Orchestre Maquis Original - Wakati Nilikuwa Mdogo

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 319

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 6 місяців тому +15

    Anayekubaliana namimi hadi 2024 wimbo huu wa Orchestra Marquis bado unakonga nyoyo zetu

  • @MohamedChilllo-ru8vg
    @MohamedChilllo-ru8vg 4 місяці тому +4

    Nakumbuka mbali sana kipindi hicho Tanzania ikiwa na maadili ya kutosha ,mtoto ni wa wote yaani ni wa Jamii yote akikosa yeyote anamkataza na kumchapa ,kipindi wazazi wanatoa malezi bora kwa wototo siyo leo hii wazazi wanatoa matunzo kwa watoto

  • @rmarushacoffeelodgeelewana9694
    @rmarushacoffeelodgeelewana9694 3 місяці тому +7

    Nakumbuka mbali sana huzuni na raha vyote kwa pamoja miaka inakwenda kasi nakumbuka miaka ya 80 mwisho na early 90s,mungu ni mwema bado nipo

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ 4 роки тому +25

    Nani mwingine anasikiliza mwaka 2019? Huu ndo muziki, nakumbuka miaka ya 80 tulikuwa tunakaa maeneo ya Mafiga, Morogoro. Mara nyingi ilikuwa tukimaliza kucheza kombolela, jioni tunaanza kushindana kuimba nyimbo hizi. Udogo, raha sana! Stress free

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 3 роки тому +13

    Kweli Sasa nimekua naona shida nyingi duniani! Wakati kazi yangu ilikuwa kucheza na kupika ugali wa tope! Asante Sana Maquis original!

  • @omaniwomen7563
    @omaniwomen7563 4 роки тому +5

    Daaaa namkumbuka sana marehemu baba yang alikuwa anaimba hadi rahaa huku mm nikiwa nacheza ewe mola wangu mpunguzie adhabu za kabrii baba yngu na wote walotangulia mbele za haki amiin amiin

  • @claudmwakisole1255
    @claudmwakisole1255 5 років тому +6

    Nakumbuka mbali sana nikisikiliza nyimbo hizi maisha yametufanya tupotezane na Jamaa tuliokuwa nao pale kijini ndugu tuliokula pamoja sahanimoja kulala pamoja kwenye mkeka nakumbuka sana Nyumbani

  • @fadhiliakida8609
    @fadhiliakida8609 4 роки тому +5

    Sijui nini kiliusibu muziki huu wa dansi wa aina hii mpaka kufa dah naumia mwenzenuu

  • @PamelaMakwesa
    @PamelaMakwesa 3 місяці тому +2

    Wakati nikiwa mdogo sikuwa na jali shida wala raha hizi nyimbo unaweza kuishia kulia ..aloot of memories......

  • @kennedyangaya8497
    @kennedyangaya8497 5 років тому +18

    Miziki hii huwa yanikumbusha mbali saaaaaaana. Enzi ambazo maisha yalikuwa ya gharama ndogo, ugaidi ulikuwa nadra saaana na watu walikuwa na umoja saaana.

  • @mwinyikadhi5708
    @mwinyikadhi5708 6 років тому +23

    Machozi yananitoka Jaman nikiwakumbuka mrehemu wazazi wangu. Mungu aweke mahali pema na kuwasamehe mazambi yao.. Mm nimekua kiongoz wa familia dah Dunia kweli mapito

  • @timmusumba5846
    @timmusumba5846 Рік тому +3

    "Hata Baba Mungu pia aliumba dunia,
    binadamu na viumbe vingine, alifanya kazi"

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 3 роки тому +20

    My father made me addicted with such kind of songs☺️😊 any body at 2020?😅😅 hiz nyimbo zina rakha yake buana😍

    • @daglaskiberenge106
      @daglaskiberenge106 2 роки тому

      Wewee am 1 of them on my 40s!.

    • @elizabethmburu2210
      @elizabethmburu2210 2 роки тому

      Yaani nikisijiliza hizi nyimbo Zazamanni na mwona babangu na wazee waeika yake wakidance kweli hunipeleka nbali

  • @selemanmadege8829
    @selemanmadege8829 4 роки тому +5

    Namkumbuka JULIUS NYAISANGA (UNCLE J)na kipindi cha MISAKATO akitoa nyimbo mpya zilizochezwa hadi soksi kuvuka na kiatu kubaki palepale

  • @davidrandu3642
    @davidrandu3642 3 місяці тому +1

    Ndugu sote tunaozikumbuka nyimbo hizi tumushukuru sana Mungu,kwani wenzetu wengi ulishatangulia.

