MCHUNGAJI HANANJA AMVUNJA MBAVU MUFTI | UKUMBI MZIMA KICHEKO, AZUNGUMZA KIARABU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ •

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 Рік тому +18

    Allah bless and guide you mch Hananja... mtu wa ukweli... we love you

  • @RuthbetaCharles
    @RuthbetaCharles Місяць тому +2

    Napenda sana mafundisho ya mchungaji Hananja ❤. Mungu akutunze

  • @lawrenceoctavian2740
    @lawrenceoctavian2740 Рік тому +131

    Inapendeza mbele za wanadamu na mbele za Mungu ndugu wakikaa pamoja

  • @NuruBeth-hu1ym
    @NuruBeth-hu1ym 8 місяців тому +17

    Napenda mafundisho ya pastor❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @alexcostantine6732
    @alexcostantine6732 Рік тому +11

    Mungu awabariki kwa umoja huo YESU anakuja jihusishe

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative2451 Рік тому +48

    Tumefurahi Sana kumuona much. Wetu kujumuika na Ndugu zetu waislam! Tumefurahi Sana Sana Sana, hakika ametuwakilisha vyema. Tuishi Kwa Upendo, Mungu wetu sote!

  • @MengiMeng-fd7sq
    @MengiMeng-fd7sq 3 місяці тому +2

    Uyu mchungaji anakitu kikubwa sana kichwani kama mtambagua amtajifunza kanisani wala misikitini au mashuleni❤❤❤

  • @emanuelwilliam1607
    @emanuelwilliam1607 11 місяців тому +6

    Its beautiful TANZANIA LOVELY LOVELY SANA 💕

  • @danielsamuel1278
    @danielsamuel1278 6 місяців тому +8

    Huyu mzee nampenda sana sana sana mimi ni muislam ila huyu mzee nasoma mengi sana kwake na hii ndio Tanzania ninayo ipenda ❤❤❤❤

  • @egfridmkoba4767
    @egfridmkoba4767 6 місяців тому +7

    Mwenyezi Mungu aendelee kutuwekea mkono wake tuendelee kuishi kama ndugu wa baba na mama mmoja.

  • @SamsonHao
    @SamsonHao 26 днів тому

    I appreciate you pastor

  • @expert5898
    @expert5898 Рік тому +59

    Ufalme wa Mungu ukishuka watu wote wanakuwa wamoja maana Mungu wao ni mmoja.

  • @SadruSadi
    @SadruSadi Місяць тому

    Amina

  • @henritamshai4915
    @henritamshai4915 Рік тому +28

    Huwa nafikiria ni muislamu pongezi mseto huu wa mawaidha ya kidini.mungu atujalie heri duniani

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Рік тому +28

    Nasoma comment za watu wenye kutafuta shari pasi na shari 😮

  • @johaneskiiza150
    @johaneskiiza150 Рік тому +60

    Tanzania nakupenda sana nchi yangu tunahishi kwa kuheshimiana safi sana wazee wa BAKWATA

  • @KHAMISRASHEED1796
    @KHAMISRASHEED1796 Рік тому +4

    hananja huna baya mungu akubar sana ❤

  • @MiwagoTz
    @MiwagoTz 6 місяців тому +9

    Huwa namfuatilia sana maongezi yake huwa anachekesha huku akifikisha ujumbe,nikipenzi cha watu,Hongereni viongozi wa Dini kwa umoja wenu wa Dini zote kuwa kitu kimoja hapa Tanzania lazima hiwe na Amani kwani Amani inaanzia kwenye Upendo ndani ya Dini Zetu kupendana na hapa tunaona mchungaji amealikwa.Mungu ibariki Tanzania na watu wake aminaa.

  • @Brother_kakoso
    @Brother_kakoso Рік тому +16

    Allah atupe mwisho mwema

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 Рік тому +64

    Kwa kweli Uislamu naupenda sana. Nilipofika Dar es Salaam niliishi na ndugu zetu wa waislam hakika nilipata ukalimu sana. Mungu ubariki uislam

    • @Chimamy5242
      @Chimamy5242 Рік тому

      😂😂😂😂😂

    • @ZAGARO90
      @ZAGARO90 Рік тому +3

      😂😂😂😂uslamu ni dini la kishetani

    • @idiidi-rq5gk
      @idiidi-rq5gk 11 місяців тому +2

      Shetan n we mwenyewe

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 11 місяців тому +1

      ​@@idiidi-rq5gk mashetan yashaanza kuamka 😂😂

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 9 місяців тому +1

      Unasubili nini kajiunge na mashetani

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 Рік тому +14

    Daah mungu atusaidie sana na viongozi wa dini zote msikubali kuwaingiza waumini wote kwenye njia mungu asiyoipenda

