Young Lunya - Fimbo (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 20 лис 2020
- Intro...
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
(Verce 1)
Wakija vibaya Wanakaa
Wambea Vikao Watakaa
Mawaki nafasi ya kuongea siwapi
Huwaga Nawanyanyapaa
Nimewapa Nasafi ya Kunijua Jina Wakataka na Nnapokaa
Leo Napendwa Sababu Nnacho Nikikosa, Habari zitatapakaa
Kung’aa Ndoozeetu
Mambo wena Mfwetu
Watoto kibao wanalia Dm
Sijui Niwagongee Tuu
Na nawawashia Full
Hauzimi Moto wakiifuu
Wanashanga kuona
Rapper wakisasa mwenye pigo za kiold Skul
Tatizo Hawajulikani
Kwa Hivi Nnavyochana Nntabattle na Nani
Kwa sasa Michongo yote ya Zamani
Naipiga X Kama Petit Man
Ni Mimi Tuu na Hizi Stimu za Mjani
Chuki ni chuki kwani kitu Gani
Acha Utani,
Rapper Unayejaribu Kumdiss kwa sasa Hawezekani
Si ndotunakimbiza
Roho Tunawaumiza
Napata kinyaa nikitema yai
Sjui yai langu Viza
Watu hawaishiwi Visa
Ka Natoka Naumiza
Kila wanaponiona Camera Kibao wakazani naigiza (Oh My)
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
(Verce 2)
There They Go wanga There they Go
Na ukija Kwenye Mziki Mi kisiki U Better know
Why Unaniombea Dhiki, dhiki dhiki mwenzakoo
Maana ukija kwenye mziki Kila nnachofanya Ni Miracle
Marapa Wadogo nawaonea
Mi ni kama Gonjwa naenea
wanaonijua kitambo wanaelewa
Toka enzi za Uongo na Umbea
Kwenye Beat hawakai wanaelea
Na Ikawe Funzo Buure nawapea
nawaambia Ukweli Sitowaongopea
Nawaona Kama Choo ndomana Nawanyea
Anayewakimbiza katima michano, Kama sio mimi ni nani mwengine
Dundo la Paul likipata Verce ya mbuzi siku zote huwaga Mashine
Mwendo haupoi Nawakimbiza speed kwenye Kona haishuki Uspime
Idadi ya watu wasionikubari Imekuwa ndogo sana Nahitaji Wengine
Wanaobana Nawataka wengine
hata Wambea Najitaji Wengine
Mana zama zimeshabadirika mpaka watoto wanapenda mashine
so Ningependa Wachawi Wengine
Hata wanoko nipate Wengine
masnichii wenginewengine
Labda Nkapata Challenge Pengine
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
Outro...
YOUNG LUNYA ON MAJOR DIGITAL STORES:
Apple Music: / young-lunya
Spotify: open.spotify.com/artist/0xfpc...
Dezeer: www.deezer.com/en/artist/1361...
For Bookings: Lunya14@gmail.com
Follow Young Lunya on:
/ younglunya
/ younglunya
Nan bado analikubali hili goma mpaka 2024 agonge like apo ndichi😂🔥
Ngoma bado inaishi xnaa Kwa sisi ambao tumedhaulika xnaa na Leo tupo on top
Lunya mnoma unyamwezi kabisa
Unyama mwingi apoh lunya wataelewa japo kuwa kiloho mbaya
Jamaa linajua kinoma twende tumuwekee like za asante kwa ngoma kali
Exactly
Mamb mbaya got
Nikiskiliza hi ngoma nasjkia vizur san🔥
old school vition umebak wewe tu mnanya lunya
Mkuu am your big fun from Kenya 🇰🇪 254.napenda flow ❤ zako
Uko fiti Brother. Straight outta Kenya 🇰🇪. Hii ndio mziki ambayo tunapenda. Kazi safi.
