Nakumbuka mbali sana kipindi hicho Tanzania ikiwa na maadili ya kutosha ,mtoto ni wa wote yaani ni wa Jamii yote akikosa yeyote anamkataza na kumchapa ,kipindi wazazi wanatoa malezi bora kwa wototo siyo leo hii wazazi wanatoa matunzo kwa watoto
Nani mwingine anasikiliza mwaka 2019? Huu ndo muziki, nakumbuka miaka ya 80 tulikuwa tunakaa maeneo ya Mafiga, Morogoro. Mara nyingi ilikuwa tukimaliza kucheza kombolela, jioni tunaanza kushindana kuimba nyimbo hizi. Udogo, raha sana! Stress free
Daaaa namkumbuka sana marehemu baba yang alikuwa anaimba hadi rahaa huku mm nikiwa nacheza ewe mola wangu mpunguzie adhabu za kabrii baba yngu na wote walotangulia mbele za haki amiin amiin
Nakumbuka mbali sana nikisikiliza nyimbo hizi maisha yametufanya tupotezane na Jamaa tuliokuwa nao pale kijini ndugu tuliokula pamoja sahanimoja kulala pamoja kwenye mkeka nakumbuka sana Nyumbani
Miziki hii huwa yanikumbusha mbali saaaaaaana. Enzi ambazo maisha yalikuwa ya gharama ndogo, ugaidi ulikuwa nadra saaana na watu walikuwa na umoja saaana.
Machozi yananitoka Jaman nikiwakumbuka mrehemu wazazi wangu. Mungu aweke mahali pema na kuwasamehe mazambi yao.. Mm nimekua kiongoz wa familia dah Dunia kweli mapito
Timeless one. Takes me back to the days of Billy Omalla of then VoK. He always played this song and we sat back to enjoy it. May his soul rest in peace.
It is 9th January,2021, 16 years since I got a very bad bus accident but survived and listening to this golden old music of Marquis Original 80's. It reminds me the primary school life.
Reminds me of Voice of Kenya (VOK) in the 80s. Watangazaji waliobobea zama hizo kama akina Sophie Clay, Gladys Erude, Amina Faki, Elizabeth Obege, Eddy Fondo, Anunda Sakwa na wengine
Nakumbuka enzi hizo Njombe tunaishi maisha mepesi sana, so innocent!Tunakusanyana the whole family tunaisunguka radio kusikiliza these kind of musics!Nostalgic!If only I could turn back the hands of time…….!
We played this song on that sad afternoon, on 6th March 2021, we had just laid dad to rest. I lost hope and felt unbearable grief, yet today I am still here. Learning to live with the loss and navigating a new life in the USA. Muziki wa zama unavuma.
My dad used to listen this song 🎵 when I was a young boy and interestingly I also loved it! But most of the children in todays life only 2% can recognise this as good music; but the fact remains.... old is good, and even gold sometimes 😂
Zina ishi, maana alitunga kwa kuzingatia matukio halisi sio ya kufikiria kama sasa,wali beba uhusika ktk swala zima la utunzi na kigezo kikuu ni nidhamu kilihusika,vija wa sasa wame kosa ubunifu wame baki kuwa wakalilifu tu vya wenzao na uvivu wa kufikiri
Power Nguzo, we thank you so much for taking us back to our childish memories, though now we are grown up we witness the reality. God bless you. However, if you can give us the list of those involved in preparation and production of this great work we will be thankful.
Wadungu wenzangu, kila wakati ninapo u sikia wimbo huu akili urundi reverse mpaka mwanzo wa maishani wakati nilikua mdongo. Haki nampa huyu Makumbele Lulembo marks mengi zaidi kwa utunzi wake kibao. Bado pia naulumbuka wimbo wake "Makumbele na pia Makumbele no 2 habao naupenda sana. Makumbele juu juu zaidi
Hii ni Maquis original na sikinde yaani kwa yaani kwa Dunia ya leo ni kama diamond na ally kiba waungane watoe kitu. haiwezekani.zamani lkn zamani iliwezekana kwa wazee wetu .