    • @HusnaSalum-p1q
      @HusnaSalum-p1q 5 місяців тому

      Hapo yale yasiyo jitambua ndiyo yanaleta chochezi

  • @matundastudio7647
    @matundastudio7647 Місяць тому

    Imani zetu zimuelekee mwenyezi Mungu

  • @ZAMYLFILM
    @ZAMYLFILM Рік тому +1

    Inshaallah Allah akujaalie uwe muislam pastor

  • @HousenAhmadi
    @HousenAhmadi 6 місяців тому +1

    Sote ni ndugu , emwenyezi mungu udumishe udugu huu na utuepushe na shetani wabaya , inshallah 🙏

  • @fifo262
    @fifo262 2 місяці тому

    Anaongea point big up broo

  • @RightAlphred
    @RightAlphred Рік тому +7

    Inapendeza sana ndg kukaa pamoja kama hii❤❤❤

  • @josephosborne3072
    @josephosborne3072 5 місяців тому

    Nampenda sana huy pastor wa kweli...hajawah kuikana injili hapa kaanza tu na biblia,saf sana

  • @MustafaHimid
    @MustafaHimid 5 місяців тому

    Mashallah Hananja❤

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon3624 9 місяців тому

    Safii sana sote twaabudu Mungu mmoja!Tupendane!🙏

  • @almasiALMASI-h3x
    @almasiALMASI-h3x Рік тому +23

    Eee ALLAH wahifadh masheikh wetu wa kisalafi na uwaweke mbali na unafiq...... ✍️

  • @Mtemi-s2k
    @Mtemi-s2k 7 місяців тому

    Kiukwer mungu ibariki tanzaniy nawatu wake🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jamalsamma560
    @jamalsamma560 Рік тому +4

    Barakallahu fih

  • @DolikasiYusufu
    @DolikasiYusufu 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤

  • @Sibohoro-z5m
    @Sibohoro-z5m Рік тому +35

    Hananja hana baya mzee wangu

  • @KitolaJr
    @KitolaJr 5 місяців тому

    😂😂😂😂😂 Allah akubarik

  • @AbdullrazackHussein
    @AbdullrazackHussein 6 місяців тому

    Mashallah inapendeza sanaaa

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 5 місяців тому

      Waislamu siku zote hamna baya na mtu,mlitukaribisha pwani sisi wakristo bila hiyana

  • @ZAMYLFILM
    @ZAMYLFILM Рік тому +2

    Nakupenda sana Hananj Allah akujaalie uwe muislam usife katika giza

    • @EzekielDebora-cd2ib
      @EzekielDebora-cd2ib Рік тому

      Wewe ndo usife ktk Giza

    • @SophiaSimba-uq8ct
      @SophiaSimba-uq8ct 4 місяці тому

      Tena jinga la kwanza, we utakufa kwenye taa ubaguzi wa dini mbaya, hakuna dini ya haki we mshezi SS wote tunaabudu Kwa mungu mmoja

    • @Zaituni-c4u
      @Zaituni-c4u 3 місяці тому

      Kwel mungu mmoja ubaguz hautakiw

  • @nasramtuluma3949
    @nasramtuluma3949 5 місяців тому

    Hadi raha❤

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Рік тому +8

    Aliposema wake 1000 nikakumbuka Mazinge😊

  • @MubarakaNasibumwaluka-n9n
    @MubarakaNasibumwaluka-n9n 5 місяців тому

    Umetisha kaka

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 Рік тому +4

    Maasha Allah tabaaraka Allah, jamaa anakwepa munakasha, na anakwepa mpaka mahojiano na chombo cha habari, eti kwa sababu ni watu wa bidaa, wakati huo huo masalafi wanatumia youtube, facebook, twitter, instagram, vyote hivi ni vya makafiri, lakini hawaachi kuvitumia 😂

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Місяць тому

    Dini ni lugha tuu ya kuongea na mungu tupendane tushirikiane Good to see this as a Christian

