1983 na 84 nilikuwa nikisikia wimbo huu nilikuwa nalia sana sana. NI wakati nasoma primary, wakati huo naishi kwa bibi yangu na wazazi wangu walikuwa wametengana. Nikapoka barua kutoka wa mama. Mungu ampumzishe baba yangu. Bado nasikiliza 2024
Hapo Kuna pacha mbili, Abel, Mulenga na Gama (gitaaa),Cosmas, Hamis Juma na Gurumo(waimbaji)aliyefunga kazi na midomo ya Bata ni King Enock, hayo yote yamo kwenye maisha tuliyonayo Leo na vijana wa Sasa mgogoro wa wazazi anaamua kulalia upande mmoja, Cosmas katoa funzo Sana kwenye wimbo huo, ndio nyimbo za kwanza kabisa baada ya bendi kuanzishwa, (1)Barua-Cosmas(2)Celina-Mulenga(3)Kassimu-Gurumo, Nchi ilisimama kwa muda baada ya nyimbo hizi kutoka redioni kwa Mara ya kwanza, hongereni Sana Mlimani hasa hasa Abel Barthazal
Kwa kweli hii nyimbo inanikumbusha mbali sana kuna siku nimetoka Shule hela sikuwa nayo nimeshinda na njaa toka asubuhi mpaka natoka Shule mchana .nikapita nyumba moja hivi nikaona mama na mwanae wamekaa wanakula nikaenda nikaomba wanisaidie chakula wakanikaribisha nikakaa na kuanza kula.mda huo kulikuwa na Redio ya mkulima ukawa unaimba HUU wimbo. Daah kila nikiusikia nakumbuka hiyo siku aisee
Kisa Cha kweli kabisa Mwenyezi mungu awapumzishe wazazi wangu mbele za haki Mama yangu amenilea kwa shida sna Sina baba simjui hata kwa sura kwa roho inaniuma R.I.P wazazi wote waliotanguria mbele za haki
Niligombana na mke wangu mtoto wangu wa kwanza alilia sana huku akisema,"dad plz don't ditch my mom i beg ye",ikabidi nimsikilize na mpaka leo tupo pamoja.
Miaka ya 78 baba akiwa masomoni Mzumbe, ss watoto na mama tunaenda shambani njaa inauma kishenzi lkn baba akirudi likizo ilikuwa faraja sana kwa kila mtoto, pia santuri mpya za muziki tunacheza tunakesha! It was real goldsh family! Hongera sana mama yangu! R.I.P. my dady
Wimbo huu sitoweza kuusahau katika maisha yangu, kwani mwaka 1986 nikiwa chuo cha elimu ya ualimu ilinibidi nifanye uamuzi mgumu ili kuwapatanisha wazazi wangu ambao walitengana. Daah! Chidumule Cosmas nitaendelea kukumbuka kwa kuwa mkweli katika maisha halisi.
My parents separated 27 years now,, my mom struggle alone all those years and she only have me,, the only son,,, My love to her is unmeasurable this song make me cry 😭
I miss my baba😍😍😘😘R.I.P my lovely father.Ndo vilikuwa vitu vyake hivi hadi nasi wanawe vimetuingia kwenye damu,Sasa mwezi wa 7 huu sinae duniani,.Nikisikiliza hivi kama namuona vile 😭😭😭dah sina la kusema yani
I Heard This Song When I Was In High School At Alliance High School In Kenya. We Used To Sing It Without Paying Much Attention To It. Now I Do. A Master Piece For All Ages!! Congratulations DDC Mlimani Park.
2022 listening to this song and I feel like crying....may the lord continue to keep my parents with good health and long life nawapenda sana...this song makes me visit my aged parents more often....
I watched mzee Chidumule narrating how he came with this song.This is a true story that was happening in his family.His father and mother were separated and thus the song.He is an inteligent old man.Kongole kwa utunzi huo.
N iutunzi wa cosmas chidumule.akiimba pamoja na hamisi juma maalim kinyasi.na muhidini gurumo.solo Abel Baltazar.ibass joseph mulenga.ridhim Abdala gama.tumba Haruna Lwali.drums Habib Abassj eff.saxfone juma town.Joseph Bernard.King michaelEnock Teacher.Trumpet Ibrahim mwinchande Bonifas Kachale.mafundi mitambo.chuma na kitwana....Sikinde ilitisha.....
Linus Leon namna ulivyo wataja musicians hao unaninikumbusha namna Julius nyaisanga (RTD)na Fred obachi machoka (VOK) walivyokua wakiwataja kwa mbwembwe!
Umepatia hasa huyo ni Cosmas Thobias Chidumule akiwana Hassan Rehan Bitchuka na Gurumo enzi zao za Sikinde ngoma ya ukae 1979 nikiwa darasa LA Vi, walitisha mno mno.