Udogo wangu miaka ya 80 hapo kizingo Mombasa baba alikuwa akifungulia RTD mwendo wa saa saba mchana baada ya Habari nyimbo ni hizi. Kweli walikuwa wanamuziki wa kweli.
Kila nisikilizapo hizi nyimbo huwa nakumbuka Enzi zile tunatengeneza magari ya waya, matairi ya ndala. Enzi zile tunatengeneza mipira ya manailoni. Enzi zile tamu, Enzi zileeeee RTD is the big thing in town. Mungu wangu nasikia machozi yanakaribia kunichuruzika..
This song win mind joy and it takes my memory back in early 90s nilikuwa namsikia mama yangu akiimba sana wimbo huu mara nyingi akiwa anajifanyia kazi zake. Baadae nikawa nausikia kwenye kipindi cha lala unono from RTD.
Power Nguzo nakushukuru sana jinsi unavyotuburudisha na kutukumbusha enzi zetu sisi wa 45+. Sasa nisaidie kutuwekea wimbo wa TOT Band (Achimenengule) chini ya marehemu Banza Stone,jina nimesahau ila walikuwa wanaimba "SINA UKOO MIMI SINA NDUGU WA DAMU WALA KABILA WALA UBINI ....."
Sikia sauti zilivyotamu, vyombo vilivyopangika halafu ujumbe murua kabisa. Nilikuwa Sumbawanga miaka.hiyo kipindi km mchana mwema, jioni njema dah hizi zilikuwa golden days
Aaaah.Sauti nyororo.Maneno mazuri.Tulikua tukiskiza kwa KBC Radio.muziki kweli chenye nashika roho.!!!!! Siku hizo mungu alikua karibu nasii.Leo hii janga tupu.!!!!!
our good presenters in vok like, brother said ali matano, gladys erude, mdj eddy vondo, etl used to play these numbers especially during salamu za mchana.
Yah ni raha tupu nakumbuka Songea miaka ya 1980 nikiwa skuli tunaandaa chipukiz maonyesho ya sabasaba Ruvuma kwa Mara ya kwanza nilikutana na Kaka yangu mkubwa Abdallah Gama alipokuj songea na ddc mlimani park nilifurahi sana
Yaaaani huu mziki Mungu auinue tena jaman walifaidi sana walioucheza wakati huo yani mama zetu ss japotulikuwa wadogo sana lakini mm hadi maini hunikatika nisikiapo nyimbo hizi haswaa marijaaaaaan mwana wa rajaaabu Acha tuiles,,,
kila ninapo sikia nyimbo hizi,,namkumbuka xana kaka yangu,fest bon,wetu,,kwa sasa hatukonae tena,,eee,,munguilaze roho za malehemu kaka zetu,, mahalipema peponi,,Amina,,
Anayekubaliana namimi hadi 2024 wimbo huu wa Orchestra Marquis bado unakonga nyoyo zetu
Nakubaliana wewe 100%
Nakumbuka mbali sana kipindi hicho Tanzania ikiwa na maadili ya kutosha ,mtoto ni wa wote yaani ni wa Jamii yote akikosa yeyote anamkataza na kumchapa ,kipindi wazazi wanatoa malezi bora kwa wototo siyo leo hii wazazi wanatoa matunzo kwa watoto
Nakumbuka mbali sana huzuni na raha vyote kwa pamoja miaka inakwenda kasi nakumbuka miaka ya 80 mwisho na early 90s,mungu ni mwema bado nipo
Nani mwingine anasikiliza mwaka 2019? Huu ndo muziki, nakumbuka miaka ya 80 tulikuwa tunakaa maeneo ya Mafiga, Morogoro. Mara nyingi ilikuwa tukimaliza kucheza kombolela, jioni tunaanza kushindana kuimba nyimbo hizi. Udogo, raha sana! Stress free
Yeah Old is Gold🥇
Kweli Sasa nimekua naona shida nyingi duniani! Wakati kazi yangu ilikuwa kucheza na kupika ugali wa tope! Asante Sana Maquis original!
