Santé sana kwawangizadji yote wa muvi snack boy mungu awabariki wote clam vevo n'a Kim Nadayrecta Kakoso mungu amulinde kwakweli ni Costa Tande Justin kutokeya Congo
Medick,mbwela,mwasi, Zumba,sengo,kipara ,na kakoso, nawakubali sana na team nzima 🎉🎉🎉🎉hongereni sana washirika nyote wa snake boy mwaitendea haki kabisa hii move 🌹🌹🌹🌹
mi mpk nilshakata tamaa kbs ya kuifuatilia snake boy mnakawia sana mpk nilihamia zangu kwa kp na zeb mnaboa sana au kwa kuwa tunasifia kazi nzuri ndio maana mnatucheleweshea
Inahitaji akili ndogo tu kujua mwanzo mlikua mnalalamika inakua fupi sana muda mdogo sasa Hivi wameweka ndefu zaidi maanayake lazma watakua wanatumia muda mrefu kuandaa bado tena malalamiko
Sijawahi kucoment acha leo nikomenti unatucheleweshea sana mzee yan unafanya mda wote tushinde UA-cam maana unawaza inatoka saizi au laah,,,,hongera kwa kuitoa maana tumeisubili kwa hamu sana tunashukuru kwa kutuongezea dakika bigup utafika mbali kijana
Movie intufundisha hii dunia kuna watu wetu wa karibu ni wanafikii saana si mnaona rafiki ake mtukufu anavojifanya hajui alichokifanya yaan mtu anakupa msiba af anakusaidia kuliaaa 😢
Najaribu kufanya mazoezi ila najikuta kukosa mueleko😢... Kama umeamka Salama sema Asante mungu Kwa Kila pumzi ninayopumua.... team strong hapa kutoka Tanzania 🇹🇿🇶🇦
Nakubali kazi nzuri sana team Clam Vevo, bila kumsahau Director Kakoso na Mganga wa taifa anaependezesha Movie yetu.. Mwakatobe.. Hongereni kwa kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho.. KAMA UNAIKUBALI HII SERIES NA ULIKUWA UNAISUBIRI KWA SHAUKU TUJUANE HAPA KWA LIKE❤
Maoni! Baada ya kubadilika kutoka kuwa nyoka ingependeza zaidi angeleta mambwembwe kidogo kama kujinyoosha au vinginevyo, au labda kutema mate baada ya kumaliza kummeza mtu. Maoni yangu🙏🏾 Kazi ni nzuri sana, big up sana kwa team #Vevo. Mozambique 🇲🇿
MUNGU MUUMBA MBINGUNI NA DUNIA, tupe macho ya rohoni tujue kweli yako, na tukae ktk njia zako Amina...... 🙏
Kwaio humu ulikua unasoma biblia au imeingiliana VP na maombi 😂😂😂😂
@@kamarhelo😂😂😂
Jaman jaman jaman watu hahahahahhhh!hayo majb sjui wp tunayapata wallah
Wewe ndo umesema la maaana
Amen🙏
Daaa tumesubiri sana mnakaa mno mpaka tunasahau kama Kuna snake boy anyway kazi nzuri sana@clam vevo
Snake boy 🐍 inazidi kua hatariiii umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪
Sijui mm ni wangapi naombeni likes hapa...mwenyezi mungu haibarki snake boy...clam vevo hatariiii..
Mm. Wakwanza udugu
Kazi nzuri kaka Allah akulinde uzidi kutoa kazi nzuri ila munachelewesha sana
Clam vevo the number one ☝️ mpaka apa Congo 🇨🇩 na kubali équipe clam vevo.
WA Kwanza kutoka Kenya. I love Tanzania bongo movies .. big up Tanzania ❤
Ushauri wa bure msiwe mnakaa siku 10 jaman mjue tunapenda xn hii kazi
Santé sana kwawangizadji yote wa muvi snack boy mungu awabariki wote clam vevo n'a Kim Nadayrecta Kakoso mungu amulinde kwakweli ni Costa Tande Justin kutokeya Congo
Kazi nzuli jaman naomba like from burundi tujuane
Kiujumla vevo na team yako mupo vizuri tena mupo vizuri sana
Medick,mbwela,mwasi, Zumba,sengo,kipara ,na kakoso, nawakubali sana na team nzima 🎉🎉🎉🎉hongereni sana washirika nyote wa snake boy mwaitendea haki kabisa hii move 🌹🌹🌹🌹
mi mpk nilshakata tamaa kbs ya kuifuatilia snake boy mnakawia sana mpk nilihamia zangu kwa kp na zeb mnaboa sana au kwa kuwa tunasifia kazi nzuri ndio maana mnatucheleweshea
Kweli😂😂😂
Mpaka unasahau uliishia wapi
Inahitaji akili ndogo tu kujua mwanzo mlikua mnalalamika inakua fupi sana muda mdogo sasa Hivi wameweka ndefu zaidi maanayake lazma watakua wanatumia muda mrefu kuandaa bado tena malalamiko
Kwakweli😢😢
usilaumu kukawia angalia wanatumia muda mlefu kuandaa maana siokitu chalaisi2 kiivyo wanatumia malifa mengi
Jaman me nataka mwakatobe ak zinga team zinga dondosha like
Clam siku hizi unachekewesha sana hadi nasikia nimeanza kukosa hamu tena, imarikeni kwa hilo. Tunawapenda sana huku Kenya
Duuh Clam vevo watueka sana wachelewesha mzigo but ongera Kwa kaz nzuri naona next kanumba miaka inayo kuja karibu Mombasa Kenya.
