NTEMI EPI 76||Swahili Movie ll Bongo Movies Latest II African Latest Movies
Вставка
- Опубліковано 16 кві 2024
- Huu ni mwendelezo wa filamu ya NTEMI na hii ni Season 4 Ni moto!. Endelea kuifuatilia hautajuta!
NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA. - Фільми й анімація
Binti wa mwenyekiti nakupenda bure jamn uko vzr.
Jamani nampenda Sana huyo mganga ananifurahisha muha mwenzangu daah
Nawakubali sana wasukuma
Nimeisubili sana from DSM anae kakubari kajere kaongo agonge like
Wanao tamani jere apone like zenu hata 10❤❤
🎉😂😂😂
Nasubiri kwa hamu ❤❤❤
Maria jamani mwanzo alivyoanza nilimwona mwembamba now yamekuwa mnene mashaallah maua yako Maria nakupenda sana❤🎉
Leo mzee simoni kaamua kubadili nguo kabaki ntemi tu😂😂
😂😂😂😂 mtemi na utajiri wake wote lakini abadili nguo 😂😂
@@rizikisam6481😅😅😅😅
Yaa kazinzuli sana natamani kuiona pia ya shujaa maana nilipenda sana
Leo mzee simoni kaamua kubadili vazi 😂😂
Nam nlitak kusema ivo
kavaa nyekundu sijui ishara yake😂😂😂
Team ntemi❤❤❤❤
Mtemi nakukubali mganga muha 😂😂😂😂 unanikosha ww mganga
Dah! Mshikaji namkubali sana, in short jamaa anajua, anafanya vitu kwa uhalisia wake kabisa naisubili kwa ham sana EP ya 77.....
nilichopenda leo ni kuona mzee simon kabadilo nguo 😅
😂😂😂tupo wengi kumbe 😅
😂😂😂😂😂😂😂😂,wewe mgaga kumbe kicheko hiki nichabbyako wewe nomaa mungu akupe maishaaa utafkambalii
Mm Leo ni wamwisho naombeni like zenu
Leo mgaga kanichekesha jmn😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani wasukuma na wapenda,, mnavoongea kilugha,,yaani pambeee
daah asee Yani ni ujumbe mzuri sana napata Kila episode
Ila Mzee Simon bhana mmh huwa anacheka kweli 😂😂😂
Kama unamkubali Ntemi gonga like ...
Movie nzuri sana pia napenda na shujaa iyendelee
Ilaa mgangaa jamani hahahaha😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Duuuuuh!!!! manyonyesho tulosikia hiyo tupungiane 🤣🤣🤣
Jeremiah wangu jamani, namiss sauti yako nyororo na Zena, maulana awe pamoja na ww, na huyo mganga pia apate hathabu si mama nyanjike tu, mbona nakubali kuroga??? Lkn nawapenda yooote ntemi,s actars❤❤❤❤👏👏, shujaa jamani nataka nikutane na minza anae leta mazima mazima
Mapenda Tako la Maria Yani ana nichiziza kinoma jameni
Jeremia kweli unachekesha sana lakini hainaneno kipenz changu zena unafurahisha sana si upone sasa
Mzee simoni wacha asira😂😂
Jelemia vp amepona ❤❤❤❤
Mugaga nomaa anamisemooo
Mzeee saimon kapendeza mashallah 😂😂😂
𝐭𝐮𝐤𝐨 𝐩𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐤𝐚
Maua y mzee simoni kabadili nguo leo😂😂😂
NTEMI nakupenda sana,,,maalimie kajere na zena,,,,na Teddy
Ntemi Iko poah sana
Thanks
Camera ya leo aisee imetulia sana wakuu,naon picha zimetulia sana
Jamani namba ya maria mbona mnafeli nimemuelewa bhagosha😂😂😂
Mzee Simon leo kabadilisha nguo😂
From Pakistan minza muongo yatakukuta mambo
Huyo mganga anavyowaita wazee😂 muhuni kweli
Please NTEMI mregelee vero 🙏 i watch from kenya
mbna hazisomi
Ukijiangalia kwenye kiyooo kinakuandikia Please wait me😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kaz nzur xana kapaya
😂😂😂😂 huyu mganga anavoongea 😂😂😂 kama anawachamba watu 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mganga asipo pona jeremia basi fimbo zitakuhusu ntemi 😂😂😂😂
Ila jamani baba ake zena apew maua yake mana kaucheza vizuri uhalia wake
Kajere kasipo pona mganga sijui utamuenda wapi mtem ohooo
mganga unachesha sana
ila maria angekuwa anachomolewa kwenye tv mapema sana ningekuwa shapita nae toto toto kweli
Kwa kwel ni MTU na nusu,ana shepu la kwenda
Minzaaa,, wewe,, ntemi hapendi watu weusi 😂😂😂,,acha kujipendekeza kwa ntemi kitakuramba kitu
Imejirudia hii
🔥pawa chura mganga sukuruzaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani 😂😂😂😂huyu mzee huwa ananimaliza na hiki kiswahili chake 😅😅😅😅 machai wee wasukuma na kiswahili 🎉🎉🎉🎉
Kumbe Maria ana mzigo hivyo wawoooo🥰🥰🥰
Haha 😂😂😂 Leo mzeeee saimon kavaa vzr
Sukuma Gang
Ooooh vp Ina vipande vingapi jumla 😊😊😊😇
Gud job.......Kenya is locked
Jmn maria uko vzr sana lkn huyu nyanjige
Ila jamani huyu mwenyekit anasubla sana.
Wa kwanza ku watch ❤❤
Kimeumana sasa
❤❤
Mganga nakukubali sana ,,daah
Leo wa kwanza
jere una mikwara jere 😅😅
Ila mganga anamaneno 😅😅😅😅😅😂😂😂😂
😂😂😂😂mzee Simon kiboko
Mzee simoni mtu wa panga
Hongela maana inafundishwa kila kila
gudi gudi
Natamn. San ka jer kapone
Waao wakwanza mimi leo
asanteni sana
Tunasubilia kwaham sana
Elisha dondosha makopa
Mganga 😂😂😂😂
😂🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Huyu mganga kichekeshovo
😂😂👏👏👏👏👏
Hizo ndevu za babu wa mganga za kunyolewa fyekeo nimezikubali😁😁😁