NYUMBANI KWA MC GARA B, UTAJIRI WAKE, MILIONI ANAZOINGIZA "NIMEPITIA MATESO KUFIKIA NILIPO"
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2021
- Godfrey Deogratias Rugarabam (MC Gara B) utakua umemuona sana kwenye harusi nyingi akisherehesha kama MC nchini Tanzania, vilevile ni mmoja wa Vijana wa Tanzania pia waliotumia mitandao ya kijamii vizuri kutengeneza majina yao (kuji-brand) na kuonesha kazi zao, leo ameongea na AyoTV na kutueleza mengi tusiyoyafahamu kuhusu yeye ikiwemo kazi ya ualimu kwenye shule ya Sekondari ya Kata.
Aisee. Huyu mtangazaji nmempenda sana.... amejijua kua hatutak kumsikiliza yeye ila anayemhoji... ana maneno machache mpaka raha.... maswal hayaelezei sanaaa aisee ❣❣❣❣.... mb za mawazo sikuhz hatuna muda na maneno mengi ya watangazaji.... sijapeleka mbele hata kidogo... na MC gara b pia hachoshi kumsikiliza... maswal yametulia❣❣❣
Saaana 👍👍👍
Haya Ndio maisha tunayoyataka kwa wasanii wetu muishi maisha Really sio ya kuigiza kwenye majumba ya wenzenu hongera sana gala b,kwa umri uliokuwa nao umepambana na dua zangu unazo kk
Ukiwa masikini ni wanasemaje ukiwa tajiri wanasemaje Je lipi jema
N shemeji jmn ana pambana sanaaaa.mnoooooo jmni ANAPAMBANA! SANAAA.
Hongera sana gala
Yaani wew ni best Mc kwangu napenda sana unavyo host. Keep it up.
Mungu akujalie mema zaidi.
Hongera sana so Ukimuona mtu na maisha yake-- muache hujui alikoanzia
This is a what we call hardwork. Kumbe haya hayajaja kwa bahati. Umeendelea kutufunza kwamba hakuna mafanikio yanakuja kirahisi.
For sure my dear
Kabisa
Wallah mb zangu Leo zimeenda kihalali. Sana coz umenifunza vitu vingi mno... Mc wangu WA Dunia mwaaaaa nikija bongo Nina jambo langu lazima uhusike katik khafla yangu aise shukran Sana kwa kunipanua akili yangu
ulitaka zisiende🤣
Huyu Mwamba yupo njema sana kimaisha 👏🏾👏🏾👏🏾
Nimejifunza Sana kwa MC Garab. Asante Millard kwa kucover hii .
Asiekukubali basi akapate chanjo haki wewe ni mfano mzuri wa kuigwa kwa vijana tuliowengi umepambana na matunda yanaonekana alafu uko peace sana ya mwana. Hongera Garab
Nakukubari sana mkuuu huko vizuri sana ilove you so much gara B. 😘🥰🥰🥰💃💃
Hamna raha kama kuwa na mwanaume anajipenda inamrahisishia sana mke. Ur wife is indeed lucky wallahi. Mc wa harusi yangu mwakani. Yn hata ukiwa booked ntapeleka mbele mpk siku ukiwa friiiiiii🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Namm naomba niwepo🤣👌
Tishaa sanaaa dear 🤝
Acheni tu jamani yani asiejipenda ata huoni raha ya pesa zake it's very board by the way very board bora ata kua single
Nyumba mzuri mashaa Allah wallah ukijituma mungu anakufungulia mpaka ww mwenyewe utashangaa
Kabisa
Kabisa
MUNGU ✅ Mungu ✅ mungu ❎
All the way from Kasita Seminary, Mahenge. Nakukumbuka sana mzee G-smile wa TYCS Easter conference. Hongera sana broo
🔥🔥🔥🔥
I really love listening to this guy aki mc kwa Harusi.....he is hilarious n smart sana
Mwalimu wang wa english Pendamoyo GODFREY RUGALABAMU
Nilikuwa nasubiri huu ushuhuda
You are the best example ever....keep it up.
NI MHAYA aliefanikiwa sana
Lakini no masifa nampenda sana na MUNGU azidi kumwinua kila iitwapo leo
Nilitaka ku-comment nimekosa hata la kusema stori yako kwa kweli ni mpango wa Mungu.Wasanii wajifunze kutoka kwako waache show off waishi kwenye uhalisia big up bonge la interview.
Humbleness is the key
Brother Mwija, I know you very well i remember tulishafanya kaz pamoja Vodacom na wakat huo wewe ni mwalimu, Ur very true and big fighter, keep it up Kaka angu, Mungu akuinue zaid ya hapo ulipo.