Dakika 40 pia umegewa
Hahahaha 40minutes n sawa but anatueka sana Vevo best wishes to this guy is very genius@@eggysulle7988
Mkishajua tunawafatilia na kuwakubal mnatuchelewesha sana kutoa muendelezo!! Jirekebshen bhac
Kuchelewa kwao ni kuandaa kitu kizuri kitakacho kuvutia
Nimekuwa wa Mia mbili na 53, Naomba likes zangu, snake boy ni motooo 🎉🎉🎉
Afadhali umesema kweli mana kila mtu wa kwanza humu😂😂😂😂😂
@@HudhaimaYussuf😂😂😂😂
Kama unamkubali mtanzi gonga like
@@HudhaimaYussufhhhhhhh😂😂 nihatal
Wewe adimin 😅😅😅
Mimi ni miongoni mwa first 80,000 waaah! Si watu mnawai jamani... Yaani karibu nianguke😂❤🇰🇪KE🇰🇪NYA🇰🇪
From Kenya..🇰🇪🇰🇪 watching from Qatar 🇶🇦 🇶🇦 Nikiwa Moja Wenu🤝💕💕💕
Maandamo ni Tuesday CBD tupatane 😅
@@Dorcasmwende764 Inshaallah mpenzi pamoja 🫂
Àssalaam aleykum..
Tukumbuke na Ibada ndugu zangu 🇹🇿 🇰🇪 🇧🇮 🇷🇼 🇨🇩
Waalaykum ssalaam...
Shukran kwa ukumbusho❤
Walekum salam shukurani Kwa ukumbusho kipenzi 😍
Shukran
Waalykumussalaam warahmatullah'hi wabarakaatuh.
Muhimu shukria ❤
Waalaykum musalamu warahmatullah wabarakatuh
Inshallah,
KWANI watu mko n sim kwa mkono jmn 😂😂 nawapenda 🥰 Bure Genz 👊 team strong team clam vevo🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️
Safi Pendo wakwehuu ❤
Kazi nzuri Tim vevo hamjawahi niangusha🎉🎉🎉🎉
From burundi ❤❤ napenda sana snake boy clam apewe maua yake jamani kama tukopamoja gonga like apa ❤❤
Hakuna kazi ndog jmni wanajitahid sana na kutoa ndefu ndefu had rahaa mungu awabariki kwenye kzi zenu
Mambo
Kigongo kinachelewa mpaka napata hasira kiukweli sijafurahia kabisa week mbili tunakaa kinyonge aaaahhh director amezingua
Kazi njema inaitaji watu hodari na nyinyi nyote ni mahodari kabisa 🙌🙌🌹❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.
Watching live from the capital city of Africa 🇰🇪 KENYA,wapi like zangu,ila mnachukua muda mwingi kutoa episode
Hi cast of the snake boy, we are really enjoying your wonderful movies. Please keep it up, I wish you the best in your remaining seasons. I'm Zambian.
clam ni bonge moja la act 4this country niamin
Wakwanza from 🇰🇪🇰🇪 ila mnachelewesha sana hd tunasahau pale tulipoachia ila kazi nzuri sana Clam vevo tunaikubali ❤
Safi Dama Mkenya wangu
Ii kiswahili yko c ya Kenya 😂😂😂 buana
@@edwardngugi3537 hiki n Cha wapi kipenzi
@@MishyMbetsa good ❤️
Naomba unicheki bax
Watu waliokubaliii kaziii hiii ya CLAM VEVO gonga like hapa❤❤❤❤ movie iko unyamaaa sanaaa
Naipeda xana na watch nikiwa Nairobi Kenya wapi likes zangu jamen
tunaemuona tanu ajulikan yupo upande gani 😂😂 tien like ap
tanuu bwanaa Mii simuelewii yanii 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Alooo 😂😅
Aisee huy dada urembo unamtesa jaman kaqa kama mpira ahahahaha!!! Ungekuwa na sura ngumu ka me akaaaah! Hata ukitupwa pale mbwa hanusi😂😂😂😂😂
Anguka nayo clam vevo,much love from 254🇰🇪.
