BITCOIN FOR SWAHILI SPEAKERS. Kuhusu Blockchain, cryptocurrencies kwa lugha ya Kiswahili. Bongo Zozo

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 318

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 роки тому +12

    Bongo zozo mpole na mvumilivu sana hauna hasira tunakupenda sana tz

  • @Beneguide
    @Beneguide Рік тому +10

    Nimeangalia video nyingi zinazoelezea Bitcoin na Blockchain lakini hii ndio ya kwanza kuielewa kwa %100.
    Thanks Brother Endelea kututoa ushamba. Afrika tupo nyuma sana!

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 3 роки тому +31

    Video kama Hii ambayo inaweza kuchange maisha wa watanzania wengi af unakuta ina views 720 tu ila video za kina harmorapa na amberlulu ndio ukakuta zina views 500K ila umechambua vizuri sana katika level za juu sana na umeeleweka sana unafaa kuwa financial advisor..Hongera sanaa kaka Bongo zozo,Naomba video zinging nzuri kama hizi!

    • @Zanzibar_Drone_View
      @Zanzibar_Drone_View 3 роки тому +1

      Ndio mkuu video kubwa sana hii kwa vijana wanao jitambua

    • @gabrieljoseph4603
      @gabrieljoseph4603 2 роки тому

      Kibongo bongo bado haijaanza au

    • @gabrieljoseph4603
      @gabrieljoseph4603 2 роки тому

      Namna ya kujiunga adimin tadhazali

    • @canisiusclemencemkuyu6505
      @canisiusclemencemkuyu6505 2 роки тому +3

      Mwamba nimesoma kwa uchungu hi comment yako,,,, nashukuru sana nimeshanza kusoma vitabu vinavyohusu bitcoin

    • @chiefchacha2992
      @chiefchacha2992 2 роки тому +1

      @@canisiusclemencemkuyu6505 nielekeze ni vitabu gani hivyo mkuu...tafdhali

  • @iam_paul3279
    @iam_paul3279 2 роки тому +4

    Darasa zuri Mungu akubariki kwa upendo ulio nao Bongo Zozo

  • @meckstartz7053
    @meckstartz7053 2 роки тому +7

    Congrats brother Zozo,,,, tupe elimu tujikwamue aisee,,, God bless you

    • @leocadia8795
      @leocadia8795 2 роки тому

      Tunafundisha cryptocurrency kwa shilling 20000 10k mwanzo 10k ukishajua karibu 🤗

    • @tz-ng2if
      @tz-ng2if Рік тому +1

      @@leocadia8795 nipe namba yako kaka

    • @elizamwigune4467
      @elizamwigune4467 Місяць тому

      Binance ninini kaka et

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 2 роки тому +2

    Jamaa nimempenda Bure anafundisha criticaly bila misemo migumu mifano inayoaks anachosema

  • @Nocopyrightvideoske
    @Nocopyrightvideoske 7 місяців тому +1

    Nimejifunza kitu. Asante sana. Pamoja. Heradius

  • @joetechnology5464
    @joetechnology5464 3 місяці тому +1

    Asante sana kwa elimu nzuri

  • @happymarksimwita5244
    @happymarksimwita5244 2 місяці тому

    Tunashukuru sana bongozozo umenifungua baadhi ya vitu big xana

  • @KingsGona
    @KingsGona 8 місяців тому +2

    Much love from Kenya

  • @sadakyando9524
    @sadakyando9524 2 роки тому +1

    God bless swahilo yk iko vzr sn

  • @hassansiraj7556
    @hassansiraj7556 2 роки тому +4

    Asante sana Nick

  • @KelvinNyaitara
    @KelvinNyaitara 5 місяців тому +1

    Shukrani kiongozi 🙏🏾

  • @eileen_harrison
    @eileen_harrison 2 роки тому +2

    Nice video,
    It is really helpful to us traders,
    Investing in crypto is the best and fastest way of making money, but only few understood the secret of crypto currency.

    • @Edgarr432
      @Edgarr432 2 роки тому

      Yes crypto currency is very profitable especially with the current increase in value, but I still don't understand how this whole thing works.

    • @klausadams4174
      @klausadams4174 2 роки тому

      Mrs. Evelyn remains my number one broker for life, I invested $1200 with her and I was credited $6500 in a 3days interval. Mrs. Evelyn is a teacher not only a broker.

