BINTI MDOGO WA KIZANZIBAR DEREVA WA MALORI MAKUBWA / KAACHA KAZI YA UTANGAZAJI TV/RADIO
Вставка
- Опубліковано 10 сер 2023
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Mashallah mungu azid kukupa kipaji akuondoshee husda z walimweng
Just like any other job Sumaiya. Take it the way it is. I really admire your confidence and personality. Kenyans loves you. Watching from Tucson Arizona UNITED KINGDOM
This is abusing to women.. there is nothing to congratulate you should feel sorry for her... she's been brainwashed and now she works like a .... may Allah guide her
Hongera sn Sumayya... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤
Nimependa Xn iyo Yani yani hata unavyo ongea unaongea kwakujiamini xf Xn
Kila hatuwa Dua, mungu akusimamie katika maisha yako.
Mashaallah tabarakallah Allah akulinde akuongoze natamani nami niendeshe
@@FatmaMohammed-ry8yoInawezekana ni kwenda kusoma tu
Upo vizur mdogo wangu pambana usikate tamaa❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu akutangulie na akuepushe na wanao husudu in shaa Allah
KTV TZ, naomba mawasiliano yenu, for advertise, thanks
Na unga mkono wanawake wote wanao kutoa na kuto kujali jinsi a. Nakupenda wewe. Wanawake tunaweza tu kujiamini na kupewa chance.
Hongera dada.
Umejikaza my wanawake tusonge mbele Kwa maendeleo sio umbea😍
Hongera xn sumaiya kwa kuwa mwanamke wa kwnza znz kuendesha gr kubwa allah akufnyie wps ktk maisha yko.
Hii ni kudhalilisha wanawake.. hizi kazi nzito ni za wanaume.. wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu kama hizi... Wanawake amkeni hizi kazi waachieni wanaume watumike .. in the long run kazi hizi zitavunja afya zenu.
Wanadanganyana wapo Jihadi, mimi mwanaume sitaki kuteseka kusaka chakula changu cha siku, imenilazimu tu, Allah ameshapanga mja wake, natamani niishi kama niko peponi ila haiwezekani, sitaki kusukuma rikwama ama semitela.
Inakuwaje tena wanawake wameumbwa watumikiwe, wanalala zege, maziwa magumu kama ubao, wanajiona wapambanaji, wanafurahia mateso. Hawajitambui.
Hongera sana,na hongera kwa Familia hii.❤❤❤❤❤
Good job my sister Salam zangu kutoka USA marekani
Wazanzibar ni wachapa kazi simunamuona na mama samia
Hongera sn best... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤
Allah akupe kazi ya stara utakayostirika na utakayoeza kuvaa mavazi mazuri ya kiisilam, amiin
Ovyooo
Kwani hii sio ya stara au??
Acha unyanyasaji wa kijinga.
Nikweli kabisa.. kila kazi zina mipaka yake... kwa mwanamke kufanya kazi hizi ni kujidhalilisha tu na kuumizwa afya zao... wanawake amkeni hizi propaganda zinafanya wanawake kuwa slaves wa ulimwenguni
@@thadeimatenga4397mhmm
Maisha popote ndugu yng ajira ya sasa ujiripua popote penye uhalali tu jitahidi utatimiza ndoto zako life it's performances it's gose rass
mashAllah yuko vzur leo tu nimemuona na semitraler lake
Hongera sana, umeshuka kwenye gari nimeona hujavaa viatu sahihi vya kuendesha gari, viatu vya kufunika, (UKUMBUSHO)
Comfortable shoes is very important when you’re driving. Very good recommended.@Khadijauledi
Huyo ni mwanamke wa shoka mnyamwezi mnzanzibar mchapa kazi sanaaaa kweli utumwa ulikuwa mwingi sana ukawapa nguvu sana wanawake jeshi kubwa mungu amsaidie sana huyu mnyanwezi mnzanzibar
Mashaallah allah akudhidishie nakupe wepes zaidi katika kazi zko
Allah akufanyie wepes pia usimame na mungu
Hongera mdada japo ni lidude la barabaran jitahid urushe ndege tena
Hongera dada mi naona huku nilipo wanawake wanaendesha mabasi makubwa na magari ya mizigo
Binti huyu namshauri atafute viza aende Canada akaombe kufanya kazi hiyo. Wapo Wanawake wengine Waafrika wanafanya kazi hiyo. Wanalipwa hela nyingi sana $40 kwa saa. Ni zaidi ya Sh.Milioni 20 kwa mwezi au sh.Milioni 5 kwa wiki. Wanalipa kwa wiki. Lakini kabla hajaenda huko ughaibuni anatakiwa aje huku bara atakutana na wanawake wenzake wengi wanaosafiri masafa narefu kama Congo. Rwanda, Zambia nk. Akishazoea hapa bara then aende zake Marekani au Canada. Nampongeza binti yetu huyo wa Kitanzania. Mungu ampe mwanga zaidi.