Kama unkubali lunya gonga like basi
Kwendraaa,cheap likers
saf mastear
Okay
Lunya
Ingoma inanifanya na gombana na jirani maana siku nzima naisikiliza
Mbuzi ipo siku nita fanya colabo na wewe nipo chini huku ulipo tokewa wwe oyooo lunya nakuomba like back
Watoto wanalia sana DM sijui niwagongee
Who is here 2024🔥🔥🔥🔥🙌
Congo 🇨🇩 tu naipenda 🇹🇿 🎶 🔥🤞🏼
#randykinamber
''Idadi ya watu wasionikubali imekua ndogo nahitaji nyingne"😀😀😀
Unyama💪💪💪 gang gang🔥🔥🔥🔥
Kama unaamini Young lunya mkali gonga like maan me haipiti siku bila kutazama hii ngoma......#FIMBO😢😢
Trap kaliii san kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 tumekubaliii sana
Nan Ameon Young Lunya Ana Uwezo Mkubwa Wa Kufikir Gonga like apo Chin Twende Sawa
Tnx bruh bd wanaumia
Swagger nyingi smart Code ...blessed de Lunya
Anae amini iligoma alichuji kama mimi like tujuane
Nakubali kaka yani una kishwa kigumu kama ulivyo mungumu kwenye rapu Like from Congo
UNYAMWEZI SANA VIDEO SAFI
VINA VIMEKAA MWANZO MWISHO
NEXT LEVEL
GONGA LIKE KAMA UNAMCHEK YOUNG LUNYA MDA HUU
👇🏻💖💖💖👇🏻
ua-cam.com/video/kWzwu4jv75I/v-deo.html
ua-cam.com/video/_2lVweaIvmw/v-deo.html
KILLER
RAPCHA
CONBOI
MBUZI new era of HIP HOP TZ
ua-cam.com/video/C_3CYe-TmVs/v-deo.html
Natamani uimbe hivi young lunya, ila usijisifie sanaa hii kaz imeenda Sana jitahid usimdis young killer kwasabab wote mnajenga nyumba moja Haina haja ya kugombania Fito. By the way young killer wa kitambo Sana wewe Fight na kizazi chako killer atakupoteza we mpe heshima yake tu, maan tumeanza kuskiliza ngoma za young killer since haupo kwenye game
Here 2024
wangap wana-resume hii ngoma several times kama mimi....thumb-up
Young killer alikua anawaonea amekutana na beberu
Omay lunyaaaaaaa gonga like kama umelewa ngoma
Maana zama zimeshabadilika mpka watoto wanapenda mashine
Brow salute sana
Mm nimekubalii
Unyamaaa💣💣💣💣💣🎧🎧🎧🎧
all the time I'm here
"Idadi ya wasiokubali imekua ndogo sana, unataka wengine" masterpiece
LYRICS:
Intro...
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
(Verce 1)
Wakija vibaya Wanakaa
Wambea Vikao Watakaa
Mawaki nafasi ya kuongea siwapi
Huwaga Nawanyanyapaa
Nimewapa Nasafi ya Kunijua Jina Wakataka na Nnapokaa
Leo Napendwa Sababu Nnacho Nikikosa, Habari zitatapakaa
Kung’aa Ndoozeetu
Mambo wena Mfwetu
Watoto kibao wanalia Dm
Sijui Niwagongee Tuu
Na nawawashia Full
Hauzimi Moto wakiifuu
Wanashanga kuona
Rapper wakisasa mwenye pigo za kiold Skul
Tatizo Hawajulikani
Kwa Hivi Nnavyochana Nntabattle na Nani
Kwa sasa Michongo yote ya Zamani
Naipiga X Kama Petit Man
Ni Mimi Tuu na Hizi Stimu za Mjani
Chuki ni chuki kwani kitu Gani
Acha Utani,
Rapper Unayejaribu Kumdiss kwa sasa Hawezekani
Si ndotunakimbiza
Roho Tunawaumiza
Napata kinyaa nikitema yai
Sjui yai langu Viza
Watu hawaishiwi Visa
Ka Natoka Naumiza
Kila wanaponiona Camera Kibao wakazani naigiza (Oh My)
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