So cute and he so humble! Hana majivuno
Very handsome and humble!
Kbisa yaani utadhani co mzaliwa wa kabila flani mkoani Kagera
@@gladnesskombo7490 🤣🤣🤣🤣🤣
mimi nimependatu Alipo sema ::Alhamdulillah:: ikiwa yeye ni Dini nyingne Mashallah
Jaman alhamdulilah ni lugha ya kiarabu Sio dini
Hhh eti lugha ya kiyarabu
@@bmbright5393 apana kaka nikumshukuru mungu kwa kira jambo
Kipi cha ajabu apo
Chaajabu nn,sisi hatunaga ubaguzi ujue.maana kutamka neno ladini nyingine siyokubadiri dini km mnavyofikiriaga nyinyi.kwenu mtu akitamka yakwetu tu uwiiiiii watu watakavyotukana
I live in the USA. Sipendi harusi. But I always watch this great man. He dressses to impress. He loves what he does and he is talented. Future spokesperson wa serikali. Mark my words. Kuna siku atanikumbuka kwa hili....
Naungana na wewe japo sio kwa cheo hicho ulichokitaja but nimeona uongozi wa kiserikali ndani yake.
Sawa Sheikh Yahya
Kuna umuhim gan kusema unaishi USA...acha ushamba
@@mgm412 😂😂😂😂🙌🏼
@@winnersstore9161 😂😂😂😂
Nakupenda sanaaaa Kaka mungu akujarie maisha marefu na yenye baraka
Wow. GaraB may God almighty continue to lift u. More blessings bro from home.
Ur a genius itoshe kusema hivyo tu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Mlio sikia alhamdulillah like zenu
Si kamshukuru mungu au kakosea
Unawakilisha...
éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
God Bless You Ayo Tv For Such innovation from Gara B keep it up
Honger sn kaka unamaisha mashaallah uko vizur 👌
l
lo
ol
mol
olol
olo
Mashallah hongera mc wang nakukubali sna wallah
My best Mc
Yesu akutunze ww na familia yko
Unajua sn kazi ❤️❤️❤️❤️❤️
Mashallah uko vizuri ktk kupambana na maisha ..may God stand with you.
Ndio maana Anahekima sana kwa shughur zake....data pia zinakupngoza👌👌👌
Mc wa KIMATAIFAAA....🤗🤗🤗hongera zake kwa family na mafanikio yke kwa jumlaa.mungu awatunze tuseme INSHALLAH 🤗
Wa kimataifa buanaaah
This is a very good promotional interview .
Hongera the fighting is real bro ,halaf kuna comment mtu anasema freemason roho za kimaskin zitatuisha lin cjui🤣🤣🙌🏽
Uko halipo kuna watu wanamajumba zaidi ya hii Na sio free m nikufanya kazi tu kwa bidii
Beth usijusumbuea Na Hao wapogo tuu hawataki kazi
Yaani ukifanikiwa kidogo tu unaitwa freemason
@@allthingdranabeauty kweli
Roho za umaskini wamezibeba 😆😆
Da nimempenda bure ukisikia mchapakazi na mtafutaji basi ndiyo huyu sasa Mungu akubariki sana kazi ya mikono yako amen
Hongera Sana kk, umejenga mjengo wa uhakika, ni mzuri mno aisee!
In Very professional way ......
Thanks much brother gara B for inspiration
BIG UP, nmependa kwenye ushauri wako, kwamba mtu asiwe na ndoto yakuja kuwa kama fulani, ni ajipange yeye kama yeye
Tufanye kazi tuache zana mbaya pia Mambo mazuri hataki harakaa chimba kwaza mifereji alafu uone Kama huto pata ,,,,kiukweli watanzania tulo wengi ,,wavivu wakufikiriiii ,nakufanya
Hadi rahaaa hongera kwakeee anatuhamasisha tutafute pesa
hongera sana ila badae msije tuambia muuza unga au kamtoa mtu kafara
Watu hawakosi la kusema
Uyu mkaka ni mzuri mashaa allah na yuaongea kwa point😘hapo kwenye upandri pamoto kka yaani uwache kuoa uwache kuwa na watoto uwache kuwa na mke ahaaa ukorophi huo😃
Uwache kuoa ila wazini .
Asingeweza ona alivyozaa kama kuku
Mwenye nacho ataongezewa na asiye kuwa nacho atanyang,'anywa na alicho nacho,,big up bro, MUNGU akutunze na akubariki Zaid na zaidi,,na katk mambo yako yote mkumbuke MUNGU wako maana ndo kila kitu🖖🖖🖖♥️♥️
Mashallah, hongera sana *MC Gara B*
Alhamdulilah mungu azidi kukubariki na familia yko ameen
Safi sana kaka nakupendaga Bure Mungu aendelee kukubariki pamoja na familia yako
Big up
This is A haya I know
Kagera yangu.
nyumba nzuri eeeeh😍😍😍
wahaya tunamajivuno ila tumejariwa kutafuta ongera sana kaka chomaaa💪💪💪
Haaa haa eti majivuno wahaya oyeeee. Omukama atwebembele.