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤
Alright thanks for your work bro 🙏
Good morning our lovely videos
I'm Raymond mahad from Kenya Mombasa or Nairobi
I'm so happy for this channel
Leo nmechelewa lkn naomba like hta 2 tuh
Clam noma sana 🇨🇩🇨🇩☝️
Clam VEVO hanajua kwandikajama , mana tukikosa kumwona Vevo tunamwona mwakatobe , tusipo mwona mwakatobe, tunamwona Vevo 😂😂😂
Samani jamani Mimi kwetu Mozambique 🇲🇿🇲🇿 kwiavio sijuwi kwandi vizuri, samani 🙏 nipeni like
Sijawahi kucoment acha leo nikomenti unatucheleweshea sana mzee yan unafanya mda wote tushinde UA-cam maana unawaza inatoka saizi au laah,,,,hongera kwa kuitoa maana tumeisubili kwa hamu sana tunashukuru kwa kutuongezea dakika bigup utafika mbali kijana
Nakubari unyama huu apa nisubiri kwa hamu sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Movie intufundisha hii dunia kuna watu wetu wa karibu ni wanafikii saana si mnaona rafiki ake mtukufu anavojifanya hajui alichokifanya yaan mtu anakupa msiba af anakusaidia kuliaaa 😢
Maana kuu ya kikulacho ki nguoni mwako
Kabisa yn na utawala wa kimabavu
Why this young boy clamvevo doesn't trending although he is the best and large number of pure views any way much love from Toronto canada
Oy
❤
Makini sana kamnda clqm vevo umeupiga mwingi hila zingatia kuwaisha mzigo
Nice
Mwenyezi mungu akubaliki wewe na familia yako muwe na maisha malefu kwa wewe unaye soma comment hiii
Amina
Amiina
Amini❤
Amiiiiin 😊
Amina
Najaribu kufanya mazoezi ila najikuta kukosa mueleko😢... Kama umeamka Salama sema Asante mungu Kwa Kila pumzi ninayopumua.... team strong hapa kutoka Tanzania 🇹🇿🇶🇦
Upo sawa
@@FrankHakizimana-rb3zs Welcome
Asante Mungu
Asante mungu ww umeongea la maana kuliko kuomba like
@@mohammedkidody5618 ubarikiwe sana
Nomaaa sana kwa movie tamuu vevooooo ila nisimsahauu director kakosooo anafanya kaziii nzuriiii sana
Wah wanaume mnapeana bb..mungu wangu
umetucheleweshea sanaa mzee sisi huu ni zaidi ya ulevii
Kweli kabisa wana tuchelewesha
Kweli kabisa Yani mpaka nime boeka
Umegewa pia dakika kibao za kuona
Umeona
Walai manze
Mtoe maoni basii kazi wsicheleweshe sana 😂😂😂 kuomba like tu 😂😂😂
Naomba wote mnaoangalia snake boy mwenyezi mungu awape afya njema na mafanikio makubwa katika maisha yenu🙏
Amen 🙏 🙏 nawe pia
Amina
Amiin kwak piA
Amen
Amina
Sema kipara anaupiga mwingi sana aseee maua yake,, hachezi mbali na fursa 😂😂
😂😂😂😂😂 umbea wa faida
Mnakalia kuomba like tu na wakati wanachelewesha saana hii move clam acha kuchelewesha hivyo bhn
Ww umeongea mpk tunakata tamaa
Mnachelewesha sana kazi wakuu pia nzinga ni tumemiss misemo yake na timbwili
Huo mziki bonge moja la ubunifu 🔥🔥
Wa kwanza leo naomba like zangu toka dr Congo 🇨🇩💪💪
Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tangu nianze kufuatilia snake boy sijawai pata likes, jameni naombeni likes mukinifuata youtube
Mombasa😂😂
Nilisha kupa likes ambayo uliomba❤
Nimekupa dislike moja aisee nataman nikuongezee zaidii
Kazi nzuri bro mbwela big up sana
Wana mzengo mko moto sana😂😂
Wa mwisho leo, big up VEVO crew
ila namie sija chelewa sana nipo kabisa namie naomba like zangu 15 hapo ila nawapongaza sana kitu kizuri kabisa jaman ila Clam vevo 🎉🎉❤
Kwan mnaoomba like zinawafaidish nn nyie vibwengo watoto wa mwakatobe