Those days life was good yawa
Daaaa namkumbuka sana marehemu baba yang alikuwa anaimba hadi rahaa huku mm nikiwa nacheza ewe mola wangu mpunguzie adhabu za kabrii baba yngu na wote walotangulia mbele za haki amiin amiin
Nakumbuka mbali sana nikisikiliza nyimbo hizi maisha yametufanya tupotezane na Jamaa tuliokuwa nao pale kijini ndugu tuliokula pamoja sahanimoja kulala pamoja kwenye mkeka nakumbuka sana Nyumbani
Sijui nini kiliusibu muziki huu wa dansi wa aina hii mpaka kufa dah naumia mwenzenuu
Wakati nikiwa mdogo sikuwa na jali shida wala raha hizi nyimbo unaweza kuishia kulia ..aloot of memories......
Miziki hii huwa yanikumbusha mbali saaaaaaana. Enzi ambazo maisha yalikuwa ya gharama ndogo, ugaidi ulikuwa nadra saaana na watu walikuwa na umoja saaana.
😢
True kabisa my friend
Kweli. Mambo yalibadilika. Shida tu.
Machozi yananitoka Jaman nikiwakumbuka mrehemu wazazi wangu. Mungu aweke mahali pema na kuwasamehe mazambi yao.. Mm nimekua kiongoz wa familia dah Dunia kweli mapito
Pole Mwinyi Kadhi
"Hata Baba Mungu pia aliumba dunia,
binadamu na viumbe vingine, alifanya kazi"
❤❤❤
My father made me addicted with such kind of songs☺️😊 any body at 2020?😅😅 hiz nyimbo zina rakha yake buana😍
Wewee am 1 of them on my 40s!.
Yaani nikisijiliza hizi nyimbo Zazamanni na mwona babangu na wazee waeika yake wakidance kweli hunipeleka nbali
Namkumbuka JULIUS NYAISANGA (UNCLE J)na kipindi cha MISAKATO akitoa nyimbo mpya zilizochezwa hadi soksi kuvuka na kiatu kubaki palepale
Ndugu sote tunaozikumbuka nyimbo hizi tumushukuru sana Mungu,kwani wenzetu wengi ulishatangulia.
Kweli ningekuwa mdogo nisingejua hata tatizo la COVID - 19, Mungu awabariki popote kina Nguza, Kitima na wengine
I'll forever miss my late father. Whenever I hear this I see him.
Timeless one. Takes me back to the days of Billy Omalla of then VoK. He always played this song and we sat back to enjoy it. May his soul rest in peace.
Namkumbuka marehemu mama yangu asia darueshi alikua akiimba bend hii mungu amsamehe makosa yake na amuweke mahali pema amin
Mwinyi Kadhi amiin
Ameen
@@happybalo5188 Amen duh dunia mapito ndugu yangu
I remember the days my Father used to listen to such songs on his Philips radio .Now he is dancing with the angels.You are greatly missed dear Dad
memories
Don't say more my sister. I can relate to this like it was yesterday. Phillips 📻 was the word. Rest with the angels to our dads
Their was a a radio station called Rwanda- Burundi playing this songs.,.that was in1979.….my father had redio sanyo chui.
@@andrewmaranga2335ama
Look
2022 still bado inavuma
It is 9th January,2021, 16 years since I got a very bad bus accident but survived and listening to this golden old music of Marquis Original 80's. It reminds me the primary school life.
Nzuri sana, inanikumbushana mbali sana, Mungu wabariki wanamuziki hawa popote walipo.
Reminds me of Voice of Kenya (VOK) in the 80s. Watangazaji waliobobea zama hizo kama akina Sophie Clay, Gladys Erude, Amina Faki, Elizabeth Obege, Eddy Fondo, Anunda Sakwa na wengine
GODFFREY OLALI nilikuwa nasikiliza sana Radio Kenya KBC umenikumbusha mbali na majina hayo. Best ya muziki imekwisha sasa ni kelele na matusi .