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 4 роки тому +10

    Kweli ningekuwa mdogo nisingejua hata tatizo la COVID - 19, Mungu awabariki popote kina Nguza, Kitima na wengine

  • @greenlifetrees
    @greenlifetrees Рік тому +9

    I'll forever miss my late father. Whenever I hear this I see him.

  • @Blandina249
    @Blandina249 3 роки тому +18

    Timeless one. Takes me back to the days of Billy Omalla of then VoK. He always played this song and we sat back to enjoy it. May his soul rest in peace.

  • @mwinyikadhi5708
    @mwinyikadhi5708 6 років тому +16

    Namkumbuka marehemu mama yangu asia darueshi alikua akiimba bend hii mungu amsamehe makosa yake na amuweke mahali pema amin

  • @rankzkate
    @rankzkate 5 років тому +33

    I remember the days my Father used to listen to such songs on his Philips radio .Now he is dancing with the angels.You are greatly missed dear Dad

    • @andrewmaranga2335
      @andrewmaranga2335 3 роки тому

      memories

    • @mikeboyo128
      @mikeboyo128 2 роки тому +3

      Don't say more my sister. I can relate to this like it was yesterday. Phillips 📻 was the word. Rest with the angels to our dads

    • @noahkoech5507
      @noahkoech5507 2 роки тому +1

      Their was a a radio station called Rwanda- Burundi playing this songs.,.that was in1979.….my father had redio sanyo chui.

    • @jacksongathura7664
      @jacksongathura7664 2 роки тому +1

      @@andrewmaranga2335ama
      Look

    • @isabellamigwi
      @isabellamigwi 2 роки тому

      2022 still bado inavuma

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 3 роки тому +9

    It is 9th January,2021, 16 years since I got a very bad bus accident but survived and listening to this golden old music of Marquis Original 80's. It reminds me the primary school life.

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 3 роки тому +7

    Nzuri sana, inanikumbushana mbali sana, Mungu wabariki wanamuziki hawa popote walipo.

  • @godffreyolali5084
    @godffreyolali5084 6 років тому +25

    Reminds me of Voice of Kenya (VOK) in the 80s. Watangazaji waliobobea zama hizo kama akina Sophie Clay, Gladys Erude, Amina Faki, Elizabeth Obege, Eddy Fondo, Anunda Sakwa na wengine

    • @bintuweel
      @bintuweel 6 років тому +2

      GODFFREY OLALI nilikuwa nasikiliza sana Radio Kenya KBC umenikumbusha mbali na majina hayo. Best ya muziki imekwisha sasa ni kelele na matusi .

    • @davidmahende7576
      @davidmahende7576 5 років тому +1

      Safi sana nakumbuka miaka ya 1980

    • @dominicmaluki5242
      @dominicmaluki5242 5 років тому

      Exactly my thoughts.Thanks Godfrey

    • @jason2633
      @jason2633 5 років тому

      Wacha tuu

    • @jason2633
      @jason2633 5 років тому

      Kina sofi ikeye

  • @sammylwendo1496
    @sammylwendo1496 Рік тому +2

    Nakumbuka enzi hizo Njombe tunaishi maisha mepesi sana, so innocent!Tunakusanyana the whole family tunaisunguka radio kusikiliza these kind of musics!Nostalgic!If only I could turn back the hands of time…….!

  • @mwithigastephencontractor6997
    @mwithigastephencontractor6997 4 роки тому +8

    Wakati nilikuwa mdogo sikujua kama kuna shinda wala sikujua kama kutakuwa na BBI.Reminds Mr M.D.J Eddy Fondo. Radio rhumba DJ

  • @erickmwiti1263
    @erickmwiti1263 4 роки тому +13

    Memories, are made of this when radio was the only entertainment

    • @collinsopiyo9699
      @collinsopiyo9699 4 роки тому +1

      Erick Mwiti ....ni mimi wenu Omuga Kabisae...nikiwaletea muziki wa adhuhuri....nostalgia bro!

