NTEMI EPI 82||Swahili Movie ll Bongo Movies Latest II African Latest Movies
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Huu ni mwendelezo wa filamu ya NTEMI na hii ni Season 4 Ni moto!. Endelea kuifuatilia hautajuta!
NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA.
Naingojea kwa hamu sana hii🎉🎉🎉 na wakwanza nipeni like zenu
Jamani ntemi isiishe mim nampenda anavyo ongea
Mbona ya 83 hatuioni jmn,,hyoo mganga apewe maua yake mwenye anasema ukijiangalia kwenye kioo, alafu kioo kinakwambia please wait me na wazee walikuwa wachafu mpk nzi wanataman kuvaa ndala hongeren jmn wote👏👏👏👏
Kajeree kameingia kazini,,,,NTEMI unavotuko sana mweeee sasa unamtaka mwanamke na huna uwezo hata wakumsalimia jamani
Wawoo! Thanks 🙏🙏 🙏🙏🙏 mashabiki zetu Kwa kututazama
Tuko pamoja Sana
Nimeanzia epi 1hadi epi 82 ndugu zangu hongereni sana ,Ntemi mzee Simon,Jere,zena ,selina,mganga😂part yenu mmeiwakilisha vilivyo bila kusahau tedy na wahusika wote maua yenyu ndio hayo jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉much love from Kenya watching from Saudi Arabia.
Woooow kumbe Kuna Team strong hapa Saudi Riyadh Mimi saa hizi ndio nimemaliza episode 82 ❤❤❤2.48 am na morning naamkia mjengo 💪💪💪Team Ntemi nawapenda sana 🎉🎉🎉❤❤❤❤🙏🙏🙏
@@elizabethbethy7267 Vipi, yeah team strong nko hapa hii filamu imenibamba kabisa. Nilikua nawatch nikipiga mjengo mos mos.
Madhali nzuri uhalisi wa mazingira ya kijijini mazuri mpaka watu tumetamani tuwe wasukuma
Nami Leo wa kwanza pongezi kwangu na waigizaji wetu
Bibi gat nimecheka kwa sauti jamn mbavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂
Hongera sana kwa tamthilia nzuri inayotazamika hata ukiwa umekaa na mamamkwe mama mzazi baba babu bibi baba mkwe watoto
🤣😂🤣😂 Nakubaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sanaaaa ntem .wewe siowamchezooooo
Napenda sana namna mlivo weka filamu yenu 🥰🥰🥰🥰 ntemi Huwa nacheka sana kakiswahili kako
Ntemi. Kazi safi ❤❤❤.Endeleeni kututongoza🎉
Naisubilia sana kwa ham episode 83
Endelea tu kututongoza😂😂😂😂😂 nachekaga kiswahili chake
Ntemi ukorofi wote kwenye kutongoza hana ujanja😂😂😂😂😂😂😂
Ntemi akana kako katumbafu kenhage tugoje samba katolwe wangu nkenhe ng,ombe hakaya
Ndo kwanza movie imenoga 🥰🥰❤️❤️❤️❤️
Tunaingoja ntemi ep 83 kindly Michael tunakutambua jitahdi 🙏🙏
Tunasubili mwendelezo mko vizuri
hehehehhheee😂🤣🤣😂😂 endelea kututongoza mwenyekiti
Kazi nzuri sana ntemi 🎉🎉🎉🎉🎉
83 Iko wap jaman jila
Tnasubiri episode ya 83 na kuendelea
Nipen like nimewahi
Ntemi salimia huyo mrembo tupa misitari😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 bibi hati🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 niache maama nakufa kicho
Napenda sana tamthilia ya ntemi zena na Jeremiah iwish mngekua real couples mnapendeza sana
Jaman mwendelezo
Ntemi upewe mauwa yako🎉🎉🎉 ❤waogopa kumsalimia msichana😂bibi gati fimbo moja ndio imekuangusha😂 ntemi mpelek tedy shule😢
