BINTI MDOGO WA KIZANZIBAR DEREVA WA MALORI MAKUBWA / KAACHA KAZI YA UTANGAZAJI TV/RADIO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 сер 2023
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

КОМЕНТАРІ • 180

  • @AshaSeif-zb1ry
    @AshaSeif-zb1ry 24 дні тому +1

    Mashallah mungu azid kukupa kipaji akuondoshee husda z walimweng

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 10 місяців тому +8

    Just like any other job Sumaiya. Take it the way it is. I really admire your confidence and personality. Kenyans loves you. Watching from Tucson Arizona UNITED KINGDOM

    • @salyali7807
      @salyali7807 10 місяців тому

      This is abusing to women.. there is nothing to congratulate you should feel sorry for her... she's been brainwashed and now she works like a .... may Allah guide her

  • @officialshoty8436
    @officialshoty8436 10 місяців тому +5

    Hongera sn Sumayya... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤

    • @MTANGITHABITI-iw3qy
      @MTANGITHABITI-iw3qy 10 місяців тому

      Nimependa Xn iyo Yani yani hata unavyo ongea unaongea kwakujiamini xf Xn

  • @daktari_mtangazaji
    @daktari_mtangazaji 10 місяців тому +8

    Kila hatuwa Dua, mungu akusimamie katika maisha yako.

    • @FatmaMohammed-ry8yo
      @FatmaMohammed-ry8yo 10 місяців тому +2

      Mashaallah tabarakallah Allah akulinde akuongoze natamani nami niendeshe

    • @daktari_mtangazaji
      @daktari_mtangazaji 10 місяців тому

      @@FatmaMohammed-ry8yoInawezekana ni kwenda kusoma tu

  • @nassirshaib6651
    @nassirshaib6651 10 місяців тому +4

    Upo vizur mdogo wangu pambana usikate tamaa❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 10 місяців тому +3

    Mungu akutangulie na akuepushe na wanao husudu in shaa Allah

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 10 місяців тому +3

    KTV TZ, naomba mawasiliano yenu, for advertise, thanks

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 9 місяців тому

    Na unga mkono wanawake wote wanao kutoa na kuto kujali jinsi a. Nakupenda wewe. Wanawake tunaweza tu kujiamini na kupewa chance.
    Hongera dada.

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 10 місяців тому +2

    Umejikaza my wanawake tusonge mbele Kwa maendeleo sio umbea😍

  • @user-si3ey6uu1g
    @user-si3ey6uu1g 10 місяців тому +6

    Hongera xn sumaiya kwa kuwa mwanamke wa kwnza znz kuendesha gr kubwa allah akufnyie wps ktk maisha yko.

  • @salyali7807
    @salyali7807 10 місяців тому +2

    Hii ni kudhalilisha wanawake.. hizi kazi nzito ni za wanaume.. wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu kama hizi... Wanawake amkeni hizi kazi waachieni wanaume watumike .. in the long run kazi hizi zitavunja afya zenu.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 10 місяців тому +2

      Wanadanganyana wapo Jihadi, mimi mwanaume sitaki kuteseka kusaka chakula changu cha siku, imenilazimu tu, Allah ameshapanga mja wake, natamani niishi kama niko peponi ila haiwezekani, sitaki kusukuma rikwama ama semitela.
      Inakuwaje tena wanawake wameumbwa watumikiwe, wanalala zege, maziwa magumu kama ubao, wanajiona wapambanaji, wanafurahia mateso. Hawajitambui.

    • @allytindigwa7647
      @allytindigwa7647 10 місяців тому

      Hongera sana,na hongera kwa Familia hii.❤❤❤❤❤

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 10 місяців тому +4

    Good job my sister Salam zangu kutoka USA marekani

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 10 місяців тому +1

    Wazanzibar ni wachapa kazi simunamuona na mama samia

  • @officialshoty8436
    @officialshoty8436 10 місяців тому +2

    Hongera sn best... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 10 місяців тому +14

    Allah akupe kazi ya stara utakayostirika na utakayoeza kuvaa mavazi mazuri ya kiisilam, amiin

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 10 місяців тому +1

      Ovyooo

    • @mwigaadam1179
      @mwigaadam1179 10 місяців тому

      Kwani hii sio ya stara au??

