mazuri
Ameen may i God bless you more pastor
Mungu atusaidie kukua kiroho na Imani ya Mungu ikue ndani yetu
Asante nchungaji kwa neno hili kubwa
Asante sana Pastor.
May God bless you
Ubarikiwe sana Dady napenda mafundisho yako Kila nikikusikiliza napata hatua zaidi ndani ya BWANA
Amen from kenya
Barikiwa sana mtumishi wa mungu, Mungu akupe hatua nyingine zaidi.
Ooooo ubarikiwe saana mtumishi wamungu kwaneno raushindi,
Yesu wangu naomba unipe ufahamu wa kiroho
Sijawahi pata somo kama hili GOD bless you pastor 🙏
mungu akubariki mchungaji sana...nmebarikiwa
Ubarikiwe mushungaji
Haleluya haleluya mtumishi ubarkiwe sana kwa mafundisho mazur
Very powerful massage 🙏🙏🙏🙏
Napenda mahubiri yako sana mungu akubariki tena sana
🙏🙏🙏
Barikiwa mtumishi kwa mafundisho ahsante
Mungu asiye shidwa kamwe akumbariki nimebarikiwa sana kujiya nguvu mupiya
Amen huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu akuinue zaidi
ameni kubwa
Asante sana mchungaji kwa mahubiri mazuri jubilate makundi
Mtu wa Mungu asante kwa mafundisho haya Yanaleta utukufu wa jina lako