NTEMI EPI 81||Swahili Movie ll Bongo Movies Latest II African Latest Movies
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Huu ni mwendelezo wa filamu ya NTEMI na hii ni Season 4 Ni moto!. Endelea kuifuatilia hautajuta!
NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA.
Watu wanataka iishe hii Series mnasemaje iishe ama iendelee hadi ngapi? Nataka sikumoja tuongee LIVE ntawataarifu siku na muda❤
Ifike EP ya 100 kaka NTEMI
Iendelee japo muda mnaweka mfupi sana
Mpaka tuone mtoto wa Zena na Jeremiah please 🙏
Muwe mnawahisha
Lkn umeskia Zena amemwambia maria atakuwa anaenda na Jeremiah kumchek, na maria nae ni kifaa halafu mwamba anamoyo ujue sio jiwe
huyo anayetaka iishe mjibu aigize yakwake sisi hatutaki iishe mana hii tamthilia ni zuri sana kaka ntemi
Penzi la jeremia na Zena ,,penzi la dhati kwa kwelii
Tunataka kuona mtoy wa zena na kajere then wakiishi pamoja ❤❤
Piga kazi mr. Kapaayathegreat unaigiza uhalisia📌📌. Familia zetu zinafurahia movie hii🎉
Move yako nzuli atali ila imalize vizuli sasa isiwe kama nyingine❤❤
Jamani kidogo nilie kama kweli Zena kaondoka na huku yupo nyuma ya kamera na kijacho wetu nampenda Zena jere Maria na ntem na kated mnanikosha jamani
Diana ,,ingia google kuangalia jinsi ya kuiba wanaume za watu
😂😂😂😂
🤦🤦🤦🤦
Mwenzio huku nimekufa kicheko😂😂😂😂😂😂😂😂
@@christinaaloyce6762 ila akae akijua huyo rafiki Ake atapeleka tenah 🤣😂 mbinu zote walizopanga hapo
@@Abera662 😂😂😂😂
Yaan move nzuri hiv iishe? Kasema nan yaani iendelee mpak tuienjoy zaidi achana na hao wanaosema iishe hawajua utamu wa hii move
Maria nakapenda kinoma🎉ila mtemi hapo umeuwa asee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Lazima Jeremiah aoe zena ❤❤❤
hivi mzee Saimon na huyo Mashimba huwa wanapata mda wa kula chakula kwel!!!😅😅😅😅 maana mda wote wanawaza kutengeneza majungu
😄😄😄
😂😂😂😂 Hadi nimecheka so kwa mbinu wanazo panga
Mimi nataka kumuona mama nyanjige akiwa mwehu
🤣🤣hapo kweli
😂😂😂😂😂😂jamani
Yeremia na zena wanapendana kweli
Iendelee tu
Iendeleee mpaka zena ajifungueee mpaka apate na wajuku😂😂😂😂
Mashimba na mzee sayimona ni kama machizi tuh, yote wanayo panga wanashindwa.
Iendelee banaa
❤❤❤
Iendelee na iishie mpaka pale mlipoishia ninyi
Hakika Ntemi unatisha Kanda ya ziwa pa1 sana👍👍👍
Waooooh zena nakupenda bure mom
Kwangu Mimi nataka iendelee maana inanifuraisha sana
Mzee saimoni wenzako wanafuga ng'ombe we unafuga panga
❤❤❤❤❤❤❤❤ sana!!!! tunataka Zena ajifungue waishi na Jeremiah
Yan mke wangu anaipenda san anataman isiishee kaka mtemi
Hebu iendelee Sana!
Mmmmmmh Jeremiah anawindwa na madem hatari
Iendelee tumewamiss sana
ntemi KAZI nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Iendelee kaka mpaka mtakapoona inatosha
Ishee bhna maana ,lete kigogo kingne
iendelee
Kwa hiyo zena hatutamuona tena mpaka ajifungue😢😢
Yan hii move n nzur sañaa sitaman ata iishee
Beste just fungulia episode zote daily rather than couple of days.
Indele hat 1000
Diana na minza poleni
Mimba ya maria ilienda wap
NO FINISH ❤
😂😂😂😂😂 ivi tedi's uncle amelala kwenye gulofa😹😹😭😭😭
Tunaomba ya 83
Wacha iendelee naomba iendelee hadi mia mbili hamsini
Movie ipo be vizuri sana
Nataka kuona Jeremiah na Zena wakiishi pamoja
Beste fungulia episode zote
Tunataka tuone Ndemi akirudiana na mama Teddy.
minza na Diana mkipita kwangu hata kiti cha kukalia siwapi kwa hayo mawazo mnayowaza
Minza ata peleka maneno tena maana episode lliopita alituma sms kwa rafiki zake kuwa wakina mama nyanjige wana panga kumteka Jeremiah 😄😄
Wow jeremia napenda sana saut yako
Asanteeeee
Iendelee hadi tuone mtoto wa zena na neremia
Wabongo yaaa nipo Kenya
Mkaya ndo hapo gologan😂😂😂😂😂😂
Lovely movie ❤
Iedelee mpaka100
Acha movie iendelee kaka hatampka Mia kabisa
Kwani huyo nyanjige mmemficha wapiiii😂
Mzee simion na mashimba endeleeni kuota tu hapo zena ashafka mjini
Nipen like zangu
Jamn zena kaondoka kweliiiii😢
Lovely
Series iendelee lakini muipeleke sinema zetu iwe inarushwa
Inarushwa star tv
Iendelee
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Itelee
Ifike hata mia tano kidogo
Wengine bando hatuna pakulipeleka
Mbona iishe na bado hatujaona mtoto wa jere iendelee
Hadi 200 hapo itafaa sana
Mm nataka iendelee paka Zena azae 😂😂😂
ntemii ni tamu nikiwa narok
naombeni tu like zenu
Mzee simon izo ndevu😂
Kwann vipand vingine havi somi?
mimba ya zena imeenda wapi😂
100
tuna subilia kuona
Cheko la ntemi hatari 😂😂😂😂
Mayombya unanywele nzuriiii LV y
Kenya movie ama ni tanzania
HIV mama nyanjige mbona kama chizi2
Mbona inaganda sasa achien bc
Nyumbani
Move yako nzuli atali ila imalize vizuli sasa isiwe kama nyingine❤❤
Iendelee tu
❤❤❤❤❤❤
100
❤❤❤❤❤❤❤