Safi sana nakumbuka miaka ya 1980
Exactly my thoughts.Thanks Godfrey
Wacha tuu
Kina sofi ikeye
Nakumbuka enzi hizo Njombe tunaishi maisha mepesi sana, so innocent!Tunakusanyana the whole family tunaisunguka radio kusikiliza these kind of musics!Nostalgic!If only I could turn back the hands of time…….!
Wakati nilikuwa mdogo sikujua kama kuna shinda wala sikujua kama kutakuwa na BBI.Reminds Mr M.D.J Eddy Fondo. Radio rhumba DJ
Memories, are made of this when radio was the only entertainment
Erick Mwiti ....ni mimi wenu Omuga Kabisae...nikiwaletea muziki wa adhuhuri....nostalgia bro!
@@collinsopiyo9699 Muziki wa adhuhuri, I miss those programs.
Mungu awaweke mahali pema peponi amina
We played this song on that sad afternoon, on 6th March 2021, we had just laid dad to rest. I lost hope and felt unbearable grief, yet today I am still here. Learning to live with the loss and navigating a new life in the USA. Muziki wa zama unavuma.
It's been two years.....na kuepuka siwezi..usinicheke...
Pole Christine
Pole sana jipe moyo mkui
Ujumbe na ala. Sio leo mwendawazimu anaingia studio na kutoka na kitu kinachoitwa muziki
What a time that was. I was a clueless innocent kid and my dad used to play these songs on his National Memory Q cassete player
My dad used to listen this song 🎵 when I was a young boy and interestingly I also loved it! But most of the children in todays life only 2% can recognise this as good music; but the fact remains.... old is good, and even gold sometimes 😂
Utunzi uliosakafiwa kwa ufasaha, Madoido na mbinu za hali ya juu.
when music was real
Duniani tunapita,,tutawakumbuka daima,,utunzi ulijaa ukweli,nimekumbuka mbali sana miaka hiyo tukiwa tunaishi Mtibwa Sugar.......
Saxophone🎷🎷 🎷 na trumpet 🎺🎺🎺 nazo zimeongea sana 🙌🙌🙌
This is the best music ever, when I'm down I switch on to this kind of stuff and it brings back my whole self. Old is gold.!!!
This takes me back to the good old days when my father was alive,,with his Sanyo Box radio...when life was ❤❤❤
Muziki moja mzuri sana. Mungu ilikuwa katikati yao hawa wataalam
Hongera sana
Zina ishi, maana alitunga kwa kuzingatia matukio halisi sio ya kufikiria kama sasa,wali beba uhusika ktk swala zima la utunzi na kigezo kikuu ni nidhamu kilihusika,vija wa sasa wame kosa ubunifu wame baki kuwa wakalilifu tu vya wenzao na uvivu wa kufikiri
Seasons pass but such pieces survive for eternity
Pure gold. From the golden era of East African music 👏🏿👏🏿👏🏿🔥🔥🔥🔥🎺🎺🎺👌🏾👌🏾👌🏾👍🏾👍🏾👍🏾
Kwa vijana wa jana
When music was music
Riminfs me of My late parents! Playing this song in aphilips kinanda!
Power Nguzo, we thank you so much for taking us back to our childish memories, though now we are grown up we witness the reality. God bless you. However, if you can give us the list of those involved in preparation and production of this great work we will be thankful.
Wadungu wenzangu, kila wakati ninapo u sikia wimbo huu akili urundi reverse mpaka mwanzo wa maishani wakati nilikua mdongo. Haki nampa huyu Makumbele Lulembo marks mengi zaidi kwa utunzi wake kibao. Bado pia naulumbuka wimbo wake "Makumbele na pia Makumbele no 2 habao naupenda sana. Makumbele juu juu zaidi
Am a parent now I used to like the music so much upto nowadays
Hii ni Maquis original na sikinde yaani kwa yaani kwa Dunia ya leo ni kama diamond na ally kiba waungane watoe kitu. haiwezekani.zamani lkn zamani iliwezekana kwa wazee wetu .
