JEBI- Swahili Feature Film || FULL MOVIE
Вставка
- Опубліковано 16 лип 2023
- Mchongo ni Kusubscribe, Kulike, Kucomment na Kushare
#jamaicastudio #youtube #mararufilmproduction #2023
@mararufilmproduction @film @Zenjimovie @film @studio - Фільми й анімація
Congratulations 🎉🎉🎉🎉 mumeweza sana like za wakenya jamani
Muvie nzur sanaaaaa
Watu Kama Hawa Wanahitaji Sapoti Kubwa
Msenge umeuwa sana movie Yako ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️😘😘
apewe mauwa yake
Huyo kiboko
Nimejikuta nalala saa 10 kazi nzur
asante sana usiache kusubscribe ili uweze kuona filamu nyingine zijazo ni nzuri sana
Mbwela unakiti chako mbinguni unajua kutufraisha snaa🥰🥰❤️❤️🫂
Kwa kweli Kuna Malaya na Kuna anae fanya kitu Kwa shida nimeipenda iyo monalisa si Malaya nimsaka noti km mimi😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Tuma no yako
Ujumbe ✔️
Mafunzo ✔️
Waigizaji ✔️
Vitendo ✔️
Uhusika ✔️
Mandhari ✔️
Hongereni sana kwa kazi nzuri ndugu zangu.. keep it!
Aise mwela amekomaa kwa sanaa mafundisho tupu
Nimejifunza mengi sana kwenye hii movo jebi na pia nimejifunza kusamini mwanamke pia respect
Sawa fundi kwenye commedy upo uku Kama kawaida Mbela na timu yake movie nzuri Sana🎉🎉🎉
asante sana
Wau nimefurahishwa Sana Na hii movie Na hongera Sana ❤ nafuatilia kipindi ktka Kenya 🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🙋
Jebi unasauti nzuri 😘
Message
Learning
Acting
Action and etc, well presented
Ongera sana mbuela
Mashallaah bwela uko vzr sana mungu akubariki sana broo ❤❤❤
Jebi hongera Sana Na m mkenya nasubiri movie nyngne byeeee
Upo vizuri Sanaa🎉🎉
Movie nzuri sana ina ujumbe mzuri
Hebu nione wenzangu team Tiktok 😂mpoo lakini
hahahahahah
@@JamaicaStudio5 pamoja bro 🤝
Hoyeee 😅
Pamoja🤝
@@marynamachanja1836 one love
Aisee ii movie da Kali na ina mafunzo makali
Move kali Sana Safi Sana tupo pamoja
Good movie kiswahili
Nimejifunza sana kutokana na mbwela na uyu dada 😢😢😢😢 ,,, mungu akusaidie rafiki
anko nakukubali san Jebi since nikuone kwa Clam, big up san✌️✌️
Nimeipenda hii ❤❤
Bwana mbwela we Noma bro naku kubali kabisa❤
😢😢 maashaallah move Zur sana
❤❤❤❤aisee iki chuma cha pua nimeipenda sana Hi movies
asante sana
Tunasubiria movie kalie nyengine kutoka kwenu❤
Jebi kazi nzuri sana nimeipenda❤😅😅😅😅😅😅 congratulations 👏
Hii move inafundisha sana hongera mbwela ❤❤
yeah inatoa mafunzo makubwa, asante
Fundisho kubwa kbx
Balaaaa
moto fire🔥
Daaah uyu dada kauzu cjapata kuona 😂😂😂
Tamu sana, mpaka mombasa kenya imetufikia ❤❤❤❤
asante sana na hongera sana, pia usiache kusubscribe ili kuweza kujionea filamu nzuri zijazo
Mungu azibariki kazi zako daima
Nimeipenda hiyo mungu anamubadirisha mtu kwa mda ukifika❤
😂😂mume wangu abeeee😂😂😂😂bonge la movie🔥🔥🔥
Love from KENYA(254) ❤❤❤
#poshëmposh™
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙋
Mututeletee muendelezo tuone mtoto wa monalisa akiwa mkubwa
Kazi nzurii .
asante sana
Kaka upo vizuri 🎉❤😊 pole kwa kila ki2
Story imeelekea 💪👊🤝
Umetisha sana mbwela Big up Sana brother bonge la kazi na limetulia kinoma
Mwanangu bwela umetisha San kwenye hii move Mzee masela inabidi tuishi hvi
kabisa kabisa
Baaria kafanya nimemkubal Sana respect🎉🎉🎉
dah hii movie ni nzur san nimeangalia mwanzo mwish na nimejifunza vingi sana❤❤
Mbwela ON🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤❤❤ movie
Good job mwanangu since Kijiji cha Azoda vizuri mapambano yanaendelea
Bwela huaga hafeli siku zote big up sanaaaaaa brother!