    • @engineervictorvudinda5944
      @engineervictorvudinda5944 2 роки тому

      @@collinsopiyo9699 Muziki wa adhuhuri, I miss those programs.

  • @meleniafrancis9462
    @meleniafrancis9462 4 роки тому +3

    Mungu awaweke mahali pema peponi amina

  • @christineoumanabwire6438
    @christineoumanabwire6438 Рік тому +13

    We played this song on that sad afternoon, on 6th March 2021, we had just laid dad to rest. I lost hope and felt unbearable grief, yet today I am still here. Learning to live with the loss and navigating a new life in the USA. Muziki wa zama unavuma.

  • @amanam2735
    @amanam2735 5 років тому +2

    Ujumbe na ala. Sio leo mwendawazimu anaingia studio na kutoka na kitu kinachoitwa muziki

  • @mohdbesta
    @mohdbesta Рік тому +5

    What a time that was. I was a clueless innocent kid and my dad used to play these songs on his National Memory Q cassete player

  • @bensonthuo8209
    @bensonthuo8209 9 місяців тому +1

    My dad used to listen this song 🎵 when I was a young boy and interestingly I also loved it! But most of the children in todays life only 2% can recognise this as good music; but the fact remains.... old is good, and even gold sometimes 😂

  • @ernestnjogholo1472
    @ernestnjogholo1472 5 років тому +7

    Utunzi uliosakafiwa kwa ufasaha, Madoido na mbinu za hali ya juu.

  • @pmulevu
    @pmulevu 2 роки тому +3

    when music was real

  • @monicapaulmarwa4546
    @monicapaulmarwa4546 6 років тому +4

    Duniani tunapita,,tutawakumbuka daima,,utunzi ulijaa ukweli,nimekumbuka mbali sana miaka hiyo tukiwa tunaishi Mtibwa Sugar.......

  • @abbassalum1864
    @abbassalum1864 2 роки тому +2

    Saxophone🎷🎷 🎷 na trumpet 🎺🎺🎺 nazo zimeongea sana 🙌🙌🙌

  • @mamarhodah9018
    @mamarhodah9018 4 роки тому +15

    This is the best music ever, when I'm down I switch on to this kind of stuff and it brings back my whole self. Old is gold.!!!

  • @benminabo2170
    @benminabo2170 10 місяців тому +1

    This takes me back to the good old days when my father was alive,,with his Sanyo Box radio...when life was ❤❤❤

  • @tusekileambokile6397
    @tusekileambokile6397 5 років тому +4

    Muziki moja mzuri sana. Mungu ilikuwa katikati yao hawa wataalam

  • @mwapiiddi3980
    @mwapiiddi3980 5 років тому +2

    Zina ishi, maana alitunga kwa kuzingatia matukio halisi sio ya kufikiria kama sasa,wali beba uhusika ktk swala zima la utunzi na kigezo kikuu ni nidhamu kilihusika,vija wa sasa wame kosa ubunifu wame baki kuwa wakalilifu tu vya wenzao na uvivu wa kufikiri

  • @judemuyoma4132
    @judemuyoma4132 2 роки тому +4

    Seasons pass but such pieces survive for eternity

  • @wasongakowino6935
    @wasongakowino6935 5 років тому +9

    Pure gold. From the golden era of East African music 👏🏿👏🏿👏🏿🔥🔥🔥🔥🎺🎺🎺👌🏾👌🏾👌🏾👍🏾👍🏾👍🏾

  • @John-jq1wt
    @John-jq1wt 9 місяців тому +1

    Riminfs me of My late parents! Playing this song in aphilips kinanda!

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 Рік тому +2

    Power Nguzo, we thank you so much for taking us back to our childish memories, though now we are grown up we witness the reality. God bless you. However, if you can give us the list of those involved in preparation and production of this great work we will be thankful.

  • @josiahmuthemba115
    @josiahmuthemba115 5 років тому +5

    Wadungu wenzangu, kila wakati ninapo u sikia wimbo huu akili urundi reverse mpaka mwanzo wa maishani wakati nilikua mdongo. Haki nampa huyu Makumbele Lulembo marks mengi zaidi kwa utunzi wake kibao. Bado pia naulumbuka wimbo wake "Makumbele na pia Makumbele no 2 habao naupenda sana. Makumbele juu juu zaidi

  • @jamesmatoke235
    @jamesmatoke235 4 роки тому +4

    Am a parent now I used to like the music so much upto nowadays

  • @nuruazizi9983
    @nuruazizi9983 11 місяців тому

    Hii ni Maquis original na sikinde yaani kwa yaani kwa Dunia ya leo ni kama diamond na ally kiba waungane watoe kitu. haiwezekani.zamani lkn zamani iliwezekana kwa wazee wetu .