  • @mainguali6046
    @mainguali6046 7 місяців тому +3

    Mungu amjalie Pastor Hananja asilimu

  • @JoshuaGodifrey
    @JoshuaGodifrey 6 місяців тому +3

    Safi sana Mungu ni mmoja sisi sote ni WA Moja

  • @ShabaniKibwana-z7d
    @ShabaniKibwana-z7d 5 місяців тому

    Mashalllah

  • @kwadumikomaenterprises1131
    @kwadumikomaenterprises1131 8 місяців тому

    safi sana sina comment ni nasikia Raha tu kwenye nchi yangu kuona tupo pamoja Raha sana najivunia kuzaliwa Tanzania

  • @manasendubula-zn8fl
    @manasendubula-zn8fl 8 місяців тому +1

    Mtabaki mnaumana meno waumini lakini watumishi wa dini zote wakikutana ni AMANI tuu. 🤝🤝

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 10 місяців тому

    Mungu ni Mungu Tu

  • @freakboy1804
    @freakboy1804 2 місяці тому

    Nuru ndani ya giza

  • @DolikasiYusufu
    @DolikasiYusufu 2 місяці тому

    Kweri❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂

  • @DeoMbilinyi
    @DeoMbilinyi 6 місяців тому +2

    Na mimi nimependa kwa mwaliko huu Ameen

  • @jacklinemusa5644
    @jacklinemusa5644 2 місяці тому

    Mungu awasamehe wote mnao tukanana kisa dini

  • @sharfasephu
    @sharfasephu 5 місяців тому +1

    Mchungaj honger 😂😂😂

  • @wizzyboengamba749
    @wizzyboengamba749 6 місяців тому

    Love hananja

  • @NolaskoShayo-jb7cq
    @NolaskoShayo-jb7cq 3 місяці тому

    Halelujah

  • @engisack9610
    @engisack9610 Рік тому +16

    Tatizo la waisilamu wana udini mwingi sana na ubaguzi" wakati Mungu nimmoja

    • @alhajisingano6590
      @alhajisingano6590 Рік тому +2

      Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil
      Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, zisikuchanganye hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)

    • @NuruSultani-ws1ny
      @NuruSultani-ws1ny 6 місяців тому +2

      Kma ubaguz upo hananja ni muislam au ondoa upuuz uliojazwa katika akili yako mwehu ww

    • @YohanaPaul-b3v
      @YohanaPaul-b3v 3 місяці тому

      ​@@NuruSultani-ws1nySasa si mnajulikana nenda uarabuni ujifanye mkristo ndo utajua, na kama kama Kaini alivyolaaniwa kwa kumuua mwenzake ndivyo mtakavyolaaniwa kwa kuwauwa na kujeruh wenzen et mnampigania Mungu, et ni swawabu, mh! Mungu alishakuwa binamu yenu et, subili siku yaja na kila goti litapigwa

    • @CallOfduty-l9f
      @CallOfduty-l9f Місяць тому

      ​@@alhajisingano6590
      Huwezi jua mpaka utapo kufa mzee

    • @CallOfduty-l9f
      @CallOfduty-l9f Місяць тому

      ​@@YohanaPaul-b3v
      😂😂

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 5 місяців тому

    Wasiojitambua ndio wanataka kuharibu Tanzania yetu ya amani haina ubaguzi safi san🎉

  • @mirajiyombe1601
    @mirajiyombe1601 Рік тому +4

    Allah atuongoze

  • @ThobiasLeonard-r9z
    @ThobiasLeonard-r9z 5 місяців тому

    Amen

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 6 місяців тому +1

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @danielsamuel1278
      @danielsamuel1278 6 місяців тому

      Sisi hatutaki kuokoka ,tulikuokoka tumboni .yesu ni mtume wetu kama watume wengine .

    • @KahlanMainoo
      @KahlanMainoo 2 місяці тому

      Waislamu wanamuamini Allah mmoja tu, na mitume yake yoote.Issa ni mtume na sio mungu wala motor wake