A true story refering to Chidumules' parents.They had familiy issue of which later they divorced.This song is as a consequence of this situation.Chidumules mother wrote to his son LETTERS (referred to this song)b regarding the hardships she was experiencing in her marriage.Fantastic,touching, song
Pia marehemu MDJ Eddie Fondo,the best radio dj in the late 70s and 80s,complete with their dates and places of birth.Those were them days.I wonder whether any of our so called musician today will ever reach such levels.
loooh...!! jamani kipande hiki namaliza kdt cha 6 Mzumbe High School Morogoro. ...lkn nikaendelea kuupenda mpaka nikiwa " kuruta Mafinga National Service 1979.
Kama mama yangu angekua hai, I swear baada ya kusikiliza wimbo huu, kesho ningepanda basi niende popote alipo nikamsalimie na kumuambia nampenda kwa kiwango gani!Rest in power my mom Christina Mballa Mwakatah!
Ninaposikia nyimbo kama hizi natamani kutembelea ndugu zetu kule Tanzania, the home of many great musicians kama Mbaraka Mwinshehe, Remmy Ongala, DDC Milimani Park, Ramadhan Rajab na wengine wengi. Tz you're a blessed nation
kwakweli tungo za mashiri ya mziki huu imetulia, inagusa huwa ninapo usikiliza wimbo huu huwa namkumbuka sana mamaangu, kwakweli mziki wa zamani bado ungali unaishi.....
Ni wimbo wa miaka mingi sana rakin unaishi mwaka2006 juzi tu apa niradhimika kusikiliza wimbo wa mwyaka ya 80 nikiwa bukoba mama akiwa wilaya ya manyoni Kijiji Cha makale, hakika watunzi mulikuwepo hatuko nanyi nyimbo zenu zinaishi duniani tunapita nyie mbele sisi nyuma yenu
Barua zangu wakati niko shule nimezitunza hadi leo haswa zile zilizokuwa unakunja karatasi hiyohiyo upande mwingine ni bahasha, huu wimbo huwa unanitoa machozi kwani mama na baba walitengana nikiwa na miaka 3, na mama akapambana hadi nikamaliza chuo.Mwezi mmoja toka nimalize chuo kbla hata kazi sijapata mama yangu akatangulia mbele za haki, Mwenyezi Mungu aiweke roho ya mama yangu pahala pema peponi, Amina.
Kisa cha kweli wazazi wa chidumule walitengana wakati huo wakiw Tanga,chidumule alilazimika kurudi songea pamoja na mama yake,then alijiunga na Butiama jazz ,Urafiki jazz,Dar international then akaenda kuanzisha Mlimani park na ndio akatunga wimbo huo
2020.. niliishi na kulelewa na mama wa kambo na alikuwa muungwana sana kwangu lkn bado nilikuwa nikisikiliza kibao hiki nilimkumbuka mama mzazi ambaye kimsingi alishaachika na baba..!!
Hizi nyimbo za kale kwa kweli hazina mfano ni nzuri sana na zinafikisha ujumbe kwa jamii,mimi binafsi kwa ujumla ni shabiki kindakindaki wa nyimbo hizi nawapongezeni sana kutupatia uhondo huu asanteni sana
Heard this song recently on Rogaroga radio citizen when Obachi Machoka was hosting Chidimule the composer of the song. Very inspiring music! The songs had a message and lesson to be learnt. Gone are those days.
Thank Machokaa for hosting Chidimule. song that bring back the days of VOK, natuma salamu nikiwa kakamega show.Ujumbe dawa ya ndeni ni kulipa.Goods days No HIV,No CORD NO JAP.
Ipyana Mwakanosya Rogaroga ni kipindi kwenye Radio Citizen ya Kenya.Na Fred Obachi Machokaa ndie anaekiendesha hicho kipindi.Husikika siku ya Jumamosi na Jumapili,kianzia saa Nne asubuhi hadi saa Saba mchana.Na sasa pia kiko kwenye runinga ya Citizen.Hata mie nlipata fursa ya kusikia hayo mahojiano kati yake Fred naye Chidumule,pia nkawahi kurekodi sehemu tu ya hayo mahojiano.Natumai nmekujibu vyema ndugu.
Thanks for listening to RogaRoga on Radio Citizen FM-Kenya. Hope you enjoyed listening. It was indeed a privilege and pleasure to host the legend of Rhumba.