    • @KimHarvey283
      @KimHarvey283 2 роки тому

      I have heard a lot of good news about this lady called Mrs. Evelyn, how is helping people to increase their financial status in a twinkle of an eye, I think I'm gonna give it a try.

    • @michaelkelly21
      @michaelkelly21 2 роки тому

      I've tried this some time ago but it wasn't successful, but I do get positive news about how it has elevate people financially.
      Please how do I invest with crypto currency?
      legit platform, please

    • @moodi1102
      @moodi1102 2 роки тому

      Wow, she is indeed a nice broker and a good teacher, a beautiful creature too hehe. Just invested $500 with her.

  • @kabogonorasco7498
    @kabogonorasco7498 24 дні тому

    Thank you sir,we appreciate for this

  • @shaymohd6547
    @shaymohd6547 2 роки тому +2

    Blessed 🤝🙏

  • @edwardnamakonde7423
    @edwardnamakonde7423 2 роки тому +2

    Asante Bongo Zozooo, tumeondoa ushamba wa Bitcoin

  • @StephenKimondo-qw3et
    @StephenKimondo-qw3et 5 місяців тому

    Bwana Bongo Zozo shukrani kwako kwa somo hili zuri na muhimu. Tafadhali tusaidie kutoa maelezo ya jinsi ya kujiunga au kuwekeza kwa njia ya Bitcoin.

  • @majigeelieza6222
    @majigeelieza6222 2 роки тому +1

    daaah bongo zozo asante kwa kunifunza mm nilikuwa nasikiaga tuu

  • @amossabdul3222
    @amossabdul3222 2 роки тому +1

    Ahsante sana kwakutupatia elimu hii Bongo zozo

    • @user-iw5zv7pw3d
      @user-iw5zv7pw3d 2 роки тому

      👆👆👆👆
      Dm here for guidance and learn more about crypto currency investment.

  • @raheemvianey7343
    @raheemvianey7343 7 місяців тому +1

    Ahsante sana

  • @KingsGona
    @KingsGona 8 місяців тому +1

    Much from Kenya

  • @valeriansawere5141
    @valeriansawere5141 3 роки тому +3

    Shukrani kwa elimu uliotoa,pia tayari Tanzania imesharuhusu criptocurrency.

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 Рік тому +1

    oohh that's nice

  • @sambayametikana8682
    @sambayametikana8682 2 роки тому +2

    Pamoja sana jembeee upo vzr brother isichoke kutuelimisha wabongo tunakutegemea big up sana & be blessed

  • @user-gs5ov9qx7t
    @user-gs5ov9qx7t 2 місяці тому

    One love brother

  • @sifaelmophat1021
    @sifaelmophat1021 4 місяці тому

    I'm really interested for sure

  • @premierjoseph9871
    @premierjoseph9871 2 роки тому +4

    Hili Darasa Ningehitaji Kulipa Fedha Nyingi Sana Ila ,Nakushukuru Sana BONGOZOZO Kwa Kutupa Darasa Hili Bure Kabisa La Cryptocurrency Tena Kwa Lugha Rahisi Ya Kiswahili..Mungu Akubariki Sana🙏🏻

  • @mr.nonino3629
    @mr.nonino3629 2 роки тому +1

    hii video itaishi.
    bongozozo utaishi.

  • @perfectchoiceenterprises
    @perfectchoiceenterprises 3 місяці тому

    Nice bro

  • @nadiapalermo3854
    @nadiapalermo3854 3 роки тому +4

    Very helpful

  • @brightonjoahson4347
    @brightonjoahson4347 2 роки тому +1

    OK poa tumekuelewa bongo zozo

  • @lavieestbelle3263
    @lavieestbelle3263 2 роки тому +2

    Nice

  • @Wiseone424
    @Wiseone424 6 місяців тому +1

    ajabu! ! ! ! Wmān isku dayay in aan maalgashado, wmān ku shubay bahut lagad ah stock, kiều qaar ka mid ah sạn loo kội 'cryptocurrencies', lakini wanaifanya kuwa muhimu ah ma tên. Waan ka gehansih laha ifa aad la gashikeyga sikaga ku sida loo soo-noqosho oo maal-gashikeyga ah.

    • @Contact.Opensea.io.
      @Contact.Opensea.io. 6 місяців тому

      Jihadharini na hitaji la kifedha la kufanya go'aamo wax ku ool ah waa lama huraan. Ikiwa aan aan ku kiyotya talo talo ah, waa in aad higalmo ka raadsato lataliye ektokan, Bi. Oprah Winfrey.