    • @KahlanMainoo
      @KahlanMainoo 2 місяці тому

      YESU SIO MUNGU WALA MTOTO WA MUNGU, LAZIMA MTU ATUMIE AKILI YAKE VZR

  • @doricekisaaka1699
    @doricekisaaka1699 11 місяців тому +2

    😂😂😂😂Hana njaa mbavu zangu

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 11 місяців тому +2

    Maisha ya huyu mchungaji na himani yake naipenda sana

  • @IsackAyoub-k7w
    @IsackAyoub-k7w 3 місяці тому

    🎉🎉🎉

  • @gwakisasimon14
    @gwakisasimon14 Рік тому +5

    wewe unaye sema asilimu ili imanishe nini toa kitu cha kujenga sio kubomoa ndio maana watu wanasema shule muhimu usikimbie umande mzee yani kaa ukijuwa mungu apendezwi na dini zetu kwa sababu zina unafki kusengenyana mungu hayupo sehemu yenye dhambi kaa ukijua mungu anapenda jambo moja tu matendo mema kumuelekea yeye na kumwabudu kwa roho na kweli na kusimama kwenye wito uliopangiwa ukiwa mtu wa kulukaluka uwezi kumpata mungu sehemu yako itakuwa jehanamu tu nawapenda wote wanaomwabudu mwenyezi mungu maana neno lake halitaludi bure ila wale wanaoabudu mizimu masanamu tusiwachukie kama tuna upendo alioagiza mungu tunatakiwa kuwaombea mungu awashushie baraka zake na neema wamjue mungu wa kweli .waislamu na wakristo mungu awape maisha ya kumsifu na kumwabudu kwa roho na kweli sio unafki mtazameni mungu msitazame dini zenu ni nzuri kwa sababu sinamwabudu mwenyezi mungu kila mtu aeshimu hekalu la mwenzie mungu awabariki nyote amina

  • @IsackAyoub-k7w
    @IsackAyoub-k7w 3 місяці тому

    Nakuli Sana pasta

  • @rweyemamurweyemamu680
    @rweyemamurweyemamu680 Рік тому +34

    Unakuta anayeongelea mambo ya udini ana machafu kibao na pengine ana demu mkristo😂😂😂 lkn sasa kujifanya anaijua dini,mbinguni unaenda weye na roho yako mpendwa utahesabiwa mema uloyafanya kwa wenzako,uwepo wako Dunian umetenda nini,watu wangapi umewasaidia waenende kwenye njia njema,ayo ndo mambo ya msingi,achaneni na udini

    • @hawanassoro4607
      @hawanassoro4607 Рік тому +2

      Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.

    • @hawanassoro4607
      @hawanassoro4607 Рік тому +2

      Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.

    • @HusnaSalum-p1q
      @HusnaSalum-p1q 5 місяців тому

      Sana kasema kweli Mungu anaangalia matendo

    • @nurdizzotz4437
      @nurdizzotz4437 4 місяці тому

      Akuna binaadam alie kamilika kwanza inatakiwa ulitambueilo

  • @MathewMarco-m6r
    @MathewMarco-m6r Місяць тому

    😂😂❤❤❤

  • @UcheUche-u6v
    @UcheUche-u6v 3 місяці тому

    Nakubali

  • @EmmanuelShausi-ff8fu
    @EmmanuelShausi-ff8fu Місяць тому

    Yaani wakati mwingine waisilamu waungwana sana hawana mambo mengi safi sana tukiishi walahi Tanzania itafika mbali sana

  • @musasabihi7451
    @musasabihi7451 9 місяців тому

    Hii mzuri sana hii nimeipenda

  • @Phatuma-c1o
    @Phatuma-c1o Місяць тому

    Ananja yuko ok sana

  • @MichaelPascal-v7b
    @MichaelPascal-v7b 6 місяців тому

    Up sahihi

  • @johnstonemasabile4620
    @johnstonemasabile4620 2 місяці тому

    Semaaa tu haya yakutekwa wasiojulikana ndiyo yamekuja kutuharibia nchi yetu

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 6 місяців тому +1

    Mungu wetu anataka Upendo Na Aman

  • @EL-SHADDAI-c4p
    @EL-SHADDAI-c4p 4 місяці тому +1

    Nakushukulu tanzania Amani yako imenilea

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Рік тому +15

    Siku ya kusimama hukumuni kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake! Kwa sasa kinachotakiwa ni kuishi kwa umoja na furaha bila kubaguan! Siku ukifa ndip utajua ulichochagua hapa duniani kama kilikuwa sahihi au la! Je ukifa utaenda wapi???

    • @danielmateso2522
      @danielmateso2522 5 місяців тому

      ukifa unayarudia mavumbi yaani unakuwa hutambui chochote the usubili ufufuo kama ulishika amri za mungu na imani ya yesu utafufuliwa ufuguo wa kwanza wa watakatifu na kama unapuuza amri za mungu bas utafufuliwa ufufuo wa pili wa waovu.