  • @kibabumwenyewe
    @kibabumwenyewe 4 роки тому +2

    Udogo wangu miaka ya 80 hapo kizingo Mombasa baba alikuwa akifungulia RTD mwendo wa saa saba mchana baada ya Habari nyimbo ni hizi. Kweli walikuwa wanamuziki wa kweli.

  • @rubamann
    @rubamann 7 років тому +46

    Kila nisikilizapo hizi nyimbo huwa nakumbuka Enzi zile tunatengeneza magari ya waya, matairi ya ndala. Enzi zile tunatengeneza mipira ya manailoni. Enzi zile tamu, Enzi zileeeee RTD is the big thing in town. Mungu wangu nasikia machozi yanakaribia kunichuruzika..

    • @omand1761
      @omand1761 7 років тому

      😂😂😂😂😉

    • @charlesnjau8252
      @charlesnjau8252 7 років тому +1

      Kweli kabisa hayo magari ya waya!

    • @cityofglorychurchinternati4635
      @cityofglorychurchinternati4635 6 років тому +3

      Umesahau namalingi

    • @anclemshana661
      @anclemshana661 6 років тому +2

      John Lunyamila . Sana.lakini Mimi wakati huwo naishi Dar kinondoni mwaka 1992 nafanya Nazi ZAMCARGO

    • @abdi5146
      @abdi5146 6 років тому +2

      Umesahau magari za mikebe pia,kandanda na mipira za nylon kweli umenirudisha miaka ya themanini.wazee hukumbuka.

  • @jeffnanume2404
    @jeffnanume2404 6 років тому +6

    This song win mind joy and it takes my memory back in early 90s nilikuwa namsikia mama yangu akiimba sana wimbo huu mara nyingi akiwa anajifanyia kazi zake. Baadae nikawa nausikia kwenye kipindi cha lala unono from RTD.

  • @engineervictorvudinda5944
    @engineervictorvudinda5944 3 роки тому +11

    2020 still hitting airwaves, dedication to my late father and elder brother, you made me addict to such music RIP

  • @davidmanyoni4651
    @davidmanyoni4651 4 роки тому +3

    majuto huja nyumae because you think when young depending others later you will also pay back either sorrows or happiness!!!!!

  • @ahamadarashid8797
    @ahamadarashid8797 Рік тому +2

    WAKATI MUZIKI UNGALI MUZIKI..

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 3 роки тому +1

    wau mmziki ulio pelekwa shule, mziki umekomaa,

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 4 роки тому +4

    Power Nguzo nakushukuru sana jinsi unavyotuburudisha na kutukumbusha enzi zetu sisi wa 45+. Sasa nisaidie kutuwekea wimbo wa TOT Band (Achimenengule) chini ya marehemu Banza Stone,jina nimesahau ila walikuwa wanaimba "SINA UKOO MIMI SINA NDUGU WA DAMU WALA KABILA WALA UBINI ....."

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 років тому +2

    Nikisema dunia haipo Tena msinibishe

  • @totidatutadu1918
    @totidatutadu1918 6 років тому +2

    Sikia sauti zilivyotamu, vyombo vilivyopangika halafu ujumbe murua kabisa. Nilikuwa Sumbawanga miaka.hiyo kipindi km mchana mwema, jioni njema dah hizi zilikuwa golden days

  • @masetomuhafiwa4546
    @masetomuhafiwa4546 Рік тому +2

    bongo music started long ago,that's why even today they are ahead!

    • @timmusumba5846
      @timmusumba5846 Рік тому

      Exactly! They must have got their skills from these golden songs of the past!