Nilikuepo kwenye tamasha la kutimiza miaka 40 ya mlimani park pale viwanja vya bandari wiki iliyopita lkn badala ya kufurahi nilitoka pale nikiwa na huzuni kubwa baada ya kumuona mpiga rythim ya wimbo huu ABDALAH GAMA akiwa hoi bin taaban,ni mlevi kupindukia hawez tena kufanya chochote,,,kwakweli iliniuma sana nikimuangalia
Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Kutengana kwenu kunanipa wasiwasi manenu Sina kaka sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo Ningali mdogo ninahitaji msaada wenu wazazi wangu Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Kutengana kwenu kunanipa wasiwasi manenu Sina kaka sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo Ningali mdogo ninahitaji msaada wenu wazazi wangu Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Sina kaka sina dada Kwa hiyo naomba Muishi kama vile mwanzo
Daaaaaah yani natamani ningekuwa na helaa nyingi awa wazee wotee walikuwa wanaimba izi nyimbo niwaweke kwenye maisha mazuri ngoja nipigane kwa nguvu zote daaaah
Mama salamu zako nimezipata, ninashukuru kwa kunikumbuka. Taabu na mateso unayoyapata yananiumiza roho......Mambo haya yapo sana katika jamii yetu, hongera sana Mlimani Park.
The moment I listen to this sad song I always go visiting my mother the following day bearing in mind that she lives alone with home assistants and my father died many years ago and we her children left to start our own homes far apart
Wazungu wengine wanasema miziki ya waafrika vurugu kelele tu,,ngoma ngoma na kuruka...lakini hapo JEE meseji ya maana mziki umetulia classic namiss hiome mama yangu
simon joseph nyangusi wazungu wanataka waonekane kiichopo afrika ni upumbavu, ila sisi tunayaju mambo yetu yalivyo azuri kama haya ya wazee wetu,hivyo tuwaenzi.
na hata mtu akiisifu sikinde kwa nyimbo hizi anamaanisha sikinde ya enzi hizooo sio ya sasa.Asikilize safu ya wanasikinde ktk tufurahi na wanasikinde.Asifkirie hii ya sasa.Ilikuwa nadra kuiskia sauti ya muhidin ngurumo bila rehani bitchuka.
4 th 1st tym I heard dis song ma heart became happy 4 a moment an then tears followed I dont know why dis happened. God bless th artists who sang dis song
Dah hii Nyimbo inanikumbusha zamani sana nilipokuwa darasa la nne kule Kijijini kwetu tulipokuwa naenda shamba kulinda zao la mpunga na Mahindi yasiliwe na tumbiri
ndugu yangu Abdallah nimekuwa naitafuta ile nyimbo ya DDC inyoanza na kusema ''niliusiwa na babu na babu, ukimya busara ndio heshima, maisha bora popote duniani, sio chuki choyo au fitina, '' tafadhali sikumbuki inaitwaje ila utenzi wake unaanza hivyo, tafadhali
“MAISHA YA ZAMANI🪘 Ukienda Kwa Mjomba Unakaa Muda Mrefu Huwezi Kusikia Hata Kelele za Kuchokwa..😭 Mnakaa Kwenye Mbalamwezi Mnapiga Story..🎑 Siku Hizi Muda Wote Watu Wanafuatilia Watu Amabao Hata Hawajawai Kuwaona Kuliko Ndugu😥 HAYA MAISHA YA PESA HAYANA FURAHA KABISA😭
Binasfi huwa nazikubali mno hz nyimbo nakumbuka miaka ya 90- nikiwa kijana nlikua Namibia baba dude prufuu yake nakanayo chumbani kipindi hicho rdo Tanzania wanapiga nyimbo hz....
An Iconic number.... shows a band which was not only creative but that which also had its fingers on the pulse of technological changes in both instruments and sound.....The lyrics are something to die for...so is the delivery..... these were always strong points in popular Tanzanian dance music and the trend has continued to date with the younger generation!!!! KUDOS MINGI!!!
Nyimbo hii imenikumbusha enzi za makuzi yangu wakati huo RTD tupo shule ya msingi nk nimekumbuka mengi sana na watu kibao wengine wapo hai wengi Marehemu RIP.