    • @thadeimatenga4397
      @thadeimatenga4397 10 місяців тому

      Acha unyanyasaji wa kijinga.

    • @salyali7807
      @salyali7807 10 місяців тому +3

      Nikweli kabisa.. kila kazi zina mipaka yake... kwa mwanamke kufanya kazi hizi ni kujidhalilisha tu na kuumizwa afya zao... wanawake amkeni hizi propaganda zinafanya wanawake kuwa slaves wa ulimwenguni

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 10 місяців тому

      ​@@thadeimatenga4397mhmm

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 10 місяців тому +6

    Maisha popote ndugu yng ajira ya sasa ujiripua popote penye uhalali tu jitahidi utatimiza ndoto zako life it's performances it's gose rass

  • @hemednassor2362
    @hemednassor2362 3 місяці тому

    mashAllah yuko vzur leo tu nimemuona na semitraler lake

  • @khadijauledi3293
    @khadijauledi3293 10 місяців тому +1

    Hongera sana, umeshuka kwenye gari nimeona hujavaa viatu sahihi vya kuendesha gari, viatu vya kufunika, (UKUMBUSHO)

    • @firdaus7428
      @firdaus7428 9 місяців тому

      Comfortable shoes is very important when you’re driving. Very good recommended.@Khadijauledi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 місяців тому

    Huyo ni mwanamke wa shoka mnyamwezi mnzanzibar mchapa kazi sanaaaa kweli utumwa ulikuwa mwingi sana ukawapa nguvu sana wanawake jeshi kubwa mungu amsaidie sana huyu mnyanwezi mnzanzibar

  • @user-kb3dz5lr1s
    @user-kb3dz5lr1s 10 місяців тому

    Mashaallah allah akudhidishie nakupe wepes zaidi katika kazi zko

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 10 місяців тому +2

    Allah akufanyie wepes pia usimame na mungu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 10 місяців тому +1

    Hongera mdada japo ni lidude la barabaran jitahid urushe ndege tena

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 10 місяців тому +1

    Hongera dada mi naona huku nilipo wanawake wanaendesha mabasi makubwa na magari ya mizigo

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 10 місяців тому +10

    Binti huyu namshauri atafute viza aende Canada akaombe kufanya kazi hiyo. Wapo Wanawake wengine Waafrika wanafanya kazi hiyo. Wanalipwa hela nyingi sana $40 kwa saa. Ni zaidi ya Sh.Milioni 20 kwa mwezi au sh.Milioni 5 kwa wiki. Wanalipa kwa wiki. Lakini kabla hajaenda huko ughaibuni anatakiwa aje huku bara atakutana na wanawake wenzake wengi wanaosafiri masafa narefu kama Congo. Rwanda, Zambia nk. Akishazoea hapa bara then aende zake Marekani au Canada. Nampongeza binti yetu huyo wa Kitanzania. Mungu ampe mwanga zaidi.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 місяців тому

      Wanalipwa hyo lkn pesa yote hio inaenda kwenye matumiz pakulala kula na huduma nyingi binaadam

    • @daktari_mtangazaji
      @daktari_mtangazaji 10 місяців тому

      @@malak-lz6kx😅😅😅 ndio lengo la kupata hela aty ili uweze kujikimu hizo zote haziwezi kuisha kwa icho unachosema wewe lazima itabakia ya save

    • @prosperintlwealthcompany8885
      @prosperintlwealthcompany8885 10 місяців тому

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 місяців тому

      @@daktari_mtangazaji 🤣🤣🤣

    • @sakinaamani1486
      @sakinaamani1486 10 місяців тому

      Tena anatakiwa aondoke mara moja vile wame m expose asije akawa kama yule mma wakamkata mkono n wabaya baadhi ya wanadamu

  • @mrishotufu6859
    @mrishotufu6859 10 місяців тому

    Wanawake nawakubali sana kwanza nimajasiri nimewaona wakimlinda ayati kadhafi walibia mungu amùweke mahalapema pepuni