  • @aggreychoreh9937
    @aggreychoreh9937 Рік тому +1

    Them days, so emotional na mafunzo kibao

  • @josiahmuthemba115
    @josiahmuthemba115 6 років тому +2

    Basi huu ni utunzi wake Makumbele Lulembo baada ya kuhutunga wimbo makumbele. Kweli alikua hodari kwa hutunzi wa nyimbo. Basi kazi kwenu kwa kuzikiza

  • @alexanderayuoyi3571
    @alexanderayuoyi3571 4 роки тому +2

    RTD idhaa ya taifa, na idhaa ya biashara,.
    Heko kwenu

  • @williammarube5672
    @williammarube5672 2 місяці тому

    Ukweli mtupu. Usinicheke ni wimbo una mawaidha ambayo yako valid even decade to come.

  • @harunmunala4091
    @harunmunala4091 4 роки тому +1

    utunzaji shupavu,wimbo wavuma na bado uko na ladha hadi wa leo

  • @roseosero463
    @roseosero463 Рік тому +2

    This song makes me cry.

  • @charleskoech.k9725
    @charleskoech.k9725 4 роки тому +1

    Aaaah.Sauti nyororo.Maneno mazuri.Tulikua tukiskiza kwa KBC Radio.muziki kweli chenye nashika roho.!!!!! Siku hizo mungu alikua karibu nasii.Leo hii janga tupu.!!!!!

  • @monicawanjiku3132
    @monicawanjiku3132 7 років тому +18

    This was when music was music strong message and great voices

  • @ashrafabasi3950
    @ashrafabasi3950 Рік тому

    Daah nimekuja huku baada ya baba yangu kunambya nije kuiskiliza kwel nimekuwa sasa nayaona ya dunia

  • @TalibHamad-bf1sn
    @TalibHamad-bf1sn 3 місяці тому

    Ama kweli sasa nimekuwa ndio naona shida nyingi duniani hawa Maquiz Waltona mbali

  • @robartvyumavyuma871
    @robartvyumavyuma871 5 років тому +3

    Jamani kweli siku hazigandi nikikumbuka enzi hizo weacha kabisa

  • @jaredonsare181
    @jaredonsare181 3 роки тому +2

    our good presenters in vok like, brother said ali matano, gladys erude, mdj eddy vondo, etl used to play these numbers especially during salamu za mchana.

  • @muokiken
    @muokiken Рік тому +2

    I think is one of best songs.

  • @chachamadini9372
    @chachamadini9372 6 років тому +13

    Nikisikiza nyimbo hizi natamani kuvunja hii micd yahawa wendawazimu wasasa wanaimba matusi tu

    • @bintuweel
      @bintuweel 6 років тому +1

      chacha Madini Kweli kabisa matusi yamezidi bila aibu utupu umezidi bila haya kelele tupu .

    • @shentembakivuvu488
      @shentembakivuvu488 5 років тому +1

      chacha Madini kabisa nyimbo zilikua zamani

    • @irenekambi4705
      @irenekambi4705 5 років тому +1

      Kweli kabisa siku hizi matusi tu

  • @petermwidima8357
    @petermwidima8357 7 років тому +10

    miaka hiyo ya 80's nilikuwa biharamulo.mama yangu alikuwa anaipenda Sana hii nyimbo.

  • @rensonanyangu5709
    @rensonanyangu5709 5 років тому +8

    wakati nilikuwa mdogo. those days growing up. the gmaes, the adventures and nothing to worry about. oh how time flies, machozi yananitoka

  • @kiturselassie9693
    @kiturselassie9693 4 роки тому +2

    Hii muziki dawa ya roho, moiben Eldoret Kenya , December 1989

  • @lucasmabula3909
    @lucasmabula3909 Рік тому +1

    Ilikuwa raha sana enzi hizo

  • @bintuweel
    @bintuweel 6 років тому +1

    Nawakumbu wakati wanakuja kutumbwiza Kibaha MAPUTO INN ilikuwa sikosi kila wakija nimo nilikuwa naishi jirani na MAPUTO INN.

  • @fredricketabale9377
    @fredricketabale9377 3 роки тому +1

    Fanya mambo kulinga na nawakati

  • @victorondu1855
    @victorondu1855 3 роки тому +6

    Great composition, great vocals, great arrangement......

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 роки тому +2

    2020 mpoooo ?

  • @josephmwanzui4244
    @josephmwanzui4244 8 років тому +7

    This is the real music when men were men and money was money

    • @mussamasoud3233
      @mussamasoud3233 5 років тому +1

      Unaweza kulia ukisikiliza hizi leo hawa vijana hawajui muziki kwa kweli hatupati hisia zozote yani

  • @waryobamahunyo4990
    @waryobamahunyo4990 5 років тому +3

    Kazi ni uhai kwa kila binadamu toka enzi na enzii eee !!!!! Mziki mtamu sana!

