Ukweli kuhusu forex trading | Amrisaly alivyobadili maisha kupitia biashara hii

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 бер 2024
  • Amri IFX, kijana wa Kitanzania aliyebadilisha maisha yake kupitia HELA za Mtandaoni, AFUNGUKA jinsi alivyoanza hadi kufanikiwa! #Forex #CreptoCurrency #Money #podcast
    Tazama full interview hapa uweze kujifunza mambo kibao ya kuweza kutengeneza pesa mtandaoni!
    Subscribe, Like, Comment & Share!
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 250

  • @abdulsambi9011
    @abdulsambi9011 Місяць тому +3

    Kufunza watu namna yakufanya biashara ya forest ndio inawalipa(couching)..kitu kikubwa huwa wana elimu na uzoefu wakuweza kuingiza pesa kwa muendelezo ila sio pesa nyingi kama mnavyodhani.. pesa nyingi huwa wanakuja kuzipata kwenye classes za kufundisha watu.

  • @goyamwinuka8842
    @goyamwinuka8842 2 місяці тому +12

    One thing about any money is how you monitoring your money and keep it consistent not to loose but increase it. We call it success

  • @michaelkisalisho8698
    @michaelkisalisho8698 2 місяці тому +6

    Nimependa The Way Anavyojibu Kwa Utulivu Na Anaelezea Vizuri Sana Yaani Mtu Unamuelewa BIG SANA 🙌💪💪

  • @user-qw8rs3fb3n
    @user-qw8rs3fb3n 2 місяці тому +3

    Always you talk smart and truth @amrisaly, big man amri

  • @user-gt4dy7yt9deddiehbwoyhie58
    @user-gt4dy7yt9deddiehbwoyhie58 2 місяці тому +3

    Mpaka niomoke na forex inshallah

  • @keranji95
    @keranji95 Місяць тому +1

    Forex easy kikubwa knowledge patient na discipline una win

  • @Christopheronzugu
    @Christopheronzugu Місяць тому +1

    Very clear responses from a very hardworking guy

  • @anthonylukuwi1968
    @anthonylukuwi1968 2 місяці тому +2

    Appreciate

  • @KingaoMBALI-wk2gg
    @KingaoMBALI-wk2gg 2 місяці тому +1

    Patience

  • @babelonebarber6346
    @babelonebarber6346 2 місяці тому +2

    Clear 🤞🏿

  • @jonathannjau9129
    @jonathannjau9129 2 місяці тому +2

    Tje Goat himself 🔥🔥🔥

  • @Harounmsuyah
    @Harounmsuyah Місяць тому +1

    there is no easy money, invest in skills is key 🔥🔥

  • @holdpesa6317
    @holdpesa6317 2 місяці тому +3

    Good

  • @ZaiKijiweNongwa-yd9zw
    @ZaiKijiweNongwa-yd9zw 2 місяці тому +2

    Jamaa yupo real sana

  • @SAMBACHEFOUNDATION
    @SAMBACHEFOUNDATION 2 місяці тому +5

    Naomba utupatie mawasiliano ya mwamba

  • @taojuma3277
    @taojuma3277 2 місяці тому +7

    Psychology ( emotions), Good prediction of the markert na Good risk taker ( RM) yako kwenye game ndo itafanya forex iwe ngumu au rahisi kwako. It's very tough game kama huna roho nyepesi ❤

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson Місяць тому

      ata uwe kwenye game 20 years bado forex itakua ngumu tu, forex sio skill ya kusomea ni gambling

  • @MizzlekingFX
    @MizzlekingFX 2 місяці тому +2

    Seen

  • @_waijaha
    @_waijaha 2 місяці тому +5

    Realest 🐐@amrisaly

  • @user-ro2vn9cp8c
    @user-ro2vn9cp8c 2 місяці тому +2

    Kaka amrisaly shkuran sana

  • @ChaulaCharles
    @ChaulaCharles 2 місяці тому

    Good😊

  • @user-pf1tb5ic2h
    @user-pf1tb5ic2h Місяць тому

    Kwa mbali sana anafanana na Patrick Kanumba.