  • @tonymalcom6383
    @tonymalcom6383 2 роки тому +1

    Umeilezea vzur nimejitahidi sana kuzifatilia youtube maelezo yake kutoka kwa wataalam wengine lakini kwako nimepata uwelewa zaidi umtumia mifano mepesi na mizuri kuweka wepesi wa mtu kuelewa Big up ntajiatahidi kukufatilia zaidi kwenye vipindi vyako vingine juu ya BITCOIN ili nasi tuwe mawakala wa kuwatoa watu ushamba

  • @Coding_sight
    @Coding_sight 3 роки тому +1

    Nice🤔🙌

  • @simonadam6494
    @simonadam6494 2 роки тому +4

    Nashukuru Kwa kutupa elimu... Napenda kufaham kiundani nipo najifunza kupitia account yako na naomba uendelee kutoa tutorial zingine Za muendelezo ili tuweze kuifaham zaid

  • @josephattemba2146
    @josephattemba2146 Рік тому +1

    Ongera sana kaka, nilikuwa naitaji kujua zaid umuhimu wa kutumia smart contract kwenye cryptocurrency (Bitcoin) na namna gani inavyofanya kazi.

  • @yusuphsemwaiko3377
    @yusuphsemwaiko3377 Рік тому

    Bongo zozoooooooo❤️❤️❤️

  • @emmakipalula9097
    @emmakipalula9097 Рік тому +1

    Thanks a lot Sir 👍

  • @onejohnmk4753
    @onejohnmk4753 7 місяців тому

    Mwemwee mtoto mzuri mrembo sana huyo jamn

  • @godsonmichaelmibuko9203
    @godsonmichaelmibuko9203 2 роки тому +1

    Sawa

  • @mselimsuya6952
    @mselimsuya6952 Рік тому

    Elimu nzuri Kwa karne ya 21

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 2 роки тому

    🔥🔥🔥🔥🔥✊✊

  • @mgasathedon1579
    @mgasathedon1579 2 роки тому +1

    Bongo zozo mi nakukubali asee mzungu wewe uko poa

  • @praygodmunga8087
    @praygodmunga8087 2 роки тому +1

    Nimeamini wew n mtanzania na watanzania dotukoivo.shukran kwamapenzi yako kwa Africa

  • @innocentsanga9347
    @innocentsanga9347 3 роки тому +1

    Ahsante sana zozo

  • @braysonzablon3483
    @braysonzablon3483 3 роки тому +3

    God bless you brother

  • @jamesmasanja1963
    @jamesmasanja1963 3 роки тому +1

    Nimekupata bongo zozo

  • @forextrading4950
    @forextrading4950 3 роки тому +1

    Shukran

  • @lifemotivationsmentor8799
    @lifemotivationsmentor8799 3 місяці тому +2

    Bongo zozo ubarikiwe sana

  • @lulyehomadale9009
    @lulyehomadale9009 8 місяців тому

    bonge la elimu

  • @sky-g8410
    @sky-g8410 2 роки тому +2

    Mbali na kununua bitcoin je kwa wale watakaohitaji kufanya mining ni vitu gani vya kuzingatia wakati was kumini bitcoin na namna ya kulink wallet yako na mining browser

  • @ajreviews8638
    @ajreviews8638 Рік тому +1

    Brooo unajua

  • @SirWilson-cx7os
    @SirWilson-cx7os 3 роки тому +1

    Sawa ndugu.

  • @idrisaramadhan8274
    @idrisaramadhan8274 2 роки тому +2

    Somo madini tuuu.. 🥇 👏 👏 👏 👏

  • @christophermulokozisamuelr7584
    @christophermulokozisamuelr7584 2 роки тому +1

    good

  • @phatsamweli
    @phatsamweli 3 роки тому +1

    🔥 🔥 🔥

  • @kimkraken659
    @kimkraken659 3 місяці тому

    👊🏿👊🏿

  • @elimanjoseph140
    @elimanjoseph140 8 місяців тому

    Bongo zozo karibu Arusha kunajambo laki huku

  • @akilimembe2049
    @akilimembe2049 3 роки тому +2

    Bongozozo natamani Sana hii kitu
    Bit coin
    Natamani kuijua na kuifanyia kazi

