Mtumiahi uko vzuri,,yaani umekuwa tofauti na muulia maawali,hapo alitaka ujibu tofauti halafu amlete mwijaku kwa Mia ya kuwachonganisha,ubarikiwe sana mtumiishi
YAN MM KATIKA WACHUNGAJI WOO TE SIJAONA KM HUYU MZEE YAN HAPINDISHAGI MAANDIKO NA HAYUKO KWENYE DINI KIMASLAHI ila MWANDISHI KATAHAYARI HAKUPATA ALICHO KITAKA
Mchungaji ubatakiwa kuonya hao wakidunia hata hivyo wanavyovifany acha kuunga mkono , 2 Thimotheo 3:16 na wamewekew hukumu siku ya mwisho Mithali 19:29 hiyo mizaa Mungu hapendi ,usiunge mkono hao ,Bali waonye hayo wanayoyafanya na kuwasifia wanaume na kujigamba na matukano...usienende kama vile mataifa wanavyoenenda Warumi 12:2 ....
@@ahmadamohamed1907 huenda hatujaelewana kiswahili ni chetu lakini tunakipa tafsiri tofauti kwenye maisha mkamilifu ni mungu lakini Mimi nazungumzia speech zake wala sio maisha yake bonafsi
Mtumiahi uko vzuri,,yaani umekuwa tofauti na muulia maawali,hapo alitaka ujibu tofauti halafu amlete mwijaku kwa Mia ya kuwachonganisha,ubarikiwe sana mtumiishi
mungu atulinde umeongea vema .watu wameja wivu wa maendeleo.mwijaku hongera sana kula chuma hicho
Baba asante sana kwa Nondo zako uwa najengea ufaamu Changu🌍🌍
Yaani wewe Baba Mungu akutunze una hekima iliyopitiliza
Napenda mahubiri ya huyu mchunganji ..anahimiza sana Kwa maisha
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
Mchungaji nakubariki😊 unajibu swali kabla hujaulizwa na mtangazaji, unampa wakati mgumu 😂😂😂
😂😂😂 hatari Sana
Baba Asante kwa mawaidha na wosia fln ndani yake 🤲
Baba uko very nimekupenda bure Yani umejibu ipasavyo ujakosea hongera cn baba❤🌹💯
Pastor yangaa tumekosomaaaa😂😂😂❤
Wanahabari wakorofi kwa maswali njooni kwa huyu mchungaji,,
Hategeki kizembe.
Kbsaa kwanza hakupi muda kuuliza maswali ya anakipaji chakujibu kile unawaza kuliza hatimaye unabaki kuitikiatu😂😂
HUYU BABA HUYU MZEE NI KAMA KOMPUTA ZA CORE NA HARD DISC ZA SSD YUKO SPEED NA KUMBUKUMBU KINOMA NA ANAJUA BIBLIA UKIENDA KUMUHOJI HUYU JITAYA LISHE
Huyu ni moja kati ya watumushi wenye hekima ya kufundisha
sai kabisa
Mchungaji Hanaja kwa nn usigombee uraisi Tanzania baba 😂😂😂!
Baba hananja nimekuelewa Safi sana
YAN MM KATIKA WACHUNGAJI WOO TE SIJAONA KM HUYU MZEE YAN HAPINDISHAGI MAANDIKO NA HAYUKO KWENYE DINI KIMASLAHI ila MWANDISHI KATAHAYARI HAKUPATA ALICHO KITAKA
Huyu mtangazi yupo vizuri
NIMEKUKUBALI KWA 100%
Mungu akuzidishie majumba
Old boy huyu akili kubwa sana kupata new generation yenye upeo hivi ngumu sana bila kujali kiwango cha elimu. Big Up Mch Hananja kila upeo mkubwa sana
Amen!!