I used to listen to this song,Was in highschool and my father had just married another wife,We Went through Alot,I still listen to it,Am old now and staying with my Mum, My dad is still marrying
Hii nyimbo imeniliza nimewakumbuka kakazangu nadadaangu pia babaangu kipindi hicho tunasikiliza.kwenye.redio yetu.mkulima.huu.wimbo.kwasasa wote. wamefariki.dah.inauma sana
1983 na 84 nilikuwa nikisikia wimbo huu nilikuwa nalia sana sana. NI wakati nasoma primary, wakati huo naishi kwa bibi yangu na wazazi wangu walikuwa wametengana. Nikapoka barua kutoka wa mama. Mungu ampumzishe baba yangu. Bado nasikiliza 2024
Hapo Kuna pacha mbili, Abel, Mulenga na Gama (gitaaa),Cosmas, Hamis Juma na Gurumo(waimbaji)aliyefunga kazi na midomo ya Bata ni King Enock, hayo yote yamo kwenye maisha tuliyonayo Leo na vijana wa Sasa mgogoro wa wazazi anaamua kulalia upande mmoja, Cosmas katoa funzo Sana kwenye wimbo huo, ndio nyimbo za kwanza kabisa baada ya bendi kuanzishwa, (1)Barua-Cosmas(2)Celina-Mulenga(3)Kassimu-Gurumo, Nchi ilisimama kwa muda baada ya nyimbo hizi kutoka redioni kwa Mara ya kwanza, hongereni Sana Mlimani hasa hasa Abel Barthazal
Kwa kweli hii nyimbo inanikumbusha mbali sana kuna siku nimetoka Shule hela sikuwa nayo nimeshinda na njaa toka asubuhi mpaka natoka Shule mchana .nikapita nyumba moja hivi nikaona mama na mwanae wamekaa wanakula nikaenda nikaomba wanisaidie chakula wakanikaribisha nikakaa na kuanza kula.mda huo kulikuwa na Redio ya mkulima ukawa unaimba HUU wimbo. Daah kila nikiusikia nakumbuka hiyo siku aisee
Pole
Kisa Cha kweli kabisa Mwenyezi mungu awapumzishe wazazi wangu mbele za haki Mama yangu amenilea kwa shida sna Sina baba simjui hata kwa sura kwa roho inaniuma R.I.P wazazi wote waliotanguria mbele za haki
Pole sana Ndugu yangu, endelea kuwapmbea Wazazi maana wote tutaenda huko.
Pole My Dear ALLAH aupoze moyo wako n zid kuwaombea Dua
Hakika hii nyimbo inasisimua mpka machozi yanatoka yenyew bila kujua duh ama kweli ya kale dhahabu gonga like 2020
Niligombana na mke wangu mtoto wangu wa kwanza alilia sana huku akisema,"dad plz don't ditch my mom i beg ye",ikabidi nimsikilize na mpaka leo tupo pamoja.
YAANI WE ACHA TU
Mungu awatangulie ktk maisha yenu ya ndoa
Miaka ya 78 baba akiwa masomoni Mzumbe, ss watoto na mama tunaenda shambani njaa inauma kishenzi lkn baba akirudi likizo ilikuwa faraja sana kwa kila mtoto, pia santuri mpya za muziki tunacheza tunakesha! It was real goldsh family! Hongera sana mama yangu! R.I.P. my dady
Inanikumbusha wakati nilipokua nikisoma Chuo ki Kikuu Dar es Salaam 1978/80. Mimi msudani na pia muamerikani. Ninapenda wa Tanzania na nchi yenu sana.
Welcome back Tanzania
Wimbo huu sitoweza kuusahau katika maisha yangu, kwani mwaka 1986 nikiwa chuo cha elimu ya ualimu ilinibidi nifanye uamuzi mgumu ili kuwapatanisha wazazi wangu ambao walitengana. Daah! Chidumule Cosmas nitaendelea kukumbuka kwa kuwa mkweli katika maisha halisi.
My parents separated 27 years now,, my mom struggle alone all those years and she only have me,, the only son,,, My love to her is unmeasurable this song make me cry 😭
Just a part of life bro.
Ploe sana hayo ni mapito
Muda mwingine tunaweza kuwalaumu wazazi wa kiume lakini hatujui mama na baba walitengana kwa nn huwenda kuna Jambo gumu kuvumilika
@@husseinhumbi6373 kweli kiikubwa kuwapenda wote
Pole sana nadhani mengi Leo unashuhudia ndg yangu wangekuwa pamoja pengine wangukuwa hawapo kwani ugonvi huleta maafa
I miss my baba😍😍😘😘R.I.P my lovely father.Ndo vilikuwa vitu vyake hivi hadi nasi wanawe vimetuingia kwenye damu,Sasa mwezi wa 7 huu sinae duniani,.Nikisikiliza hivi kama namuona vile 😭😭😭dah sina la kusema yani
I Heard This Song When I Was In High School At Alliance High School In Kenya. We Used To Sing It Without Paying Much Attention To It. Now I Do. A Master Piece For All Ages!! Congratulations DDC Mlimani Park.
2022 listening to this song and I feel like crying....may the lord continue to keep my parents with good health and long life nawapenda sana...this song makes me visit my aged parents more often....
This was very relevant composition by Chidumule.
same here
Me too bro😪
I watched mzee Chidumule narrating how he came with this song.This is a true story that was happening in his family.His father and mother were separated and thus the song.He is an inteligent old man.Kongole kwa utunzi huo.
N iutunzi wa cosmas chidumule.akiimba pamoja na hamisi juma maalim kinyasi.na muhidini gurumo.solo Abel Baltazar.ibass joseph mulenga.ridhim Abdala gama.tumba Haruna Lwali.drums Habib Abassj eff.saxfone juma town.Joseph Bernard.King michaelEnock Teacher.Trumpet Ibrahim mwinchande Bonifas Kachale.mafundi mitambo.chuma na kitwana....Sikinde ilitisha.....