  • @EdwinNdomba
    @EdwinNdomba 11 днів тому

    Bongo zozo father naomba nisaidie namba ya

  • @damiannaftal773
    @damiannaftal773 13 днів тому

    Dah kiukwel naona inaitaji elimu kubwa maana nikama natak kuelewa ila bado

  • @joatv9909
    @joatv9909 2 роки тому +1

    me naomba uniangalizie jinsi ya kuverify account ya local bitcoin kwa vitambulisho maana naona inakataa me imenikataria

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel Рік тому

    Barikiwa sana nimejifunza.. I'm getting the clarity. This year baada ya kupata understanding ya kueleweka ntawekeza kidogo nione Growth yake (naiacha ikue hata miaka 5+😂)
    Asante kwa ushauri.. nitawekeza pesa ambayo niko tayari ku_risk

  • @anitadaniely728
    @anitadaniely728 7 місяців тому

    Nataka kujua naweza ku hold coins zingine under Btc. Coz kwa bei yake ya sasa I can't afford

  • @yohanachacha4289
    @yohanachacha4289 Місяць тому

    ❤😅😂

  • @glassguychaneltz2553
    @glassguychaneltz2553 2 місяці тому

    Naweza kununua wap hiyo bitcoin

  • @shadhirimakokola4716
    @shadhirimakokola4716 2 роки тому +2

    NAOMBA NAMBA YAKO UNIPE MAELEKEZO VIZURRI

  • @anolddavid2585
    @anolddavid2585 2 місяці тому

    ety nilikua nazo ila mama jesca kaniibia😂

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Рік тому

    Suali langu. Bitcoin kama sarafu imetengenezwa na Satoshi nakamoto. jee blockchain huu mfumo mzima umetengenezwa na nani?

  • @abdulhussein3265
    @abdulhussein3265 7 місяців тому

    Bongo zozo tunajaribu kufanya huo uwekezaji lakini mwisho wa siku tunaingia chaka na kuanza kujutia , kwani tunatumia hela kubwa mwisho tuna ambulia sifuri
    Naona mwongozo mzuri na namna ya kubadilisha dollar

  • @masonkapasi
    @masonkapasi 7 місяців тому

    Yes nimechelewa kucheck video hii ila nimevutiwa sana please naombeni msaada wa maelezo zaidi

  • @cypriantibenda9757
    @cypriantibenda9757 8 місяців тому

    Maelezo ni mazuri ni vipi tunaanza hapo ndipo elimu itakuwa umetusaidia watanzania (how to start)

  • @AIInsights23
    @AIInsights23 2 роки тому +1

    Blockchain ni cryptography techniques inayo fanywa na computer kuchanganya code herufi na number 256, namba hizo zinaitwa HASH, hizo hash ndio Bitcoin, ETH na coin nyinginezo nyingi, ukitaka kujua zaidi kuhusu Bitcoin jifunze Blockchain ni nini hapo ndio utajua Bitcoin

  • @AllyMohammed-fv6nf
    @AllyMohammed-fv6nf 8 місяців тому

    #bongo zozo

  • @ammsuya9400
    @ammsuya9400 3 роки тому +3

    Haujatuonesha namna ya kutoa hela bank na kununuaa na kuuza kurudisha bank bongo zozoo

    • @BongoZozo
      @BongoZozo  3 роки тому +1

      Hujaangalia basi. Localbitcoins.com.

    • @ammsuya9400
      @ammsuya9400 3 роки тому

      @@BongoZozo thank you umetusaidia sanaa kwa haya maelezo yako

    • @fatumagaturwa2121
      @fatumagaturwa2121 3 роки тому

      @@BongoZozo naitaji link ya application ya bitcoin manne

    • @nimrosenasser9147
      @nimrosenasser9147 2 роки тому

      @@fatumagaturwa2121 je umeisha fanikiwa, kama bado njoo inbox nikueleze

  • @jeffengelbert5623
    @jeffengelbert5623 3 роки тому

    Asante sana broh,

  • @witnessmartin3692
    @witnessmartin3692 2 роки тому +2

    Kama we ni kijana na hujihusishi na mambo ya cryptocurrencies basi una hali mbaya sana kwenye future yako.