(Verce 2)
There They Go wanga There they Go
Na ukija Kwenye Mziki Mi kisiki U Better know
Why Unaniombea Dhiki, dhiki dhiki mwenzakoo
Maana ukija kwenye mziki Kila nnachofanya Ni Miracle
Marapa Wadogo nawaonea
Mi ni kama Gonjwa naenea
wanaonijua kitambo wanaelewa
Toka enzi za Uongo na Umbea
Kwenye Beat hawakai wanaelea
Na Ikawe Funzo Buure nawapea
nawaambia Ukweli Sitowaongopea
Nawaona Kama Choo ndomana Nawanyea
Anayewakimbiza katima michano, Kama sio mimi ni nani mwengine
Dundo la Paul likipata Verce ya mbuzi siku zote huwaga Mashine
Mwendo haupoi Nawakimbiza speed kwenye Kona haishuki Uspime
Idadi ya watu wasionikubari Imekuwa ndogo sana Nahitaji Wengine
Wanaobana Nawataka wengine
hata Wambea Najitaji Wengine
Mana zama zimeshabadirika mpaka watoto wanapenda mashine
so Ningependa Wachawi Wengine
Hata wanoko nipate Wengine
masnichii wenginewengine
Labda Nkapata Challenge Pengine
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
Outro...
Trisha Sana mwamba
Nakubariii
CnP
Nakubali
Mnao dislike ndo mnazid kumpa challenge nyinginee......Go lunyaaaa
Mbuzi Kama mbuzi🔥
Ma young young weng lkn c 2namojua young moja......YOUNG KILLER
Kenya should learn from this.....TZ wakali wa ngoma an video....👌💥🔥❤❤
have you listen to the whole track without understanding the language/Lyrics?.. that's me right now🥰🥰..and tell you what, I'm enjoying it
Mrithi wa ngwea. Kama unakubaliana nami gonga like za kutosha.
Kama unaifaham money heist💰💰 gonga like hapa🔥🔥🔥
Ngoma imesimam na n ya kimbele zaid, anaeamin ivo gonga like.
Kifupi lunya unajua sana👍 Noumaaaaaa🔥🔥🔥🔥
Bado nahic watu hawakuelewi lunya tembea na beat tutaeleweka mbele never give up rich gang is coming son
This is my favorite rapper of recent times in TZ. He reminds me of late 90s and early 2000s rappers in TZ, Hard Blasters in particular.
Fimbo Kama fimbo king lunya 🔥🔥🔥🔥 nimewapa nafasi ya kunijua jina,wanataka na ninapo kaa. Young lunya🔥🔥🔥🔥
nakubali young lunya ni mkali
Duu young lunya namkubalo sanaa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Young lunya,young killer and conboi they will gonna change Tanzania hip hop
Mwenye ata change hiphope ya tz ni mex cotez na young lunya.. Utakumbuka hii comment
YOUNGLUNYA WE NI NOUMAA SANA HAUJAWAI KUNIANGUSHA 🔥🔥🔥
FIMBO NI HATARY SANA 🌍
Lunya, YOU know this one is beyond dope!!!!
Tumshukuru Mungu kwa kutuletea rapa kama Young Lunya aiseee..coz anajua mpaka anajua tena
"There they Go south side there they go" I can feel nasty C over there 🦅
Sikiliza vizuri na ujue kutofautisha puta
Jamaa katisha
👇🏻💖💖💖👇🏻
ua-cam.com/video/kWzwu4jv75I/v-deo.html
Ni kawaida kwenye mziki labda hii ndo ngoma yako ya kwanza skiliza.
Lunya is a beast in tz love from Kenya
Mbuzi,,!! hii ngoma huwa sichoki kuisikiliza see.
1st Feb 2024 , This is still fire 🔥🔥 here in the streets of kampala, Big up young lunya.