  • @aziza9093
    @aziza9093 10 місяців тому +1

    Mwnamke huwamakini sana kwkilajambo Allah akulida

  • @user-wq2xy5mw1z
    @user-wq2xy5mw1z 10 місяців тому

    Mashaallaah my sister. Uko vinzuri mungu akubariki sana 🙏

  • @user-hv3uy6fp3w
    @user-hv3uy6fp3w 10 місяців тому +1

    Allah akusimamie kipenz akulinde na Kila baya 🙏

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 10 місяців тому +1

    MASHA ALLAH NICE ALLAH AKUBARIK

  • @user-gx3sg3mf3z
    @user-gx3sg3mf3z 10 місяців тому

    Safi sana dada pambana hiyo ni kazi kama kazi zingine mungu akubariki

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 10 місяців тому

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAH Akuhifadhi Ya Rabb. AMIIN

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 10 місяців тому +1

    Ni kweli sio maderava hawajasoma. Bali ni uderava ni kazi kama kazi nyengine

  • @habibukabwanga4908
    @habibukabwanga4908 9 місяців тому +1

    Hongera sana mama

  • @nooraomar2510
    @nooraomar2510 9 місяців тому

    Maashaallah Allah akuzidishie kipaji chako

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv4753 10 місяців тому +3

    Congratulations ❤🎉🎉🎉

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 10 місяців тому

    Hongera sana Sumeiyah kwa ujasiri mkubwa Allah akupe Imani na ujasiri wa hali ya juu zaidi sasa wewe hutaki kuomba kijora kwa mume wako yeye jee akiomba kikoi utamnunulia?😂😂

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 10 місяців тому +1

    Nimesoma nae chuo cha udereva mbweni znz
    Tulikuwa tunafanya try pamoja
    Ana vituko uyoo

  • @ahmedbambo2673
    @ahmedbambo2673 10 місяців тому +2

    mungu akusimamie katika ndoto yako dada

  • @bosskaree49
    @bosskaree49 9 місяців тому

    Allah akufanyie wepes katika kazi zako

  • @nasibmbuguni5613
    @nasibmbuguni5613 10 місяців тому

    Dada hongera sana pambana na maisha vizuri sana

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 10 місяців тому

    Mashaallah 🥰 pambana Allah atakusaidia inshaAllah 🤲

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 10 місяців тому

    Hongera sana piga kazi maisha magumu

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 10 місяців тому +1

    Kwa Zanzibar mageni lakini kwa huku ulaya wanawake wanaendesha hadi ma train 🚊 tax na kila kitu

  • @muhammadmagtuf714
    @muhammadmagtuf714 10 місяців тому

    Allah atakujaalia mume wa kheri in shaallah biidni Allah ❤

  • @arafamke
    @arafamke 10 місяців тому +1

    Masha Allah akukinge na husida my

  • @dullahmuhamed3781
    @dullahmuhamed3781 9 місяців тому

    Kila laheri kwakweli mungu akutangulie suiya

  • @mohddelo
    @mohddelo 10 місяців тому

    Hongra sana umeweka historia ya zanzibar

  • @nassorphamadi6065
    @nassorphamadi6065 7 місяців тому

    Nice good job

  • @wardajumaa1272
    @wardajumaa1272 10 місяців тому +1

    Mungu akusaidie dada

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 10 місяців тому +2

    Ni kweli sio kama Kila dereva Hana elimu. Ukweli haya ni maamuzi tunya mtu.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 місяців тому

    Hongera sana mtoto wa kinyanwezi wa zanzibar kweli watu wa bara wanawake wa bara wanafanya kazi kubwa sana ungekuws mwanamke wa kiarabu halisi usingeweza wengi wao laini laini

    • @user-ps7ej3ep4e
      @user-ps7ej3ep4e 10 місяців тому

      Ss uarabu na unyamwez umetoka wp Hapo

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 місяців тому

      Sio tatizo hlo vo tatizo ss waume zetu wanajua wajibu wao uyo engelikua ana mume wakumtunza kiislamu hta ilo gar asengeliendesha lkn maisha yamemfanya hvo kuwa ulaini sasa hpo tuwe bamba la kobe au

  • @kassimabu9420
    @kassimabu9420 22 дні тому

    Good job

  • @fifo262
    @fifo262 10 місяців тому +1

    Hongera my ❤

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t 9 місяців тому

    Maashaallah. Maashaallah maashaallah Baaraka llahu feek

  • @greysonsanga
    @greysonsanga 6 місяців тому

    The hero women congrats

  • @nadiaali9147
    @nadiaali9147 10 місяців тому +1

    Mashaallah ❤

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 10 місяців тому +1

    Big up

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 9 місяців тому

    Magari ya aina hiyo kweli yalikuwa hayapo hapa Zanzibar lakini wapo waliokuwa wanaendesha Malori kama Bi Sada Ibrahim Makungu.