  • @JunktuonJulius-cv7oj
    @JunktuonJulius-cv7oj 2 місяці тому +10

    This man he is true trust him nimetok nae chuo kimoja nakumbuka mambo mengi tuliyokuwa tunasaidiana ila AMRISAY yale maisha ya chuo basi tu 😂😂😂INTELLIGENCE FX.

  • @chroniclesbyKB
    @chroniclesbyKB 2 місяці тому +5

    you got to have a do or die mentality to make it out in the forex markets kijana ni muda sasa wa ku badilisha mitazamo yetu ya kiuchumii nakuipa nafasi hali ya utandawazi kutufanyia kazi na kutufungulia milango ya mafanikio God bless TZ traders

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 2 місяці тому +2

    Intelligence FX 💯

  • @lakasid3860
    @lakasid3860 2 місяці тому +5

    Iko poa sana 👏

  • @makeyourowndestiny
    @makeyourowndestiny 2 місяці тому +26

    Hadithi ya Amri IFX ni ushuhuda wa nguvu ya uchumi wa mtandaoni, jambo ambalo sisi ni wenye shauku nalo kwenye Make Your Own Destiny Podcast. Tunajadili kila kitu kuhusu pesa, biashara, na mikakati ya kufanikiwa katika enzi hii ya kidijitali. Kama ulivutiwa na hadithi ya Amri na unatafuta maarifa zaidi kuhusu uhuru wa kifedha, podcast yetu inaweza kukupa mitazamo ya thamani.

    • @user-ln8fy8yj5x
      @user-ln8fy8yj5x 2 місяці тому

      Podcast yako ipo kwenye platform zipi?

    • @daudhabona8897
      @daudhabona8897 2 місяці тому +1

      Bora ni weke mkea powabet. Maana Nina uhakika. Hawa wezi

    • @user-ln8fy8yj5x
      @user-ln8fy8yj5x 2 місяці тому

      @@daudhabona8897 weka mikeka tu mzee hii ligi huiwezi... Hakuna biashara ya Buku buku hapa

    • @makeyourowndestiny
      @makeyourowndestiny 2 місяці тому

      @@user-ln8fy8yj5x UA-cam @makeyourowndestiny

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 2 місяці тому +8

    Intelligence fx ni 💥💥

  • @johnmkondola
    @johnmkondola 2 місяці тому +3

    My mentor

    • @user-to1xl1vi5v
      @user-to1xl1vi5v Місяць тому

      What is her name's I search on his platform

  • @dtv6734
    @dtv6734 Місяць тому

    Kuna kitu chaitwa, Binance 🔥

  • @gabylovestech
    @gabylovestech 2 місяці тому +2

    🎉🎉🎉

  • @InitialMatemu
    @InitialMatemu 2 місяці тому +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @meddy_upette9511
    @meddy_upette9511 2 місяці тому +4

    Huyo ndo Amr bwanaa 🔥

  • @annacyril5832
    @annacyril5832 2 місяці тому +1

    🔥🔥🔥

  • @user-fj7zp7ow9z
    @user-fj7zp7ow9z 2 місяці тому +3

    Tunaomba atupe sehm sahihi ya kupt maalif pia app tunayowez kutumia

  • @WilliamMConnel
    @WilliamMConnel 7 днів тому

    Naam ninahatarisha 1% kwa kila biashara. Nikiwa na akaunti ya $500 ninapata $2,500 kwa mwezi, kimkakati mwongozo wa kitaalamu hulipa sana.

  • @boniphacegervas8118
    @boniphacegervas8118 2 місяці тому +3

    Tc matter of time vijana wengi watajifunza fx

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 2 місяці тому +2

    Half man sijui amazing yani nivituko hiyo kitu wala haikupendezi wala haikufai

  • @FrankSelemani-yb1wh
    @FrankSelemani-yb1wh 3 дні тому

    Forex ukifanya manually utapata hasara kilaa sikuu ndo mana tunafanya automatic kwa kutumiaa robot

  • @ramadhannjila5178
    @ramadhannjila5178 2 місяці тому +8

    brother ameiva, noma sana

  • @kelvinramson2164
    @kelvinramson2164 2 місяці тому +3

    Imekaaa poa sana

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3g 2 місяці тому

    Amrsaly na Ahmed frm Nigeria nawaeleaa Sana hawa vijana 🎉

    • @amanitanzar
      @amanitanzar 2 місяці тому

      mfatilie na kojo forex from naija pia... u wont regret

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market 2 місяці тому +2

    Amr hujawahi zingua

  • @chiefkwanza495
    @chiefkwanza495 2 місяці тому +2

    AMRISALY kaongea vizuri na uhalisia wa forex

  • @jessenelson5647
    @jessenelson5647 2 місяці тому +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @oscarjacobs8874
    @oscarjacobs8874 2 місяці тому +9

    I love the information and analysis you put out here, How do I invest in a profitable crypto market?