FIMBO KAMA KAWA
Mwanzo walituona loko Sana, Sasa tunawakalisha ndomana.💥💥💥💥💥💥💥
Ngomaaaaaaa fire mzeee wangu duuuuh like za @YOUNG LUNYA
Ngoma noma kabisa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥂
asee fanya unavyoweza kufanya na sisi tunakubali
Sana kama una mkbali lunya ..like ihusike kwa wana woteee🔊🔊🔊
Idadi ya wasionikubali ni ndoqo nahitaji nyinqine, hata wambea nipate wenqine 👍👍 Jombaa anajuaa hadi keloo
Gumbo kama Gumbo
King of hip pop lunya big up bro 💪💪
sure mwanangu lunya goma liko swa mpka leo yni
Nikimtoa killer young mkali wewe
4 really
Hatari sn lunya
Weeeeeh!!! Unamjua Young dee lkn? Em nenda kackize EP yke thn uje ukoment tna uwu ushuzi🧐
killer af yey
@@abdulmohd6880 nmkubal xn lkn aache drama znaharb gm yk
Lunya has grow man..dope af.. much love and blessings from KENYA 💯
Kaka anajua❤
Kweli Zama zimebadilka Hadi watoto wanatak mashine🤔🤔🤔💪💪💪💪💪🤘🤘🤘🤘🤘lunya
Fimbo kama KAWA
World Wide man "Mwanzo walituona local sana, Tunakiwasha, Tunakalisha"
Kaka ajua sana jamani
This man is enough when it comes to young rappers in Tanzania...people wont forget this era
Mbuziii❤❤🔥🔥🇰🇪🇰🇪🌠💯💯💯🎶🎶
🙌🙌 umeuaaaaaaa hatariiiii sanaaa🔥🔥🔥🔥
This is the best you are the best keep up going on more and more
Fimbo Kama kawa
"maan zama zmebadilika hadi watoto wnapenda mashine" lunyaaa
We are taking bongo rap 2 De next level with young lunya appreciate
Kaka anajua❤😂
Daaah bro nakubali
M2 mbadi LUNYA MAFIA
Omg #__lunya🔥🔥🔥
G.O.A.T rapper wa kisasa mwenye verses za ki-old school
Noma sana nagombana na watu kisa nikiwekaa hii ngoma ya fimbo
Kiwashe sio poa..
Aliyeiona mask ya money heist 👍
Mi nashangaaaa comment ninying kuliko views jmn tuongeze views bx
Kwasasa young lunya runs the Tanzanian hip-hop... Ukibisha ntakuona mchawi tu
Real hip-hop artist from Tz 🇹🇿
Love from America 🏳️🇱🇷🇱🇷 he sing like d smoke
wangapi wanakubali nifanye collabo na lunya ua-cam.com/video/4ffoWLvaGKs/v-deo.html
Lunya, Rapcha, Con Boi na Salmin Swaggz..
The new generation of Bongo Rap. Respek ✌🏾️✌🏾.
ua-cam.com/video/C_3CYe-TmVs/v-deo.html
Umemsahau MOTRA THE FUTURE
Umemsahau DIZ AFRICANAS
#SIO UTAn mzee hit juu hit 💣⛽💪🏾
mOJA kALI... maupendo kutoka mombasani
Video kali sana BLESS
Hii kitu ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Akuna kama lunyaaa kibongo bongo
Nimeielewa Mkuu
Goma kalii, Young Lunya anajua na nusu ila Corous tu imepoa
Young lunya uwa na mkubali sana,anaweza sana.
wangapi wanakubali nifanye collabo na lunya ua-cam.com/video/4ffoWLvaGKs/v-deo.html
Full mzuka💯
Omaah🗣️🔊
Verse ya mwisho 🔥🔥
Kali xanaaa MBUZI big up xanaa bro ur in an international level watoto wa bongo sio aliye ligi yako jay jux all da from Dubai
Bro unajua
Kaka anajua