  • @munalove450
    @munalove450 9 місяців тому

    Mashaallah ukhuty sumy😘😘😍😍

  • @saidwayawaya5356
    @saidwayawaya5356 10 місяців тому

    Hongera sana my sister

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 10 місяців тому

    Hay maisha hatujayazoweya waznz lakini nikawaida kwa nchi nyengine inatemea nguvu yako na akili yako piga kazi mazali halali

  • @omarfauz1877
    @omarfauz1877 9 місяців тому

    Hongera allah akupe wepesi

  • @ZamdaMisembe
    @ZamdaMisembe 10 місяців тому

    Mashallah 🙏 chamsingi kaz iwe ya Halali

  • @user-zn9xo4pk4p
    @user-zn9xo4pk4p 10 місяців тому

    tunaweza hongera

  • @abubakaradnan4689
    @abubakaradnan4689 9 місяців тому

    Sio kweli sio mzanzibar ila ameishi sana Zanzibar na kama utamsikiliza kwa makini kiswahili chake kinatafauti baadhi ya maneno.

  • @hassanadam3007
    @hassanadam3007 10 місяців тому

    Haile silas iko kila pahali❤❤❤

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 10 місяців тому

    Mashallah Maisha kujiamini na kuto kataa tamaa❤

  • @ibra.mstudingfile8584
    @ibra.mstudingfile8584 10 місяців тому

    Mashallah kijana mpambnaji
    Mume nipo hapa 😊😊

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 9 місяців тому

      😂mume wewe kwio???😂😂😂

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 9 місяців тому

    No.. mwanammke wa kwanza kuendesha lorry ni bi njiwa jamani.huyo atakua wa pili. Tunakuombea kila la kheri sist...Allah akulinde.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 10 місяців тому

    Mashalla Allah ❤

  • @KIMALEX254
    @KIMALEX254 9 місяців тому

    😊😊kenya ni kawaida ata ni wengi,

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 10 місяців тому

    Fanya kz dd usiogipe maneno ya watu,jitume kwa jitihada zaidi

  • @SurprisedDrill-ky9fi
    @SurprisedDrill-ky9fi 11 днів тому

    Hondera sana ila kama kuna uwezekano hio gari yako badilisha hilo jina la mbele(MAN)

  • @nassorphamadi6065
    @nassorphamadi6065 7 місяців тому

    Please tunatak chuo cha uderev wa track apo zanzibar

  • @allywawete5769
    @allywawete5769 9 місяців тому

    God job

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 10 місяців тому +1

    Welldone sister natamani kukwajili kwenye magari yangu.

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 10 місяців тому

    Ongera sana

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 10 місяців тому

    Maashallah

  • @lacksonnyika3770
    @lacksonnyika3770 10 місяців тому

    Good fighting

  • @utaani1
    @utaani1 5 місяців тому

    Mwanamke ambae ana income hata ndogo humuwezi kwenye ndoa. Mimi yashanikuta si kama nimesikia . Nawaonya wanaume ambao wanataka mwanamke mwenye income. Mwanamke hata kama ana income basi income yake hatodaidia chochote ndani ya nyumba na mwisho hata muda wake atakuwa hakupi ataanza dharau kibri jeuri na haki yako ya ndoa mume atakuwa hakupi

