Technology yenu bado sana wakat ungekuwa na limashine flan yaan gari linaingizwa humo halafu mashine hyo inalisican lote na inatoa taarifa zote za gari km kuna kifa kimekosekana
Mimi napongeza jitihada za raisi wangu John Pombe Maguri kwa kuifufua bandari ya dar na kuongeza kina cha bahari. Maombi yangu kwa wafanya kaz wa hapo bandarin, iweni na moyo Wa uzalendo ili tuinue pato la taifa kupitia bandari hizo
Aaah...Hapo Ndio kwenye KINDUMBWENDUMBWE.....gharama za ulipaji haueleweki....! Magari mbelembele bei Rahisi Lkn ikifika hapo ni danadana zisizo na sababu...! INABIDI WABADILIKE’
Ningeshauri mpunguze milolongo..process zimekua nyingi mno..hata kama nia nikuongeza ufanisi lkn naamini mnawezafanya mambo kwa ufupi nakuokoa muda mrefu mno mnaotumia kwa ajili ya hizo documentation.
Yaani ndugu yangu magari mbelembele Sio INSHU kabisaaaaa....! Tatizo likifika BANDARINI Yaani utafikiri unakomboa DEGE au unakomboa mzigo wa haramu...! HAPO BANDARINI BADO KUNA MAMBO YA KITOTO SANA...!
Nimependa sana utaratibu huu, na vipindi kama hivi kutujuza habari za kazi na majukumu ya TPA sisi kama raia wa kawaida, zamani tulikuwa hatuyapati haya.
Tatizo hamwashikishi wateja mnatumia madalali ambao waongeza garama kama mteja ni kama analipa mapato garama ni nyigi sana kwa madali utafikiri unalipa ushuru
Wahusika TPA, Majibu bado hayajajitosheleza. Itapendeza mkitoa jibu sahihi kwamba endapo gari halina tatizo na nyaraka zote zipo sawa, Je, gari litatoka baada ya muda gani? Kwa uelewa wangu ni kwamba processes zote hizo TPA kwa kushirikiana na wadau wengine ilifanya utafiti na hatimae kuidhinisha utaratibu mliotuhabarisha kwenye video hii. Ni muhimu kujibu maswali kwa ufanisi kwani gharama za kutayarisha na kurusha video hii zioane na malengo yaliyokusudiwa. Nitashukuru kupata mrejesho ndani ya wakati.
Technology yenu bado sana wakat ungekuwa na limashine flan yaan gari linaingizwa humo halafu mashine hyo inalisican lote na inatoa taarifa zote za gari km kuna kifa kimekosekana
Mimi napongeza jitihada za raisi wangu John Pombe Maguri kwa kuifufua bandari ya dar na kuongeza kina cha bahari. Maombi yangu kwa wafanya kaz wa hapo bandarin, iweni na moyo Wa uzalendo ili tuinue pato la taifa kupitia bandari hizo
Eka 2 na robo zilizolimwa mwaka Jana, Ila tuliongeza robo tatu eka Amina anazijuw, jumla kuwa 3
Now I see why storage charges zinakua nying too much beaucracy
Unaweza kutoa mzigo bandalini bila kulipa kodi za Tra au VAT
At least kidogo sana mnahamasosha lakini boresheni mifumo mpunguze milolongo mingi sana,
Nyie mmeitwa waizi na tulia speaker wa bunge kwa hio tunasubiri Dp
Tunaomba kujua bei ya kutolea gari kulingana na aina ya gari na umri wake. Mbona hua hamjiweki wazi kwa Hilo????
Aaah...Hapo Ndio kwenye KINDUMBWENDUMBWE.....gharama za ulipaji haueleweki....!
Magari mbelembele bei Rahisi Lkn ikifika hapo ni danadana zisizo na sababu...!
INABIDI WABADILIKE’
Mlolongo mrefu hauna msingi wowote wakati ukisha lipia mambo yote yanakuwa kwenye system nenda rudi mnasumbua tu wateja
Ningeshauri mpunguze milolongo..process zimekua nyingi mno..hata kama nia nikuongeza ufanisi lkn naamini mnawezafanya mambo kwa ufupi nakuokoa muda mrefu mno mnaotumia kwa ajili ya hizo documentation.
Nimewapata barabara kabisa.
Nina swali, Process zote zinatumia mda gani ?
Mlolongo mwingi wa process unasababisha kuwepo RUSHWA corruptions bandarini
Document nyingi sana fanyeni utafiti kupunguza hizi document kuokoa pesa za kununua hizi karatasi
Mnasachi kizamani hamna atambwa kama Kuna madawa utajuaje mnacheza nyie
TPA inamazonge ming ya kutoa gar argent abazunguka mpka anaisomba number kwa upande wa argent anapata shida sna kufatilia prosses
Naomba kuuliza gharama za kulipia gari ndogo kama ist ni sh.... Ngapi maana nimeona Japan gari zinaonyeshwa hadi bei ya kununua
nimekupata
Yaani ndugu yangu magari mbelembele Sio INSHU kabisaaaaa....!
Tatizo likifika BANDARINI Yaani utafikiri unakomboa DEGE au unakomboa mzigo wa haramu...!
HAPO BANDARINI BADO KUNA MAMBO YA KITOTO SANA...!
Nimependa sana utaratibu huu, na vipindi kama hivi kutujuza habari za kazi na majukumu ya TPA sisi kama raia wa kawaida, zamani tulikuwa hatuyapati haya.
Tatizo kuna taasisi nyingi. TBS.TPA .Starage.Nk punguzeni Paper work..
Naomben namba ya cm kwa mawasiliano zaid
Yote mliyoyasema sawa Tatizo NI usiri WA ushuru gari zote zinajulikana uzito WA engine gari NI ya mwaka Gani sasa kwa nini ushuru NI Siri???
Process jinsi ya kutoka kuagiza au namba za cm
Tatizo hamwashikishi wateja mnatumia madalali ambao waongeza garama kama mteja ni kama analipa mapato garama ni nyigi sana kwa madali utafikiri unalipa ushuru
Hivi NI lazima kumtumia ajenti wakati WA kutoa gari????
Too many processing documents
How to make a payment?
By credit card payment or cash payment?
Jamani samahani naombeni kuuliza
Refrigeted fuso trucks
too many documents
"Process" ya kutoa mzigo inategemea uwepo wa nyaraka zote muhimu kwa wakati na endapo zipo tayari ndani ya muda mfupi mzigo unahudumiwa kwa wakati.
Online Bandari TV Bandari TV kuuliza sio ujinga jaman gali inakua na ghalam gani. kuingiza tz maana tunatishia sana mitaana uku
Wahusika TPA,
Majibu bado hayajajitosheleza. Itapendeza mkitoa jibu sahihi kwamba endapo gari halina tatizo na nyaraka zote zipo sawa, Je, gari litatoka baada ya muda gani?
Kwa uelewa wangu ni kwamba processes zote hizo TPA kwa kushirikiana na wadau wengine ilifanya utafiti na hatimae kuidhinisha utaratibu mliotuhabarisha kwenye video hii.
Ni muhimu kujibu maswali kwa ufanisi kwani gharama za kutayarisha na kurusha video hii zioane na malengo yaliyokusudiwa.
Nitashukuru kupata mrejesho ndani ya wakati.
punguzeni milolongo,mbon kutoa contena simpo tu
Gari ikiwa mbovu mnafanyaje kwa mteja?
Noah mbei gani nataka gari
Refrigeted truck
Mbona bado hamjaweza kudhibiti wezi wanaoiba matairi
Waibaji Ni waliomo kwenye mfumo hawawezi kujikamata