Linus Leon namna ulivyo wataja musicians hao unaninikumbusha namna Julius nyaisanga (RTD)na Fred obachi machoka (VOK) walivyokua wakiwataja kwa mbwembwe!
Umepatia hasa huyo ni Cosmas Thobias Chidumule akiwana Hassan Rehan Bitchuka na Gurumo enzi zao za Sikinde ngoma ya ukae 1979 nikiwa darasa LA Vi, walitisha mno mno.
A true story refering to Chidumules' parents.They had familiy issue of which later they divorced.This song is as a consequence of this situation.Chidumules mother wrote to his son LETTERS (referred to this song)b regarding the hardships she was experiencing in her marriage.Fantastic,touching, song
Pia marehemu MDJ Eddie Fondo,the best radio dj in the late 70s and 80s,complete with their dates and places of birth.Those were them days.I wonder whether any of our so called musician today will ever reach such levels.
Burudani kwelikweli
Huu wimbo unanikumbusha Mbali sana NI Wimbo Wenye Mafunzo Ndani Yake ALLAH Awarehemu Wzz Wangu n Wote Waliotangulia Mbele y Haki
loooh...!! jamani kipande hiki namaliza kdt cha 6 Mzumbe High School Morogoro. ...lkn nikaendelea kuupenda mpaka nikiwa " kuruta Mafinga National Service 1979.
Kama mama yangu angekua hai, I swear baada ya kusikiliza wimbo huu, kesho ningepanda basi niende popote alipo nikamsalimie na kumuambia nampenda kwa kiwango gani!Rest in power my mom Christina Mballa Mwakatah!
Ninaposikia nyimbo kama hizi natamani kutembelea ndugu zetu kule Tanzania, the home of many great musicians kama Mbaraka Mwinshehe, Remmy Ongala, DDC Milimani Park, Ramadhan Rajab na wengine wengi. Tz you're a blessed nation
WAKATI HUWO MAMBO YANGU YALIKUWA KWENYE MSTARI YAANI NIKISIKZA HADI MACHOZI YANANITOKA
Abiud Oluoch
Huu ndo muziki
Karibu sana, nyumbani kutamu
Ujumbe wa wimbo huu unaonyesha vile watoto wanavyoteseka wazazi wao wakiachana.
Nimekumbuka 1976 baba yangu alipofariki RIP my daddy pia nakumbuka 1993 alipofariki mama yangu RIP my mummy!!
Juma Omary Mm jana tu nimepata msg kutoka kwa mama huu wimbo umeniliza
Pole
kwakweli tungo za mashiri ya mziki huu imetulia, inagusa huwa ninapo usikiliza wimbo huu huwa namkumbuka sana mamaangu, kwakweli mziki wa zamani bado ungali unaishi.....
Unanifanya kesho niende home nikamuone mama kijijini.
Haswaaa
Ni wimbo wa miaka mingi sana rakin unaishi mwaka2006 juzi tu apa niradhimika kusikiliza wimbo wa mwyaka ya 80 nikiwa bukoba mama akiwa wilaya ya manyoni Kijiji Cha makale, hakika watunzi mulikuwepo hatuko nanyi nyimbo zenu zinaishi duniani tunapita nyie mbele sisi nyuma yenu
Barua zangu wakati niko shule nimezitunza hadi leo haswa zile zilizokuwa unakunja karatasi hiyohiyo upande mwingine ni bahasha, huu wimbo huwa unanitoa machozi kwani mama na baba walitengana nikiwa na miaka 3, na mama akapambana hadi nikamaliza chuo.Mwezi mmoja toka nimalize chuo kbla hata kazi sijapata mama yangu akatangulia mbele za haki, Mwenyezi Mungu aiweke roho ya mama yangu pahala pema peponi, Amina.
Miziki hii ilikuwa inaadabisha,elimisha na kuburudisha pia
loh, pole sana
Kakuru Chiganga pole sana mipango ya mungu
Kakuru Chiganga amina Amina
Daah... story yako tamu lkn INASIKITISHA sana.. pole sana..!
Kisa cha kweli wazazi wa chidumule walitengana wakati huo wakiw Tanga,chidumule alilazimika kurudi songea pamoja na mama yake,then alijiunga na Butiama jazz ,Urafiki jazz,Dar international then akaenda kuanzisha Mlimani park na ndio akatunga wimbo huo
Damas Kimaro Hapana mlimani hajaanzisha yeye
Chidumule bado yupo ila siku hizi ameokoka
Huyu hapa Chidumule na ushuhuda wake, ua-cam.com/video/nZnavV13DpI/v-deo.html
Thanks for the story behind the song.