Wanalipwa hyo lkn pesa yote hio inaenda kwenye matumiz pakulala kula na huduma nyingi binaadam
@@malak-lz6kx😅😅😅 ndio lengo la kupata hela aty ili uweze kujikimu hizo zote haziwezi kuisha kwa icho unachosema wewe lazima itabakia ya save
@@daktari_mtangazaji 🤣🤣🤣
Tena anatakiwa aondoke mara moja vile wame m expose asije akawa kama yule mma wakamkata mkono n wabaya baadhi ya wanadamu
Wanawake nawakubali sana kwanza nimajasiri nimewaona wakimlinda ayati kadhafi walibia mungu amùweke mahalapema pepuni
Mwnamke huwamakini sana kwkilajambo Allah akulida
Mashaallaah my sister. Uko vinzuri mungu akubariki sana 🙏
Allah akusimamie kipenz akulinde na Kila baya 🙏
MASHA ALLAH NICE ALLAH AKUBARIK
Safi sana dada pambana hiyo ni kazi kama kazi zingine mungu akubariki
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAH Akuhifadhi Ya Rabb. AMIIN
Ni kweli sio maderava hawajasoma. Bali ni uderava ni kazi kama kazi nyengine
Hongera sana mama
Maashaallah Allah akuzidishie kipaji chako
Congratulations ❤🎉🎉🎉
Hongera sana Sumeiyah kwa ujasiri mkubwa Allah akupe Imani na ujasiri wa hali ya juu zaidi sasa wewe hutaki kuomba kijora kwa mume wako yeye jee akiomba kikoi utamnunulia?😂😂
Nimesoma nae chuo cha udereva mbweni znz
Tulikuwa tunafanya try pamoja
Ana vituko uyoo
mungu akusimamie katika ndoto yako dada
Allah akufanyie wepes katika kazi zako
Dada hongera sana pambana na maisha vizuri sana
Mashaallah 🥰 pambana Allah atakusaidia inshaAllah 🤲
Hongera sana piga kazi maisha magumu
Kwa Zanzibar mageni lakini kwa huku ulaya wanawake wanaendesha hadi ma train 🚊 tax na kila kitu
Allah atakujaalia mume wa kheri in shaallah biidni Allah ❤
Masha Allah akukinge na husida my
Kila laheri kwakweli mungu akutangulie suiya
Hongra sana umeweka historia ya zanzibar
Nice good job
Mungu akusaidie dada
Ni kweli sio kama Kila dereva Hana elimu. Ukweli haya ni maamuzi tunya mtu.
Hongera sana mtoto wa kinyanwezi wa zanzibar kweli watu wa bara wanawake wa bara wanafanya kazi kubwa sana ungekuws mwanamke wa kiarabu halisi usingeweza wengi wao laini laini
Ss uarabu na unyamwez umetoka wp Hapo
Sio tatizo hlo vo tatizo ss waume zetu wanajua wajibu wao uyo engelikua ana mume wakumtunza kiislamu hta ilo gar asengeliendesha lkn maisha yamemfanya hvo kuwa ulaini sasa hpo tuwe bamba la kobe au
Good job
Hongera my ❤
Maashaallah. Maashaallah maashaallah Baaraka llahu feek
The hero women congrats
Mashaallah ❤
Big up
Magari ya aina hiyo kweli yalikuwa hayapo hapa Zanzibar lakini wapo waliokuwa wanaendesha Malori kama Bi Sada Ibrahim Makungu.
Mashaallah ukhuty sumy😘😘😍😍
Hongera sana my sister
Hay maisha hatujayazoweya waznz lakini nikawaida kwa nchi nyengine inatemea nguvu yako na akili yako piga kazi mazali halali
Hongera allah akupe wepesi
Mashallah 🙏 chamsingi kaz iwe ya Halali
tunaweza hongera
Sio kweli sio mzanzibar ila ameishi sana Zanzibar na kama utamsikiliza kwa makini kiswahili chake kinatafauti baadhi ya maneno.