  • @FatmaKarata-z5j
    @FatmaKarata-z5j 3 місяці тому

  • @abdallahmwanga5792
    @abdallahmwanga5792 6 місяців тому +1

    Ni mtu makini sana aisee....😂😂😂😂

  • @meddyblack6353
    @meddyblack6353 4 місяці тому

    Nimependa sana hii moment dini siyo vitaaa

  • @patricksebastian3593
    @patricksebastian3593 7 місяців тому

    Mungu Ibariki Tanzania, tuanaishi pamoja bila kujali dini zetu

  • @ibrahimmalabeja3692
    @ibrahimmalabeja3692 5 місяців тому

    Mi mwenyewe nimecheka😂

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Рік тому +7

    Hekima nyingi Huyu🤣🤣

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Місяць тому

    Mara nyingine wakikualika wabatize kabisah.hao washehee wasio jitambua.

  • @ElizabethMchomvu-s2d
    @ElizabethMchomvu-s2d Рік тому +4

    Waislamu wabinafs sana 🙌🙌🙌

    • @mirajiyombe1601
      @mirajiyombe1601 Рік тому +1

      Uislam pekee ndo wenye mfumo mzima wa maisha ya mwanadam ..ubinafsi haupo ila ktk Islam Kila kitu ni ibada naibada hiyo iwe imeamrishwa na mungu nasi binadam kwahiyo ukiona waislam jambo hawalitaki Hilo SI ibada nahakuliamrisha mungu

    • @HajiMasmenti
      @HajiMasmenti 4 місяці тому

      @@ElizabethMchomvu-s2d km hauna elimu na kitu Kaa kmy sio mpaka uchangie mada..lkn pia ukiulizwa uwo ubinafs uwez kusema punguza looh mbaya bibie.

    • @ElizabethMchomvu-s2d
      @ElizabethMchomvu-s2d 4 місяці тому

      @@mirajiyombe1601 point yako tayary niubinafsi my dear

    • @ElizabethMchomvu-s2d
      @ElizabethMchomvu-s2d 4 місяці тому

      @@HajiMasmentikama inauma chomowa elimu yangu ndio inaiingizia pesa kila mwezi 😅😅

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 2 місяці тому

      Hata kumualika huyo mchungaji kwako ww ni ubinafsi?

  • @HassanMakonda
    @HassanMakonda 5 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🤲🤲🤲 hakuna kama 🇹🇿

  • @benjaminngatunga3931
    @benjaminngatunga3931 8 місяців тому +1

    Mungu awalinde viongoz wote wa dini

  • @lucasngotta9946
    @lucasngotta9946 4 місяці тому

    Hakika haya ya kukaa na kutafakari pamoja watu wa imani tofauti ndo mambo tunayoyataka katika Tanzania yetu

  • @StevenmwawezaStevenmwaweza
    @StevenmwawezaStevenmwaweza 6 місяців тому

    Safi mtumishi

  • @christinapeter7131
    @christinapeter7131 4 місяці тому

    Wewe mchungaji unanifurahisha sana lkn Dawa inaingia

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 11 місяців тому

    Mie hii sijaelewa😢😢😢

  • @danielmateso2522
    @danielmateso2522 5 місяців тому

    hyo inaandaliwa dini moja ya dunia maana hamna ushirika kati ya nuru na giza

  • @sevarakivumu9578
    @sevarakivumu9578 4 місяці тому

    Safi

  • @PULKERIAIZIDORY
    @PULKERIAIZIDORY 4 місяці тому

    Huyu mchungaji yuko vizuri mno

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 4 місяці тому

    Maneno mazurisana mzeewangu,Mungu akulipeheri Inshallah

  • @HusseinKhoja-e1y
    @HusseinKhoja-e1y 10 місяців тому +2

    Mimi ni muislamu lakini napenda huu mchungaji Kwa manenyo ya hekima

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 Рік тому +17

    Silimu basi mchungaji walwahi umependeza Sana kuwa shene

  • @ShabaniKakongo-gy4eb
    @ShabaniKakongo-gy4eb Рік тому

    Allah akuongoze

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Рік тому +10

    MI SIO MKRISTU ILA NAMPENDA SANA HUYO MCHUNGAJI,,NOMA SANA

  • @AbdallahDullah-gx2jo
    @AbdallahDullah-gx2jo 10 місяців тому +1

    Mtu wa mana kbc uyuu😅😅

  • @mrhandsome1666
    @mrhandsome1666 5 місяців тому

    Fact