Hakuanzisha aliwakuta kina Hassan Rehan Bichuka, Gurumo na wengineo pale
2020.. niliishi na kulelewa na mama wa kambo na alikuwa muungwana sana kwangu lkn bado nilikuwa nikisikiliza kibao hiki nilimkumbuka mama mzazi ambaye kimsingi alishaachika na baba..!!
Daah huu wimbo unaniliza ila sina jinsi... God protect my family mom and dad though they are not together.
aehe mama ee jaribuni kuyasuluhisha mambo hayo kutengana kwenu kunanipa wasisi ,sina kaka ,sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo.
Nyimbo hizi Zina mafundisho makubwa na ujumbe sahihi kabisa nakumbuka mbali sana
Sifa za fasihi ni kuishi asante ddc kwa zawadi hii asante waimbaji
Hizi nyimbo za kale kwa kweli hazina mfano ni nzuri sana na zinafikisha ujumbe kwa jamii,mimi binafsi kwa ujumla ni shabiki kindakindaki wa nyimbo hizi nawapongezeni sana kutupatia uhondo huu asanteni sana
kweli mimi ni kijana wa 90 lkn napenda sana hz nyimbo ujumbe wake unapelekea hsia zangu kwenda mbali sana
Heard this song recently on Rogaroga radio citizen when Obachi Machoka was hosting Chidimule the composer of the song. Very inspiring music! The songs had a message and lesson to be learnt. Gone are those days.
Thank Machokaa for hosting Chidimule. song that bring back the days of VOK, natuma salamu nikiwa kakamega show.Ujumbe dawa ya ndeni ni kulipa.Goods days No HIV,No CORD NO JAP.
I have never known Chidumule to have worked together with Muhidin Gurumo!
Joyce Amogolla where is Rogaroga radio?
Ipyana Mwakanosya
Rogaroga ni kipindi kwenye Radio Citizen ya Kenya.Na Fred Obachi Machokaa ndie anaekiendesha hicho kipindi.Husikika siku ya Jumamosi na Jumapili,kianzia saa Nne asubuhi hadi saa Saba mchana.Na sasa pia kiko kwenye runinga ya Citizen.Hata mie nlipata fursa ya kusikia hayo mahojiano kati yake Fred naye Chidumule,pia nkawahi kurekodi sehemu tu ya hayo mahojiano.Natumai nmekujibu vyema ndugu.
Thanks for listening to RogaRoga on Radio Citizen FM-Kenya. Hope you enjoyed listening. It was indeed a privilege and pleasure to host the legend of Rhumba.
Mungu atusaidie , inaonesha Mtoto aliumia sana!
Nasikia kanyimbo kanapenya mpaka ndani,old is gold
Nani kama mama, kila nisikiapo wimbo huu huwa najiuliza nimlipe mama yangu kitu gani ukweli nikwamba sina chakumlipa mama yangu nampenda sana mama.
And the message is as relevant today as it was those days the song was compossed.
Leah Ngugi kama ujuavyo msani ni kioo cha jamii, wana foreseability, waliona mbali,jumbe zao zitadumu milele
Leah Ngugi And even more relevant today than ever before....with deterioration in family values....
@@danieljuma1921
Very true.
We need to hear such today than ever before
Ddc mlimani park
wanajua, hasa hiyo sauti ya marehemu Hamisi juma huwa naipenda Sana.
still love this song decades later...
Nilikuepo kwenye tamasha la kutimiza miaka 40 ya mlimani park pale viwanja vya bandari wiki iliyopita lkn badala ya kufurahi nilitoka pale nikiwa na huzuni kubwa baada ya kumuona mpiga rythim ya wimbo huu ABDALAH GAMA akiwa hoi bin taaban,ni mlevi kupindukia hawez tena kufanya chochote,,,kwakweli iliniuma sana nikimuangalia
Mohamedi Kilinga Ni kweri Gama kachoka sana yuko na kibendi kinaitwa Exel bend wanapiga zing zong
Wakati strees zinachangia kuwatoa nje ya mstari wamefanya makubwa lakini of the and NOTHING EVERTHING
Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo
Kutengana kwenu kunanipa wasiwasi manenu
Sina kaka sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo
Ningali mdogo ninahitaji msaada wenu wazazi wangu
Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo
Kutengana kwenu kunanipa wasiwasi manenu
Sina kaka sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo
Ningali mdogo ninahitaji msaada wenu wazazi wangu
Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo
Sina kaka sina dada
Kwa hiyo naomba
Muishi kama vile mwanzo
hizo ndo nyimbo sio hizi za kizazi kipya nakupenda nakupenda Mara unanipa mambo ya uani kesho wa meachana
Daaaaaah yani natamani ningekuwa na helaa nyingi awa wazee wotee walikuwa wanaimba izi nyimbo niwaweke kwenye maisha mazuri ngoja nipigane kwa nguvu zote daaaah
Tears falling down on my chicks
Mama salamu zako nimezipata, ninashukuru kwa kunikumbuka. Taabu na mateso unayoyapata yananiumiza roho......Mambo haya yapo sana katika jamii yetu, hongera sana Mlimani Park.
