NTEMI EPI 78||Swahili Movie ll Bongo Movies Latest II African Latest Movies
Вставка
- Опубліковано 22 кві 2024
- Huu ni mwendelezo wa filamu ya NTEMI na hii ni Season 4 Ni moto!. Endelea kuifuatilia hautajuta!
NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA. - Фільми й анімація
Wamwisho leo like kwangu
Kama umependa urafki wa ntemi wa dhati kwa jeremia gonga like hapa
Kwamba kijiji kizima kita baki na watu wawili tu ntemi na jele chizi 😊
Wakwanza leo 😂😂😂😂
Mm wa saba nimewahi san natamani kumuona jeremia na zena anaenda mjini
Rafiki wa ntemi na jeremia nimeupenda sana ❤❤😢
Japo nimefika kesho nipeni zilizo baki maana kajere kamepona🎉🎉🎉🎉🎉
Masimba na mjomba wake akiri zao tiripu kokoto tiripu mchanqa😂😂😂😂😂😂
Mzee mukorofi ameishiwa mara mojaa tu😮😮
like ziko wapi
Bila kumuona mzee saimon sina raha😂😂😂😂
Sjacherewa sana reo wasta😂😂😂😂😂😂
Nawapenda sana lakini pia namupenda Alex❤
Daa Maria sana kuna mauwa Yako
Selina amefanya hdi nmelia akhi😭😭😭Kweli Mungu nmkubwa 🙏🙏
Mzee simoni ungekuwa baba angu nakupiga shoka ufe tu huna faida duniani
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee simon na hilo ndomo khaaaa😂😂😂😂
Hongera ntemi
Hatimae Jeremiah kapona ila Zena n Jane mumeniliza 😢 ❤furaha isioelezeka ❤hongera yako Ntemi we n zaidi y ndugu kwa Jeremiah 🎉🎉 ❤mungu akubariki ❤Zena nend amjini bbko muuwaji atakuja kukutia hyo mimba jmn Baba wengn sjui wakoje😢😢😢
Mmh jamani afadhali kajele kamepona
Twasubiri ndoa sasa❤❤ kajere na zena
Pole
Mama nyanzige pamoja mama jele wote waperekwe jera!
Jere kapona jmn ntemi ashukuriwe
Sasa. Mimi nasubilia ndoa 2 yantemi mimi kama kajere kata enda kumtongozea ntemi 😅😊😅😅😅❤
Jen hajipendi kabisa
ukigagesha kanatuja hadi ukadubolepo 😁😁
Natamani kuona hii movie inaisha
Kwann iishe
So kwel
asante sana kwa muendelezo wadau❤❤❤❤
Mnatucheleweshea sana kutoa tunaomba muwe mnawahisha jamani 😅
🎉
Sio siri vpande n vifupi 😪😪
Kwel jmn😂
Pamoja sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sasa jere hizonguo nakofia katoawap
daah!! mzee simon pokea maua yako 😅😅
Wa pili leo jaman
Kajele kapilaga chuuuu
Mbona move hii haidunguki
Bona mmeigandisha
Mtemi hubadilishi nguo😅
Ndo masharti ya mizimu😂😂😂
21:04
Mbona haichezi au ni mimi tu
Mmepigaje hapoo jele kofia ameitoa wapi kwamuganga
Nii
❤❤❤
Zena umenitia uluma 😢😢
❤❤❤❤
Jaman si mtoe mbona inaganda ss
hii mbona haichezi sasa
Mbona mnachukua mda mrefu sana kuapload kazi? Tunasubiri mpaka tunamaliza MB
Watatu😂😂😂😂😂
Mmmmmm mmmh😅
🎉🎉🎉jereeee nakupenda mnoooo❤
Na 79 tatzo nini
Pos😂