    • @danreviews8359
      @danreviews8359 2 місяці тому

      As a beginner, it's essential for you to have a mentor that is verified by finra and SEC to keep you accountable. I'm guided by a widely known crypto consultant.

    • @danreviews8359
      @danreviews8359 2 місяці тому

      She is Miss.Vozili Liam

    • @JosephMartinez-vn3cl
      @JosephMartinez-vn3cl 2 місяці тому

      WOW!!! You know her too? I'm also a proud beneficiary of her platform.

    • @kimberlycrawford2263
      @kimberlycrawford2263 2 місяці тому

      this is serious, never knew miss vozili is now this well known thought i was the only one enjoying this amazing talent.

    • @franksmichaels609
      @franksmichaels609 2 місяці тому

      The fact that I got to learn and earn from her program is everything to me think about it, it's a win-win for both ways.

  • @alamanomsungu9556
    @alamanomsungu9556 2 місяці тому +11

    Podcast nzuri Lakin I wish Tupate Host anaejua Forex Hata Kidogo Tyu

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui 2 місяці тому

      sure kabisa, kama host wa south Africa wanajua kabisa wanachouliza

    • @alamanomsungu9556
      @alamanomsungu9556 2 місяці тому +3

      @@IMANWILLIAM-bl2ui yeah ni professional trader kuhojiwa na Mtu hajui Hata candlestick ni nn Kidogo Sio sawa

    • @johnrevocatus9955
      @johnrevocatus9955 2 місяці тому

      🤣🤣🤣🤣​@@alamanomsungu9556

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 2 місяці тому

      wanaojua forex ni hedge funds anaything apart from that ni gambling na haina uhusiano na forex

    • @Gninetix
      @Gninetix 2 місяці тому

      Me naijua vizuri tuh tena kiundani 🙂🫶🏽

  • @Kevoxsolver
    @Kevoxsolver 2 місяці тому +25

    Mtu anaye jua forex vizuri naomba anifundishe please niondokane na huu UMASKINI even if itachukuwa miaka 3 but cha msingi nisome kwanza coz Consistency is the key 🙏🏿

  • @thronemoneyfx9730
    @thronemoneyfx9730 2 місяці тому

    Trading ni nzuri ila ujitoe❤

  • @user-ln8dh3oi1n
    @user-ln8dh3oi1n 2 місяці тому

    hi

  • @forexkenya1
    @forexkenya1 2 місяці тому +2

    Ana jiita aje kwa social media

  • @douglaskahwa3990
    @douglaskahwa3990 2 місяці тому +1

    Amrisaly umeongea vyema. Maarifa ndo msingi mkubwa wa kufanikiwa katika biashara hii.

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu4614 2 місяці тому +3

    Forex siy biashara rahisi kam gisi watu wanavyozani ,inawez ikachukuw hata myaka 2 had 5 ili uw successful forex trader

    • @michaelkisalisho8698
      @michaelkisalisho8698 2 місяці тому

      Exactly Ndio Maana Jamaa Kaelezea Vizuri Sana Na Kausema Kwamba Hata Yeye Huwa Hamshiwishi Mtu Ku-join Ila Ukiwa Tayari Basi Sharti Uwe Tayari Kujifunza Yaani Jipe Muda 💯📌📌

  • @user-ix3ep9fb7d
    @user-ix3ep9fb7d 2 місяці тому +2

    👊🏾👊🏾👽

  • @DBIRobotics
    @DBIRobotics 2 місяці тому +12

    Kama hauna kazi husi-trade forex,tafuka kazi huku ukijifunza forex,ukishakuwa masta acha kazi kafanye forex