Haile silas iko kila pahali❤❤❤
Mashallah Maisha kujiamini na kuto kataa tamaa❤
Mashallah kijana mpambnaji
Mume nipo hapa 😊😊
😂mume wewe kwio???😂😂😂
No.. mwanammke wa kwanza kuendesha lorry ni bi njiwa jamani.huyo atakua wa pili. Tunakuombea kila la kheri sist...Allah akulinde.
Mashalla Allah ❤
😊😊kenya ni kawaida ata ni wengi,
Fanya kz dd usiogipe maneno ya watu,jitume kwa jitihada zaidi
Hondera sana ila kama kuna uwezekano hio gari yako badilisha hilo jina la mbele(MAN)
Please tunatak chuo cha uderev wa track apo zanzibar
God job
Welldone sister natamani kukwajili kwenye magari yangu.
😂😂
Ongera sana
Maashallah
Good fighting
Mwanamke ambae ana income hata ndogo humuwezi kwenye ndoa. Mimi yashanikuta si kama nimesikia . Nawaonya wanaume ambao wanataka mwanamke mwenye income. Mwanamke hata kama ana income basi income yake hatodaidia chochote ndani ya nyumba na mwisho hata muda wake atakuwa hakupi ataanza dharau kibri jeuri na haki yako ya ndoa mume atakuwa hakupi
Right
Ktv tz niliwamiss
Usipinge nikweli tunaongoza kuvunja Sheria sio barabarnitu sehemu zote
Ongea kizenja bana. Onaongea kishua sana😊
Anaongea kiswahili fasaha
Kenyani jambo la kawaida hongera
HONGERA SANA BINTI HAKUNA LISILO WEZEKANA FANYA KILE UNACHOKIFIKIRI UTAWEZA NDIO MAISHA HSKUNA ALIZALIWA DEREVA AU OPP PIGA KAZI SONGEA MBELE NA MAISHA NI HAYOHAYO
❤❤❤❤❤❤❤❤
Hili gari ni Tanzania na Sumaiyya ni Mama Samia ko wanawake wanaweza
Hongera ila usilewe sifa
Go to Saudi Arabia....
Wanawake wakizanzibari kazaneni mufanye kazi msikae tu mume lete. Pesa yako Ingraham zaidi kuliko ya kugaiwa.
Acha ujinga wewe
@@fifo262UJINGA WAKE NINI??
@@salimmalaka256 haya mambo yanaharibu sana jamii ..hasa ya kislamu na tatizo linaanzia kwenye wanaume kuwajibika na kuwapa haki zao ....io nia aibu sana.
Mwehu wewe.
Unaona kutoka mapema alfajiri kutafuta kibarua ndio maisha ya peponi?
Alhmdullah mumewng anajua wajib kwa mungu wke mwanamke anafanya kaz lkn sio hzi . Alafu wanaume wakiwatesa kimaisha mnaonewa kumbe mnapenda
Najikuta napata nguv ya kupambana 😂
KTV TZ nawez kupata nmb yenuu au nmb ya huyu derev sumaiya
0717 619834
Huko ni mshangao ila wachina na nchi nyenginezo warembo ndio kazi zao hizo kazi kazi
mm sijakushauri kwakazi hiyo
Mtume anasema,ukikosa haya fanya upendavyo
Na pia kasema. Kutafuta rizik ya halali basi ni Jihadi
KUFANYA KAZI SIO KUKOSA HAYA HATA WAKATI WA MTUME WANAWAKE WALIFANYA KAZI MUHIMU KAZI YA HALALI NA MAVAZI YA STARA.
Hakuna mazingira ya kufanya kazi mwanamke wa kiislamu kwenye magari ya kontena...so stara hata kidogo na heshima yake itashuka.
@@AliAli-lw9bj Jihadi gani kuuza vitumbua maziwa nje, acheni kuwadanganya wanawake mkawapa matumaini ya shetani 😈
Hicho ndiy kiliyo chetu
mhmmm haya
hii tv ipo bdo
Sasa kama si muhuni ungeweza kuendesha magari kama hayo, mwanamke mwenye heshima yake hawezi kufanya hivyo
😂😂😂 acha wivu na chuki Binafsi, au amekuibia mume wako 😜😜😜