Udogo wangu miaka ya 80 hapo kizingo Mombasa baba alikuwa akifungulia RTD mwendo wa saa saba mchana baada ya Habari nyimbo ni hizi. Kweli walikuwa wanamuziki wa kweli.
Kila nisikilizapo hizi nyimbo huwa nakumbuka Enzi zile tunatengeneza magari ya waya, matairi ya ndala. Enzi zile tunatengeneza mipira ya manailoni. Enzi zile tamu, Enzi zileeeee RTD is the big thing in town. Mungu wangu nasikia machozi yanakaribia kunichuruzika..
😂😂😂😂😉
Kweli kabisa hayo magari ya waya!
Umesahau namalingi
John Lunyamila . Sana.lakini Mimi wakati huwo naishi Dar kinondoni mwaka 1992 nafanya Nazi ZAMCARGO
Umesahau magari za mikebe pia,kandanda na mipira za nylon kweli umenirudisha miaka ya themanini.wazee hukumbuka.
This song win mind joy and it takes my memory back in early 90s nilikuwa namsikia mama yangu akiimba sana wimbo huu mara nyingi akiwa anajifanyia kazi zake. Baadae nikawa nausikia kwenye kipindi cha lala unono from RTD.
2020 still hitting airwaves, dedication to my late father and elder brother, you made me addict to such music RIP
majuto huja nyumae because you think when young depending others later you will also pay back either sorrows or happiness!!!!!
WAKATI MUZIKI UNGALI MUZIKI..
wau mmziki ulio pelekwa shule, mziki umekomaa,
Power Nguzo nakushukuru sana jinsi unavyotuburudisha na kutukumbusha enzi zetu sisi wa 45+. Sasa nisaidie kutuwekea wimbo wa TOT Band (Achimenengule) chini ya marehemu Banza Stone,jina nimesahau ila walikuwa wanaimba "SINA UKOO MIMI SINA NDUGU WA DAMU WALA KABILA WALA UBINI ....."
Nikisema dunia haipo Tena msinibishe
Sikia sauti zilivyotamu, vyombo vilivyopangika halafu ujumbe murua kabisa. Nilikuwa Sumbawanga miaka.hiyo kipindi km mchana mwema, jioni njema dah hizi zilikuwa golden days
bongo music started long ago,that's why even today they are ahead!
Exactly! They must have got their skills from these golden songs of the past!
Them days, so emotional na mafunzo kibao
Basi huu ni utunzi wake Makumbele Lulembo baada ya kuhutunga wimbo makumbele. Kweli alikua hodari kwa hutunzi wa nyimbo. Basi kazi kwenu kwa kuzikiza
RTD idhaa ya taifa, na idhaa ya biashara,.
Heko kwenu
Ukweli mtupu. Usinicheke ni wimbo una mawaidha ambayo yako valid even decade to come.
utunzaji shupavu,wimbo wavuma na bado uko na ladha hadi wa leo
This song makes me cry.
Aaaah.Sauti nyororo.Maneno mazuri.Tulikua tukiskiza kwa KBC Radio.muziki kweli chenye nashika roho.!!!!! Siku hizo mungu alikua karibu nasii.Leo hii janga tupu.!!!!!
This was when music was music strong message and great voices
Daah nimekuja huku baada ya baba yangu kunambya nije kuiskiliza kwel nimekuwa sasa nayaona ya dunia
Ama kweli sasa nimekuwa ndio naona shida nyingi duniani hawa Maquiz Waltona mbali
Jamani kweli siku hazigandi nikikumbuka enzi hizo weacha kabisa
our good presenters in vok like, brother said ali matano, gladys erude, mdj eddy vondo, etl used to play these numbers especially during salamu za mchana.
I think is one of best songs.