  • @josephsureeliajosephmion9997
    @josephsureeliajosephmion9997 9 місяців тому

    Right

  • @muhammedislam4875
    @muhammedislam4875 10 місяців тому

    Ktv tz niliwamiss

  • @salumbinabed6906
    @salumbinabed6906 10 місяців тому +1

    Usipinge nikweli tunaongoza kuvunja Sheria sio barabarnitu sehemu zote

  • @khadijajuma7873
    @khadijajuma7873 10 місяців тому +1

    Ongea kizenja bana. Onaongea kishua sana😊

  • @zuhura.suleimanmwamwari3083
    @zuhura.suleimanmwamwari3083 10 місяців тому

    Kenyani jambo la kawaida hongera

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 10 місяців тому

    HONGERA SANA BINTI HAKUNA LISILO WEZEKANA FANYA KILE UNACHOKIFIKIRI UTAWEZA NDIO MAISHA HSKUNA ALIZALIWA DEREVA AU OPP PIGA KAZI SONGEA MBELE NA MAISHA NI HAYOHAYO

  • @aminsnassibu8748
    @aminsnassibu8748 10 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 10 місяців тому

    Hili gari ni Tanzania na Sumaiyya ni Mama Samia ko wanawake wanaweza

  • @mchawaamanmchawa593
    @mchawaamanmchawa593 10 місяців тому

    Hongera ila usilewe sifa

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 7 місяців тому

    Go to Saudi Arabia....

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 10 місяців тому +1

    Wanawake wakizanzibari kazaneni mufanye kazi msikae tu mume lete. Pesa yako Ingraham zaidi kuliko ya kugaiwa.

    • @fifo262
      @fifo262 10 місяців тому +1

      Acha ujinga wewe

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 місяців тому +1

      ​@@fifo262UJINGA WAKE NINI??

    • @abdulhamidmusa8962
      @abdulhamidmusa8962 10 місяців тому +1

      @@salimmalaka256 haya mambo yanaharibu sana jamii ..hasa ya kislamu na tatizo linaanzia kwenye wanaume kuwajibika na kuwapa haki zao ....io nia aibu sana.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 10 місяців тому +1

      Mwehu wewe.
      Unaona kutoka mapema alfajiri kutafuta kibarua ndio maisha ya peponi?

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 місяців тому +1

      Alhmdullah mumewng anajua wajib kwa mungu wke mwanamke anafanya kaz lkn sio hzi . Alafu wanaume wakiwatesa kimaisha mnaonewa kumbe mnapenda

  • @user-kf9hd8lh2m
    @user-kf9hd8lh2m 10 місяців тому

    Najikuta napata nguv ya kupambana 😂

  • @user-gt1os3oh9h
    @user-gt1os3oh9h 10 місяців тому

    KTV TZ nawez kupata nmb yenuu au nmb ya huyu derev sumaiya

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 10 місяців тому

    Huko ni mshangao ila wachina na nchi nyenginezo warembo ndio kazi zao hizo kazi kazi

  • @zanzibartvonline
    @zanzibartvonline 4 місяці тому

    mm sijakushauri kwakazi hiyo

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 10 місяців тому +1

    Mtume anasema,ukikosa haya fanya upendavyo

    • @AliAli-lw9bj
      @AliAli-lw9bj 10 місяців тому +1

      Na pia kasema. Kutafuta rizik ya halali basi ni Jihadi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 місяців тому +3

      KUFANYA KAZI SIO KUKOSA HAYA HATA WAKATI WA MTUME WANAWAKE WALIFANYA KAZI MUHIMU KAZI YA HALALI NA MAVAZI YA STARA.

    • @abdulhamidmusa8962
      @abdulhamidmusa8962 10 місяців тому +1

      Hakuna mazingira ya kufanya kazi mwanamke wa kiislamu kwenye magari ya kontena...so stara hata kidogo na heshima yake itashuka.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 10 місяців тому

      ​@@AliAli-lw9bj Jihadi gani kuuza vitumbua maziwa nje, acheni kuwadanganya wanawake mkawapa matumaini ya shetani 😈

  • @nassorphamadi6065
    @nassorphamadi6065 7 місяців тому

    Hicho ndiy kiliyo chetu

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 10 місяців тому

    mhmmm haya

  • @user-zn9xo4pk4p
    @user-zn9xo4pk4p 10 місяців тому +1

    hii tv ipo bdo

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 10 місяців тому

    Sasa kama si muhuni ungeweza kuendesha magari kama hayo, mwanamke mwenye heshima yake hawezi kufanya hivyo

    • @daktari_mtangazaji
      @daktari_mtangazaji 10 місяців тому

      😂😂😂 acha wivu na chuki Binafsi, au amekuibia mume wako 😜😜😜