Namuona ndugu yangu ibra mbwera au chif safi kaka kazi nzuri
Clam VEVO. Sterling wa snake boy umekuwa Bora sana. Season 1 na season 2. Kazi nzuri sana ❤❤❤❤
Watu mko vizuri mapema mshawahi 🧡🧡🎉
Vip
Ol❤❤❤
aura4aura nikiwa kenya kazi bro clam.wakenya wenzagu like natukutane tuesday CBD kwa mapambano
😂😂😂
Ila wadau saiz watanzania tumepiga hatuwa kwenye movie camera saiz zina hd ya kueleweka unaona mpak chunusi kwakweli tujipongeze wote tz❤❤❤❤
Nipeni likes za wakenya, nampenda vevo na kazi zake
Kazi nzuli sana ongeren ila maoninyangu kazi inachelewa kwa siku nyigi sana jmn fanyeni malekebisho kwamuda sahihi na dakika za kutosha ❤❤
Hatimaye baada yakusubiri kwa muda mrefu😂😂
Eeeeh wanakawia sana adi mtu huchoka😂
@@crazykea2032 yaani mpaka unaanza kusahau ilipoishia 🤣😂😂 ila Ndo tunaipenda Hata iweje hatuachi kufatilia
From mozambique 🇲🇿 tunakubali sana snak boy
Ku edit Videoo ni kazi ngumuu sana kupangq vipandee na kuandaa kazi nzur
Wenye kufuatilia hizi episodes tujuane 😂😂😂mimi ata ikifika episode 50 lazima niifuatilie team Clamvevo wapi likes 👍👍👍
Tunawaombea sana❤
@@PatrickAntony-w4d 😘😘😘
Kama kuna mtu kila siku alikuwa anaangalia kama clam kaaploud au laaa gonga like kwangu
Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba munilae kibas kidogo sababu naikubali hii muvi na imecheleweshwa ila tunaipenda tu
Yaani Clam mnatuchelewesha sana
It's so 🔥🔥🔥
Sasa nyie mnao like amuwaambii kua ii igizo saivi adisi aeleweki nini inamaanisha wamalize2uuu
Itumie hii series piah kujifunza..make vipo vingi sana vya kujifunza...naomben likes bhas😇
Jaman mbona mlikawiya sana il courage san vipenz vyangu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuh jmn mlkua mmechelewa kweli but safi sana
Kuwa wa mwisho naomba like 5
MCHEZO MZURI SANAAAA ILA.MNACHELEWA KUTOA
tanzanua nzima hakuna move inayo fuatiliwa kama snake boy clam hongera sana
Angalia WRONG HOUSE kwenye channel ya chinga media afu ufananishe
@@MRJ1308Lakini hii ndo ya kwanza ile ya pili
@@MRJ1308Lakini hii ndo ya kwanza ile ya pili
Kwa kuchelewa lakini nimeona mchezo vile unavyo chezeshwa atari sn 💪🔥🔥
Wakwanza leo Fedha boy Aka Hamisi Mbwana from kenya mombasa kenya
Ila kipala anaogopa kufa 😂😂😂😂
Nakubali kazi nzuri sana team Clam Vevo, bila kumsahau Director Kakoso na Mganga wa taifa anaependezesha Movie yetu.. Mwakatobe.. Hongereni kwa kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho..
KAMA UNAIKUBALI HII SERIES NA ULIKUWA UNAISUBIRI KWA SHAUKU TUJUANE HAPA KWA LIKE❤
Safi kazi nzuri>Team strong tujuane
Kukudadakei one number
Nawapenda❤.tunaomba.mtuongezee.mda.kidogo
Maoni!
Baada ya kubadilika kutoka kuwa nyoka ingependeza zaidi angeleta mambwembwe kidogo kama kujinyoosha au vinginevyo, au labda kutema mate baada ya kumaliza kummeza mtu.
Maoni yangu🙏🏾
Kazi ni nzuri sana, big up sana kwa team #Vevo.
Mozambique 🇲🇿
Aisee kama kuna mtu alikua anaumia Snake 🐍 boy kuchelewa kama mimi Gonga likes 👍
Unachoka mtu kuifatilia inavochelewa sana
Kabisa inachelewa sana mpk tunakata tamaa
inakuja ndugu zangu 😥😥😥😥 kazi ni nyingi upande wetu sisi ma producer
Wewe nimshamba tu
Kazinzuri clam nakubali sana❤
Kazi nzuri sana,,ongereni 🎉🎉🎉.
Mnachelewa mpaka tunasahau mlipoishia
Sk villa akiondoka italoswa ladha
Picha ovyo sana ii kila cku visa vinaongezeka tu ahaa