Hii nyimbo imeimbwa kwa hisia sana hadi chozi linalenga lenga
The moment I listen to this sad song I always go visiting my mother the following day bearing in mind that she lives alone with home assistants and my father died many years ago and we her children left to start our own homes far apart
Wazungu wengine wanasema miziki ya waafrika vurugu kelele tu,,ngoma ngoma na kuruka...lakini hapo JEE meseji ya maana mziki umetulia classic namiss hiome mama yangu
simon joseph nyangusi wazungu wanataka waonekane kiichopo afrika ni upumbavu, ila sisi tunayaju mambo yetu yalivyo azuri kama haya ya wazee wetu,hivyo tuwaenzi.
Jamani old is Gold nyimbo imepangika inaimbika vizuri, sio nyimbo za kisasa zimechanikachanika
Wimbo huu unanikumbusha mbali sana. enzi hizo nasoma Malangali Secondary School mwaka 1985
Ujumbe wa aina yake, heko na kongole zangu zimfikie Mzee Cosmas Chidimule popote alipo, kazi kuntu kwa vizazi vya kale na vizazi vijavyo🇰🇪💥
DDC Asante Sana Tena kwa hiki kipande jameni naenda nyumbani Tuesday asubui kumwona mama
No comment! Machozi tu,
Pole aseee nikwel nyimbo his hutufunza Mambo mengi saana
Hiii Ndio miziki
Huwezi choka kusikiliza hizi nyimbo kamwe, zamani ndio kulikuwa na wanamuziki sasa hv kuna wasanii tu
na hata mtu akiisifu sikinde kwa nyimbo hizi anamaanisha sikinde ya enzi hizooo sio ya sasa.Asikilize safu ya wanasikinde ktk tufurahi na wanasikinde.Asifkirie hii ya sasa.Ilikuwa nadra kuiskia sauti ya muhidin ngurumo bila rehani bitchuka.
hazichoshi,mimi binafsi nikizungumzia zilipendwa mziki wa dansi,moja kwa moja namaanisha sikinde
Bwana Ramadhani siku hizi kila mtu ni msanii.
Chidumule kweli ulikuwa na kipaji cha sauti kutoka kwa mungu
Sasa hivi wapo wasanii wa kuganga njaa basi.......☺😁😉😉
Vocalists: Muhidin Mwalimu 'Gurumo', Hamisi Juma, Cosmas Chidumule
Solo: Abel Balthazar
Rhythm: Abdallah Gama
Bass: Joseph Mulenga
Keyboard: George Kessy Omondi
Alto Sax: Michael Enock
Drums: Habib Abbas 'Jeff'
Most appreciative of the information...it acts as a perpetual record of heritage!!!
Tshmanga Kalala Assosa one of vocalists in this song.
Mzee Gurumo kipindi hicho Hahaha R I P hakika ya kale ni dhahabu
Assosa aliondoka kabla ya recording ila ndiye mtunzi wa wimbo gama
4 th 1st tym I heard dis song ma heart became happy 4 a moment an then tears followed I dont know why dis happened.
God bless th artists who sang dis song
Ninakumbuka mbali sana. Utoto una raha ila nikikumbuka ndugu waliotangulia mbele ya haki machozi yananitoka kwa masikitiko
I salute all musicians who organized this massage espeially Mr chidumule .
Great and nostalgic music around 1978. Great vocals and instrument organization
Have separated with my wife for 24 yes. This song makes remember my children's feelings. So sad.
My apologies sir, do you make an effort to connect with the kids
I salute all musicians from Tanzania!nice song i like it
Dah hii Nyimbo inanikumbusha zamani sana nilipokuwa darasa la nne kule Kijijini kwetu tulipokuwa naenda shamba kulinda zao la mpunga na Mahindi yasiliwe na tumbiri
I miss my mama and my father 😭😭😭
The true feeling of parents separation...
Mungu mkubwa.
In Krefeld,Germany.