  • @antonygama2150
    @antonygama2150 3 роки тому

    Yah ni raha tupu nakumbuka Songea miaka ya 1980 nikiwa skuli tunaandaa chipukiz maonyesho ya sabasaba Ruvuma kwa Mara ya kwanza nilikutana na Kaka yangu mkubwa Abdallah Gama alipokuj songea na ddc mlimani park nilifurahi sana

  • @matunduraray1174
    @matunduraray1174 4 роки тому +2

    It reminds me of my late dad na ile radio yake ya mbao

  • @amossambu3053
    @amossambu3053 Місяць тому

    Muziki wa adabu huu. Memories of childhood laid bear

  • @rafaelsimba6429
    @rafaelsimba6429 5 місяців тому

    Gone are the days, back in 2003

  • @rotichphillip5407
    @rotichphillip5407 6 років тому +3

    mazee hii nyimbo inanikumbusha nikisoma nrb racecource primary 80s wakati wa eddie fondo maquis u make my day sisemi zaidi.

  • @babyfrank8852
    @babyfrank8852 8 років тому +14

    Yaaaani huu mziki Mungu auinue tena jaman walifaidi sana walioucheza wakati huo yani mama zetu ss japotulikuwa wadogo sana lakini mm hadi maini hunikatika nisikiapo nyimbo hizi haswaa marijaaaaaan mwana wa rajaaabu Acha tuiles,,,

  • @elizabethmburu2210
    @elizabethmburu2210 2 роки тому

    MUNGU awape tuu nema kwa Uzuri huu wanafunzo kwani hakuna mziki nzuri ulio bakia wakufunza ulimwengu waleo

  • @joycemoses3693
    @joycemoses3693 6 років тому +1

    kila ninapo sikia nyimbo hizi,,namkumbuka xana kaka yangu,fest bon,wetu,,kwa sasa hatukonae tena,,eee,,munguilaze roho za malehemu kaka zetu,, mahalipema peponi,,Amina,,

    • @anclemshana661
      @anclemshana661 6 років тому

      Joyce Moses .Pole sana.MR.A.Y.MSHANA

    • @anclemshana661
      @anclemshana661 6 років тому

      Joyce Moses . Mimi pia in First born kwetu na tuko9 Niko hai

    • @godfreymjeja9650
      @godfreymjeja9650 5 років тому

      Kweli nyimbo za zamani ni nzuri

  • @angelapeter507
    @angelapeter507 5 днів тому

    Winbo unanikumbusha mbali sana

  • @gosogoso5287
    @gosogoso5287 6 років тому +2

    enzi zetu zilikwisha

  • @chachamadini9372
    @chachamadini9372 6 років тому +2

    Mungu awapumzishe Kwa amani, muziki wenu unadumu msiwe na shaka wazee

  • @user-mb3qo4yb7y
    @user-mb3qo4yb7y Місяць тому

    Wazazi wangu mpesa sahi sahi..😢

  • @NeemaWilfred-hz3fx
    @NeemaWilfred-hz3fx Рік тому

    Nzuri sana hii nyimbo inanikumbusha mbali sanaa

  • @watitwaisaac8410
    @watitwaisaac8410 Місяць тому

    I miss them days😢

  • @twilamtumbi949
    @twilamtumbi949 8 років тому +12

    We acha tu haya mambo matamu mno. Kitambo kile daa maisha sio kitu chochote. Unaweza kulia

  • @pamelauisso6484
    @pamelauisso6484 7 років тому +5

    Nyimbo zinakumbusha mbali sanasana...jmn napenda kuzisikiliza nyimbo hz.Dah walifanya kazi nzuri sn

  • @leonardnewschannel2965
    @leonardnewschannel2965 2 роки тому

    ORCHESTRE MARQUISORIGINAL. WAKATI NILIKUWA MDOGO

  • @gilukwayoegine3145
    @gilukwayoegine3145 2 роки тому +1

    2022 bado ni my favorite song 🥰

  • @frederickoguttu1244
    @frederickoguttu1244 4 роки тому +1

    Vitu Mature!