Huyo jamaa kiboko nakuambia soon watamuelewa tu note
Big up bro movie nzury sna❤❤
Aise daaah kwa kweli hii sinema nimeipenda mpaka na jebi mwenyewe ❤❤❤❤❤
hongera sana na usiache kufuatilia channel hii
Nice movie
Mashallah nimejifunza cn nilipta kule tiktok ila sikujua jina la hii movie but i hope nim enjoy kwa kwli never give up bro
Mbwela wee ni mstaharabu sana, hlf una akili na busara nyingi sana
Good talent
thanks broo
Wee congratulations jebi
Movie nzuri❤
Uyu mweupe ni hendsome❤❤ but ako na ushauri mzri
asante, nafurahi kusikia hivyo
Krbu snaa
@@Josephinejosephine-gc1fk asante
Aiyyiii
Congratulation all participants ... mmepaly pat vizuri
Thanks
Napenda sana movie zko hongera natazama kutoka kenya
Hongera sana mbwera kazi mzr sana mungu akubariki uweze fika mbali❤❤
Good
Movie nzuri ipewe mauwa ❤❤❤alafu iko Na mafunzo mengi Sana nakubali Sana kaka
Very nice
Hongereni nyote mlioshiriki😅
asante
Kaka jebi thank you for your work
hongera sana
Eti una mang'anuka nini 🤣🤣🤣 Wewe ni muigizaji unique sana believe ukikomaa na uigizaji huu utafika mbali sana
Movie nzur
Noma sana umetisha kwa hii movie wewe mnyama aiseeeeee
KAZI nzuri sana
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Waaaaah jamani tamu kweli ❤❤❤❤❤
Appreciate more bro jebi
Nimeikubali sana hii movie,congrutulation mbwela. From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hamjambo wenzangu Wana Mtandaoni!Naishi SaouthAfrican Lkini Nilizaliwa Burundi Samahani nimechelewa nilikua najipitia zangu Tiktok Njo Nikakuta Mzigo huu ,Daa nimeikubali sana kama umependa bonyeza Like 🇧🇮🇹🇿❤
👏👏👏👏👏
Mbwela mbwela mbwela ni kk mmoja fundi sana nitafurahi siku nikija nikiona amepokea tunzo ya muugizaji Bora wa kiume anajituma sana huyu kk anajua mpk anajua tena ❤❤❤❤❤❤
Mafuza kw jamii❤❤
saluti baba ume igiza safi sana kabisa courage sana
Nilitaka nimalize mpaka mwisho ndo nicomment i say movie nzuri yenye funzo big up jebi❤❤❤🎉🎉🎉
asante sana
Movie zuri sana
asante sana na usiache kusubscribe ili kuona filamu nyengine mpya nzuri
Such beautiful film ❤️❤️❤️ Jebi Amazing Actor 🔥🔥🔥🔥 Great lesson learnt 🎉🎉🎉 Congratulations producers for bringing such Amazing movie ❤️ love watching ❤️❤️❤️❤️❤️
Hongera sana mbwela ALLAH mubaraka
So touching 😢Take heart Jebi
pole sana
Waaah I love this🥰🥰🥰🥰
thank you 😍
Nakubal San bro 🎉🎉🎉🎉move ya moto
Bongo movie imerudi kiukwel nimekubali san kazi yako mzee baba kitambo sana nakufatilia muda sana toka unafanya kazi na madebe utafika mbali sana endelea kuwa mbunifu usikate tamaa man tuko pmj san dua👊💰📸🤝👍💪💪💪🙏
Ahsnte sana nashukur
Mbwela napendaga movie zako sana watching from Kenya 🇰🇪
🇰🇪🇰🇪
Pongezi kwa jebi
Baba mwenye nyumba nmkubali
Nilicho jifunza wanaume wengi wanapo toa msaada kwa wanawake wanitaji rushwa ya ngona rakini hapa imekuwa tofauti basi Hiro ni fundisho kwa wanaume wapumbavu respect sana kwa jeb
Unajua baba
shukran
mob love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
thanks so much
Huyu jamaa namuaminia sana aliechomoa zuna
Bwela filamu zako nazipenda sana
Tamu sana
😢😢😢ila uyu mshauri💞💞💞💞💞nmempenda kaz nzr kaka ❤
asante
thanks
Daaah mpaka nimeliya jamani lkn nimejifunza kitu
❤