Ni kweli kabisa wanaume wengi wanadhani kumshilikisha mke ni ujinga lahasha. Hata kama kipato chako ni kidogo shilikianeni, yatatokea matokeo chanya sana barikiwe. Hongera sana mwijaku
Huyu jamaa alivyo na utani na vichekesho hata akizungumza akiwa serious bado naona anafanya utani na vichekesho vile, ila Hongera sana kwa kujenga nyumba nzuri.
Hongera sana Mwijaku ndio faida ya kwenda shule hata ukiuza vitumbua ukiwa umesoma na umeelimika unatoboa , madogo wengine wanapata hela ila bado wako kwenye nyumba za kupanga sababu shule zao ndogo !
@@AnnahMushi elimu inasadia sana huyo ana masters degree na unaona ana mipango mizuri ni shule hiyo mfano baba Levo hamna shule pale tofauti Na Mwijaku
Maisha ya kupitia ha kiasi kana kwamba hutakufa. Kuna watoto wana njaa huko saidieni penye shida. hızı exaggerated lifestyles hazisaidii chochote. Binadamu ni yule yule tu. Na hizo nyumba end of the day ni nguvu zako kuishi a kwenye udonho, kwa jina nyumba. Ni kufurshisha tu roho kwa wakati mfupi.
Hawa mastaa wa kibongo mi hata siwaaminigi.,.. DIAMOND tuliambiwa amenunua hoteli akawapeleka wafanyakazi wake CARANTIN kipindi cha korona kumbe sio yake sasa hapa nani wa kumfunga paka kengele
@@philemonmagesa5548 china hakuna chumba juu tu ndo chumba,ch mtoto mama na chawa mwijaku china cha ofisi namaana haongezi watoto angekuwa mwarabu hata chumba 10 zingekaa hapo
Kaka hongeraaaaaaaa❤❤❤❤ yaani hiyo ndo Fungal kalomo
😂😂
@@asifiwefungo163 ua-cam.com/video/zTak_qJqJbg/v-deo.htmlsi=GADo6gJr5BsSbiMi
MashaAllah hongera sana Mwanamke mwenzangu kwa Kua mke bora kwa mumeo hadi mmefika malengo. Kila la kheti kwenye ndoa yenu.
Dah masikini wengi tumejaa makasiriko tumuombe mungu atupe ridhiki nzuri nasi tufikie ndoto zetu
Nilichogundua Mwijaku mkewake anampenda na anamsupport sanaaa ndio maana huyu mwamba atafika mbaliii
You are right.
Mwijiku ww ndyo mwanaume heshima yamwamaume kuonesha heshima jwajamii na kwenye famili
Uhakika nipo upande wako
Ni kweli kabisa wanaume wengi wanadhani kumshilikisha mke ni ujinga lahasha. Hata kama kipato chako ni kidogo shilikianeni, yatatokea matokeo chanya sana barikiwe. Hongera sana mwijaku
Alafu huyu mke anamuheshimu sana
❤❤Hongera sana DC mwijaku kwa mjengo mkubwa mungu yupo pamoja na nyinyii❤❤❤❤
Hawa machawa tusiwachukulie poa🔥 hongera sana mwijaku
Huyu jamaa alivyo na utani na vichekesho hata akizungumza akiwa serious bado naona anafanya utani na vichekesho vile, ila Hongera sana kwa kujenga nyumba nzuri.
Kuna mda anaongea yupo serious
wanawake njoon uku muna mengi sana yakujifunza kwa mke wa mwijaku
Hongera sana mwijaku, ukiambiwa uchawa wenye faida basi ndio huu saf kbs
Aiseee!
So inspiring!
Congratulations Mwijaku.
Tunakuonaga kama chizi hivi kumbe akili imetimia..😊😊
Hongera sana mdogo wangu!!
ua-cam.com/video/zTak_qJqJbg/v-deo.htmlsi=GADo6gJr5BsSbiMi
Congratulations Mwemba a.k.a Mwijaku. What's been done by you should completely be imitated by every smart Tanzanian youth! May God keep blessing you!
Uku juu weka uzio Kwa sababu y usalama zaid hasa watoto😊
Hilo nalo neno
Daaahhh hongera sana bro mwijaku Mungu awabariki sana
Nimejifunza KITU Kikubwa sanaaa.. NITAJENGA YA KWANGU YA BILLION 100 DOLLARS
unaota au unaropoka
Ameen
Mwaya utajenga maana mdomo unaumba❤
Umetunyoosha
Amina
Kaka hongera xan
One. Day ntakuj kuish nyumb
Kama hiyo🎉❤
Congratulations to you
Hongera mwijaku umepiga hatua God bless you
Hongera sanaaaa boss🎉🎉🎉🎉 piah shemej nawe ni kichwa Kwa kumshaur Mwamba kufanya makubwa🎉🎉🎉🌹🌹🌹
Hongera sana brother Mwijaku
Loooh astakafirullahi Mwijakuu.ile nyumba ile ya milango ya nje yote mil 25?