Nikisikiza nyimbo hizi natamani kuvunja hii micd yahawa wendawazimu wasasa wanaimba matusi tu
chacha Madini Kweli kabisa matusi yamezidi bila aibu utupu umezidi bila haya kelele tupu .
chacha Madini kabisa nyimbo zilikua zamani
Kweli kabisa siku hizi matusi tu
miaka hiyo ya 80's nilikuwa biharamulo.mama yangu alikuwa anaipenda Sana hii nyimbo.
Mimi nipo manyoni
wakati nilikuwa mdogo. those days growing up. the gmaes, the adventures and nothing to worry about. oh how time flies, machozi yananitoka
Nakumbuka Lang'ata
Hi
Hii muziki dawa ya roho, moiben Eldoret Kenya , December 1989
Ilikuwa raha sana enzi hizo
Nawakumbu wakati wanakuja kutumbwiza Kibaha MAPUTO INN ilikuwa sikosi kila wakija nimo nilikuwa naishi jirani na MAPUTO INN.
Fanya mambo kulinga na nawakati
Great composition, great vocals, great arrangement......
2020 mpoooo ?
Tupo
Aisee maisha yangekuwa yanarudi nyuma basi tu nakumbuka sana nilipokuja Naishi na babu yangu.
@@anipharajab3221 yaan we acha tuuu
This is the real music when men were men and money was money
Unaweza kulia ukisikiliza hizi leo hawa vijana hawajui muziki kwa kweli hatupati hisia zozote yani
Kazi ni uhai kwa kila binadamu toka enzi na enzii eee !!!!! Mziki mtamu sana!
Yah ni raha tupu nakumbuka Songea miaka ya 1980 nikiwa skuli tunaandaa chipukiz maonyesho ya sabasaba Ruvuma kwa Mara ya kwanza nilikutana na Kaka yangu mkubwa Abdallah Gama alipokuj songea na ddc mlimani park nilifurahi sana
It reminds me of my late dad na ile radio yake ya mbao
Radio 277
Pole Ray
Muziki wa adabu huu. Memories of childhood laid bear
Gone are the days, back in 2003
mazee hii nyimbo inanikumbusha nikisoma nrb racecource primary 80s wakati wa eddie fondo maquis u make my day sisemi zaidi.
Yaaaani huu mziki Mungu auinue tena jaman walifaidi sana walioucheza wakati huo yani mama zetu ss japotulikuwa wadogo sana lakini mm hadi maini hunikatika nisikiapo nyimbo hizi haswaa marijaaaaaan mwana wa rajaaabu Acha tuiles,,,
Baby Frank
luu
MUNGU awape tuu nema kwa Uzuri huu wanafunzo kwani hakuna mziki nzuri ulio bakia wakufunza ulimwengu waleo
kila ninapo sikia nyimbo hizi,,namkumbuka xana kaka yangu,fest bon,wetu,,kwa sasa hatukonae tena,,eee,,munguilaze roho za malehemu kaka zetu,, mahalipema peponi,,Amina,,
Joyce Moses .Pole sana.MR.A.Y.MSHANA
Joyce Moses . Mimi pia in First born kwetu na tuko9 Niko hai
Kweli nyimbo za zamani ni nzuri
Winbo unanikumbusha mbali sana
enzi zetu zilikwisha
Mungu awapumzishe Kwa amani, muziki wenu unadumu msiwe na shaka wazee
Wazazi wangu mpesa sahi sahi..😢
Nzuri sana hii nyimbo inanikumbusha mbali sanaa
I miss them days😢
We acha tu haya mambo matamu mno. Kitambo kile daa maisha sio kitu chochote. Unaweza kulia
ezi za Mwalimu.safi sana
inanikumbusha mbali inapendeza
Kweli kabisa
Nyimbo zinakumbusha mbali sanasana...jmn napenda kuzisikiliza nyimbo hz.Dah walifanya kazi nzuri sn
ORCHESTRE MARQUISORIGINAL. WAKATI NILIKUWA MDOGO
2022 bado ni my favorite song 🥰
Vitu Mature!