Maashaallaah mungu akuzidishie inshaallah
Hongera Sana Mc Gara B.
Hongera kaka Mungu ni mukubwa
Nakukumbuka sir rugalabam allah akuongezee zaid na zaid
Kama wewe ni mhuya gonga like
Ukabila wa nini sasa?
Hongera Sana MC Mungu akubariki
Nimekuelewa sana Shemeji yangu Mc Gara b, na nimejifunza kitu kikubwa sana hapa.
Great inspiration 🙏
Hongera upo vizur mwaya
Aisee uko professional sana🙌🙌🙌🙌
Wooooow kumbe hii nyumba wanaigiziaga ni yake nzuri mnooo hongera kwakee
interested,much love
Wow MashaAllah
Hongera Sana kaka tumekaa ofisi moja 2015
There is the gap between hard working and succession so there is the one who can close this gap, his name is ALMIGHTY GOD, kuna gepu kati ya uchapakazi na mafanikio kwa wacha MUNGU, MUNGU huliondoa gepu ilo na watumishi wake hufanikiwa, na kwa wale wengine humwendea mwivi shetani anawafanikisha kwa mafanikio makubwa kwa tiketi ya kutoa kafara " mafanikio yeyote duniani yana njia mbili ya MUNGU na ya shetani, na kwaiyo huyu jamaa (mc) anaehojiwa hapa anajua siri ya mafanikio yake".
Bro uko vizuri sana nakukubali mno na hata huku jua kali kweli ww ni noma
Uko vizuri mdogo wangu❤️❤️❤️
I love it,, well done Brother
Nice sana, afu mcheshi sana,peace unaonyesha huna roho ya kwanini hadi raha yani
Hongera sana Garab umepambana
Hongera sana Gara B kazi nzuri mnooo, hi Pascal
Mahojiano mazuri sana.We kichwa Gala B. Mseminari upo vizuri.
Asante bro umenifundisha mengi.
One love from kasita seminary 🔥🔥🔥enter to learn leave to serve🔥🔥
Very smart,I like him
Nakukubali sana mc gara b Mungu atukutanishe siku moja inshaalah...
Kaka Mungu akuinue viwango vingn zaidi nimejifunza kitu km kijana mwenzako sintokata tamaa kabisa acha nisonge mbele na Mungu wangu kwa jinsi ninavyopambana iko sk nitaziishi ndoto zangu
Umenifundisha kitu kikubwa mno be blessed a man of God
Bora umeongea ukwel kua mzee alikua yuko vzr... Ila ingekua wengne ungeckia tumekua kweny shida sana
Mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah Allah akupe maisha marefu
Big up sana broooo nakuelewa sana
Ww n MC wa harusi yangu🙏inshaalah 🙏yan napenda the way you host🙌🙌
Daah hii interview inaushawishi sanaaa vijana tupambane
Wewe si unasubiri kuolewa na kijana mchapakazi 😁
@@obenitejailos7007 mm mwenyewe mchapa kazi, siwezi msubiria mtu,
Nashukuru Mungu kanijalia
Waoooh!hongera sana mcgarab
Very nice family 👪 bro hongera sana @Garab
Mc wangu huy siku moja Insh'aAllah bado bwana harusi😍😍🤲
😄😄😄😄 @khadijakiba wew ni mm kabisa MC nishampata Garab bado bwana harusi 😃
Mm bwanaharusi tayari mc ndio huyo hapo badotu malipo yake maana sisi ni mwenzangu na mm
Yeuwiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera sana kk manshallah maisha mazur
Big up milad ayo,napendaaaa xnaaaa sauti yauyu kaka jaman🤗🙉
eti e?🤣
@@shau78 😁😁😁
dream come true hongera Gara B
Duuu. Kweli akili kumtwe. jmn kuna kitu cha kujifunza kwa wasanii
Uko better mno...Ma Sha Allah...
Keep it up. Kuchapa kazi ndio msingi na self discipline
Very hard working person!!
Hongera Sana kwa kutokukata tamaa
Mamaee kiskia bonge la bangaloo ndo ili sasa mamaee ongela sana baba na mm nta chukua dizain yko ya nyumba iyo duuuu big upsana baba
Keep it up my brother 😘🌷💚
Big up brother the fighter
This is so impressive keep it up bro