  • @tuntumzazi7172
    @tuntumzazi7172 2 місяці тому

    Bongozozo NATAFUTA link ya Bitcoin Ili niweze kuwekeza huko. Tafadhari naomba unipatie nifanye registration

  • @MajaliwqPlanet
    @MajaliwqPlanet Місяць тому

    Kaka nimefuatilia Sana hii video kwani documents inayotakiwa ni aina gani na je Kama Sina documents na passport😢

  • @user-ls8zn3ho8l
    @user-ls8zn3ho8l 3 місяці тому

    Father bongo zozo ni kiasi gani cha kuanza nacho? Ombi nikwambie weka link ili tupate app ya kweli

  • @spnone5235
    @spnone5235 2 роки тому

    Nafunguaje brockchain

  • @user-gv7im1cz8c
    @user-gv7im1cz8c 6 місяців тому

    Kaka vipi kuhusu P I maana Bitcoin. Gharama kubwa sana kuipata kwa sasa .

  • @johnwix_33
    @johnwix_33 2 роки тому +2

    Jinsi ya uchimbajii wa Bitcoin

  • @user-cb2ur2ew1j
    @user-cb2ur2ew1j 5 місяців тому

    Samahani Bitcoin Ina uhusiano gani na royal q

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 7 місяців тому

    Inataka kufanana na kamari ya kindege (Avatar )

  • @cypriantibenda9757
    @cypriantibenda9757 8 місяців тому

    Bongo zozo unatusaidiaje tunaotaka kujiuna huko

  • @franktemu
    @franktemu 7 місяців тому

    Trust wallet inaweza kufanya kazi ya blockchain pia au

  • @iddyjumanne2624
    @iddyjumanne2624 3 роки тому +2

    Hi bongo zozo tz naomba ongelea forsage utusaidie ili watu wajisajili wengi waoga sana

  • @ednalucas38
    @ednalucas38 Рік тому

    Hii ina tofaut na metaforce au ni same things

  • @abinetymsigwa6317
    @abinetymsigwa6317 2 роки тому +1

    Nimeangalia nimependa nmevutiwa natamani kujifunza zaid.......kwenye kutafuta lazima kuwepo nakupoteza siogopi nitakuwa nimejifunza .....labda ndio nataka nijiunge rasimi naanzaje?

  • @raymondmevamose2117
    @raymondmevamose2117 3 роки тому +4

    Bongo zozo somo nzuri ila utaonaje kuwa bitcoin imepanda au imeshuka thamani?

  • @hamisibaraka1804
    @hamisibaraka1804 3 роки тому +2

    nimependa uyo Janet nampataje jaman bongo zozo

  • @lodrickhubert9093
    @lodrickhubert9093 7 місяців тому

    Sasa nipo bongo cash nitapataje? Kama kubadili cash nimpaka mamtoni.

  • @msalikemediaonline
    @msalikemediaonline 2 роки тому +1

    Asante kwa kutufunua akili wa Tanzania. Swali langu ni Je. Unaweza kuaza au kununua Beticoin. UKIWA NCH YOYOTE TU NAWAKATI WEWE NI MTANZANIA? Yaani namaanisha hata kama utaondoka inch ile na ukarudi Tanzania unaweza endelea nayo tu ile ile ambayo uliazisha ukiwa nchi nyingine?

    • @nimrosenasser9147
      @nimrosenasser9147 2 роки тому

      Ndiyo unaweza, kwa maelezo zaidi njoo inbox tafadhali

    • @jaseen6423
      @jaseen6423 2 місяці тому

      Kama unahitaji mafunzo haya ya jinsi ya kununua na kuuza hizi sarafu za kigitali bitcoin au crypto currency kwa ujumla nicheki kwa kupiga simu namba 0715954808
      Au watsup namba 0620438553

  • @nasrasuleiman462
    @nasrasuleiman462 2 роки тому +2

    Kuna maswali ya ufafanuzi nahitaji kukuuliza naweza kupata contacts zako tafadhali

  • @elibarickmateru6193
    @elibarickmateru6193 7 місяців тому

    Nataka fungua akauti baince bank ili kunganisha Royal Q niko sawa.

  • @davisforexjourney
    @davisforexjourney 2 роки тому +1

    Kaka Bongo Zozo naomba utueleze na kuusu FOREX

    • @BongoZozo
      @BongoZozo  2 роки тому +1

      Sina utaalam wa forex.

    • @nimrosenasser9147
      @nimrosenasser9147 2 роки тому

      Davis,njoo inbox nikueleze zaidi kuhusu forex

    • @davisforexjourney
      @davisforexjourney 2 роки тому

      @@nimrosenasser9147 nisaidie no, email au insta page yako pls

  • @kipalaartwork.7994
    @kipalaartwork.7994 3 роки тому +1

    Bongozozo naomba nomba YAKo boss