  • @MEDSONRFX
    @MEDSONRFX 2 місяці тому

    FOREX biashara nzur sana

  • @SmartMoneyForexUniversity
    @SmartMoneyForexUniversity Місяць тому

    Oiiiiiiiiii

  • @IsmaelHussein-ek8bh
    @IsmaelHussein-ek8bh Місяць тому +1

    It's not about get rich quick

  • @user-rk3iz5ci5z
    @user-rk3iz5ci5z 2 місяці тому

    Nikitaka kukutana na amri niongee nae what should I actually do

  • @Maprofx
    @Maprofx 2 місяці тому

    Intelligence fx nina miezi7 nawafatilia mko vzuri na Mungu aendelee kuwaongoza pengine mkawa kioo cha nchi hii tano bora kwa hapa bongo mmo kwa hapa ndani namaanisha📈📉

  • @prosper4037
    @prosper4037 26 днів тому

    Bist of forex

  • @MUDYMUSSA-pr2gr
    @MUDYMUSSA-pr2gr 16 днів тому

    Mbona CreptoCurrency😂😂

  • @MJ-eo9tb
    @MJ-eo9tb 2 місяці тому +1

    Wanapa pesa kwa kufundisha na sio kutrade 😂

  • @user-fj7zp7ow9z
    @user-fj7zp7ow9z 2 місяці тому +2

    Tunaomb tujue makampun na appy tunayowez kutumia pia sehm sahh ya kupt maalif

  • @juliusmarwa4840
    @juliusmarwa4840 17 днів тому

    Tickmil hazingui

  • @ErickMkumbwa
    @ErickMkumbwa Місяць тому

    Madarasa ya online yapo mzee

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 місяці тому +11

    Fx ngumu jamani bila kufungua jicho la 3 utoboi lazima utenge muda na miaka 5 zaidi kulifungua

    • @morisstambuli90
      @morisstambuli90 2 місяці тому +4

      Hapan 6 months is enough

    • @officialgreenpipsfx
      @officialgreenpipsfx 2 місяці тому

      Check our channel for free forex training

    • @JamesMussa-od8hm
      @JamesMussa-od8hm 2 місяці тому +5

      Sio kweli unaweza tumia miaka mitano na usitoboe na unaweza kutumia miezi mitatu na ukawa professional Trader

    • @user-ml3zl1wi3w
      @user-ml3zl1wi3w 2 місяці тому +3

      Mwaka mmoja unatosha kua guru kwenye forex

    • @daviddonatus8121
      @daviddonatus8121 2 місяці тому

      😂😂😂 we jamaa upo serious kwel​@@user-ml3zl1wi3w

  • @hustlersworld93
    @hustlersworld93 2 місяці тому +3

    Tunaomba utuletee liqudator kaka atupe story

    • @amanitanzar
      @amanitanzar 2 місяці тому

      utamtoa wapi yule jamaa amna anaejua sura yake!!😂😂😂... kwanza sidhan kama now yupo TZ.. anakula sana bata yule

  • @Profshab_Company
    @Profshab_Company 2 місяці тому +1

    watu wa forex jifunzeni binary Option trading, Tembeleeni channel ya Tanzanian Trader

  • @patrickandrew6822
    @patrickandrew6822 2 місяці тому

    Mimi na hitaji broker

  • @bullsandbearstz
    @bullsandbearstz 2 місяці тому +1

    Amrisal kaamua kuwaambia tu ukwelii no short cut

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 2 місяці тому +4

    Tangu march 2023 najifunza fx na sijaanza Kupata profit Bado nachoma akaunt

    • @fan_art_
      @fan_art_ 2 місяці тому +1

      Tupo pamoja 😅

    • @ephraimndelwa4073
      @ephraimndelwa4073 2 місяці тому

      @@fan_art_ 😄fx ngumu asikwambie mtu! Sijakata tamaa..🙏

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo 2 місяці тому

      ​@@fan_art_Soma Sana, ingia UA-cam mtafute the inner circle trader ICT utanishukuru...Alafu achana na live account, nunua evaluation challenge kwenye prop firm.