Ua namuelewa sana ananja kwakweli apewe mauayake
Mchungaji nakupenda sana
Na mungu akufanyieni wepesi inshallah uwe muisilam ujekuwa
Shekh mkubwa Tanzania
Hapo pakuwa Muislam ndiyo umekosea, amuache Yesu Kristo aliyehai amfuate Muhammad aliyekufa na yupo kaburini mpaka leo? Fikiria upya.😂
😂😂😂😂😂
Huko aliko apige kazi ya MOLA haihitaji awe muislam
Anaujuwa uislamu vizuri ndomana hawezi kuja huko
Ata yeye anakuombea wewe uje uijue neema ya mungu
Mzee kakwepa Kila swali la kinafki,,,,,,! Jamani tusome psychology.
Kweli Mchungaji hananja huwezi kumtega swali. Kabla hujamaliza swali kisha jua lengo lako,Ishajua unakoelekea,ishajua unachotaka kumaanisha. Ukimaliza tu swali majibu ya hekima yanamtoka kama computer.Mpeni maua yake.
❤❤❤❤ uko vizuri mtumishi
Nakupenda baba
Hongera mchungaji
Mchungaji wangu bora
Nitano tena mchungaji Hanaja!
Muchuganji unasema point kabisa wagine wameubwa kuchekesha tu.ukiziona sura zao tu mfano kingwendu HB
Safi sana mkuu uko vizuri sana ubarikiwe
hongera mwijaku kwakupiga mwingi kaka mpaka shem kakupa ghorofa dah
namimi wacha nianze maufundi ili nipate mjengo hamidu city mikwambe kigamboni dar TZ🇹🇿
Mzee mch ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mchungaji ubatakiwa kuonya hao wakidunia hata hivyo wanavyovifany acha kuunga mkono , 2 Thimotheo 3:16 na wamewekew hukumu siku ya mwisho Mithali 19:29 hiyo mizaa Mungu hapendi ,usiunge mkono hao ,Bali waonye hayo wanayoyafanya na kuwasifia wanaume na kujigamba na matukano...usienende kama vile mataifa wanavyoenenda Warumi 12:2 ....
Sasa pasta na mambo ya mwijaku wapi na wapi,mnakosea adabu,alafu pasta si kila utakaloulizwa na mwandishi utajibu
Sanaaa
NIMEPENDA HAYA MANENO MUOMBEE ALIYEBALIKIWA UTABALIKIWA MLAANI ALIYEBALIKIWA UTALAANIWA
Lakini umasikini nikitukibaya sn, mbonakunawatu wanapesa hawajitangazi? Waache ushoga wewehatakama inathamani ya tilion,unatangaza nn? Huoniumasikinii
Eti ...Mwijaku kama Pacome😅
Ila ki ukweli namkubali huyu Commentator huwa Interview zake ziko vizuri
🎉🎉
❤
Huyu mchungaji zaidi ya mchungaji
❤❤❤
Na nyie wandishi wa habari ayo manbo waulizeni wajinga wezenu sio watu wadini
😁👏
salama kabisa
🎉🎉🎉🎉
Imekuwa kizaza a na mediya ya tz
Hananja hujawahi kukosea pokea Maua yako kwa majibu mazuri
Yy si binaadamu ?yuko vizuri 2 Ila usiseme hajawahi kukosea. Mm namkubali Sana huyu mzee sana
@@ahmadamohamed1907 huenda hatujaelewana kiswahili ni chetu lakini tunakipa tafsiri tofauti kwenye maisha mkamilifu ni mungu lakini Mimi nazungumzia speech zake wala sio maisha yake bonafsi
Naomba namba yake
Mchungaji uko poa sn
Yuko sawa uyu Baba
Vijana na nyie wavurugeni na nyie mpewe nyumba hongera sana mwijaku acha wapige kelele😂😂😂😂
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Pacome 😂😂😂😂
Hata mimi Nampongeza Mwijaku kwa ujenzi wa nyumba.
Namkubali sana uyu ananja ira, Namkalibisha kwenye Usilamu
Mtafute umuhubirie Uislam ni nini, akufundishe na kukuonyesha Uislam siyo dini ya Mungu, ni ya Muhammad tu.😂
Wanao mjua yesu Raha Sana, sio kama hao majini😊
Yaani atoke sebuleni aende chooni..!?
Vizuli baba