How can you dislike something like this... Kuna watu wanahitaji kupiwa akili
ndugu yangu Abdallah nimekuwa naitafuta ile nyimbo ya DDC inyoanza na kusema ''niliusiwa na babu na babu, ukimya busara ndio heshima, maisha bora popote duniani, sio chuki choyo au fitina, '' tafadhali sikumbuki inaitwaje ila utenzi wake unaanza hivyo, tafadhali
Hisia ni kubwa sana moyoni kutokana na huu wimbo baada ya Allah wazazi ni muhimu katika maisha big up mlimani pack
Yan acha tuuu nikiusikiliza huu wimbo machoz yananibubujika mno
“MAISHA YA ZAMANI🪘
Ukienda Kwa Mjomba Unakaa Muda Mrefu Huwezi Kusikia Hata Kelele za Kuchokwa..😭
Mnakaa Kwenye Mbalamwezi Mnapiga Story..🎑
Siku Hizi Muda Wote Watu Wanafuatilia Watu Amabao Hata Hawajawai Kuwaona Kuliko Ndugu😥
HAYA MAISHA YA PESA HAYANA FURAHA KABISA😭
R I P mungu akulaze mahali pema pepon AMINA
Haya sasa, zama kweli,
Hino inanikumbusha Magongo Mombasa 1982 tumehamia Soweto customes
Mjombangu ametuelekeza radio daresalama
Dhaaa!!!!! Time fly's Kelli.
Daa ujumbe una mafunzo makubwa kwa familia zetu
There is a football made in Spain but there is aRhumba made inTanzania like that one hii sio mchezo mzee Ngurumo ananung'unika mno
najma saleh yes yes he was one of the best rip gurumo
Huu ni utunzi wake Cosmas Thobias Chidumule. Na wimbo huu ni kisa cha kweli cha kutengana kwa wazazi wake.
imenikumbusha mbali sana hasa pale wazazi wangu walipotengana. kweli huu wimbo una mchango mkubwa sana kwa wazazi na wanandoa kwa ujumla......
Zitaendelea kuvutamba milele tofaut na nyimbo za sku hz ikitoka sku mbili mmeshaichoka
Daaah ,good music forever
Very touching song
Mamangu nakuombea maisha marefu hapa dunian mungu akuondoshee dhiki na mateso yadunia
am without words....awesome!
Huu wimbo unanikumbusha mbali hadi unanitoa machozi
hii ngoma inaumiza kiakili kwa wale inaotuhusu,akumbukwe daima
Beat ya hii nyimbo inafanana sana na ile ya Celina
Ah eeeh mama eeh. Jaribuni kuyasuluhisha mambo hayo...
Binasfi huwa nazikubali mno hz nyimbo nakumbuka miaka ya 90- nikiwa kijana nlikua Namibia baba dude prufuu yake nakanayo chumbani kipindi hicho rdo Tanzania wanapiga nyimbo hz....
let me shed torrents of tears......... nakumbuka mbali saaaana..................
An Iconic number.... shows a band which was not only creative but that which also had its fingers on the pulse of technological changes in both instruments and sound.....The lyrics are something to die for...so is the delivery..... these were always strong points in popular Tanzanian dance music and the trend has continued to date with the younger generation!!!! KUDOS MINGI!!!
Great observation Richard. Where are you bwana?
True, their lyrics, music composition is out of this world. Their songs are full of maturity.
Zinanikosha sana nyimbo za zamana,jaman vijana wa zaman walifaidi sana
A real painful experience some go through! May the mighty Lord be their comfort🙏🙏🙏🙏🙏
Umenikumbusha mbali sana nikiusikilza unanipa uchungu kipindi Baba na mama wametengana nami Mdogo naumia tu
Nyimbo hii imenikumbusha enzi za makuzi yangu wakati huo RTD tupo shule ya msingi nk nimekumbuka mengi sana na watu kibao wengine wapo hai wengi Marehemu RIP.
Nostalgia, how i miss those days i was growing up.when music was music.
Kama wazazi wangeheshimu watoto wenye Mungu amewabariki nao hakungetokea na taraka......matesoooo...
Childhood memories in Makande Mombasa
ukisema cha kale ni dhahabu nadhani hakuna wa kubisha usemi huu NYIMBO ZILIKUWA NA MAFUNDISHO NA HUKUCHOKA KUZISIKILIZA
Weee acha tu, big up DDC nina kumbuka mbali sana wakati niko kijana mdogo sana wakati huo No stress my mum doing everything for me
Real music, sweet memories.
Rtd huku salam za jambo uku majira uku kipindi cha ugua pole uku mama na mwana duh Sara dumba malima ndelema Ahmed kipozi EDA sanga
DUUHH NIKO MUSOMA SARAGANA NYAMBONO P/SCHOOL STD 4 1978.RAAHA.
I used to listen to this song,Was in highschool and my father had just married another wife,We Went through Alot,I still listen to it,Am old now and staying with my Mum,
My dad is still marrying
😊😊even mine. take heart dear
Hii nyimbo imeniliza nimewakumbuka kakazangu nadadaangu pia babaangu kipindi hicho tunasikiliza.kwenye.redio yetu.mkulima.huu.wimbo.kwasasa wote. wamefariki.dah.inauma sana
Wimbo unaeza kukuliza Kama ni kweli wazazi wako kuna ugumu wanapitia
Inanikumbusha mbali sana. shukrani za dhati zimwendee mamangu mzazi Sophia nampenda sana.