    • @beliasjacob6024
      @beliasjacob6024 2 місяці тому

      Usikate tamaa.mm mwaka4 ndio mavuno nayaona

    • @jifunzeforextrading
      @jifunzeforextrading 2 місяці тому

      ukijifunza forex unatumia demo account chief ukishajua ndo unatumia real account

  • @iddyvedastus8457
    @iddyvedastus8457 2 місяці тому +8

    We jifunze forex hata miaka laki 8 lakini kama hujaizoea pesa, narudia tena kama HUJAIZOEA PESA huwezi ku trade forex NEVAAAAAAAA

  • @emmanuellwinga5686
    @emmanuellwinga5686 2 місяці тому +2

    Kwenye swala la kwanini kufundisha kwa pesa watu wabaki na msemo kwamba "there is no such thinh as something for nothing" bas

  • @amosmutunga7555
    @amosmutunga7555 Місяць тому +1

    Can i do forex without brokers.

  • @ezekiaamos
    @ezekiaamos 2 місяці тому +3

    Podcast ilikuwa kali sana ila adds nyingi sana try to manage brother zisiwe nyingi sana

    • @MizzlekingFX
      @MizzlekingFX 2 місяці тому +1

      Adds ndo zinafanya alipwe,haez kataa

  • @michaelkisalisho8698
    @michaelkisalisho8698 2 місяці тому

    Ni Kweli Kabisaa Vitu Avyosema Hasa Hapo Kwenye Kujifunza Vijana Wengine Huwa Hawataki Kujifunza Wanataka Tu Pesa Za Chap Chap Ndio Wanapigwa 😂

  • @makilimsimu2451
    @makilimsimu2451 2 місяці тому

    Kila kitu ni uvumilivu

  • @lecuprannivveeverything9925
    @lecuprannivveeverything9925 2 місяці тому

    podcast kali but weka hat background music kwa mbali...

  • @g_forcemusician4242
    @g_forcemusician4242 2 місяці тому

    Izi vitu watu wanalia wanakuwa masiki hakunaga hela rahisi

  • @samuelseverua3715
    @samuelseverua3715 2 місяці тому

    Mbona concept rahisi sana ila Bro kaielezea kigumu……?!

  • @user-ti1yp8ib7e
    @user-ti1yp8ib7e 2 місяці тому +1

    Forex forever

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 2 місяці тому +3

    Forex ngoma ingine hii baba

  • @paulconrad7091
    @paulconrad7091 2 місяці тому

    Nili tapeliwa 100000...sto sahau

  • @hakeemiddy8890
    @hakeemiddy8890 2 місяці тому

    IM COMING FOR MY SEAT AT THE TOP

  • @syntaxsaintezzer5547
    @syntaxsaintezzer5547 2 місяці тому

    Nashangaaa watu wanasema FOREX ngumu ila wana sahau cryptocurrencies kam BITCOIN ambayo moja ni 130M tzs na ethereum 1 ni $2,667 usd yeni kule ndo sio pw market ni high volatile yeni risk balaaaa !

    • @amanitanzar
      @amanitanzar 2 місяці тому

      bitcoin ipo kwenye sector ya forex pia ujue

    • @yutech2091
      @yutech2091 2 місяці тому

      Naomba msaada, km umepata faida, m nmepoteza san ela

  • @crackerkkaka2034
    @crackerkkaka2034 2 місяці тому +3

    mwamba anauliza maswali ambayo sio sahihi hata kidogo, kunauhitaji wa kua na host wa podcast anaejua forex au trading

    • @daviddonatus8121
      @daviddonatus8121 2 місяці тому

      Sema mtangazaji kauliza maswali marahisi kabisa ila hakuingia na kuhoji kiundanin

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 2 місяці тому

      huezi mpata huyo mtu, forex inafanywa na hedge funds anything outside that ni utapeli

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 Місяць тому

    😢ndo ututajie na miaka

  • @jamesodatt9014
    @jamesodatt9014 2 місяці тому +2

    What broker do u ,use bro am having difficulties with most brokers who link themselves with Tanzania, am just a currency, indicies day trader

    • @ashrafnadhir4698
      @ashrafnadhir4698 2 місяці тому

      Exness

    • @officialgreenpipsfx
      @officialgreenpipsfx 2 місяці тому

      Check our channel for free forex training

    • @isackrichard6356
      @isackrichard6356 2 місяці тому

      Pepperstone

    • @jamesodatt9014
      @jamesodatt9014 2 місяці тому

      ​how long have tou use this broker , and what experiance do you have upon good and uggly

    • @gibbs1320
      @gibbs1320 2 місяці тому

      Dont use Exness. Atleast Tickmill or Pepperstone.