Mbona viwanja vya wazi vipo kibao hapo kisota msisite jamani viwanja Vitupu vipo, haina haja ya kubomoa labda yeye alipenda kununua kiwanja kilichojengwa
Kazi nidhamu na kujituma❤ respect mwijaku
Mwaka huu tutaona nyumbaa za wasanii wengii lazima wajengee kupanga watatuachia sisi 😂😂😂
Kabisaa c wajua mambo yao yakushndana tena😂😂😂
Ivi nimashindano ngoj tusubiri wengine
@@JeannetteManirambona-o6m wasanii wa kuigaaa mikop ya bank itahusika🤣🤣
@@QueenMishy achaaa ndug
Mimi kukodi mwaka huu nimegoma😂😂😂😂
Hongera sana home boy 🎉
NIMEJIFUNZA Kitu KIKUBWA SANA HAPA
Kumbe mkewe ni CPA holder, nimegundua kuna umuhimu wa kumtafuta mwanamke kichwa🙌
Mwajaku Kwa Wezio Kelele Kwanini Amjengi Nyinyi Kwako Ukutaka Kukulupuka Kulikoni
Congratulations Mwijaku's absolutely amazing guys God Is Faithful always 🙌🙏❤
Uchawa unalipa mwaka huu lazima na Mimi niwe chawa. Hongera sana mwijaku
mwijakua kumbe alikuwa anatafuta kitu akili nyingi sana big up
Mwijaku shikamoo skudharau tena nisamehee🙏🙏
Nipende kusema tuu hakuna muha fara tunaonekana wajinga tunajamboretu.like.from KG
Hongera sana Mwijaku ndio faida ya kwenda shule hata ukiuza vitumbua ukiwa umesoma na umeelimika unatoboa , madogo wengine wanapata hela ila bado wako kwenye nyumba za kupanga sababu shule zao ndogo !
Tatzo sio shule nijins yakutumia hela unaweza umesoma lakin hunamatumiz yahela
@@AnnahMushi elimu inasadia sana huyo ana masters degree na unaona ana mipango mizuri ni shule hiyo mfano baba Levo hamna shule pale tofauti Na Mwijaku
Aliyekufunza elimu ni hela na nyumba alisahau kukufunza sababu ya diamond kukuzidi hela pamoja na elimu yako
Mashaallah ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mwijaku na worlper funga kazi ya mwaka 2023 nawapenda sana
Mashaallah mungu atuongezee kwa wote amin
Waha ni wachakalikaji kwahiyo sishangaiiii mwijaku kutoboa
Kumbe ana akili ila anatuchora😂😂😂
Mwijaku umenishawishi, hii safari na mimi naianza by 2027 nitatandaza daluga la hatari😂😂😂
Wewe tena usije ukazidosha sasa😅😅😅
Vyumba 200M to 250M Tsh haifiki zaid 300M Tsh
Usimdharau usiye mjua,tukikuona mtandaoni na usemaji wako tunakuchukulia poa, big up Bro
Story yao ni ya uongo haingii akilini
Mana unataka kusema Mwinyi Jaku katengeza bilion moja na zaidi kwa mwaka ??? 😅😅😅 danganya toto
Kazi anafanya wengi Wana mchukuria shoga lakini ana maisha we ndio utae teseka
yaani kjenga umeita watu clouds nzima mbona kna watu wamejenga kimya
Ushirikiano na mawasiliano yao mazuri ni matokeo mazuri sana hongereni wapendwa
Baba levo upo hapo 😅😅
Yuko anabeti😂 kwanza
Kwenye pool hapo weka vyuma mtu asiangukee au mtoto n.k
Hahahaaa Mwijakuu asante kaka kazi nzuri.
Inawezekana Mwaka huu kuwa wa kwangu.
uchawa unalipa kumbe,hongera👏👏👏
😂😂waonaee mjini maokoto
Maokoto yapo
Umeupga mwingi brother mwijaku
Kuna wana mijengo nyie acheni. Wasanii wa bongo shida kelele nyingi jaman😂
Pamoja na yote ,,kikubwa Ameweza jamaniii
Mashaallaah Tabarakallaah Allah awahifadhi na husda,Mwijaku mwambie mke wako ajistir nywele zake Allaah awadumishe kwenye ndoa yenu
Hivi kumbe ata ayo tv mnarushag habar za aina hii sjapata kujua kama na nyie mnafanyag iz press za vit ya desgn hii
I'm So Proud For This D.C Wa Insta Mungu Awabariki Kweli Kweli🎉🎉🎉
Ila nisiwe mnafiki nyumba ni yakawaida sana hata kama ni ghorofa
Hongel nataman ningepat mwaum anay nisikiliz Kam ww
Daahh ivyi ni ukweli mnatengeneza hela style Hii au mnataka tufanye kazi kama mapunda kwa kutamani 😂😂
Congratulations to Mwijaku.I respect you bro
Ukiwa na pesa kujenga nilahisi tu ongereni. Sana mke na mme.