Ntemi ni filamu nzur sana na pendwa sana kwangu 🎉🎉🎉
Team strong mpooo??? ❤❤❤
Mwendelezo jamn
Vip kimyaaa
😂😂😂. Bora ata ungekuwa mzuri ningefumba ata macho kidogo😂😂😂,, ntemi ❤
Ntemi vipi 83 iko wapi au ndo imeisha hiyo tujuze madhabiki zako baba
Ntemi ni muvi nzuri sana mbn mwendelezo hatuoni? Tunaomba mwendelezo
Mtemi bibi gatii mtatuvunjaa mbavuu hahahahahahaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤ masikin kajeriiiii nawapenda sanaa
Mbona mwendelezo Hamna au Ndo bas tena
Mzee mzima mwenyewe 😂😂
Jamani tumemisi ntemi ileteni basi 83
Mbona 83 haipo jaman
Kazi nzuri sana ntemi🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Endelea kututongozaa😅😅
Ka fundi jere kameingia mzigoni sasaa😂😂😂
Jaman kipande cha 83 na kuendelea viko wap jaman
Ntemi umeniangusha 😅😅salima mrembo Bana, 🎉
Jamani Iko patama mwendelezo wake vipi
Jamani mbona hamleti kazi ya ntemi vip tunaisuniri kwahamu zote
😅😅😅huyu ntemi ndo hakili zangu kabisa😅😅
Noma katedhi helimu ni ya muhim ❤❤
NTEMI INEISHA AU MBONA 83 HAIONYESHWI
Mbavu zangu 😅😅😅 ntemi aki wewe 😂😂😂😂
😂😂😂 safari Hii Tedy atakunyoosha😂😂😂
Jamani ee mbona hamjatuma mwendelezo wa hii nipo naisubiri kwa hamu
Ntemi vpi leta next unatueka
Jamani83 mbna hatuioni jaman ntemi
Munachelewa kuongezeya tinging mumemariza
mum mfugaji wa ngombe ntemi si wa mchezo unaonja fimbo 😊
Endelea tuu kututongozaa jmn ,,duuh kiswahili chake jmn
Kumbe Bibi Gati alisomea acrobatism, anajua kukwepa fimba za Ntemi!
Nawapongeza kwakazi nzuri sana❤❤
Upi kuti ibheho 😂😂😂 ntemi nyana ghete😊
Ila ntemi 🙌🙌
Bibi ngati amecheza forward na backwards kwa u pamoja ntemi 😂😂😂😂muna ni maliza na kicheko huku hadi wainguru Ana shangaa
Jaman nasubili kwa hamu sanaa eps ya 83
Mbona 83 hamtoi
Hahahahah ntem wew
Hii movie ntemi kamaliza
😂😂😂😂😂😂😂 Ntemi jmn
Bibi gati umelitafuta mwanyewe kwa ntemi 😂 😂 😂
😆😆😆😆😆😆 bibi Gati chini
Mbn 83 hatuioni jamn
Next part ntemi naona umeanza kutuweka
Jamani leten 83
😊 Yan Leo munanifulahixha
ntemi sio wakutufanyia ivo wewe kaeni na movie yenu hatuna shida nayo tena
Hivi maria namuona peke yangu tuu au? 😂
Naulisa kwani ntemi imefika mwesho 😅
Ira ntemi 😅😅😅😅😅Ndo ujui ata kutongoza
Ntemi uko dawa ya meno kabs
Kunakoelekea sasa kivumbi Mzee Simon kazi ipo shigella amepotelea wap
Jaman ntemi mbona hamtoi hizo zinazo edelea
sawa mzee simon
Aendelee kuwatongoza wote
Vp 83 Isha Toka kwani
episode 83 please
Mbona hatupati muongozo
83 lin jaman mbona imechelewa
Episode 83 yakuja lini?
Tuletee mwendelezo aise
Naona Jeremia atema cheche kwa binti
Leteni 83 mbona Ivo jamani
brother mnakwama wapi ni mdaa hamtoi vipande sasa
Nini shida mbona mnachelewesha episode nyingine
Mtemi unashindwaje kutongoza
Watoe mwendelezo sasa mbona kama washamba hivi siku zote hizo.
Shangazi unakazi ngumu Kwa Ntemi
83 haipo
Episode ya 83 wap mbona haionekan?
Kwann mnatoa na mnagandisha sasa