  • @meshacklekie4002
    @meshacklekie4002 2 місяці тому

    Huyo tapeli shauri yenu alipita na dollar 100 zangu

    • @Maprofx
      @Maprofx 2 місяці тому

      Acha uongo wewe tutakuaminije Tako kabsa wewe acha kupotosha vijana km hujui au huelewi kalale

    • @fxmeddy9567
      @fxmeddy9567 2 місяці тому

      Amini anachokisema real traders never promote forex. They make money in silence

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 2 місяці тому +2

    Kama una taka jifunza Forex nitafute ila uwe tayari kujifunza kwa muda hakuna short cut.
    UWE NA LAPTOP NA MTAJI KAMA LAKI 3.

    • @alamanomsungu9556
      @alamanomsungu9556 2 місяці тому +2

      Acha utapeli

    • @patrickemanuel3105
      @patrickemanuel3105 2 місяці тому

      ​@@alamanomsungu9556😂😂😂😂

    • @CHIKAKA01
      @CHIKAKA01 2 місяці тому +1

      Laki tatu kaka 😂😂😂

    • @jifunzeforextrading
      @jifunzeforextrading 2 місяці тому +1

      Dooh! ndo scammers wenyewe nyie mtu hajui alaf aje na mtaji tena? Fundisha mtu kwanza ajue ajipe miez mitatu then ndo aguswe kutafta mtaji atrade

    • @simutengene4730
      @simutengene4730 2 місяці тому +1

      😂😂😂ata mtu hajajua forex ni nini tayar aje na mtaji😂😂😂

  • @IceChampakaWolf888
    @IceChampakaWolf888 2 місяці тому

    Forex is legit you people.

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 2 місяці тому

      Ukiona kitu chochote unaambiwa uje ufundishwe means wanachofanya hakilipi ila kufundisha Ndo kuna lipa. Wamshapigwa watu kibao

  • @jeremiahmasanja8185
    @jeremiahmasanja8185 2 місяці тому +2

    Kununua coz ako inagharimu shingapi brow na naipatake online

  • @user-ln8dh3oi1n
    @user-ln8dh3oi1n 2 місяці тому

    hawa majamaa ni matapeli wakubwa,ushawahi ona wap mtu anayepiga hela hela anajitatanganza? kama anapata hela si akae kimya apige yeye na familia yake?? hawa ni matapeli mtapigiwa sana wabongo

    • @troffie
      @troffie Місяць тому

      acha ujinga kama hujui kile waongelea sema ...wivu utakusumbua ...forex inalipa wewe mdio huna elimu tafta simu

    • @christophermwambona32
      @christophermwambona32 Місяць тому

      😄akili mgando mnasumbua sana....kwan matajir huwaon wanvyopiga kelel mitaan kwenye jiji hili na magari na majumba yao ya kifahari?? Au kwa sabu hawajshka vpaza sauti mnawaona tu, na au sabu hamuwajui???!!!!! Mo, bakhresa, watt zao, na mabilionea wengne huwaon na biashara zao zinavopga kelele???
      Funguka bro acha kuukumbatia ufukara ukadhan umeumbiwa nao. Wenzako washapata hela na familia zao maisha yamebdlka, wanaambieni fursa za kuchkua, we unaendlea kuuona utapeli. 🚮 🚮🚮

    • @JohnsonJasper-mv7kh
      @JohnsonJasper-mv7kh 29 днів тому

      😂​@@troffie

  • @MiaTheLathini
    @MiaTheLathini 2 місяці тому +2

    Ni CRYptocurrency sio CREPtocurrency

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market 2 місяці тому +2

    Maswali anayo uliza dah 😢

  • @paulonyenza3841
    @paulonyenza3841 2 місяці тому +1

    Good

  • @361NEWS
    @361NEWS Місяць тому

    🎉🎉🎉🎉

  • @ErickMkumbwa
    @ErickMkumbwa Місяць тому

    Madarasa ya online yapo mzee

  • @user-fj7zp7ow9z
    @user-fj7zp7ow9z 2 місяці тому +3

    Tunaomba atupe sehm sahihi ya kupt maalif pia app tunayowez kutumia