Kwamba izo nchi unapelekaa unga au vp?
Mjini ni hakili 🙏🙏🙏🙏mwanamke imala wanawake hawa sio wamitandao🙏🙏🙏
Ushamfunga mdomo babalevo
Bonge la nyumba
Ila usisahau kujenga akhera yako hapa twapita tu
Congratulations 🎉👏 mwinjaku from KENYA 🇰🇪🇰🇪🙏
Pale unakosea nikutaja taja wenzako
pesa ya mke ama pesa ya mkopo ama ushaingia chama
Unapoongea hapo juu kama unauoga fln mwijaku
Mwijaku baba kazi ipo. congratulations bro
Apo kwenye liba umesema kweli
Huu ni mwaka wa kuforce michongo
Nyumba ni ya 25mililon na pool ni 30milion😂
Tuliojenga tuheshimiwe bhana kujenga sio tako
❤
Hii nyumba kajenga mwanamke bana,, mwijaku pwaaa,, mwajaku kalipia tu pesa ya ramani hapo,
Ndo maana wanasemaga ukikosea kuoa imekula kwako
Baba levo tuonyeshe wako
Maisha ya kupitia ha kiasi kana kwamba hutakufa. Kuna watoto wana njaa huko saidieni penye shida. hızı exaggerated lifestyles hazisaidii chochote. Binadamu ni yule yule tu. Na hizo nyumba end of the day ni nguvu zako kuishi a kwenye udonho, kwa jina nyumba. Ni kufurshisha tu roho kwa wakati mfupi.
Punguza makasiiko,, tafuta hera
Waongo waongo hawa yeye na mke wake..wanapend content
Mungu akusimamie Kaka hongera Sanaa
Hongera Kaka Yangu Mwijaku Karibu Japan 🇹🇿🇯🇵 👍
Nikaribishe pia😂
Ila leo mwijaku katulia
Ukishazoea kuwa muongo muongo ata siku ukisema ukweli watu tunachukulia ni drama. Siwez kuamin 💯
Nasubiri Dada wa taifa aseme ukweli maana huyu jamaaa hapana 😂😂😂😂😂😂
Kweli kbs unashangaa hapo anatangaza biashara😂😂😂😂😂
Hata mm siamini kama ni nyumba Ni yake kapata wapi bilion .3
Kaz ipo kwel kwel
Maashaallah alhamdulillah
Watu bana yaan unanadi nyumba ya baba ila wabongo bana kwa kiki ni hatar
Hongera nakushauri kuzunguka pool weka vizuizi maana utelezi wa maji na mkao wa hilo pool ni hatari sana
Nilikuwa naitafuta hii comment
Jamani Hadi mpiga picha anaona wivu
Leo nimejifunza kitu,USIHUKUMU KITABU KWA KAVA LA NJE
Hongera Sana tunakitu kikubwa cha kujifunza sisi Vijana hongera Sana brooo
Hawa mastaa wa kibongo mi hata siwaaminigi.,.. DIAMOND tuliambiwa amenunua hoteli akawapeleka wafanyakazi wake CARANTIN kipindi cha korona kumbe sio yake sasa hapa nani wa kumfunga paka kengele
Love from Kenya u have mentor many including myself ❤❤
Daaah hili funzo kubwa ukiona Mwanaume amefanikiwa ujue Kuna mwanamke shujaa nyuma yake
Congratulations bro mwijaku
watu wa Simba tunaakiri baba Revo ni utoporo nandiyo Mana akiri Kama matope
Masha Allah blessed
Masha Allah blessed
Leo umeongea mwijaku
Baba levo nae atuonyeshe wakwake nimekaa hapa nasubiria,
Mke kapata
Hongera mwijaku🎉🎉🎉❤
Nyumba mzuri sana ila ina vyumba 3 ongera sana chawa mkubwa wacha tupambane❤❤
Duh! Wameibania vyumba vitatu ni vichache
@@philemonmagesa5548 china hakuna chumba juu tu ndo chumba,ch mtoto mama na chawa mwijaku china cha ofisi namaana haongezi watoto angekuwa mwarabu hata chumba 10 zingekaa hapo
vichache? mjini apa ndugu yangu, vyumba vingi vya nini? unataka ukaribishe ndugu kwako?😂
Ukijumlisha na vya Wageni jumla ni vitano
@@didamugya6039 alitakiwa juu 4 au 3 chini 4 au 3 ingependeza sana wacha nikaze kamba nami nipate ya 3 tu
ongera sana kijana mwezangu 16:50